Waziri Mathias Chikawe amemtetea anasema hakuna ushahidi, akaendelea kwamba kama kuna mtu yeyote ndani na nje ya Tanzania mwenye ushahidi 'concrete' aulete; anasema sio ushahidi wa kwenye magazeti.
Volunteers are not paid -- not because they are worthless, but because they're priceless!
Mkuu hapo kwenye kusema mwenye ushahidi alete wakati tunavyombo mahsusi kwa ajili ya upelelezi huwa pananitia kichefuchefu sana kwani vyombo vetu vya police,usalama wa taifa au takukuru kazi yake nini kama wanataka ushahidi toka kwa wananchi hii Mungu tuondolee hii mijitu imeshiba rushwa na wizi hata wanashindwa kutambua wajibu wao
Lakini Jk si kashasema Isue ya rada hakukuwa na rushwa?
sasa watakaotajwa hapo ni akina nani tena?
"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"
Mimi Namsaidia kuwataja
1. Andrew Chenge
2. Dr. Idrissa
3. Vithlan
4. ..........
Kama mnasubiri haya magamba yawataje mta kesho. Kumbuka kesi ya Tundu Lissu na wabunge wala Rushwa.
Sasa kama hakukuwa na rushwa yule muhindi Shailesh P Vithlani nini kilichomfanya aikimbie nchi na hatimaye kuwekwa katika "wanted list" ya Interpol? Na vile vijisenti vilivyokutwa kwenye bank accounts za Chenge na Idissa Rashid nchi za nje ambavyo vilisemekana vilitokana na malipo toka kwenye bank account ya Vithlani ni nani anayeweza kuvitolea maelezo ya kuridhisha kwamba havikutokana na rushwa ya ununuzi wa rada? Wahusika wa rushwa katika manunuzi yale ni Mkapa, Mramba, Vithlani, Chenge, Idrissa Rashid na wengineo wengi ambao Serikali imeamua kuwakingia kifua.
The former Attorney General and cabinet minister, Andrew Chenge, is among senior public officials investigated for allegedly receiving kickbacks to endorse the sale. A local businessman, Tanil Somaiya and his trading partner Shailesh P. Vithlani, who is wanted by the Interpol over the dubious deal, were also named in the SFO report.
This excerpt is from Daily News dated 18th August 2010
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Membe amekwepa kuongelea suala la radar. Amesema 'waziri mwenzangu amesema na ninyi wahe. Wabunge mkashangilia'. Amemwambia Wenje waonane kesho
Asiishie hapo tu aseme na pesa za walibya zimeenda wapi? anaposema zipo TIB bank ni majibu ya ubabaishaji lengo lilikuwa kujenga kiwanda cha cement mkoani Lindi kitu ambacho hakijafanyika mpaka leo.Membe fisadi tu amepora pesa za walibya.
Matusi na dharau kwa watanzania vinaendelea..Tunashukuru!!
"Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
"Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"
na nyie mnawaendekeza tu.. waacheni.. kadizoo!!! kama hakuna si hakuna. Waondoeni madarakani ili tuje kuwashughulikia. Mmesahau kuwa panya hawakamatani na pia hawatajani?
CHAVDA,VITHLANI,BALALI wamefichwa wasiwataje mafisadi!Jeetu PATEL aligoma na kesi anashinda
Jalala halichagui takataka.....Tanzania ni Jalala la jiji flani chafu.
"Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"
Haya ndiyo matatizo ya watawala kudai na kujiona wana uwezo wa kuendelea kuwadanganya Watanzania. Hebu fikiria Mzee wa Vijisenti alivyojibu kuwa ana ng'ombe wenye kuweza kupata Dollar milioni? Kazi yao kubwa ni kulindana tu.
Whatever exists is already becoming obsolete.
Hebu wana Jf tujaribuni kuchambua maelezo yaliyo tolewa na muheshimiwa Chikawe kuhusu sakata la rada kwa siku ya jana na leo alipokuwa ana jibu swali la muheshimiwa Mnyika.
Last edited by Tayseer; 7th August 2012 at 10:32.
Mkuu hatufiki popote. Ila isikupe presha kwa sasa. Mambo ya kulindana yana mwisho wake. Hata wengine.....waliwahi kulindwa lakini ikafika kipindi tukawasepesha.
Lets keep insisting.........![]()
Ni kweli mkuu tuwekeni nia ili kwa kutumia sanduku la kura tuondoe wote wanao kula na wanaowajua watuhumiwa lakini wana wafunika kwa shuka jeupe let do it tanzanian tuonyesheni nguvu zetu kwa hawa mchwa wala nchi yetu
Follow Us Here