Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 31
    1. #1
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,413
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1194
      Likes Given
      199

      Default Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Wabunge wamekomaa mheheshimiwa membe awataje wahusika rushwa ya rada!eti wahusika hawajulikani huku tunadai chenji
      Quote By Kakalende View Post
      Waziri Mathias Chikawe amemtetea anasema hakuna ushahidi, akaendelea kwamba kama kuna mtu yeyote ndani na nje ya Tanzania mwenye ushahidi 'concrete' aulete; anasema sio ushahidi wa kwenye magazeti.


    2. #2
      Kakalende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2006
      Posts : 2,940
      Rep Power : 1238
      Likes Received
      391
      Likes Given
      388

      Default re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Waziri Mathias Chikawe amemtetea anasema hakuna ushahidi, akaendelea kwamba kama kuna mtu yeyote ndani na nje ya Tanzania mwenye ushahidi 'concrete' aulete; anasema sio ushahidi wa kwenye magazeti.
      Volunteers are not paid -- not because they are worthless, but because they're priceless!

    3. #3
      Gamaha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2008
      Posts : 857
      Rep Power : 728
      Likes Received
      196
      Likes Given
      173

      Default re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Quote By Kakalende View Post
      Waziri Mathias Chikawe amemtetea anasema hakuna ushahidi, akaendelea kwamba kama kuna mtu yeyote ndani na nje ya Tanzania mwenye ushahidi 'concrete' aulete; anasema sio ushahidi wa kwenye magazeti.
      Mkuu hapo kwenye kusema mwenye ushahidi alete wakati tunavyombo mahsusi kwa ajili ya upelelezi huwa pananitia kichefuchefu sana kwani vyombo vetu vya police,usalama wa taifa au takukuru kazi yake nini kama wanataka ushahidi toka kwa wananchi hii Mungu tuondolee hii mijitu imeshiba rushwa na wizi hata wanashindwa kutambua wajibu wao

    4. #4
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,729
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1697
      Likes Given
      1697

      Default re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Lakini Jk si kashasema Isue ya rada hakukuwa na rushwa?
      sasa watakaotajwa hapo ni akina nani tena?
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    5. #5
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,181
      Rep Power : 949
      Likes Received
      889
      Likes Given
      1

      Default re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Mimi Namsaidia kuwataja
      1. Andrew Chenge
      2. Dr. Idrissa
      3. Vithlan
      4. ..........

      Kama mnasubiri haya magamba yawataje mta kesho. Kumbuka kesi ya Tundu Lissu na wabunge wala Rushwa.


    6. BAK is offline
      BAK
      #6
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,831
      Rep Power : 45015
      Likes Received
      8688
      Likes Given
      8677

      Default re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Sasa kama hakukuwa na rushwa yule muhindi Shailesh P Vithlani nini kilichomfanya aikimbie nchi na hatimaye kuwekwa katika "wanted list" ya Interpol? Na vile vijisenti vilivyokutwa kwenye bank accounts za Chenge na Idissa Rashid nchi za nje ambavyo vilisemekana vilitokana na malipo toka kwenye bank account ya Vithlani ni nani anayeweza kuvitolea maelezo ya kuridhisha kwamba havikutokana na rushwa ya ununuzi wa rada? Wahusika wa rushwa katika manunuzi yale ni Mkapa, Mramba, Vithlani, Chenge, Idrissa Rashid na wengineo wengi ambao Serikali imeamua kuwakingia kifua.

      The former Attorney General and cabinet minister, Andrew Chenge, is among senior public officials investigated for allegedly receiving kickbacks to endorse the sale. A local businessman, Tanil Somaiya and his trading partner Shailesh P. Vithlani, who is wanted by the Interpol over the dubious deal, were also named in the SFO report.

      This excerpt is from Daily News dated 18th August 2010
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    7. #7
      Polisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,576
      Rep Power : 750
      Likes Received
      382
      Likes Given
      238

      Default

      Quote By Bornvilla View Post
      Sio Werema ni Mathias Chikawe! Kwa maneno ya Chikawe du,hii ni dharau kwa Membe. Hivyo Membe won't mention anyone though it's obvious.
      Ni kweli Mkuu. Nilivyotafsiri mimi kwenye kauli ya Chikawe ni kama amem pre empty Membe ambaye kulikuwa na dalili za Membe kuwataja

    8. #8
      Polisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,576
      Rep Power : 750
      Likes Received
      382
      Likes Given
      238

      Default re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Membe amekwepa kuongelea suala la radar. Amesema 'waziri mwenzangu amesema na ninyi wahe. Wabunge mkashangilia'. Amemwambia Wenje waonane kesho

    9. #9
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Matembezini Arusha
      Posts : 2,250
      Rep Power : 636
      Likes Received
      264
      Likes Given
      231

      Default re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Asiishie hapo tu aseme na pesa za walibya zimeenda wapi? anaposema zipo TIB bank ni majibu ya ubabaishaji lengo lilikuwa kujenga kiwanda cha cement mkoani Lindi kitu ambacho hakijafanyika mpaka leo.Membe fisadi tu amepora pesa za walibya.

