Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bila Mbowe CHADEMA kwisha...

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      manuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2009
      Posts : 711
      Rep Power : 655
      Likes Received
      263
      Likes Given
      185

      Default Bila Mbowe CHADEMA kwisha...

      Ni ukweli uliyo wazi baadhi ya viongozi wa chadema ni waropokaji sana bila hata kufikiria,Kwa nini nasema hivyo;
      - Chadema wakiwa kwenye mkutano wao miezi kadhaa iliyopita katika eneo la Unga Limited Mh Nassary katika hotuba yake alipandwa na mori na kujikuta anatoa matamshi ya kuigawa nchi katika majimbo na kuacha baadhi ya sehemu.
      Kitendo ambacho Mbowe alikikanusha haraka sana kwa kujua madhara ya kauli hiyo ya Nassary kwa wananchi haitapokelewa vizuri na Kamanda Mbowe akasema hii si kauli ya chama ni kauli ya Nassary mwenyewe.Na baada ya muda kauli ile ya Nassary iliibua sintofahamu nyingi sana.

      -Jana nikiwa naangalia zoezi zima la M4C wakati watu wanaanza kutoa michango yao ya pesa kupitia M-PESA,mitandao ikawa slow inawezekana ni kwa sababu ya user walikuwa wengi online ghafla bila kutafakari sababu zingine zinazoweza kusababisha jam kwenye network,LEMA akasimama na kuanza kusema nyie makampuni ya simu nawaamuru muachie line la sivyo nitaamuru wananchi wote kesho watupe line zenu chooni.


      Kamanda Mbowe akagundua jamaa kachemka kwa kutoa kauli kama hiyo akasimama akasema ndugu wananchi nawasii muendelee kujaribu kutuma kwani nahisi mtandao unajam sababu ya watumiaji kuwa wengi so endeleeni kutuma michango na network itatengemaa.Na hii ni kuonyesha maturity zaidi ya Lema.
      Big up Kamanda.

      Ki ukweli nilimkubali sana Mbowe kwani alihisi kauli kama zile si za busara na akaamua kui-neutralize na mwisho akamaliza kwa kusema nawashukuru sana makampuni ya simu na tutaendelea kushirikiana bila shida.
      USHAURI WANGU KWA VIONGOZI WENGINE WA CHADEMA,Hasa Lema na Nassary aka Dogo janja.
      Mjaribu kutafakari kabla ya kuongea kwani iko siku kauli zenu zitawa-cost sana na hata mnaweza kupoteza imani ya wanachama kwa ajili ya kauli zenu hizi.

      WATCH YOUR TALK.
      JIULIZE KWANZA and MR. ABLE like this.
      TO BE HURT ITS YOUR OWN WILLING

    2. Miaka 50

    3. #2
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

      Default re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Emu badilisha heading basi maana aviendani na content ya thead
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    4. #3
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,207
      Rep Power : 954
      Likes Received
      598
      Likes Given
      0

      Default re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Ushauri mzuri.....

    5. #4
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,566
      Rep Power : 1630
      Likes Received
      379
      Likes Given
      552

      Default re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Mbowe for presidency 2015

    6. #5
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Mods mbona mmelala au mpo kwenye swaum? amisheni hii thread kwenye ile nyingine ya M4C dar kwani zimekuwa nyingi sana........!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      chante's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 445
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By TUMBIRI
      Emu badilisha heading basi maana aviendani na content ya thead
      tumbiri leo uko wapi?hull au bado uko upanga?
      Sangarara likes this.

    9. #7
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,207
      Rep Power : 954
      Likes Received
      598
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Shard Nagolipa
      Mods mbona mmelala au mpo kwenye swaum? amisheni hii thread kwenye ile nyingine ya M4C dar kwani zimekuwa nyingi sana........!
      acha wivu wewe mtoto wa kike

    10. #8
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      894

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Mkuu nakubaliana na wewe kwa 90%, ila tu heading yako, kwa heading yako ni sawa na kusema kama siyo Kaseja Yanga ingeifunga Simba, Kaseja yuko pale kuzuia Simba isifungwe, vivyo hivyo Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema na wajibu wake ni kuona kuwa Chadema inafanya vizuri.
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    11. #9
      Mjuni Lwambo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Location : Lyamidati-Shinyanga.
      Posts : 1,678
      Rep Power : 691
      Likes Received
      436
      Likes Given
      365

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Those are your opinions.

    12. #10
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Quote By Shard Nagolipa
      Mods mbona mmelala au mpo kwenye swaum? amisheni hii thread kwenye ile nyingine ya M4C dar kwani zimekuwa nyingi sana........!
      Na Nyie wekeni zenu za Misitu ya Mabwepande

    13. #11
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Quote By chante
      tumbiri leo uko wapi?hull au bado uko upanga?
      Bado nipo Upanga Mkuu. Leo usiku ndio naondoka kuelekea HULL kuendelea na shule!
      Pamoja kamanda wangu.
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    14. #12
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 660
      Rep Power : 566
      Likes Received
      76
      Likes Given
      113

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Bila shaka ndio maana alichaguliwa kuwa Mwenyekiti

    15. #13
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1179
      Likes Given
      1551

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Mi mwenyewe lema jana alinichefua, lakini nauhakika alikuwa anatuma the right message.

