Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Operesheni Sangara yagundua Unyanyasaji na Uonevu Mkubwa kwa Wananchi wa Ulanga

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Mtanke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 407
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default Operesheni Sangara yagundua Unyanyasaji na Uonevu Mkubwa kwa Wananchi wa Ulanga

      Operesheni Sangara pamoja na vuguvugu la mabadiliko iliyoingia katika Jimbo la Ulanga Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa waziri wa afya Dk Haji Mponda kabla ya kutemwa kwenye baraza la sasa imegundua mambo mengi ya uonevu kwa Wananchi wa Ulanga. Baadhi ya mambo ambayo yaliyotolewa kama kero na wananchi ni haya yafuatayo:-
      1. Katika kata ya Usangule na Mtimbila akina mama wanaojifungua hupaswa kulipia Tsh 15,000/= kwa kila mtoto wa kiume anayezaliwa na Tsh 20,000/= kwa kila mtoto wa kike anayezaliwa.
      2. Wananchi wanalazimishwa kujiunga na jeshi la mgambo na wale wanaokataa hukamatwa na kulazamishwa kulipa faini ya Tsh 20,000/= bila ya risiti
      3. Baadhi ya wafugaji wa Kisukuma walipigwa faini ya Tsh 1,000,000/= kila mmoja bila ya risiti kwa tuhuma za ng'ombe wao kuharibu mazingira wakati wakiwa wanalima.
      4. Mkuu wa Wilaya na OCD wameweka kituo cha kukusanya ushuru wa mazao kwa wakulima wa Tsh 3700/= kwa kila gunia la mpunga ambapo hupitia makusanyo kila weekend.
      5. Kuna tuhuma za askari kuwapiga wananchi hadi kuwaua

      Dk Mponda saidia wananchi wa Jimbo lako yasije yakakukuta ya Madaktari jimboni
      Leo Operesheni inafanyika katika Kata 8 za Jimbo la Ulanga Magharibi na sasa Makamanda ndio wameingia Mahenge. Kesho itakuwa ni kata 4 za Ulanga Mashariki na 4 za Ulanga Magharibi
      Kiresua likes this.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Aristides Pastory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 436
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default Re: Operesheni Sangara yagundua Unyanyasaji na Uonevu Mkubwa kwa Wananchi wa Ulanga

      Kila la kheri M4C endeleeni kuwafumbua macho watu hao...

      N.B: ....''Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa...''
      Crashwise likes this.

    4. #3
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,618
      Rep Power : 919
      Likes Received
      574
      Likes Given
      46

      Default Re: Operesheni Sangara yagundua Unyanyasaji na Uonevu Mkubwa kwa Wananchi wa Ulanga

      mtoto wa kike ni precious baby lazima ulipe zaidi! Si utamuuza! This is tz our country ambayo kila unapokanyaga pana mbuga,madini,gas,mafuta nk. Hongera nyinyiemu kwa kutesa wananchi mpaka watakapojitambua.

    5. #4
      Naytsory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 721
      Rep Power : 759
      Likes Received
      127
      Likes Given
      2

      Default Re: Operesheni Sangara yagundua Unyanyasaji na Uonevu Mkubwa kwa Wananchi wa Ulanga

      Halafu kiongozi aliyefanikiwa kuwatesa, kuwadhulumu na kusababisha pengine mauaji kwa raia kwa makusudi wanapongezwa na mkuu wa kaya kwa kuwateua kuwa mawaziri, Dc, Rc na mabalozi ughaibuni, hii nini maana yake?

    6. #5
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1206
      Likes Given
      1253

      Default Re: Operesheni Sangara yagundua Unyanyasaji na Uonevu Mkubwa kwa Wananchi wa Ulanga

      safi sana m4C bomoa ngome za CCM mpaka kieleweke mwaka huu....ELIMU vijijini ni kitu cha msingi sana
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mnyonge Namba1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 402
      Rep Power : 449
      Likes Received
      78
      Likes Given
      0

      Default

      Samahani mkuu:Dr Mponda ni wa ULANGA MAGHARIBI(lupiro, iragua, itete, mtimbira, sofi na Malinyi) na SIYO MASHARIKI(mahenge).
      Quote By Mtanke
      Operesheni Sangara pamoja na vuguvugu la mabadiliko iliyoingia katika Jimbo la Ulanga Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa waziri wa afya Dk Haji Mponda kabla ya kutemwa kwenye baraza la sasa imegundua mambo mengi ya uonevu kwa Wananchi wa Ulanga. Baadhi ya mambo ambayo yaliyotolewa kama kero na wananchi ni haya yafuatayo:-
      1. Katika kata ya Usangule na Mtimbila akina mama wanaojifungua hupaswa kulipia Tsh 15,000/= kwa kila mtoto wa kiume anayezaliwa na Tsh 20,000/= kwa kila mtoto wa kike anayezaliwa.
      2. Wananchi wanalazimishwa kujiunga na jeshi la mgambo na wale wanaokataa hukamatwa na kulazamishwa kulipa faini ya Tsh 20,000/= bila ya risiti
      3. Baadhi ya wafugaji wa Kisukuma walipigwa faini ya Tsh 1,000,000/= kila mmoja bila ya risiti kwa tuhuma za ng'ombe wao kuharibu mazingira wakati wakiwa wanalima.
      4. Mkuu wa Wilaya na OCD wameweka kituo cha kukusanya ushuru wa mazao kwa wakulima wa Tsh 3700/= kwa kila gunia la mpunga ambapo hupitia makusanyo kila weekend.
      5. Kuna tuhuma za askari kuwapiga wananchi hadi kuwaua

      Dk Mponda saidia wananchi wa Jimbo lako yasije yakakukuta ya Madaktari jimboni
      Leo Operesheni inafanyika katika Kata 8 za Jimbo la Ulanga Magharibi na sasa Makamanda ndio wameingia Mahenge. Kesho itakuwa ni kata 4 za Ulanga Mashariki na 4 za Ulanga Magharibi

    9. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...