Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

    Report Post
    Page 8 of 8 FirstFirst ... 678
    Results 141 to 158 of 158
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      ANGALIZO; Hii ni nukushi ya barua pepe ya Bi Rukia Kilemela nimeinukuu www.wavuti.com, si maneno ya Kiganyi wa JF!!

      Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilipata AIBU kubwa hapa jijini London baada ya Watanzania kuzira kuhudhiria mkutano wao uliofanya katika Bar imilikiwayo na Wakenya ya The Thatched House.

      Sababu nyingi zilizotajwa ni pamoja na urafiki mkubwa na kukubali kila sera ya Chama Tawala cha Uingereza cha Conservative ambacho kinachukiwa na Waingereza wenyewe kwa sera za kulazimisha zilizoleta hali mbaya ya maisha na umaskini nchini hapa. Aidha ni Chama kilichoilazimisha serikali kuwabagua na kuwafukuza Watanzania wengi waliokuwa wakiishi Uingereza na kuwarudisha Tanzania kwa Aibu kubwa huku wakiacha mali zao nyuma.

      Maandalizi ya mkutano wa Chadema pia yaliwachefua Watanzania wengi na kukataa kushiriki kwa kuwa yalichangiwa na kufanywa na baadhi ya watu wenye kudhaniwa kwa muda mrefu kuhusudu tabia za USHOGA na USAGAJI wakati ambapo Watanzania wengi hawajapona kidonda kilichotibiwa kwa mabavu na serikali ya CCM wakati iliposhinikizwa kukumbatia utamaduni wa USHOGA na serikali ya Conservative au isahau misaada ya maendeleo ya kitaifa. Chadema katu haikupinga shinikizo hili la rafiki zao Conservative.

      Aidha waandaaji wakuu wa mkutano huo iliwajumuisha wakurugenzi wakuu wa SERENGETI FREIGHT, kampuni inayojishughulisha na usafirishaji wa mizigo kwenda Tanzania na kwingineko. Kampuni ya Serengeti imekuwa ikilaumiwa na kushutumiwa sana siku hizi kwa kutokusema ukweli kwa Watanzania kuhusu muda, gharama za ghafla na uhakika wa usafirishaji wa mizigo ya Watanzania ambao wengi wameishia kulipa gharama kubwa za ziada, ucheleweshwaji au kuamua kuacha mizigo dhidi ya muda uliokubalika. Kuhusika kwa Wakurugenzi hawa kuliongeza uchungu kwenye kidonda kibichi.

      Baadhi ya Watanzania waliokuwa wakijiburudisha ndani ya Bar hiyo na kuangalia mashindano ya Olyimpic walimrushia Bw. Lema maswali ya kebehi na kumzomea pia na kusema.... “Gwanda linanuka RUSHWA meku”....huku wengine wakitoa kadi zao za CCM na kunyanyua juu.

      Katika mahudhurio hayo machache, idadi kubwa walikua ni wanaCCM waliohudhuria kwa makusudi na wengine kuchangia kwenye mkutano huo. Baada ya mkutano vicheko vya kebehi vilisikika na kuambatana na kauli kama “...jamaa wanabwabwaja tu hawawezi hata kujenga hoja... wanafikiri hapa ni walipotoka.. ovyoo.”

      Ikitarajia kufuata nyayo za CCM UK itabidi Chadema waombe miujiza ya aina yake kupata w/chama na si washabiki tu katika maeneo tofauti ya UK ili itoke kwenye sura ya Kijikundi. CCM UK ilifanikiwa kufungua mashina katika miji/majiji kumi hapa UK.

      Na Rukia Kilemile

      [email protected]

      Mwandishi wa kujitegea na mchambuzi wa sera za jinsia na uchumi hapa United Kingdom.
      Mwandishi si mwana chama wa chochote cha siasa.

      My Take; Nani anamfahamu huyu mwandishi wa Ushabiki??

      Source: wavuti - wavuti
      Last edited by Kiganyi; 8th August 2012 at 19:26.
      IPECACUANHA likes this.

