Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 138
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Katika ITV ya usiku wa leo nimemwona Mkuu wa uchukuzi akitia for a kwa vioja na kuonyesha hana taaluma ya utawala kwenye Nyanja zifuatazo:-

      1) Sina zogo na Mkuu kufanya “surprise checks” kwenye maeneo yake ya kikazi tatizo ni kuropoka juu ya hatma ya ajira wa kibosile wa TAZARA mbele ya wadogo zake huyo njemba………….wadogo tajwa hawana uhimili wa ajira ya bosi wao na wala uhusiano wa moja kwa moja na tija haupo sasa hizi purukshani za nini?


      2) Mkuu amekuwa akizibeza Bodi na menejimenti kwenye maeneo yake ya kikazi na hivyo kuzidhoofisha na kuzivunja moyo wa kutekeleza majukumu yake…………

      3) Zima moto za mkuu zinaficha ukweli wa ya kuwa matatizo makubwa ya kimfumo hayawezi kudhibitiwa na ukulele wa Mkuu tu…………….jambo ambalo linatia majonzi kuelewa ya kuwa domo la Mkuu siyo tiba ya uzembe na ubadhirifu ndani ya TAZARA.

      4) Ahadi ya kumtimua kibosile wa TAZARA hata kama Mkuu ataifanikisha na kuijaza nafasi tajwa na swahiba wake bado siyo ufumbuzi wa matatizo ya malipo duni ndani ya TAZARA na maamuzi dhoofisha ya awali yanaweza kutatuliwa na jitihada za mkuu peke yake jambo ambalo linatia shaka juu ya uwezo wa Mkuu katika kutakari hatma ya kitaifa iko wapi……………Ikumbukwe kibosile wa TAZARA lazima awe mzambia na Mwakyembe hana mamlaka ya kumteua, sasa haya majigambo ya kuwa ana uwezo wa kumfukuza kazi kibosile tajwa Mwakyembe ameyatoa wapi kama siyo kuleta usanii wa kisiasa tu?

      5) Bila ya Mkuu kutumia nyenzo zote alizonazo zikiwemo Bodi na menejimenti zake katika kufanikisha shughuli za umma kunaongeza mashaka kuwa kama jitihada hizi siyo za kugombea Uraisi mwaka 2015 na hazina uhusiano na kazi ya kuibua changamoto ndani ya wizara yake…….basi jinamizi lake ni siri kubwa........
      Last edited by Rutashubanyuma; 12th August 2012 at 18:59. Reason: insert TAZARA for TRC
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."


    2. #2
      mosagane's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 120
      Rep Power : 372
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Mara anakagua daladala stand ya mwenge,mara anafukuza daladala stand ya mwenge eti ziende makumbusho,mara anakagua leseni za madereva ubungo Hivi yeye hana watendaji wa ngazi ya chini?au matataizo yote ya wizara yake atayamaliza yeye mwenyewe?anaboa bwana kwa kujifanya kufanya kila kitu na kutomwamini mtendaji hata mmomja ktk wizara yake.sijui ndo kuutaka urais?ngoja tusubiri

    3. #3
      kajembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 431
      Rep Power : 523
      Likes Received
      105
      Likes Given
      129

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Quote By mosagane View Post
      Mara anakagua daladala stand ya mwenge,mara anafukuza daladala stand ya mwenge eti ziende makumbusho,mara anakagua leseni za madereva ubungo Hivi yeye hana watendaji wa ngazi ya chini?au matataizo yote ya wizara yake atayamaliza yeye mwenyewe?anaboa bwana kwa kujifanya kufanya kila kitu na kutomwamini mtendaji hata mmomja ktk wizara yake.sijui ndo kuutaka urais?ngoja tusubiri
      Sasa toa ushauri afanye nini? akae ofisini tu ili asiboe? Watanzania sijui tukoje jamani mtu akijaribu kufanya kazi tunamlaumu kwanini? kama wengine ni wazembe basi aangalie tu!kila kitu kibaya tu,Mtu akijaribu kujituma basi anatafuta Urais,akikaa kimya mtaema hafai kabisa amefanya nini nchi hii!Wengine ndiyo maana wamekata tamaa wameamua kushibisha matumbo yao maana sisi ni kulaumu kila kitu.Nchi hii inakatisha tamaa sana, kila mtu ana ajenda ya siri! Wapeni moyo watu wanao jitahidi kwa mazuri wanayofanya na mabaya wakosoeni lakini siyo kila kitu kibaya tu! sasa unataka waziri akae tu basi aangalie madudu napo utapiga kelele hawezi huyu mnafiki tu,basi onesha njia basi wewe!
      BabaDesi, Asprin, Pakawa and 7 others like this.

