Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waziri wa afya na matumaini ya uwongo kwa wa TZ.tutaendelea kudanganywa mpaka lini?

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      richone's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 137
      Rep Power : 450
      Likes Received
      32
      Likes Given
      9

      Default Waziri wa afya na matumaini ya uwongo kwa wa TZ.tutaendelea kudanganywa mpaka lini?

      nimemsikia naibu waziri wa Afya akiwa anajbu swali la Mh. Mbasha kwamba serikali imejipanga vp ili kukabiliana na changamoto za ugonjwa wa ebola haswa ukizingatia UPO NCHI JIRANIA YA UGANDA? naibu anajibu kwamba wamejipanga vizuri hasa kuhakikisha watu wenye ugonjwa huo hawataruhusiwa kupita kwenye mipaka na kuingia nchini. mimi nimeona jibu hilo ni la uongo NI WAHAMIAJI HARAMU WANGAPI WANAPITA BILA KUONEKANA NA WANAKWENDA MAENEO MBALIMBALI YA NCHI MPAKA WANAKUFA NDIO WAONEKANE je kuwaona wagonjwa ao kuviona virusi hivyo itakuwaje kazi rahisi wakati wameshindwa kuwaona watu maelfu kwa maelfu .naamini hilo haliwezeani hata kidogo

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 442
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default re: Waziri wa afya na matumaini ya uwongo kwa wa TZ.tutaendelea kudanganywa mpaka lini?

      ndio maana mi nasema hili bunge halistahili kuitwa tukufu kwa huu wa mchana kweupe mbele za Mwenyezi Mungu. ni hivi majuzi tu tumetoka kwenye sakata la wahamiaji haramu kuvuka mpaka na kuingia mpaka dodoma, mwezi mmoja baadae wengine tena wameingia mpaka humu nchini ndani kupitia kule namanga hivi kama binadamu anaweza kuingia humu nchini atakavyo, sembuse vimelea wa ebola????????? alichofanya waziri ni yaleyale tu tuliyoyazoea kwa wengi wa mawaziri wa serikali yetu hii mbovu, HOJA MUHIMU, NZITO, NYETI majibu yake sasa, rahisi, ovyo na yasiyo na mashiko.

    4. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...