    16. #14
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 414
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      hapo kwenye kuamuru wateja wa mitandao ya simu kutupa line alikurupuka sio kidogo. Maana najua mitandao mingi kama sio yote ilihusika kwenye hiyo harambee. Kwa maana hiyo tutupe line zote tulizonazo tutawasilia vipi.? au turudi enzi za kuandikiana barau kama zamani.. Hata kama ni kiongozi wangu mimi nisingekubaliana naye kamwe.!

    17. #15
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11336
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Maelezo mazuri ila edit heading mkuu,

    18. #16
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 4,889
      Rep Power : 3594
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      2108

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      welll, jamaa kajitahidi ona ila kuna kitu hajaona vizuri.Huwa kuna staili ya kuongoza n akukaripia watu muhimu. Yaani wanaongea watu nini cha kufanya na jinsi gani ya kueliminate damage.

      Mfano. una jamaa lets say mhasibu mkuu ambaye kashikilia doc muhimu za kampuni na kaifanya office kama yake(halafu ana arrogance na irresponsible kama mtaka urais,yaani yupo tayari blackmail kila mtu ), huwa uongozi huandaa mtu mmoja wa kufikisha ujembe sahihi kwa upana sahihi.Baada ya hapo basi Kiongozi wa juu huja na kauli bogus ya kuwa pande ya aliyepewa ujumbe huku kijenga misingi ya kutomwondoa msemaji/mtendaji kwa kuleta suluhu zaidi(kumpa confort zote ya kuikubali hiyo hali).Kwa mtu mwenye akili akiambiwa mbele ya bosi wake na mtu kuwa aache tembea na mke wa bosi wake, boss aseme hakuna mtu anayeweza tembea na mkewe, halafu akaongeza ila siku mtu akikutwa basi kifo kitakuwa naye.Huyo mzizi atajitetea msemaji ni kichaa ila atajua kuwa suala lake si siri sana na kunfikia bosi ni rahisi na hatari yake ni wazi kabisa.

      Kuna sehemu niliwasem aushindi wa ccm kuhusu malawi, kwali aliyesema kusuru utayari wa jeshi, tukibanwa anaweza appologize aua hata kuambiwa si msimamo wa nchi, ila kwa wamalawi wanaujua kuwa habari si mzuri.

      Hizo ni njia za kufikisha ujumbe kwa kuwafanya waliopo gizani wachukulie serious wakijua kuwa kuna viherehere wanaweza haribu upepo.Kweli tunajua kuwa matandao unaweza kuwa umezidiwa ila pia huwezi jua kuwa kisingizio hichoo hicho kinaweza tumika kupunguza kasi.Vodacom walikuwa na matatizo ya mawasilino kwa siku mbili mfululizo, hat simu za kawaida hazikuwa zikienda, huwezi jua walianza mapema ili siku ya siku wawe na cha kujitetea.Ila Lema ni mtu sahihi wa kuufikisha huo ujumbe, na wanamjua kuwa ni mhamasishaji mkubwa, na huwa acheleweshi.Ila mbowe aka neutralize .Ujumbe umefika,tena kwa vitisho huku chama kikinyenyekea kuwa bila voda M4C itayumba.Ukweli ni kwamba voda nao wanahitaji kujenga mahusiano kupitia watu wasionekana kuwa karibu na CCM kwani kibao kikigeuka basi wasiangamie,ingawa nao wana wana ccm katika umiliki wao.

      Alichosema Nassari kiliwatisha CCM na ujinga wao wa kusingizia watu kuwa ni wakanda huku wakidhulumi na kubagua baadhi ya kanda kwa kila kitu(kuanzia rasilimali, utawala wa nchi etc), so kauli ya Nassari ni kuwaonyesh akuwa ikibidi kuwa na kanda pia ianweza fanyika vizuri zaidi na kupata ukanda wenye mazingira mazuri geographically na economically.
      Kuanzia hapo CCM kam wana akili watajua kuwa alichoongea Nassari hata kama hakikuwa official ni wazi kuwa siasa za maji chafu za CCM za kutumia udini na ukanda, watu wanawez abadili kuwa suggestion pia.

      So Lema ahjakosea, Mbowe hajakosea, na mitandao haijakosea ila Check and balance imefanyika.Ila ni wazi wameona kuwa visingizio ama kujificha nyuma ya fact huku wakiwa na nia ovu si salama.By the way na wao pia wanapata hela kwa yanayotokea, na Tanesco kama wahajui kuwa atumizi ya umeme siku hiyo ni hela, na kuzima umeme siku hiyo na saa hiyo hakuna wanachosave au mmbadala wa customer
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    19. #17
      MR. ABLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 1,262
      Rep Power : 611
      Likes Received
      580
      Likes Given
      485

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Ushauri mzuri ila badilisha heading hiyo, wahusika wataufanyia kazi huo ushaui wako.

    20. #18
      GHANI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Posts : 432
      Rep Power : 504
      Likes Received
      20
      Likes Given
      4

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      Kazi kweli kweli.

    21. #19
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 953
      Likes Received
      812
      Likes Given
      520

      Default Re: Bila Mbowe CHADEMA kwisha......

      mbowe namkubali sana ana busara sana nililiona ilo pia

    22. #20
      Mnyonge Namba1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 402
      Rep Power : 449
      Likes Received
      78
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ecoli
      Mbowe for presidency 2015
      Una speed kubwa mno mkuu. CHADEMA hatuendi kwa kasi kubwa hivyo japo upo correct.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...