Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 38 of 38
    1. #1
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 360
      Likes Received
      13
      Likes Given
      3

      Default Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Karume: Muungano ni kama koti likitubana tunavua.
      CCM Kisonge: Tunataka tukohoe ndani ya Muungano.
      Mwanasheria mkuu Zanzibar: Lazima Zanzibar tutoke katika boksi la Muungano. Tulijenga nyumba pamoja haiwezekani tukae bomani.
      Waziri Mansoor Yussuf Himid (CCM): Kwa muundo huu wa Muungano nasema "seebuu"
      Mzee Moyo (Muasisi): Nasema muundo ninaouwafiki sasa na muundo wa muungano wa MKATABA wa kuirejeshea Zanzibar Sovereignity yake. Muundo wa serikali mbili uliopo umepitiwa na wakati.
      Amani Karume: Vijana speed iwe hiyo hiyo (daini sovereignity ya Zanzibar) lakini mkikuta cross punguzeni kidogo


    2. UKI is offline
      UKI
      #21
      UKI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 688
      Rep Power : 491
      Likes Received
      153
      Likes Given
      178

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar View Post
      neno "mshenzi" ni neno la kawaida likimaanisha mtu ambae hakustaarabika. Sio tusi by its nature, kasome tena, sishangai kiswahili ni cha zanzibar.

      sishangai kwa majibu yako. asante

    3. #22
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,154
      Rep Power : 17251
      Likes Received
      1653
      Likes Given
      1173

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      wasubiri kwanza na sisi tuwe na serikali ya Tanganyika kwanza kama wao walivyo na serikali ya zanzibar then ndio tukae mezani...
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    4. #23
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 360
      Likes Received
      13
      Likes Given
      3

      Default Katika kuitafuta jamhuri ya watu wa zanzibar

      Pata takwimu kamili za mtiririko na muendelezo wa za utowaji maoni mkoa wa Kaskazini Unguja hapa:
      MAONI KASKAZINI UNGUJA | Mzalendo.net
      Pia takwimu za mtiririko na muendelezo wa utowaji maoni mkoa wa Kaskazini Pemba hapa:
      MAONI KASKAZINI PEMBA | Mzalendo.net

    5. #24
      jamhuri ya zanzibar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 360
      Likes Received
      13
      Likes Given
      3

      Default Katika kuitafuta jamhuri ya watu wa zanzibar

      Takwimu kamili za mwendelezo wa zoezi la utowaji maoni Kaskazini Unguja na Kaskazini Pemba.


      MAONI KASKAZINI UNGUJA | Mzalendo.net
      MAONI KASKAZINI PEMBA | Mzalendo.net

      Zaznzibar kwanza!!!!!..........Muungano baadae!!!!!!

    6. #25
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,378
      Rep Power : 883
      Likes Received
      389
      Likes Given
      310

      Default Re: Katika kuitafuta jamhuri ya watu wa zanzibar

      naona wengi wanataka muungano wa mkataba ingawa sijui vizuri aina hii ya muungano ni bora tukubaliane tuwe na serikali 3 tu (TANGANYKA, MUUNGANO, ZANZIBAR) otherwise kila upande ujiendeshe kivyake .
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome



    7. #26
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Katika kuitafuta jamhuri ya watu wa zanzibar

      tuvunje kwanza huu then watanganyika ndio tutaamua kuwa tunataka muungano na nyie ama vipi
      Grand Master Dulla likes this.

    8. #27
      Jiwejeusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 366
      Rep Power : 485
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Wazanzibar wasitulazimishe kufuata hoja yao ya muungano wa mkataba. Sisi tunataka nchi moja serikali moja au tuvunje muungano. Let zanzibar go.

    9. #28
      Isalia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 486
      Rep Power : 482
      Likes Received
      76
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Jiwejeusi View Post
      Wazanzibar wasitulazimishe kufuata hoja yao ya muungano wa mkataba. Sisi tunataka nchi moja serikali moja au tuvunje muungano. Let zanzibar go.
      Nahic hilo wazo lako limecherewa lakini jitahidi bado z'bar viwanja vipo njoo ujenge kanisa

    10. #29
      JeanPrierre's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 384
      Likes Received
      27
      Likes Given
      20

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Wazinzibar mnakosea, kwa nn "muungano wa mkataba"?, ni bora muondoke kabisaaaaa, tumechoka
      Grand Master Dulla likes this.

