Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 33 of 33
    1. #1
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,885
      Rep Power : 5055
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      2627

      Default Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Anawasilisha mawazo binasfi kuhusu sheria mpya za SSRA haswa fao la kujitoa kwenye mfuko husika.

    2. FemaTV & Radio

    3. why
      #21
      why's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 83
      Rep Power : 364
      Likes Received
      20
      Likes Given
      6

      Post Serikali yahofia hoja ya mnyika na kumtumia jaffo kutoa hoja

      Ni pale mnyika alipotangaza vita dhidi ya sheria na kufanaya mazungumzo na wadau nchini kuhusu mafao ya wafanyakazi na kutaka kupe;leka muswada wa dharura bungeni hivyo serikali kutumia mbinu ili kuimeza hoja yake.

    4. #22
      MUIKOMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st November 2011
      Posts : 35
      Rep Power : 388
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Polisi
      Kwa kweli leo nimeamini huyu mama huwa anatoa conclusion kinyume na matokea kabisa. dIngawa nimefurahi kuona sheria itapitiwa upya, ILA TO BE SINCERELY, waliosema HAPANA ni wengi kuliko waliosema NDIYO
      Ni kweli hata mimi nimelisikia na kushuhudia kwa masikio yangu. Sijui imekaaje hii na ni nini lengo la hao waliopinga?.
      Polisi likes this.

    5. #23
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 769
      Rep Power : 553
      Likes Received
      237
      Likes Given
      3

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Issue hapa sio nani ni mtoa haja isue ni content ya hoja.

    6. #24
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 810
      Rep Power : 586
      Likes Received
      82
      Likes Given
      12

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Quote By Ndachuwa
      Na Mh. Mnyika yeye atawasilisha marekebisho ya sheria ipi? CCM wajanja sana sheria wapitishe wenyewe kwa wingi bado warudi tena kuipinga kwa kuomba irekebishwe.
      CCM kivipi tena? ninavyoelewa mimi hizi social security benefit scheme ni parastatal organisation zilizo chini ya kamati ya poac iliyopo chini ya MH zitto tena kwa ,maswala yanayohusu fedha na maslahi ya wastaafu mara kadhaa nimemsikia akisema mfano kwa NSSF, PPF, PSPF NA LAPF Kuwa hali ya mifuko hii ya mwisho miwili ni mbaya ukilinganisha na PSPF ambao hauna uwezo wa kuwahudumia wastaafu wake kwa madai kuwa michango mingi ya mwajili kwa maana ya serikali haipelekwi kwa wakati na kabla ya 1999 kuanzishwa kwa sheria mpya haikuwa inachangiwa na watumishi.

    7. #25
      Ndyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 549
      Rep Power : 487
      Likes Received
      140
      Likes Given
      3

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Quote By Polisi
      Kwa kweli leo nimeamini huyu mama huwa anatoa conclusion kinyume na matokea kabisa. Ingawa nimefurahi kuona sheria itapitiwa upya, ILA TO BE SINCERELY, waliosema HAPANA ni wengi kuliko waliosema NDIYO
      Mkuu Police, Kwa mara ya kwanza leo umetumia akili yako, hukugangamalia mtumbo wako kuwapendezesha ccm.
      Polisi likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,514
      Rep Power : 1794
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Sasa wakuu inaanza lini kujadiliwa na kurekebishwa?watuambie kabisa huu upuuzi wao hawataurudia kamwe!wafanyakazi wako radhi woote waache kazi kila mtu apewe chake akafie mbele
      Chilli likes this.

    10. #27
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,654
      Rep Power : 1210
      Likes Received
      542
      Likes Given
      415

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Quote By Mbugi
      CCM kivipi tena? ninavyoelewa mimi hizi social security benefit scheme ni parastatal organisation zilizo chini ya kamati ya poac iliyopo chini ya MH zitto tena kwa ,maswala yanayohusu fedha na maslahi ya wastaafu mara kadhaa nimemsikia akisema mfano kwa NSSF, PPF, PSPF NA LAPF Kuwa hali ya mifuko hii ya mwisho miwili ni mbaya ukilinganisha na PSPF ambao hauna uwezo wa kuwahudumia wastaafu wake kwa madai kuwa michango mingi ya mwajili kwa maana ya serikali haipelekwi kwa wakati na kabla ya 1999 kuanzishwa kwa sheria mpya haikuwa inachangiwa na watumishi.
      Mkuu Mbugi miswada hupelekwa Bungeni na Serikali na siyo kamati husika; baada ya majadiliano na kusomwa mara ya tatu mswada hupigiwa kura na kwa kuwa CCM ndio wengi sheria zote nzuri na mbovu zimepitishwa na CCM....hiyo ndiyo habari
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    11. #28
      theHAVARD_product's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : MICHIGAN DETROIT
      Posts : 122
      Rep Power : 379
      Likes Received
      40
      Likes Given
      115