    2. Study Abroad

    3. #141
      Kigano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 414
      Likes Received
      130
      Likes Given
      189

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By oxlade
      magwanda acheni kupotosha umma RUKIA KILEMILE aliyepata ZERO yuko Tandika, si ambaye yuko LONDON, huyo wa tandika ni mtoto wa mzee Suleiman KILEMILE mmiliki wa shule ya maarifa. Huyo mwngne ndo yuko london, wote nawajua vzuri, poleni kwa kupata data fake za mtu ambaye siye, sasa mrudi kujibu hoja za Rukia Kilemile wa LONDON na si RUKIA kilemile wa TANDIKA
      Wewe utafanya watu wacheke. ebu thibitisha kwamba huyo aliyeko LONDON si huyu aliyepiga Four years Fighting For Food, kwa kutoa na wewe matokeo ya ukweli ya huyo aliyeko LONDON. kwasababu huyu ni Rukia Kilemile, na Huyo unayemtaja ni Rukia Kilemile, na ilikuwaje uliwafahamu wote wenye jina moja, NAULIZA TU, USICHUKIE.

    4. #142
      oxlade's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 202
      Rep Power : 385
      Likes Received
      8
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Kigano
      Wewe utafanya watu wacheke. ebu thibitisha kwamba huyo aliyeko LONDON si huyu aliyepiga Four years Fighting For Food, kwa kutoa na wewe matokeo ya ukweli ya huyo aliyeko LONDON. kwasababu huyu ni Rukia Kilemile, na Huyo unayemtaja ni Rukia Kilemile, na ilikuwaje uliwafahamu wote wenye jina moja, NAULIZA TU, USICHUKIE.
      huyo mmoja jana tu nlikuwa nae makoka kwa baba yake makoka huku ubungo, nawajua vilivyo wala usipate tabu.

    5. #143
      Kigano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 414
      Likes Received
      130
      Likes Given
      189

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By oxlade
      huyo mmoja jana tu nlikuwa nae makoka kwa baba yake makoka huku ubungo, nawajua vilivyo wala usipate tabu.
      No, nina maana utoe matokeo ya wote wawili ili sisi tusiowajua pia tuweze kutofautisha. hata kama siyo matokeo, atleast taarifa ye ushahidi inayowatofautisha hawa wawili. Maana kwa sasa tunaanza kuamini kuwa huyo huyo uliekuwa nae jana ndiye pia kaandika hiyo story na kujitaja kuwa yuko London. Ebu Tusaidie kwa kuwaweka wote hapa.

    6. #144
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default

      We kweli una kichwa kigumu! Hivi division 4 unaona amefaulu pamoja na kurudia mtihani?

      Quote By Kyaiyembe
      Si mnaona alirekebisha mwaka 2007 pale pale Maarifa Tandika. Dada Hongera sana!. Siasa mchezo mchafu.........!.
      0247 F RUKIA S KILEMILE 0 IV CIV-F HIS-F KIS-C ENG-F

    7. #145
      oxlade's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 202
      Rep Power : 385
      Likes Received
      8
      Likes Given
      12

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      huyo wa hapa hata email hajui, hana uwezo wowote wa hata kutumia computer, ameolewa mwaka jana na ukimtaka nenda jumatatu pale tandika shule ya maarifa kuna duka anauza, shule ni ya baba yake mzee suleiman kilemile.

    8. FemaTV & Radio

    9. #146
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By Kyaiyembe
      Si mnaona alirekebisha mwaka 2007 pale pale Maarifa Tandika. Dada Hongera sana!. Siasa mchezo mchafu.........!.
      0247 F RUKIA S KILEMILE 0 IV CIV-F HIS-F KIS-C ENG-F
      Quote By ruttashobolwa
      We kweli una kichwa kigumu! Hivi division 4 unaona amefaulu pamoja na kurudia mtihani?
      Mkuu ruttashobolwa kweli hakufaulu na mimi sijampongeza kwa kufaulu, nimepongeza marekebisho yake maana mwanzoni alinunua miswaki tu.
      Lakini mara ya pili aliweza kukumbuka chai (C) Ya kiswahili. Hii inamaana alijiongeza japo alisahau kununua walau Donati (D) moja ya kiinglishi au siasa, kusukumia chai yake.

    10. #147
      oxlade's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 202
      Rep Power : 385
      Likes Received
      8
      Likes Given
      12

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      huyo siyo jamani muambiwaje mueleweeeeeeeeeeeeee?

