Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 353
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Karume: Muungano ni kama koti likitubana tunavua.
      CCM Kisonge: Tunataka tukohoe ndani ya Muungano.
      Mwanasheria mkuu Zanzibar: Lazima Zanzibar tutoke katika boksi la Muungano. Tulijenga nyumba pamoja haiwezekani tukae bomani.
      Waziri Mansoor Yussuf Himid (CCM): Kwa muundo huu wa Muungano nasema "seebuu"
      Mzee Moyo (Muasisi): Nasema muundo ninaouwafiki sasa na muundo wa muungano wa MKATABA wa kuirejeshea Zanzibar Sovereignity yake. Muundo wa serikali mbili uliopo umepitiwa na wakati.
      Amani Karume: Vijana speed iwe hiyo hiyo (daini sovereignity ya Zanzibar) lakini mkikuta cross punguzeni kidogo
      Attached Thumbnails        
      Attached Images  

    2. Miaka 50

    3. #2
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,755
      Rep Power : 4199
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Kwa kupenda kubebwa bebwa Zanzibar hamjambo.
      Sasa Sovereign State ndani ya Muungano ndo maana yake nini?
      Ni heri tuwapakate tu.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    4. #3
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 353
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      kama hujui sovereign partner states ndani ya muungano kasome aina mbali mbali za miungano duniani. Sisi wazanzibari si washenzi hatujui kutukana, matusi si jadi yetu.

    5. #4
      Msajili's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 374
      Likes Received
      11
      Likes Given
      6

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Tumeshachoka na upuuzi wenu wa Kipemba

    6. #5
      wijei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 379
      Rep Power : 477
      Likes Received
      55
      Likes Given
      16

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      hii ni ndoa ya milele,sisi tunajua kuoa tu kuacha haiwezekani.zenj heshimu ndoa hii.

    7. RukaaJuu Final

    8. UKI
      #6
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 682
      Rep Power : 486
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      sipendi hii ndoa kweli inahitaji kuvuliwa rasmi please let them gooooooo!!!

    9. UKI
      #7
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 682
      Rep Power : 486
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar
      kama hujui sovereign partner states ndani ya muungano kasome aina mbali mbali za miungano duniani. Sisi wazanzibari si washenzi hatujui kutukana, matusi si jadi yetu.
      mkuu umeongea kiustarabu sana ila ukweli hapo kwenye red sio kweli mna maneno ya machukizo sana kuliko hata sisi sema tu mwezi huu haukuruhusu kusema maneno mabaya kwenye blog zenu mnaongea vibaya sana ukweli ni jadi yetu hili msikatae.

    10. #8
      Fatal5's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 166
      Rep Power : 433
      Likes Received
      28
      Likes Given
      134

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By masopakyindi
      Kwa kupenda kubebwa bebwa Zanzibar hamjambo.
      Sasa Sovereign State ndani ya Muungano ndo maana yake nini?
      Ni heri tuwapakate tu.
      Scotland imo katika Muungano wa United Kingdom...lakini scotland wako na Serikali yao huru inayoweza kufanya mambo yake wenyewe ndani na nje ya Scotland na ina wabunge pia wanaoiwakilisha scotland ndani ya House of Common UK Parliment, wako na Central Bank yao, wako na pesa yao vile vile wanakuwemo katika FIFA World Cup as Sotland team.


      WA TANGANYIKA TUWACHE UJAMBAZI WA KUIWEKEA UBAVU ZANZIBAR SIO KITU KIZURI TUWAACHENI NA WAO WAFANYE MAMBO YAO KIVYAO KATIKA NCHI YAO....HATA MOLA MUNGU ANAJUA KAMA TUNAWAFANYIA FAUL WAZANZIBARI

    11. #9
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,841
      Rep Power : 2971
      Likes Received
      2452
      Likes Given
      3533

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      ..Hii habari inanishangaza sana.

      ..Kila siku mlikuwa mkipiga makelele mkitukana wa-Tanganyika kwamba wameleta popo bawa, ukimwi, ukosefu wa ajira, na kila aina ya uchafu.

      ..sasa ni kitu gani kimetokea mpaka mmelegeza msimamo wenu sasa mnataka muungano, mara mkataba, mara "muungano wa uswisi" na MAKAFIRI wa Kitanganyika?

      ..kwanini tusiachane tu na kama kuna masuala ya kushirikiana basi yapitishwe ktk jumuiya ya Afrika Mashariki?