      Default

      Quote By Kimbunga
      Mh. Mnyika si ndiye alikuwa akiandaa hii hoja imekuwaje tena?
      hahaaaa

    12. #29
      Komeo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Location : Mlangoni
      Posts : 904
      Rep Power : 587
      Likes Received
      338
      Likes Given
      106

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Quote By Mbugi
      CCM kivipi tena? ninavyoelewa mimi hizi social security benefit scheme ni parastatal organisation zilizo chini ya kamati ya poac iliyopo chini ya MH zitto tena kwa ,maswala yanayohusu fedha na maslahi ya wastaafu mara kadhaa nimemsikia akisema mfano kwa NSSF, PPF, PSPF NA LAPF Kuwa hali ya mifuko hii ya mwisho miwili ni mbaya ukilinganisha na PSPF ambao hauna uwezo wa kuwahudumia wastaafu wake kwa madai kuwa michango mingi ya mwajili kwa maana ya serikali haipelekwi kwa wakati na kabla ya 1999 kuanzishwa kwa sheria mpya haikuwa inachangiwa na watumishi.
      Pole sana ndugu. Kamati ya POAC haitungi sheria, kinachotunga sheria ni Bunge letu ambalo lina wabunge wengi wa ccm. Hawa huunga mkono kwa 200% (mfano Komba) kila muswada wa sheria uletwao mbele yao. Walipohojiwa walisema NDIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO OOOOO! Sasa upepo umevuma vibaya huko nje, wamekurupuka tena kurudia walichokisema Ndiyo ili sasa kiwe siyo. Naungana na Mh. Didas Masaburi aliyesema wabunge wengi wa huko wanatumia makalio kufikiria. Wangetumia vichwa, suala hili wasingelishadadia kabisa kwakuwa ni sawa na kujipaka nyesi lako mwenyewe. Ni sahihi kabisa ukiwalinganisha na watoto tu.
      LIWALO NA LIWE - PINDA.

    13. #30
      gwakipanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Posts : 69
      Rep Power : 390
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Hawa wabunge wenye ushabikia kila kitu kwa itikadi wajui hiyo miiba wanayo itandaza wajue ikianza kuchoma haita chagua nani imuchome, kama haijawachoma wao basi wajukuu zao itawachoma tu. Nachukua muda kuamini kama sheria kama zinatungwa na watu wenye akili timamu. Watunga sheria hizi kandamizi hawana tofauti makaburu.

    14. #31
      Chilli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2011
      Location : Nowhere
      Posts : 1,344
      Rep Power : 7597
      Likes Received
      583
      Likes Given
      174

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Quote By Skills4Ever
      Sasa wakuu inaanza lini kujadiliwa na kurekebishwa?watuambie kabisa huu upuuzi wao hawataurudia kamwe!wafanyakazi wako radhi woote waache kazi kila mtu apewe chake akafie mbele
      Mimi nilikua nishajiandaa kuacha kabisa niwakomoe kama nilivyowakomoa BAYPOT.
      Hawa wazee wameishi maisha yao, wanaishi maisha yetu, tusiwaruhusu waishi maisha ya watoto wetu - ZZK, 22 November 2012

    15. #32
      Gwandalized's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 208
      Rep Power : 411
      Likes Received
      34
      Likes Given
      10

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Bora hivi hivi ipelekwe na magamba watasapotiana,angepeleka gwanda angeshindwa,wanaleta utani na pesa zetu
      'watanzania hawakukosea kumchagua Rais Jakaya Kikwete...walijua ana busara...' -Tundu Lissu


    16. #33
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 6537
      Likes Received
      2380
      Likes Given
      2142

      Default Re: Selemani Jafo (CCM) awasilisha hoja ya kupitia upya sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

      Kwanza mimi kama mfanyakazi nampongeza Jafo Suleman kwa hatua alizochukua kutusemea. Lakini nalaani chama chake kutuingiza mjini halafu wanakuja kwa mlango wa Nyuma kurekebisha mambo baada ya kuona maji marefu.
      Pili, Jafo amepata jukwaa kutokna na move ya Mnyika, lengo ni kumnyang'anya hoja mnyika kwa faida ya wafanyakazi mwisho wa siku. Hongera Mnyika.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...