    11. #148
      Mbogo-1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th August 2012
      Posts : 42
      Rep Power : 349
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By timbilimu
      Sidhani kama mtu mjinga hivi yuko Uingereza!! Amesoma wapi huyu?!
      Tatizo la magwanda hawataki na hawakubali kuambiwa ukwel,kwan hamkumuona Lema alivuliwa gwanda na kuvalishwa KIJANI,mkutano ulijaa wana CCM,na hizo gari kapewa na mashoga Consevertive na si Watanzania wanaoishi London

    12. #149
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By Mbogo-1
      Tatizo la magwanda hawataki na hawakubali kuambiwa ukwel,kwan hamkumuona Lema alivuliwa gwanda na kuvalishwa KIJANI,mkutano ulijaa wana CCM,na hizo gari kapewa na mashoga Consevertive na si Watanzania wanaoishi London
      Kwa maandishi yako yanadhiirisha kuwa wewe hautumii kidogo ulichonacho kutambua mambo.
      Umewekewa hadi picha humu lakini wewe bado unaamini kuwa Lema alivua gwanda na kuvalishwa kijani.
      Si hajabu hata kadi hukuziona au umetokea kwenye kijiwe cha kahawa hujui lolote.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    13. #150
      Bwana Mapesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 465
      Rep Power : 501
      Likes Received
      83
      Likes Given
      212

      Default

      Quote By Kiganyi
      ANGALIZO; Hii ni nukushi ya barua pepe ya Bi Rukia Kilemela nimeinukuu wavuti - wavuti, si maneno ya Kiganyi wa JF!!

      Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilipata AIBU kubwa hapa jijini London baada ya Watanzania kuzira kuhudhiria mkutano wao uliofanya katika Bar imilikiwayo na Wakenya ya The Thatched House.

      Sababu nyingi zilizotajwa ni pamoja na urafiki mkubwa na kukubali kila sera ya Chama Tawala cha Uingereza cha Conservative ambacho kinachukiwa na Waingereza wenyewe kwa sera za kulazimisha zilizoleta hali mbaya ya maisha na umaskini nchini hapa. Aidha ni Chama kilichoilazimisha serikali kuwabagua na kuwafukuza Watanzania wengi waliokuwa wakiishi Uingereza na kuwarudisha Tanzania kwa Aibu kubwa huku wakiacha mali zao nyuma.

      Maandalizi ya mkutano wa Chadema pia yaliwachefua Watanzania wengi na kukataa kushiriki kwa kuwa yalichangiwa na kufanywa na baadhi ya watu wenye kudhaniwa kwa muda mrefu kuhusudu tabia za USHOGA na USAGAJI wakati ambapo Watanzania wengi hawajapona kidonda kilichotibiwa kwa mabavu na serikali ya CCM wakati iliposhinikizwa kukumbatia utamaduni wa USHOGA na serikali ya Conservative au isahau misaada ya maendeleo ya kitaifa. Chadema katu haikupinga shinikizo hili la rafiki zao Conservative.

      Aidha waandaaji wakuu wa mkutano huo iliwajumuisha wakurugenzi wakuu wa SERENGETI FREIGHT, kampuni inayojishughulisha na usafirishaji wa mizigo kwenda Tanzania na kwingineko. Kampuni ya Serengeti imekuwa ikilaumiwa na kushutumiwa sana siku hizi kwa kutokusema ukweli kwa Watanzania kuhusu muda, gharama za ghafla na uhakika wa usafirishaji wa mizigo ya Watanzania ambao wengi wameishia kulipa gharama kubwa za ziada, ucheleweshwaji au kuamua kuacha mizigo dhidi ya muda uliokubalika. Kuhusika kwa Wakurugenzi hawa kuliongeza uchungu kwenye kidonda kibichi.

      Baadhi ya Watanzania waliokuwa wakijiburudisha ndani ya Bar hiyo na kuangalia mashindano ya Olyimpic walimrushia Bw. Lema maswali ya kebehi na kumzomea pia na kusema.... “Gwanda linanuka RUSHWA meku”....huku wengine wakitoa kadi zao za CCM na kunyanyua juu.

