Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 77 of 77
    1. #1
      jingalao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : kikonga
      Posts : 728
      Rep Power : 530
      Likes Received
      128
      Likes Given
      27

      Default Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      wakati wa uchaguzi mwaka 2010 tulishudia mnadhimu wa jeshi-Shimbo akitahadharisha juu ya tishio la amani nchini.je ni lini tutamsikia tena akiongelea juu ya tishio la usalama wa mpaka wetu na malawi?

      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
      Last edited by jingalao; 7th August 2012 at 20:31.
      maingu z likes this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,169
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By jingalao
      kwa hiyo tamko la jeshi kipindi kile haliku-base kwenye intelligence gathering rather it was just a political motive?kwa hiyo tuseme jeshi ni political organ.

      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
      Hiyo ni moja kati ya plausible arguments.

      Of course upande mwingine unaweza ku argue equally valid kwamba kulikuwa na a "threat to national security" iliyo warrant tamko.

      Ndiyo maana nikasema, unaweza kukesha mpaka asubuhi mnabishana na mtu kuhusu hili, na kwa sababu hili si material katika la jeshi kutoa tamko kuhusu Malawi, utakuwa una introduce an unnecessary complication.

      Kama unataka kuandika kuhusu la Shimbo, shika hilo, kama unataka la Malawi shika hilo.

      La Shimbo na uchaguzi haliwezi kuwa hata mfano katika hili la Malawi kwa sababu halifanani nalo.

      Unless unataka kutumia issue ya Malawi kisiasa ku beat up on kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa uongozi unnecessarily ili kupata brownie points za kila siku za kuusema uongozi wa Tanzania, katika muda ambao unahitaji angalau ukimya kuhusu udhaifu ambao hauna haja ya kuingizwa moja kwa moja kwenye discussion ya vita na nchi nyingine, kama si mshikamano miongoni mwa wananchi wa Tanzania.
      chama likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    4. #62
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      3844
      Likes Given
      12240

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By Kiranga
      Regardless ya whether Shimbo alichemsha au hakuchemsha.

      Hiyo ipo immaterial katika issue ya kutaka jeshi litoe tamko sasa hivi, kwa sababu sasa hivi kuna mazungumzo ya kidiplomasia yanayoendelea ambayo yanaweza kuwa undermined na tamko lolote la kijeshi.
      We are essentially on the same page here. In a civilian led government the army just takes orders and implements.
      It is wrong for the army to give any statement unless it is about an issue concerning the army itself. Therefore it is wrong to expect the army to give a statement on a diplomatic row as the one between us and Malawi.

    5. #63
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,207
      Rep Power : 960
      Likes Received
      490
      Likes Given
      1456

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      .....Malawi...
      Last edited by MpigaKelele; 8th August 2012 at 16:17.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    6. #64
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 487
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By Chakaza
      Lowasa kahakikishiwa na jeshi kama nani?kuwa mwkt wa kamati ya ulinzi na usalama ya Bunge sidhani kama kunampa mamlaka ya kuwasiliana na jeshi moja kwa moja. Au 'friend' keshachoka hivyo kamkaimisha Uamiri jeshi? Maana hawajakutana mtaani.
      naambiwa hapa huenda ile ziara ya Jk monduli kugawa ng'ombe ilikuwa danganya toto ,dhumuni lilikuwa kufika chuo cha jeshi monduli ambapo makamanda wakamtoa wasiwasi na lowasa hapohapo kuwa wapo tayari kupambana

    7. #65
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,010
      Rep Power : 582
      Likes Received
      122
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Nyenyere
      SOMA TENA NILICHOANDIKA. Hizi thread zenu za kulitukana jeshi zinaudhi kweli kweli. Ujinga mtupu! Eti great thinkers, halafu mnajidai mnaipenda nchi yenu. Unafiki mtupu. Mara jeshi letu halina vifaa, mara tuna mgambo tuu, mara ooh ............! Je, ndivyo wafanyavyo wanaojidai hawaogapi vita kama wewe? Unafiki! Wanafiki wanakalia kudai Malawi ni bora kuliko nchi yao wenyewe. Halafu wanadai hawaogopi vita!?? I hate such hypocrites.
      sema kwl kaka na wakusikie hata mi sipendi kuona watu wanaoliponda jwtz
      Nyenyere likes this.

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Davie S.M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 551
      Likes Received
      140
      Likes Given
      44

      Default

      We Jamaaa una Haraka..sasa Kazi Waziri wa Mambo ya. Nje na Mambo ya ndani na Amiri Jeshi mkuu kazi yao nini ?kuna Protocol ....wale JWTZ ni watendaji tuu...tukiwaambia tunataka Lilongwe iwe Upside down watafanya ivo

      Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

    10. #67
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,873
      Rep Power : 0
      Likes Received
      487
      Likes Given
      689

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By sembuli
      naambiwa hapa huenda ile ziara ya Jk monduli kugawa ng'ombe ilikuwa danganya toto ,dhumuni lilikuwa kufika chuo cha jeshi monduli ambapo makamanda wakamtoa wasiwasi na lowasa hapohapo kuwa wapo tayari kupambana
      Hivi vita zinaamiliwa chuoni siku hizi?
      The glory of Christianity is to conquer by forgiveness - William Blake

    11. #68
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 487
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By Nyenyere
      Hivi vita zinaamiliwa chuoni siku hizi?
      mkuu monduli ni chuo cha maofisa wa jeshi, not just ordinary soldiers. ni sehemu nyeti katika jeshi kimipango.