    11. #30
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 934
      Rep Power : 576
      Likes Received
      258
      Likes Given
      245

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar View Post
      kama hujui sovereign partner states ndani ya muungano kasome aina mbali mbali za miungano duniani. Sisi wazanzibari si washenzi hatujui kutukana, matusi si jadi yetu.
      huku ni kubebana tu, yaani mlindwe na Tanganyika huku mkiwa full state? Tanganyika itafaidika na lipi kwenye hili?
      Grand Master Dulla likes this.

    12. #31
      Mwanaukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2007
      Posts : 1,781
      Rep Power : 2942
      Likes Received
      668
      Likes Given
      179

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By Fatal5 View Post
      Scotland imo katika Muungano wa United Kingdom...lakini scotland wako na Serikali yao huru inayoweza kufanya mambo yake wenyewe ndani na nje ya Scotland na ina wabunge pia wanaoiwakilisha scotland ndani ya House of Common UK Parliment, wako na Central Bank yao, wako na pesa yao vile vile wanakuwemo katika FIFA World Cup as Sotland team.


      WA TANGANYIKA TUWACHE UJAMBAZI WA KUIWEKEA UBAVU ZANZIBAR SIO KITU KIZURI TUWAACHENI NA WAO WAFANYE MAMBO YAO KIVYAO KATIKA NCHI YAO....HATA MOLA MUNGU ANAJUA KAMA TUNAWAFANYIA FAUL WAZANZIBARI
      Tanganyika hatufaidiki chochote na Muungano zaidi ya kero za kutuita Wakoloni weusi.

      Tuvunje tu muungano na hata hizo aina nyingine za muungano hatuzihitaji. Wawe jirani zetu kama Msumbiji, Kenya etc.

      Lakini Wazanzibar wote wenye ajira kwenye serikali ya muungano watuachie ajira zetu warudi kwao, wakiwemo makamu wa rais, wabunge, mawaziri na maafisa wa serikali.

    13. #32
      Nyakipambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2011
      Posts : 419
      Rep Power : 467
      Likes Received
      120
      Likes Given
      146

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Wazanzibar nao wamezidi kujishaua kila siku uhuru uhuru kwani wanahitaji tuwasaidie nini ili wajitangaze kuwa wako huru? Si waondoke hawa vp au ghahawa inawalevya wasijue jinsi ya kupata uhuru?
      "Asiyejua Anakokwenda Hawezi Kupotea"



    14. #33
      FairPlayer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2006
      Location : UK
      Posts : 4,382
      Rep Power : 1555
      Likes Received
      456
      Likes Given
      205

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar View Post
      kama hujui sovereign partner states ndani ya muungano kasome aina mbali mbali za miungano duniani. Sisi wazanzibari si washenzi hatujui kutukana, matusi si jadi yetu.
      Mnapenda choko choko sana nyie, Kulia lia utafikiri......

      Kubebwa tuwabebe na bado mnalialia utafikiri......

      Ngoja tuwaache waarabu waje wawatawale, naona mmechoka kutawaliwa na weusi wenzenu.
      A positive thinker!

    15. #34
      Mwanaukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2007
      Posts : 1,781
      Rep Power : 2942
      Likes Received
      668
      Likes Given
      179

      Default Re: Katika kuitafuta jamhuri ya watu wa zanzibar

      Quote By jamhuri ya zanzibar View Post
      Takwimu kamili za mwendelezo wa zoezi la utowaji maoni Kaskazini Unguja na Kaskazini Pemba.


      MAONI KASKAZINI UNGUJA | Mzalendo.net
      MAONI KASKAZINI PEMBA | Mzalendo.net

      Zaznzibar kwanza!!!!!..........Muungano baadae!!!!!!
      Hatuwahitaji. Just go and forget about muungano baadaye.
      Last edited by Mwanaukweli; 13th October 2012 at 12:43.

    16. #35
      FairPlayer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2006
      Location : UK
      Posts : 4,382
      Rep Power : 1555
      Likes Received
      456
      Likes Given
      205

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By Mwanaukweli View Post
      Tanganyika hatufaidiki chochote na Muungano zaidi ya kero za kutuita Wakoloni weusi.

      Tuvunje tu muungano na hata hizo aina nyingine za muungano hatuzihitaji. Wawe jirani zetu kama Msumbiji, Kenya etc.

      Lakini Wazanzibar wote wenye ajira kwenye serikali ya muungano watuachie ajira zetu warudi kwao, wakiwemo makamu wa rais, wabunge, mawaziri na maafisa wa serikali.
      Haki ya nani hii mijamaa itajuta maana maduka ya pwani mengi ni ya "MPEMBA" wapo wengi kwetu kuliko kwao.