    12. #10
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1830
      Likes Given
      3343

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Masyopakindi nakubaliana nawe. Zanzibar wachague kukaa kwenye muungano au kujiondoa vinginevyo wanatuchanganya nakujichanganya. Wasipende kulalamikalalamika. Wasimame kishujaa waachane na muungano waone kama ni uamuzi bora au wabaki kwenye muungano wanyamaze kama watanzania wengine. Inatia uchungu kuona kijipande cha ardhi kisicholingana na hata wilaya ya Lushoto kutaka makuu. Kama shida ni muungano si tuungane na Malawi ili kuondoa ugomvi wa ziwa Nyasa kuliko kuendelea kubeba watu wasiobebeka wala wasio na shukrani.
      JokaKuu and mharakati like this.

    13. #11
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,265
      Rep Power : 3568
      Likes Received
      3074
      Likes Given
      463

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar
      kama hujui sovereign partner states ndani ya muungano kasome aina mbali mbali za miungano duniani. Sisi wazanzibari si washenzi hatujui kutukana, matusi si jadi yetu.
      Nani anatukana? ni nyinyi ndio mmekataa kabisaa hata originality yenu Tip Tip aliwachuwa wengi toka

      unyamwezini kwenda Zanzibar sasa hamtaki kuitwa WABANTU mnajiona BORA MWARABU hakuwaletea UTAMADUNI

      MWARABU alileta DINI ili kuwa-assimilate na kuwatawala vizuri na aliwabagua kwa RANGI... Sasa NYIE MNALETA

      UBAGUZI kwa watu wa BARA kwa RANGI... Mnajiita WASTAARABU sio WABANTU... Mnajiona sasa hivi Mko

      Karibu na Oman zaidi ya Kidamu na Wa Nyamwezi...

    14. #12
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,265
      Rep Power : 3568
      Likes Received
      3074
      Likes Given
      463

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar
      Karume: Muungano ni kama koti likitubana tunavua.
      CCM Kisonge: Tunataka tukohoe ndani ya Muungano.
      Mwanasheria mkuu Zanzibar: Lazima Zanzibar tutoke katika boksi la Muungano. Tulijenga nyumba pamoja haiwezekani tukae bomani.
      Waziri Mansoor Yussuf Himid (CCM): Kwa muundo huu wa Muungano nasema "seebuu"
      Mzee Moyo (Muasisi): Nasema muundo ninaouwafiki sasa na muundo wa muungano wa MKATABA wa kuirejeshea Zanzibar Sovereignity yake. Muundo wa serikali mbili uliopo umepitiwa na wakati.
      Amani Karume: Vijana speed iwe hiyo hiyo (daini sovereignity ya Zanzibar) lakini mkikuta cross punguzeni kidogo

      Sasa hapo Unachangaya KARUME hakumpenda HUYO MFALME WA ZANZIBAR sasa UNONYESHA PRSA ZA MFALME

      KAMA VILE WALIKUWA WANAHUSIANA...

    15. #13
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 353
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      neno "mshenzi" ni neno la kawaida likimaanisha mtu ambae hakustaarabika. Sio tusi by its nature, kasome tena, sishangai kiswahili ni cha zanzibar.
      Quote By UKI
      mkuu umeongea kiustarabu sana ila ukweli hapo kwenye red sio kweli mna maneno ya machukizo sana kuliko hata sisi sema tu mwezi huu haukuruhusu kusema maneno mabaya kwenye blog zenu mnaongea vibaya sana ukweli ni jadi yetu hili msikatae.

    16. #14
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 353
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      hapo hukufundishwa mahusiano ya karume na mfalme wala hatuzungumzii historia ya wafalme, sisi leo tunajadili ya wakati uliopo sio historia. hapo unafundishwa kuwa zanzibar kwa makarne ilikuwa dola lenye kila kitu kabla ya Tangannyika.
      Quote By nngu007
      Sasa hapo Unachangaya KARUME hakumpenda HUYO MFALME WA ZANZIBAR sasa UNONYESHA PRSA ZA MFALME

      KAMA VILE WALIKUWA WANAHUSIANA...

    17. #15
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 353
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      karume kwa taarifa yako hakuchukia mwarabu alichukiwa mfumo wa kifalme. Hakuwahi kuishi na mke asiyekuwa mwarabu. watoto wake wote ni makinda ya kibantu na kiarabu kama mimi. kabla ya kufariki alizifuta chuki zote za uarabu-uafrika alizozileta nyerere kwa target dhidi ya uislamu na zanzibar. baada ya karume kuwa destroyed na nyerere kwa kudai hadhi ya nchi yake, kazi hiyo sasa ni ya Dr Shein, Maalim Seif, Mzee Moyo, Amani Karume wakiwa na vijana wao tunasubiri time. kaa mkao wa kula 2014 utazipata habari za zanzibar
      Quote By nngu007
      Sasa hapo Unachangaya KARUME hakumpenda HUYO MFALME WA ZANZIBAR sasa UNONYESHA PRSA ZA MFALME

      KAMA VILE WALIKUWA WANAHUSIANA...