      Katika mahudhurio hayo machache, idadi kubwa walikua ni wanaCCM waliohudhuria kwa makusudi na wengine kuchangia kwenye mkutano huo. Baada ya mkutano vicheko vya kebehi vilisikika na kuambatana na kauli kama “...jamaa wanabwabwaja tu hawawezi hata kujenga hoja... wanafikiri hapa ni walipotoka.. ovyoo.”

      Ikitarajia kufuata nyayo za CCM UK itabidi Chadema waombe miujiza ya aina yake kupata w/chama na si washabiki tu katika maeneo tofauti ya UK ili itoke kwenye sura ya Kijikundi. CCM UK ilifanikiwa kufungua mashina katika miji/majiji kumi hapa UK.

      Na Rukia Kilemile

      [email protected]

      Mwandishi wa kujitegea na mchambuzi wa sera za jinsia na uchumi hapa United Kingdom.
      Mwandishi si mwana chama wa chochote cha siasa.

      My Take; Nani anamfahamu huyu mwandishi wa Ushabiki??

      Source: wavuti - wavuti
      hako ni kale kapropaganda ka kitoto ambacho kalisha expire kwenye maskio ya welevu...sasa haka ka concubine cjui kamekutana na kilaza gani..baada ya ku2mia akapewa shits akijua itabamba...HA HA HA KWENYE UKWELI UONGO HUJITENGA..time will tell..

    14. #151
      Bob Lee Swagger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 705
      Rep Power : 524
      Likes Received
      240
      Likes Given
      321

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By njiwa


      Bob Lee Swagger & kipenga

      wangapi wamefeli hapo tanzania na kwenda mbele kuanza upya kupiga kitabu na wakatoka... NOTE kwamba wenzetu hawakutungii mtihani ili ufeli... unakwenda chuo kuwa mchambuzi wa habari they will train you kuwa mchambuzi wa habari! they dont even care huko bongo matokeo yako yalikuwaje , i know lots of people walifeli huko bongo wakatoka huko na kuja kuanza upya na certificate sasa hivi wana bachelors ... nyie bakini na ulimbukeni wenu mtu akifeli form four ndio Baasi!

      nakuashauri tafuta passport ondoka bongo hapo kaoshe tongotongo tembelea vyuo vya wenzetu angalia wanavyofunzwa na angalia mitihani wanayopewa

      P.S - Discuss alichokileta sio unam discuss mtu ..


      Mkuu njiwa umenifurahisha sana, kumbe wewe ni mmoja kati ya watu wanaoamini kuwa eti hapa bongo mtihani wa form four unaweza kutungwa ili watu wafeli?! Na watu hao hao kufeli tena wanaporudia mitihani hiyo?!!

      Laiti kama ungejua, say, kwenye hiyo civics huwa wanauliza nini, ndo ungejua kuwa kupata F kweli inahitaji akili ya kuzaliwa (na katika mazingira haya,akili ndogo sana)!!
      Hapa hatumaanishi mtu akifeli form four ndio basi, hapana.

      Being trained to be an analyst doesn’t necessarily make you good at it, vyuoni wanamaliza watu wengi katika kozi moja, ila wana tofauti kubwa sana ya uelewa wa hicho walichokisomea, Kuna waliofaulu na kuelewa, kuna waliofaulu bila kuelewa na kuna waliopata cheti. Kwa hiyo kama kuwa na cheti au bachelor ndo kitu unachoita 'kutoka' fikiria kwa mapana zaidi.

      Kama kwa kusema ‘wametoka’ ulimaanisha kupata senti za kuendeshea maisha ni sawa, kwa kuwa hakuna uhusiano sana kati ya kipato na kiwango cha ufaulu darasani, ila kama ulimaanisha kufanikiwa katika wanayoyafanya kupitia walichokisoma, tafadhali fikiria kwa makini!