      Watajutia muungano. Hivi vyuo vikuu wanavyo vingapi hawa?
      A positive thinker!

    17. #36
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 843
      Rep Power : 532
      Likes Received
      166
      Likes Given
      60

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Wenye kuhangaika ni wao Wapemba na Ungunja! Wanatubania hata HEWA HAPA MBEYA, wamejaa kila kona. Wameanza kuleta UAMSHO hatuwataki na Muungano hatuutaki vile vile.

    18. #37
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,983
      Rep Power : 1900
      Likes Received
      964
      Likes Given
      370

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano


    19. #38
      Grand Master Dulla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 0
      Likes Received
      96
      Likes Given
      592

      Default Re: Kuna kila sababu ya kurejesha jamhuri ya zanzibar (sovereign zanzibar) ndani ya muungano

      Quote By jamhuri ya zanzibar View Post
      Karume: Muungano ni kama koti likitubana tunavua.
      CCM Kisonge: Tunataka tukohoe ndani ya Muungano.
      Mwanasheria mkuu Zanzibar: Lazima Zanzibar tutoke katika boksi la Muungano. Tulijenga nyumba pamoja haiwezekani tukae bomani.
      Waziri Mansoor Yussuf Himid (CCM): Kwa muundo huu wa Muungano nasema "seebuu"
      Mzee Moyo (Muasisi): Nasema muundo ninaouwafiki sasa na muundo wa muungano wa MKATABA wa kuirejeshea Zanzibar Sovereignity yake. Muundo wa serikali mbili uliopo umepitiwa na wakati.
      Amani Karume: Vijana speed iwe hiyo hiyo (daini sovereignity ya Zanzibar) lakini mkikuta cross punguzeni kidogo
      Ndio maana wa zanzibar mnaambiwa msome,muungano uliopo ni union au federation?,hii ni federation au shirikisho jamani,kuhusu zanzibar kuwe na mamlaka yake wayapate mara ngapi sasa? zanzibar wanaruhusiwa kupewa misaada na nchi yoyote ile duniani na bila misaada hiyo kupitia bara kama mnamarafiki nje mbona hamuwaombi jamani kila siku mnasema tunawabana kivipi?mnasema tunawabana wakati bado mko bara umeme mnatumia wa bara mchele wabara kivipi nyinyi wapemba mnamatatizo sana.
      Zanzibar ni nchi ndogo haijitoshelezi kabisa hata makampuni ya simu tu hayawezi kuja zanzibar sababu watu kidogo yanapata hasara,tukumbuke kuwa wazanzibari wana ncchi yao na kilichowafanya wazanzibar wapatao 500,000 kuja kujenga bara ni huu huu muungano,basi wajue muungano ukivunjika na chao hakipo huku bara wote 500,000 tunawarudisha kwao zenji,sababu tukiwaacha maana yake ni kwamba watakuwa wanafaidi matunda ya muungano wakati hakuna muungano ni lazima warudi kwao nyumba zao wauze au zichukuliwe na NHC na watakaokuwa wafanyabiashara walipe kodi kama wawekezaji wengine wa kenya na marekani wanavyolipa kodi na wakija kwetu waje na paspoti hivyo hivyo sisi tukienda kwao.
      Wazanzibar kuweni na shukrani hivi hako kakisiwa kenu kadogo kenye urefu wa km 85 north-south,30 km wide,mnafikiri ndani ya miaka kumi tukitengana mtakaa kwa amani jamani hao watu tutakao warudisha ni wengi sana kisiwa kitajaa sana hamtakuwa na sehemu ya kulimia,mtakuwa mmeruka maji na kukanyaga moto itawabidi tuwe tunawarisha kwa kila kitu.
      Kitu kimoja muelewe ni kwamba wazanzibar wote ni wachache kukuta asili yao ni kenya au uganda,asilimia kubwa asili yao ni tanzania na msumbiji,sasa hao waarabu mnaotaka kujihusisha nao mbona ni wabaguzi sana jamani?Niambieni waznzbr wangapi weusi wasio waarabu leo hii hii wanaweza kuoa binti wa kiarabu jibu na hakuna na hata huko urabuni Oman na Emirate siku hizi hata watumishi wandani waafrika hawawataki wanachukua toka India na Asia lakini sio mwafrika wasije kuhafua damu zao.
