nimemsikia naibu waziri wa Afya akiwa anajbu swali la Mh. Mbasha kwamba serikali imejipanga vp ili kukabiliana na changamoto za ugonjwa wa ebola haswa ukizingatia UPO NCHI JIRANIA YA UGANDA? naibu anajibu kwamba wamejipanga vizuri hasa kuhakikisha watu wenye ugonjwa huo hawataruhusiwa kupita kwenye mipaka na kuingia nchini. mimi nimeona jibu hilo ni la uongo NI WAHAMIAJI HARAMU WANGAPI WANAPITA BILA KUONEKANA NA WANAKWENDA MAENEO MBALIMBALI YA NCHI MPAKA WANAKUFA NDIO WAONEKANE je kuwaona wagonjwa ao kuviona virusi hivyo itakuwaje kazi rahisi wakati wameshindwa kuwaona watu maelfu kwa maelfu .naamini hilo haliwezeani hata kidogo

Reply With Quote

Follow Us Here