      Note: Hatuwezi kukwepa kumjadili mtu, kama kuna mashaka na kiwango chake cha uelewa, kwa kuwa kuna uhusiano kati ya kiwango cha uelewa wake na alichokileta.
      muchetz likes this.
      Victory loves preparation

    15. #152
      Mbogo-1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th August 2012
      Posts : 42
      Rep Power : 349
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By timbilimu
      Sidhani kama mtu mjinga hivi yuko Uingereza!! Amesoma wapi huyu?!
      Mbona Magwanda kila mkiambiwa ukweli mnakuja na kauli za ajabu? ukweli unaumaee poleni

    16. #153
      NG'ONGOVE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th April 2012
      Posts : 151
      Rep Power : 5168
      Likes Received
      19
      Likes Given
      13

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Na akikosa vyote hivyo basi atakuwa mbunge wa kuteuliwa na raisi

    17. #154
      Malova's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Posts : 534
      Rep Power : 515
      Likes Received
      82
      Likes Given
      9

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By Red Scorpion
      Du!! Kaka nitashukuru kama utanishushia data za mtoto wa "DHAIFU" nicheke kidogo
      Endelea kucheka Scopion. Hapo kwenye nyekundu
      NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

      CSEE 2011 EXAMINATION RESULTS



      S0298 FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL



      DIV-I = 23 DIV-II = 7 DIV-III = 5 DIV-IV = 1 FLD = 0

      CNO SEX CANDIDATE NAME
      AGGT DIV DETAILED SUBJECTS
      S0298/0001 F AISHA A MNJOVU
      16 I CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
      S0298/0002 F AMINA HAMISI MJILI 18 II CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-C
      S0298/0003 F ANGEL VALENTINE CHAMBO
      11 I CIV-C HIST-B GEO-A KISW-B ENGL-B PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-B
      S0298/0004 F AZIZA HASSANI OMARI
      11 I CIV-C HIST-B GEO-B KISW-B ENGL-A PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-B
      S0298/0005 F AZMINA ARIF AMIR
      15 I CIV-C HIST-D GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-A BIO-B B/MATH-C
      S0298/0006 F BELINDALUCY CHARLES NYAMRUNDA
      12 I CIV-C HIST-A GEO-B KISW-C ENGL-A PHY-A CHEM-B BIO-B B/MATH-C
      S0298/0007 F BLESSING ALPHONCE ACHIM
      21 II CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-B BIO-C B/MATH-C COMM-F B/KEEPING-D
      S0298/0008 F FATMA HARUNA SONGORO
      14 I CIV-C HIST-B GEO-B KISW-C ENGL-B PHY-A CHEM-B BIO-B B/MATH-C
      S0298/0009 F FATMAH AWADHI ABEID
      17 I CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-C
      S0298/0010 F GETRUDA VICENT MATAMA
      22 III CIV-D HIST-C GEO-C KISW-D ENGL-B PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-D
      S0298/0011 F INES KEMILEMBE TIMOTHY
      11 I CIV-C HIST-C GEO-B KISW-B ENGL-A PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-B
      S0298/0012 F IRENE THOMAS KALUGULA
      22 III CIV-C HIST-C GEO-C KISW-D ENGL-B LIT ENG-D BIO-C B/MATH-D COMM-D
      S0298/0013 F KAREN BRIDGITTE BOMANI
      18 II CIV-D HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-C
      S0298/0014 F KEJA HADI MURUKE
      15 I CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-A CHEM-B BIO-B B/MATH-B
      S0298/0015 F LINDA LEONIDACE LWANGA
      17 I CIV-C HIST-F GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-C BIO-C B/MATH-B
      S0298/0016 F MARIAGORETH FREDIRICK BAIJUKYA
      15 I CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-A BIO-B B/MATH-C
      S0298/0017 F MARIAM HABIB NURU
      12 I CIV-C HIST-C GEO-B KISW-C ENGL-A PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-B
      S0298/0018 F MARIAM MKUBWA HAMAD
      12 I CIV-C HIST-B GEO-B KISW-C ENGL-B PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-B
      S0298/0019 F MARIAM MOHAMMED KILONGO
      15 I CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-A PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-D
      S0298/0020 F MARIAM ZUWANI KIDHUMBU
      12 I CIV-C HIST-B GEO-B KISW-B ENGL-A PHY-A CHEM-B BIO-B B/MATH-B
      S0298/0021 F MARY BONIFACE MILONGE
      16 I CIV-B HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-C
      S0298/0022 F MBUVA M.A NCHULA
      15 I CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-A PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-A
      S0298/0023 F MGENI ABDUL BASLEYM
      12 I CIV-C HIST-B GEO-B KISW-C ENGL-A PHY-A CHEM-B BIO-B B/MATH-B
      S0298/0024 F MONICA-AIKA DEO NGATUNI
      25 III CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C BIO-C B/MATH-F COMM-D B/KEEPING-F
      S0298/0025 F MWANAASHA JAKAYA KIKWETE
      27 IV CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C LIT ENG-D BIO-C B/MATH-F COMM-F
      S0298/0026 F NADIA ALLY SALIM
      18 II CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-C
      S0298/0027 F NASMA SAID MOHAMED 21 II CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-B BIO-B B/MATH-D COMM-D B/KEEPING-D
      S0298/0028 F NEEMA IDDI MTI 17 I CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-B BIO-C B/MATH-A COMM-C B/KEEPING-D
      S0298/0029 F NURU OMAR HUSSEIN 20 II CIV-C HIST-D GEO-C KISW-D ENGL-B BIO-C B/MATH-C COMM-C B/KEEPING-C
      S0298/0030 F RAHMA ISSAH KIVINA 21 II CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-A BIO-C B/MATH-D COMM-D B/KEEPING-D
      S0298/0031 F RAHMA SALIM ABED 15 I CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-A PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
      S0298/0032 F RUTH RAYMOND SWAI 24 III CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-B BIO-C B/MATH-C COMM-F B/KEEPING-D
      S0298/0033 F SARAH JUMA USSI 15 I CIV-B HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
      S0298/0034 F SAYUNI FLEGENCE SUNERI 17 I CIV-C HIST-C GEO-B KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-C
      S0298/0035 F SHABNAM NABEEL SATCHU 22 III CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B BIO-C B/MATH-D COMM-D B/KEEPING-D
      S0298/0036 F THUWAIBA HAROUB SEIF 15 I CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-B BIO-B B/MATH-A COMM-C B/KEEPING-B

