Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 67 of 67
    1. #1
      Kiswigo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th August 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 353
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

      John John Mnyika umeonyesha umahiri mkubwa katika kuchangia mijadala na kutoa hoja binafsi bungeni, na hasa katika kikao hiki kinachokaribia kwisha. Sikushangaa kwamba michango hiyo na hoja hizo hazikuwalenga watu wako wa Ubungo maana katika kipindi chote cha kuelekea katika mkutano huu, hukuwahi kuzunguka jimboni na kufanya mikutano na wapiga kura wako ili kubaini kero na matatizo yao na kuona namna bora ya kuyawasilisha. Muda mwingi ulikuwa na operesheni sangara, ukikosoa hali mbaya ya uongozi na uduni wa maisha ya watanzania wa majimbo mengine.

      Kwa vile sasa unarudi Dar es Salaam (nikiamini hupitilizi kwenda Kinondoni - CDM Makao Makuu), njoo uone yale yale uliyoyatumia kukufikisha hapo ulipo yakiwa hayajaguswa. Kero zenyewe naweza kukumbusha kwamba:

      Ukosefu wa maji japo wizara ya maji na bomba kubwa linapita ubungo;
      Makorongo kwenye barabara zetu zinazoingia ndani kutoka barabara kuu ya Morogoro;
      Ukosefu wa vituo vya kutosha vya afya, polisi;
      Uhaba wa vyumba vya madarasa katika mashule yetu;
      Ukosefu wa umeme katika maeneo ya pembezoni kama vile mbezi msumi, makabe na mbopo n.k.

      Usidanganywe na watu watakaokutaka uende kwenye ziara M4C ukajikuta unang'olewa, 2015 ni keshokutwa tu!

      Tafakari, chukua hatua.
      Pianist likes this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      ureni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 731
      Rep Power : 548
      Likes Received
      187
      Likes Given
      179

      Default Re: Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

      Quote By MzalendoHalisi
      Maji maji maji maji!!!!! Kimara hakuna!!!!!!!!!!

      Naomba mwongozo wa Mnyika!
      unamwuliza mnyika kwani yeye ndio anavuta hayo maji,mwulize JK.Kama kweli ulikua unataka maji ungempa mnyika na slaa sio mnyika na JK.

    4. #62
      fyddell's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 318
      Rep Power : 438
      Likes Received
      49
      Likes Given
      231

      Default

      Quote By SJUMAA26
      Mkuu, kabla ya Mnyika kuna wabunge wangapi wa Chama cha Magamba waliowahi kuongoza Ubungo? Na ni wangapi wa CDM? Na hao Magamba wameongoza Ubungo kwa miaka mingapi? Na Mnyika kaongoza muda gani? Je, matatizo hayo yameibuka wakati wa Mnyika tu? Kama yalikuwepo tangu huko nyuma (na ni ukweli ndio maana hayajatatuliwa hadi sasa) nani tapeli, wabunge wa Mabwepande au Mnyika? Hivi kwa ku-post thread hii, unatumia kiungo gani cha mwili wako ktk kufikiri? Ni hayo tu Mheshimiwa, sasa naomba unijibu. Ahsante sana!
      Hapo umenena mkuu.

    5. #63
      pedeshee makambo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th August 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 343
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

      Mbona JK ALIAHIDI meli kubwa bukoba,pindi anatafuta kura ameshaileta bukoba?



    6. #64
      Mtanzania1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kalenga, Liringa
      Posts : 980
      Rep Power : 621
      Likes Received
      124
      Likes Given
      94

      Default

      Quote By SJUMAA26
      Mkuu, kabla ya Mnyika kuna wabunge wangapi wa Chama cha Magamba waliowahi kuongoza Ubungo? Na ni wangapi wa CDM? Na hao Magamba wameongoza Ubungo kwa miaka mingapi? Na Mnyika kaongoza muda gani? Je, matatizo hayo yameibuka wakati wa Mnyika tu? Kama yalikuwepo tangu huko nyuma (na ni ukweli ndio maana hayajatatuliwa hadi sasa) nani tapeli, wabunge wa Mabwepande au Mnyika? Hivi kwa ku-post thread hii, unatumia kiungo gani cha mwili wako ktk kufikiri? Ni hayo tu Mheshimiwa, sasa naomba unijibu. Ahsante sana!
      mkuu hapa unakosea sana......huwezi kulinganisha yaliopita na sasa......unadhani hizi kero zinahitaji muda gani kutatuliwa????unanitisha usije ukaja ukatuuliza maswali haya kama tukiwapa cdm waongoze serikali.........nina maana utakuja na hoja kuwa cdm nayo itahitaji miaka 50 kufanya maisha yetu yawe bora...

    7. #65
      Serayamajimbo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th April 2009
      Posts : 185
      Rep Power : 552
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

      Quote By banyimwa
      Huku Bonyokwa tuna hasira naye sana. Hata daladala zimeamua kuongeza nauli zikidai barabara ni mbovu na ukweli ni kwamba huku kuna makorongo na toka achaguliwe hajawahi kuonekana wala kufanya lolote. Hata diwani wake hajulikani alipo.
      Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Barabara hii kamanda amekwenda huko na aliipigania: JOHN MNYIKA: Barabara Bonyokwa na Daraja Ubungo Msewe ikatengenezwa mwaka jana. Imeharibika tena mwaka huu baada ya mvua lakini kamanda ameendelea kuipigania bungeni mara nyingi sana hata mwaka huu wa 2012. Katazameni hansard za bunge 2011 na 2012 mtakubaliana nami

      Serayamajimbo

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 1,001
      Rep Power : 614
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

      hayo yote si tuliwaambia??????? watu hawaendi mjengoni kwa wingi wa maneno yao wala kwa wingi wa matusi. chagueni kwa kuchunguza sera za vyama vyao. chama chenye matusi mengi, siyo chama.
      "HATA HIVYO, KUTENDA KOSA SIYO KOSA, KOSA KURUDIA KOSA" jitahidini kutorudia kosa 2015. baada ya m3c kufeli, jaribuni m5c.
      "MUNGU IBARIKI TANGANYIKA, MUNGU IBARIKI ZANZIBARI, RIP TANZANIA"

    10. #67
      Serayamajimbo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th April 2009
      Posts : 185
      Rep Power : 552
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

      Kusema kwamba michango yake haiukulenga watu wa Ubungo ni kudanganya jukwaa. Hayo maeneo unayoyasema kuhusu umeme aliyahoji bungeni katika hotuba yake hii: JOHN MNYIKA: HOTUBA YA KAMBI RASMI YA UPINZANI; WIZARA YA NISHATI NA MADINI na mara baada ya hotuba hiyo TANESCO wameanza kuweka nguzo na nyaya maeneo ya King'ongo ambayo umeme ulisimama kwa muda mrefu na wametangaza ratiba kwa maeneo mengine.

      Barabara hizo mnazozitaja za kuingia barabara ya Morogoro amewawakilisha wananchi Bungeni, someni hapa: JOHN MNYIKA: Barabara za Kupunguza Msongamano na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi


      Hata sababu ya kutolewa bungeni kuhusu udhaifu wa Rais ni wakati akihoji masuala ya wananchi ya barabara na maji, kama unaona uvivu kusoma msikilize hotuba yake bungeni kupitia: Mnyika: Huu ndio Udhaifu wa JK na Serikali yake. - YouTube

      Huyu kabla ya kwenda bungeni huwa anakutana na wananchi

      serayamajimbo

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...