    4. #4
      kajembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 431
      Rep Power : 523
      Likes Received
      105
      Likes Given
      129

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Sasa wewe rutashiba sijui kitu gani! unasema anataka kuweka rafiki yake du wabongo tunachekesha sana,wewe aliyopo ndugu yako nini unaona atakosa ulaji! wapeni moyo watu wanaojitahidi kufanya kazi acheni majungu! mnakatisha tamaa watu wengine wanaamua kuangalia tu!kila kitu kukosoa tu du nchi hii ina laana ya aina yake sijawhi kuona.
      Rutashubanyuma likes this.

    5. #5
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,053
      Rep Power : 14671
      Likes Received
      2955
      Likes Given
      2099

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Alisema anamfukuza wa TRC au TAZARA? mimi kama niliposikia alikuwa karakana za TAZARA. Tuwekane sawa, which is which?
      Rutashubanyuma likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe


    6. #6
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Mara anakagua daladala stand ya mwenge,mara anafukuza daladala stand ya mwenge eti ziende makumbusho,mara anakagua leseni za madereva ubungo Hivi yeye hana watendaji wa ngazi ya chini?au matataizo yote ya wizara yake atayamaliza yeye mwenyewe?anaboa bwana kwa kujifanya kufanya kila kitu na kutomwamini mtendaji hata mmomja ktk wizara yake.sijui ndo kuutaka urais?ngoja tusubiri
      mosagane Kichekesho ni kuwa juzi nilipanda basi Ubungo bado nikatozwa elfu tanoi zaidi ya nauli sasa mizunguko yake hapo kituo cha Ubungo ina tija gani?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    7. #7
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Alisema anamfukuza wa TRC au TAZARA? mimi kama niliposikia alikuwa karakana za TAZARA. Tuwekane sawa, which is which?
      zomba ninashukuru kwa masahihisho nimerekebisha...........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    8. #8
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Sasa wewe rutashiba sijui kitu gani! unasema anataka kuweka rafiki yake du wabongo tunachekesha sana,wewe aliyopo ndugu yako nini unaona atakosa ulaji! wapeni moyo watu wanaojitahidi kufanya kazi acheni majungu! mnakatisha tamaa watu wengine wanaamua kuangalia tu!kila kitu kukosoa tu du nchi hii ina laana ya aina yake sijawhi kuona.
      kajembe usichojua bosi kulingana na sheria lazima awe mzambia na Mwakyembe hana ubavu wa kumwondoa.....sijui tangia lini wazambia wakawa ni ndugu zangu.................la muhimu hapa ni kuwa tutaendelea kukosoa hadi majambozi yatakapowekwa sawa ni haki yetu ya kikatiba...................aac he kuingilia watendaji ambao wamewekwa kisheria na hata katibu mkuu wake hamshirikishi kama ni kasi ya kwenda Ikulu hatafika........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #9
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Sasa toa ushauri afanye nini? akae ofisini tu ili asiboe? Watanzania sijui tukoje jamani mtu akijaribu kufanya kazi tunamlaumu kwanini? kama wengine ni wazembe basi aangalie tu!kila kitu kibaya tu,Mtu akijaribu kujituma basi anatafuta Urais,akikaa kimya mtaema hafai kabisa amefanya nini nchi hii!Wengine ndiyo maana wamekata tamaa wameamua kushibisha matumbo yao maana sisi ni kulaumu kila kitu.Nchi hii inakatisha tamaa sana, kila mtu ana ajenda ya siri! Wapeni moyo watu wanao jitahidi kwa mazuri wanayofanya na mabaya wakosoeni lakini siyo kila kitu kibaya tu! sasa unataka waziri akae tu basi aangalie madudu napo utapiga kelele hawezi huyu mnafiki tu,basi onesha njia basi wewe!
      kajembe tumesema atumie vyombo atakuwa na ufanisi mkubwa kulikoni hii zima moto ya kuwanyang'anya wenzie majukumu yao. Hawezi kutatua lolote kwani hata bei za ubungo hazikubadilika kwa vile yeye alienda pale bali zinaendelea kupanda kinyemela.................nafi kiri Mkuu anafanya haya ili kujijenga kwa mbio za uraisi za 2015 lakini hatafanikiwa............we are not that stupid..................
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    10. #10
      Boflo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,882
      Rep Power : 5487
      Likes Received
      3939
      Likes Given
      3898