    18. #16
      morenja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 294
      Rep Power : 427
      Likes Received
      56
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Fatal5
      Scotland imo katika Muungano wa United Kingdom...lakini scotland wako na Serikali yao huru inayoweza kufanya mambo yake wenyewe ndani na nje ya Scotland na ina wabunge pia wanaoiwakilisha scotland ndani ya House of Common UK Parliment, wako na Central Bank yao, wako na pesa yao vile vile wanakuwemo katika FIFA World Cup as Sotland team.


      WA TANGANYIKA TUWACHE UJAMBAZI WA KUIWEKEA UBAVU ZANZIBAR SIO KITU KIZURI TUWAACHENI NA WAO WAFANYE MAMBO YAO KIVYAO KATIKA NCHI YAO....HATA MOLA MUNGU ANAJUA KAMA TUNAWAFANYIA FAUL WAZANZIBARI
      haya yote lawama ziende kwa ccm .miaka 50 wameshindwa kuleta maendeleo ata kwenye wilaya moja tuu ya zanzibar .shame to ccm

    19. #17
      masatujr1985's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2011
      Location : Anumbeye
      Posts : 416
      Rep Power : 466
      Likes Received
      65
      Likes Given
      25

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Let them gooooooooooooooooooooooooooooo oooooooo

    20. #18
      mswald's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Kilwa
      Posts : 42
      Rep Power : 446
      Likes Received
      6
      Likes Given
      29

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Nadhani wakati umefika sasa tuwatue, mnakera-mnachosha.Tanganyika yetu hatuna, Zanzibar inafaida sana muungano kuliko Tanganyika ila mnanung'unuka kila siku.
      Heri yenu ni CCM ibaki madarakani, mkisikia wametoka mjue TUNAWAFUKUZA.
      Ila mjue the moment mnatoka Tanzania, Pemba Vs Unguja HAPOTOSHI.Tumewasaidia sana ktk hili ila HAMBEBEKI-TUMEWACHOKA.Msibembeleze mngeondoka tangu jana. Serikali tatu hatutaki, ni moja tu KAMA HAMTAKI CHAPENI MWENDO

    21. #19
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,265
      Rep Power : 3568
      Likes Received
      3074
      Likes Given
      463

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar
      hapo hukufundishwa mahusiano ya karume na mfalme wala hatuzungumzii historia ya wafalme, sisi leo tunajadili ya wakati uliopo sio historia. hapo unafundishwa kuwa zanzibar kwa makarne ilikuwa dola lenye kila kitu kabla ya Tangannyika.
      Yeah, Nadhani Mmeweka Maoni yenu kwenye KATIBA mpya; Na lazima yatekelezwe... Scotland, Wales na N. Ireland

      ziko kwa England for centuries... sasa wanataka kujitoa wameamua kutumia SHERIA zao za kujiondoa; Hawatukani;

      Sidhani wewe bila Mwafrika wa Bara Ungezaliwa... Hawasemi wazungu wa England sio bora... kama nyio Mnaona

      Sio Wabantu hata kama ni weusi tiii... bado mtasema Oh Sisi ah wa Omani...

      Be real... Mnajifanya kusahau Mfalme alivyowatesea???

    22. #20
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,265
      Rep Power : 3568
      Likes Received
      3074
      Likes Given
      463

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar
      karume kwa taarifa yako hakuchukia mwarabu alichukiwa mfumo wa kifalme. Hakuwahi kuishi na mke asiyekuwa mwarabu. watoto wake wote ni makinda ya kibantu na kiarabu kama mimi. kabla ya kufariki alizifuta chuki zote za uarabu-uafrika alizozileta nyerere kwa target dhidi ya uislamu na zanzibar. baada ya karume kuwa destroyed na nyerere kwa kudai hadhi ya nchi yake, kazi hiyo sasa ni ya Dr Shein, Maalim Seif, Mzee Moyo, Amani Karume wakiwa na vijana wao tunasubiri time. kaa mkao wa kula 2014 utazipata habari za zanzibar
      i=
      Nyerere alimdestoy vipi Karume?... 2014 unaona hayo kila siku Mnatisha Watanganyika Mkidhani sisi Wananchi

      Tunautaka huo Muungano alahaula ni CCM tu; Kama CHADEMA kikichukua MUUNGANO bye bye

      Hauna ulazima kwa ukweli na Unajua Kuna Wazanzi-bara 300,000 - Dar; 60,000 - Mwanza; 30,000 - Tabora

      Hakikisheni Wanaondoka kabla ya huko MKAO WA KULA 2014

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...