    18. #155
      magohe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st May 2011
      Posts : 169
      Rep Power : 438
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      aaaah!! hata magogoni kuna vilaza kiasi hiki?je huyu angekuwa anasomeshwa na wazazi wauza viazi si ndo lingekuwa bumunda kabisa!!! Cha ajabu baada ya miaka kadhaa utasikia ndo mkuu wa wilaya,mkurugenzi,meneja masoko wa tigo,voda au Airtel na pengine waziri au mwandishi wa habari wa ikulu ambaye kimsingi hoja zake hazitotofautiana na huyo rukia kilemile kwa udhaifu.ama kweli nchi hii haitoisha kuongozwa na watu dhaifu na kuwa na serikali dhaifu!!!
      Last edited by magohe; 15th August 2012 at 09:25.

    19. #156
      Msengapavi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2008
      Posts : 554
      Rep Power : 649
      Likes Received
      50
      Likes Given
      2

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Quote By DALLAI LAMA
      4ril huwa KIGANYI sielewi itikadi yako.unaishi kwa upepo wa NAIRA .HAPO NYUMA USHASIFIA MKUTANO HUO.kuanzia leo siamini ukileta hata habari chanya za cdm..aya nenda lumumba nape anakuwait
      Mkuu, umemwelewa mleta (KIGANYI) uzi kweli. Ukirudi kwenye thred na ukaisoma vizuri itakubidi umuombe radhi. Uwe makini na usikurupuke kufanya conclusion na kuhukumu.
      Peace and love for ever!

    20. #157
      Activister's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Location : ARUSHA
      Posts : 184
      Rep Power : 413
      Likes Received
      26
      Likes Given
      169

      Default Re: Rukia Kilemile; CHADEMA wavurunda kwa Aibu London

      Kama ni ushoga upo kuleeee kwenye ka isles jeuri
      Mfia nchi

    21. #158
      DALLAI LAMA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,831
      Rep Power : 0
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Msengapavi
      Mkuu, umemwelewa mleta (KIGANYI) uzi kweli. Ukirudi kwenye thred na ukaisoma vizuri itakubidi umuombe radhi. Uwe makini na usikurupuke kufanya conclusion na kuhukumu.
      Peace and love for ever!
      mwanzo hakurefer mjomba ila amerekebisha..bt tushamalizana

    22. Miaka 50
    Page 8 of 8 FirstFirst ... 678

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...