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Huyu mtu hafai kabisa anapenda sana cheap popularity.......ni mnafiki sana
      Rutashubanyuma likes this.
      “The more you know, the more you realize how much you don't know — the less you know, the more you think you know.”

    11. #11
      Yaya Toure's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 1,309
      Rep Power : 674
      Likes Received
      292
      Likes Given
      117

      Default

      Sio hafai hajui anachokifanya anabwatabwata tu..eti mwambie ntamfukuza..hivi huyu ni waziri annayetoa maneno as if atafikuza mchunga mbuzi wake nyumbani..mwakyembe are u serious?
      Rutashubanyuma likes this.

    12. #12
      Gaza and Israel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Location : The West Bank
      Posts : 660
      Rep Power : 509
      Likes Received
      129
      Likes Given
      61

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      mosagane Kichekesho ni kuwa juzi nilipanda basi Ubungo bado nikatozwa elfu tanoi zaidi ya nauli sasa mizunguko yake hapo kituo cha Ubungo ina tija gani?
      Ruta,

      Kitu kikubwa kinachotakiwa ni kutendea kazi kile ambacho umeona Mwakyembe anapigia kelele. Wewe ndo umekosea. Fuata sheria siku nyingine hawataendelea. Umetozwa elfu 5 halafu ulichukuwa hatua gani? Sio kazi yake kukuangalia wewe umetendewa nini bali kukusaidia kujua haki yako.
      "Tanzania has every Thing in Nature, Except Valid Technology and Politics"

    13. #13
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Ruta,

      Kitu kikubwa kinachotakiwa ni kutendea kazi kile ambacho umeona Mwakyembe anapigia kelele. Wewe ndo umekosea. Fuata sheria siku nyingine hawataendelea. Umetozwa elfu 5 halafu ulichukuwa hatua gani? Sio kazi yake kukuangalia wewe umetendewa nini bali kukusaidia kujua haki yako.
      @ nimekuelewa wewe na wengineo ambao kutokana na kuzidiwa na kero mwaona kheri njia za mkato hata kama hazitufikishi tutakakokwenda................ ......kuhusu nilifanya nini msafiri kafiri......................le ngo langu ni kufika A-Town na sina muda wa kuingia gharama kubwa zaidi za kutatua matatizo ambayo Waziri mhusika alivalia njuga na sasa yamemshinda yako palepale...................... ..hata hili la kuripoti hapa jamvini ni hatua ya kuelimisha umma ya kuwa tatizo bado lipo palepale...................... ...na kuendeleza mjadala wa kutafuta majibu yake............
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    14. #14
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Sio hafai hajui anachokifanya anabwatabwata tu..eti mwambie ntamfukuza..hivi huyu ni waziri annayetoa maneno as if atafikuza mchunga mbuzi wake nyumbani..mwakyembe are u serious?
      @ mimi sioni "future" ya Mwakyembe kwenye ulingo wa siasa hapa nchini.....................he is too ambitious but he lacks the political talent............
      Fang likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    15. #15
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Huyu mtu hafai kabisa anapenda sana cheap popularity.......ni mnafiki sana
      Boflo ninaafiki hoja zako zote.......................huy u Mkuu anafikiri nchi yaendeshwa kwa vitisho na kudhalilishana hadharani..................... .........kama yeye kweli ni kibosile kwani atoe matambo kwa wadogo wa bosi kwa nini asimfuate ofisini na kumtambia kule kama siyo uabbaishaji na kutafuta umaarufu kwenye dirisha la vyombo vya khabari?
      Boflo likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    16. #16
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,857
      Rep Power : 3280
      Likes Received
      1342
      Likes Given
      930