    10. #10
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,380
      Rep Power : 1070
      Likes Received
      601
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Mingoi View Post
      Asiishie hapo tu aseme na pesa za walibya zimeenda wapi? anaposema zipo TIB bank ni majibu ya ubabaishaji lengo lilikuwa kujenga kiwanda cha cement mkoani Lindi kitu ambacho hakijafanyika mpaka leo.Membe fisadi tu amepora pesa za walibya.
      Pesa za waliby zipo mzeiya..nyngne Membe alimpa yule mwekezaji wa kiwanda cha Cement,walibya hawataki riba...

    11. #11
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,380
      Rep Power : 1070
      Likes Received
      601
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Kakalende View Post
      Waziri Mathias Chikawe amemtetea anasema hakuna ushahidi, akaendelea kwamba kama kuna mtu yeyote ndani na nje ya Tanzania mwenye ushahidi 'concrete' aulete; anasema sio ushahidi wa kwenye magazeti.
      Huwajui membe na chikawe....

    12. #12
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,202
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      1445
      Likes Given
      1560

      Default Re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Matusi na dharau kwa watanzania vinaendelea..Tunashukuru!!
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    13. #13
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default Re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      na nyie mnawaendekeza tu.. waacheni.. kadizoo!!! kama hakuna si hakuna. Waondoeni madarakani ili tuje kuwashughulikia. Mmesahau kuwa panya hawakamatani na pia hawatajani?
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    14. #14
      Nyalutubwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 278
      Rep Power : 432
      Likes Received
      67
      Likes Given
      41

      Default Re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Quote By BAK View Post
      Sasa kama hakukuwa na rushwa yule muhindi Shailesh P Vithlani nini kilichomfanya aikimbie nchi na hatimaye kuwekwa katika "wanted list" ya Interpol? Na vile vijisenti vilivyokutwa kwenye bank accounts za Chenge na Idissa Rashid nchi za nje ambavyo vilisemekana vilitokana na malipo toka kwenye bank account ya Vithlani ni nani anayeweza kuvitolea maelezo ya kuridhisha kwamba havikutokana na rushwa ya ununuzi wa rada? Wahusika wa rushwa katika manunuzi yale ni Mkapa, Mramba, Vithlani, Chenge, Idrissa Rashid na wengineo wengi ambao Serikali imeamua kuwakingia kifua.

      The former Attorney General and cabinet minister, Andrew Chenge, is among senior public officials investigated for allegedly receiving kickbacks to endorse the sale. A local businessman, Tanil Somaiya and his trading partner Shailesh P. Vithlani, who is wanted by the Interpol over the dubious deal, were also named in the SFO report.

      This excerpt is from Daily News dated 18th August 2010
      Mkuu huyo Mhindi hakukimbia nchi bali ni Serikali iliyokula njama za kumtorosha kwa kuhofia kutaja wahusika waliojificha mithili ya Mbuni.Wameficha vichwa ili hali viwiliwili vikionekana.

    15. #15
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,413
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1194
      Likes Given
      199

      Default Re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      CHAVDA,VITHLANI,BALALI wamefichwa wasiwataje mafisadi!Jeetu PATEL aligoma na kesi anashinda

    16. #16
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 536
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Jalala halichagui takataka.....Tanzania ni Jalala la jiji flani chafu.
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    17. #17
      sanjo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 859
      Rep Power : 609
      Likes Received
      219
      Likes Given
      33

      Default Re: Waziri Mathias Chikawe: Hakuna watanzania waliohusika kashfa ya BAE!

      Haya ndiyo matatizo ya watawala kudai na kujiona wana uwezo wa kuendelea kuwadanganya Watanzania. Hebu fikiria Mzee wa Vijisenti alivyojibu kuwa ana ng'ombe wenye kuweza kupata Dollar milioni? Kazi yao kubwa ni kulindana tu.
      Whatever exists is already becoming obsolete.

    18. #18
      Tayseer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 130
      Rep Power : 409
      Likes Received
      21
      Likes Given
      2

      Default Je tutafika kwa majibu haya ya kina Chikawe?

      Hebu wana Jf tujaribuni kuchambua maelezo yaliyo tolewa na muheshimiwa Chikawe kuhusu sakata la rada kwa siku ya jana na leo alipokuwa ana jibu swali la muheshimiwa Mnyika.
      Last edited by Tayseer; 7th August 2012 at 10:32.

    19. #19
      Kichiringa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 366
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Je tutafika kwa majibu haya ya kina Chikawe?

      Mkuu hatufiki popote. Ila isikupe presha kwa sasa. Mambo ya kulindana yana mwisho wake. Hata wengine.....waliwahi kulindwa lakini ikafika kipindi tukawasepesha.

      Lets keep insisting.........

    20. #20
      Tayseer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 130
      Rep Power : 409
      Likes Received
      21
      Likes Given
      2

      Default Re: Je tutafika kwa majibu haya ya kina Chikawe?

      Ni kweli mkuu tuwekeni nia ili kwa kutumia sanduku la kura tuondoe wote wanao kula na wanaowajua watuhumiwa lakini wana wafunika kwa shuka jeupe let do it tanzanian tuonyesheni nguvu zetu kwa hawa mchwa wala nchi yetu

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...