      Kuna ndugu yangu mimi mwarabu wa tanzania hii alikwenda kufanya kazi Qatar,wale jamaa waarabu wa kule kwanza walimkataa wakasema wewe si mwarabu sababu umezaliwa Afrika kwa weusi wanambagua na kumdharau kama wanavyombagu mwafrika tu japo ukimwona ni mwarabu kabisa asiye na shaka.sasa nyinyi leo mnaweka noti hapo za sultani yaani kama vile ni fahari ni utumwa huo wa akili tu kudhania kwamba wewe kutawaliwa na mwarabu kunakupa tiketi wewe ya kuwa mwarabu!!,Nyie mtakuwa watumwa tu katika nchi ya kiarabu ingawa nyinyi ni mnchi yenu lakini mtakuwa watumwa siku mwarabu akitawala,kwa ubaguzi wa mwarabu hawezi kukubali kuwa sawa na nyie watu weusi hata kama babu yako alikuwa mwarabu midhali una damu ya mwafrika we ni mwafrika tu.
      Nendeni Yemeni muone waarabu ni washenzi kiasi gani ndo mpate akili,huko kuna watu wa asili inasadikika walitoka Afrika wakachanganyka kidogo na waarabu,lakini kusema kweli laiti kama watu hao wanaoitwa AKHDAM wangeletwa Zanzibar basi kila mtu angewaita waarabu,laikini pamoja na kuwa kama waarabu kwa sasa na hawafanani tena na waafrika bado wanabaguliwa na kunyanyaswa waitwa watumwa hawaruhusiwi kufanya kazi yeyote ile ya hadhi,akiuliwa hakuna kesi itakayofunguliwa kuchunguza kifo chao.
      Sasa kama hao ambao wapo karibu na waarabu wanabaguliwa ijekuwa wewe mzanzibar kufikiria kuwa karibu na oman na nyinyi mnakuwa waarabu,hiyo ni kichekesho kusema sisi wabara tukijifanya kuwa karibu na wajerumani au waingereza basi na sisi tutakuwa wazungu kisa tunatawaliwa na wazungu uturuki iko wapi hadi leo kutaka kujifanya wazungu?
      Nyinyi wazanzibar mjitazame sana tena kama ulituma hii posti ukiwa bara inabidi uoneshe mfano wa kurudi kwenu ndio uanze kutuma tokea huko,na kama uko zenji na kila mwezi hujiskii raha bila kuja Bara basi jifunze mwaka mzima usije huku bara uanze kujizoesha kabisa kabla hatuja tengana.
      Mnasema mnataka muungano wa mkataba kama wa EAC kitu kimoja mkielewe ni kwamba hakuna mkenya,mnyarwanda wala mganda anayeruhusiwa kuja kujenga tanzania wala mtanzania anayeruhusiwa kujenga katika nchi hizo ni wazi kabisa muungano wa mkataba ukipitishwa kati ya zanziba na bara wazanzibar zaidi ya 500,000 wanaoishi huku inabidi waziachie nyumba zao kwa wabara either waziuze au zichukuliwe na NHC.
      Kuweni na akili nyinyi inabidi msome muone jinsi gani zanzibar ilivyokuwa katika hali mbaya,msione viongozi wenu wapo kimya mkaanza kuwaona kama vile ni wajinga wanaakili ndo mana wako kimya wameshaona mbali.
      Rwanda kila siku mchakato wa EAC uharakishwe sabab kagame kashaona nchi yake ina tatizo la watu aanatamani tuungane haraka ili awapunguzie watu wake tanzania kabla hajampindua na zanzibar haina tofauti na rwanda ina tatizo hilohilo.na pindi ikijitenga hata wawekezaji hawawezi kwenda sababu watu wachache hivyo soko lao ni dogo.
      MSIMAMO WETU NI KWAMBA SISI WATU WA BARA TUNATAKA MUUNGANO HUU HUU ULIOPO UENDELEE NA SEHEMU YEYOTE ILE YENYE KERO IREKEBISHWE KAMA WAZANZIBAR HAWAUTAKI WAJIANDAE KUTENGANA MUUNGANO WA SERKALI TATU HATUUTAKI HAKUNA WA KUULIPIA GHARAMA ZAKE KAMA MAFUTA NA SISI TUNAYO KAMA GESI TUNAYO NA NI MOJA YA NCHI ZINAZOONGOZA KWA WINGI WA GESI DUNIANI.....BULLSHIIIIT!!!!NYA MAFU NYIE.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...