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Inaelekea Mheshimiwa Mwakyembe yuko overexcited na madaraka yake hayo, na kushindwa kujua matumizi yake. Kufuatilia dala dalaau kukagua leseni siyo kazi ya waziri.. Tanzania ina miji mingi sana yenye daladala; hwezi kwenda sehemu zote hizo na kukagua madaladala hayo. Akiwa mchapa kazi, anatakiwa awape malendo subordinates wakke, halafu awasimamia kuhakikisha wanaleta results sahihi na zinazoendana na malengo.

      Ninajua kuwa iwapo katika kupitia mafaili ya ateule walioko chini yake akagundua makosa ,basi ana uhuru wa kuwachukulia hatua ya papo kwa papo, lakini siyo kukagua leseni za madereva au eti kukagua vituo vya daladala kwa kushtukiza.
      Rutashubanyuma likes this.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    17. #17
      Boflo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,882
      Rep Power : 5487
      Likes Received
      3939
      Likes Given
      3898

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Boflo ninaafiki hoja zako zote.......................huy u Mkuu anafikiri nchi yaendeshwa kwa vitisho na kudhalilishana hadharani..................... .........kama yeye kweli ni kibosile kwani atoe matambo kwa wadogo wa bosi kwa nini asimfuate ofisini na kumtambia kule kama siyo uabbaishaji na kutafuta umaarufu kwenye dirisha la vyombo vya khabari?
      siku yake itafika tu huyu mnafiki...... hata akiumwa homa au akijikwaa huwa anaanza kutangaza kuwa wabaya wake ndio

      wamesababisha......na anafanya hivyo akijua kuwa watz wengi ni vilaza
      Rutashubanyuma likes this.
      “The more you know, the more you realize how much you don't know — the less you know, the more you think you know.”

    18. #18
      MASIKITIKO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 482
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default

      Mwacheni afanye kazi kama hao walio chini yake hawawajibiki mnataka akae kimya!ili baadaye mje kumlaumu?watz bhana
      Asprin and Rutashubanyuma like this.

    19. #19
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Unaupimaje utendaji wa Waziri wa uchukuzi?

      mwacheni afanye kazi kama hao walio chini yake hawawajibiki mnataka akae kimya!ili baadaye mje kumlaumu?watz bhana
      @ tatizo ni kuwa anavunja sheria zilizopo kwa kuwaingilia wasaidizi wake wakati sheria hiyohiyo inampa madaraka ya kuiondoa bodi kama anaona imeshinwa kazi.....................swali kwanini haiondoi bodi anabakia kuingilia majukumu yake kama siyo kuleta vurugu kazini na kutamba mbele ya wapagasi anafikiri ndiyo uwaziri ulivyo?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    20. #20
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default

      Quote By mosagane View Post
      Mara anakagua daladala stand ya mwenge,mara anafukuza daladala stand ya mwenge eti ziende makumbusho,mara anakagua leseni za madereva ubungo Hivi yeye hana watendaji wa ngazi ya chini?au matataizo yote ya wizara yake atayamaliza yeye mwenyewe?anaboa bwana kwa kujifanya kufanya kila kitu na kutomwamini mtendaji hata mmomja ktk wizara yake.sijui ndo kuutaka urais?ngoja tusubiri
      Hata sisi watz hatuamini watendaji wake wa chini kwa sababu wangekua wanafanya kazi zao kikamilifu kusingekua na matatizo tuliyonayo saivi so ni bora afuatilie mwenyewe hao watendaji wa chini watapewa rushwa afu watasema kila kitu kiko sawa
      BabaDesi and kajembe like this.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...