    12. #69
      jobe ayoub's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 394
      Likes Received
      45
      Likes Given
      1

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By jingalao
      nini kilichowafanya watoe tamko wakati wa uchaguzi?

      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
      walishikwa pabaya na Dr.maji yalikua shingoni.wangefanyeje.
      walikua wanatishia wananchi ili waingize makontena ya kura kule tunduma

    13. #70
      jobe ayoub's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 394
      Likes Received
      45
      Likes Given
      1

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By ALEYN
      sema kwl kaka na wakusikie hata mi sipendi kuona watu wanaoliponda jwtz
      jeshi lipi? au JW-CCM

    14. #71
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,178
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2297

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By Mwita Maranya
      Labda mtoa amri hana taarifa kwamba nchi imevamiwa, wamalawi wamejitwalia sehemu yetu ya ziwa nyasa.
      Kama mtoa amri ni Jk imekula! Jamaa taarifa ataipata wapi yeye muda wote yupo angani tu! Jk is an international president, so hiyo haimuumizi kichwa!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    15. #72
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,873
      Rep Power : 0
      Likes Received
      487
      Likes Given
      689

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By sembuli
      mkuu monduli ni chuo cha maofisa wa jeshi, not just ordinary soldiers. ni sehemu nyeti katika jeshi kimipango.
      Pole mkuu. Hapo wanasoma maafisa toka mataifa mbalimbali. Ni kwa vipi patatumika kuandaa mikakati ya kivita?
      The glory of Christianity is to conquer by forgiveness - William Blake

    16. #73
      maingu z's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 136
      Rep Power : 387
      Likes Received
      20
      Likes Given
      101

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By jingalao
      wakati wa uchaguzi mwaka 2010 tulishudia mnadhimu wa jeshi-shimbo akitahadharisha juu ya tishio la amani nchini.je ni lini tutamsikia tena akiongelea juu ya tishio la usalama wa mpaka wetu na malawi?

      Kwa hisani ya mtu wa tanzania
      ndo ujue hata jeshi letu limetekwa na wanasiasa, au kuongozwa kisiasa.....tz hakuna kitu

    17. #74
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,624
      Rep Power : 22060
      Likes Received
      1002
      Likes Given
      793

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      JWTZ ya sasa full politics na ndo shida ya kuchanganya siasa na professionalism!
      ILikuwa ni kosa kwa Shimbo kutoa lile tamko bse kama ingebidi basi bosi wake ambaye ni JK na wala si Mwamunyange ndo ingebidi atoe tamko kama lile.But since siasa zimeingia jeshini as result imekuwa kama ulimwengu wa kambale kila mtu ana sauti
      Kuhusu ili la Malawi kama mtu anakuja mpaka nchini kwako tena sio mara moja wala mbili bado unasema tunasubili maongezi,apo lazima tukubali we are weak on that bse zile ndege ilikuwa kuzitungua ndo maongezi yaendelee.
      Shida watu wanakula shavu ngome na lugalo na mipaka inalindwa kwa report na simu.
      INgawa kwa sasa angalau wamejitaidi kuna vijana wanakula guard na sizani kama watakuja tena kwa ardhi yetu till further notice
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    18. #75
      George Jinasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Posts : 339
      Rep Power : 508
      Likes Received
      29
      Likes Given
      5

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By jingalao
      wakati wa uchaguzi mwaka 2010 tulishudia mnadhimu wa jeshi-Shimbo akitahadharisha juu ya tishio la amani nchini.je ni lini tutamsikia tena akiongelea juu ya tishio la usalama wa mpaka wetu na malawi?

      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

      Ukizungumzia suala la mgogoro wa Malawi bado ni suala la kisiasa na uhusiano wa kimataifa ambalo mnadhimu wa Jeshi hawezi kulizungumzia. Tuiche serikali yetu pamoja na serikali ya Malawi watumie hekima zao zote kulimaliza suala hili mezani. La ikishindikana, tunaishauri serikali ipeleke mgogoro huu mara moja katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ili uweze kutatuliwa kwa njia ya kimahakama. Tukiuacha ukielea na huku tunapishana maneno tunawezajikuta tunaingia katika vita na majirani zetu na hatimaye kurudisha maendeleo yetu hatua nyingi nyuma

    19. #76
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,065
      Rep Power : 922
      Likes Received
      835
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By jingalao
      wakati wa uchaguzi mwaka 2010 tulishudia mnadhimu wa jeshi-Shimbo akitahadharisha juu ya tishio la amani nchini.je ni lini tutamsikia tena akiongelea juu ya tishio la usalama wa mpaka wetu na malawi?
      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
      Abdullaman Shimbo kabla ya kutoa tamko tunamuomba aturudishie mabiliion yetu aliyoficha S. Africa ili tukanunue MIZINGA na VIFARU vya kupigana na Wamalawi.

    20. #77
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1358
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Lini tutasikia tamko la JWTZ kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania?

      Quote By jingalao
      wakati wa uchaguzi mwaka 2010 tulishudia mnadhimu wa jeshi-Shimbo akitahadharisha juu ya tishio la amani nchini.je ni lini tutamsikia tena akiongelea juu ya tishio la usalama wa mpaka wetu na malawi?

      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

      ukisikia mzinga wa 122mm unaunguruma kuelekea Zomba hilo ndilo tamko la JW

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...