Shamra shamra za mkutano wa chadema utaofanyika leo london zimeshaanza kwa mujibu wa mdau wa Chadema London, Kamanda Cris Lukosi Mkutano utafanyika Thatched House Pub iliyopo Barking leo tarehe 07/08/2012 saa mbili usikU kamanda Godbless Lema atakuwepo kushuhudia ufunguzi wa tawi la CHADEMA London
UPDATES:
Hulu Ndio msikiti wanaosema umenunuliwa na wazanzibari na Ndio wanaotumia kipindi hiki. Hii ilikuwa pub Kama thatch house na ndipo uzinduzi wa tawi la CHADEMA Leo
Maandalizi ya Mkutano


Reply With Quote


Follow Us Here