Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Anachokifanya Docta Slaa sio fair

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 85 of 85
    1. #1
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      1195
      Likes Given
      1568

      Default Anachokifanya Docta Slaa sio fair

      Jana nilipokuwa nikifuatilia harambee ya CHADEMA kupitia luninga kwanza nilianza kujiuliza maswali where is DR SLAA, baada ya muda ikatolewa taarifa kwamba yuko kwenye operation sangara huko mahenge, interior kabisa yaani ndani uko vijijini chini kabisa ambako umasikini na ujinga ndio utambulisho wa wakazi wake.

      Mi nashangaa huko kaenda kufanya nini wakati inajurikana ndio ngome ya CCM,mi kwa kweli naona kama sio fair kwenda kwenye ngome za wengine, alafu why now? sababu inakuwa kama vile tuko kwenye uchaguzi vile. THIS IS TOO MUCH PRESSURE.
      JokaKuu, Crashwise, Henge and 9 others like this.

    2. Miaka 50

    3. SG8
      #81
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,557
      Rep Power : 4177
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Anachokifanya Docta Slaa sio fair

      Quote By zomba
      Unaongelea saccos?
      Mmhhh sirudii tena kuchangia, naona harufu ya ban hapa
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    4. #82
      Mbwiga88's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Posts : 235
      Rep Power : 393
      Likes Received
      39
      Likes Given
      0

      Default Re: Anachokifanya Docta Slaa sio fair

      Surely umenipotezea muda wangu

    5. #83
      KV LONDON's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 260
      Rep Power : 397
      Likes Received
      21
      Likes Given
      220

      Default Re: Anachokifanya Docta Slaa sio fair

      Nimekusoma kiongozi, Dr Slaa anaingia hadi uvunguni'

    6. #84
      Mbunge wa ilula's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 103
      Rep Power : 371
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Dont be narrow minded umeshaambiwa yupo ktk m4c yaani kukijenga chadema from grassroot,sasa tatizo lako nini?

    7. #85
      Kindimbajuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 685
      Rep Power : 1045
      Likes Received
      207
      Likes Given
      168

      Default Re: Anachokifanya Docta Slaa sio fair

      Quote By Kaunga
      Sio fair kabisa, hata hawaonei huruma wenzie.

      Pipoooooooooo!!!!!!!!

      umeanza lini hiii maneno?

    8. RukaaJuu Final

    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...