Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      Nyakarungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 209
      Rep Power : 3119
      Likes Received
      122
      Likes Given
      101

      Default Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

      HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

      Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

      Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

      Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.

      MTAZAMO and Mikael P Aweda like this.


    2. #2
      ebaeban's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 153
      Rep Power : 381
      Likes Received
      139
      Likes Given
      1

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      What are you talking?

    3. #3
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,448
      Rep Power : 2250
      Likes Received
      1903
      Likes Given
      2828

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By Nyakarungu View Post
      Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

      HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

      Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

      Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

      Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.


      Ushindi wa adui hutegemea weakness yako! Tusiwape sababu na tusiwe sababu kufanikisha malengo binafsi bali taifa kupitia chama ulichoamua kukitumia kufanikisha ukombozi wa Taifa.Kudos ndugu!

    4. #4
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,321
      Rep Power : 3309
      Likes Received
      1336
      Likes Given
      1241

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By Nyakarungu View Post
      Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

      HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

      Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

      Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

      Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.

      Dont make noise_make newz plz.
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    5. #5
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,258
      Rep Power : 2082
      Likes Received
      974
      Likes Given
      3975

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      kwanza umechemka sana

      1.dunia siyo ya duara ni ya mviringo
      2. hakuna walokole dunia hii ila wapo waliokata shauri tu
      3.kichwa cha habari hakiendani na ulichoandika
      4. hujatajajina lako halisi na kutuambia ni hoja gani uliambiwa uje ujibu humu jf
      5.kiingereza chako ni cha mtaani zaidi
      director1 likes this.


    6. #6
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,321
      Rep Power : 3309
      Likes Received
      1336
      Likes Given
      1241

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By palalisote View Post
      kwanza umechemka sana

      1.dunia siyo ya duara ni ya mviringo
      2. Hakuna walokole dunia hii ila wapo waliokata shauri tu
      3.kichwa cha habari hakiendani na ulichoandika
      4. Hujatajajina lako halisi na kutuambia ni hoja gani uliambiwa uje ujibu humu jf
      5.kiingereza chako ni cha mtaani zaidi
      goooooood_halafu hao anawaita walokole wanafuatiliwa na shetani kwa sababu ni wanafiki...hawana lolote zaidi ya majisifu na majigambo ya kujifanya yesu na mungu ni wa kwao....anyway ngoja niwahi lunch ntarudi.
      palalisote likes this.
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    7. #7
      maria pia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 331
      Rep Power : 414
      Likes Received
      44
      Likes Given
      65

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      napita...baadae nitarudi

    8. #8
      findu fiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Posts : 328
      Rep Power : 481
      Likes Received
      50
      Likes Given
      33

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By IGWE View Post
      goooooood_halafu hao anawaita walokole wanafuatiliwa na shetani kwa sababu ni wanafiki...hawana lolote zaidi ya majisifu na majigambo ya kujifanya yesu na mungu ni wa kwao....anyway ngoja niwahi lunch ntarudi.
      Mungu ni wetu wote Imani ni ya mtu binafsi.Hivyo usiwakejeli walokole.
      IGWE likes this.

    9. #9
      Kakubilo Kasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 400
      Likes Received
      53
      Likes Given
      21

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Nimerudia mara kadhaa nione hiyo ndoto ya shetani kwa mlokole na ndoto ya ccm kwa CDM sijaona, inawezekana ulikuwa una post kwenye majamvi tofauti, unaweza kuja kivingine?

    10. #10
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,321
      Rep Power : 3309
      Likes Received
      1336
      Likes Given
      1241

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By findu fiki View Post
      Mungu ni wetu wote Imani ni ya mtu binafsi.Hivyo usiwakejeli walokole.
      Mkuu findu fiki_kitu gani so to speak,....if you read between lines you will get what i mean.....sina maana mbaya na walokole kwani nimezaliwa na kukulia kwenye ulokole,.....mmenye gu_mbilike mkulumba.
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    11. #11
      mwaJ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Location : Nowhere
      Posts : 3,520
      Rep Power : 14626
      Likes Received
      2357
      Likes Given
      1532

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Kwani Nyakurungu ndio nani? Unataka kuhama chama gani? Mie naona nasoma makelele tu hata sijamuelewa mleta uzi.
      palalisote likes this.
      “Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” -
      Albert Einstein

    12. #12
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1678
      Likes Received
      920
      Likes Given
      1673

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      NANI AMEKUAMBIA UJE UJIBU HOJA HUMU!??
      KWENI WEWE NI NANI!??
      NJOO BASI NA KA ID KAKO KA KWELI Nyakarungu
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    13. #13
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,284
      Rep Power : 656
      Likes Received
      213
      Likes Given
      133

      Default

      Quote By IGWE View Post
      Mkuu findu fiki_kitu gani so to speak,....if you read between lines you will get what i mean.....sina maana mbaya na walokole kwani nimezaliwa na kukulia kwenye ulokole,.....mmenye gu_mbilike mkulumba.
      usiongee usilolijua mungu akusamehe mkuu

    14. #14
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,321
      Rep Power : 3309
      Likes Received
      1336
      Likes Given
      1241

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By SAMRICH1 View Post
      usiongee usilolijua mungu akusamehe mkuu
      Najua ninachoongea ndio maana nikaongea_Mungu akusamehe wewe unayesema sijui wakati mimi najua najua.
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    15. #15
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Hii ni mara ya nane narudia kuisoma siielewi hii thread

    16. #16
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,742
      Rep Power : 1372
      Likes Received
      285
      Likes Given
      143

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By Nyakarungu View Post
      Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

      HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

      Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

      Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

      Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.

      nimesoma mara tatu nashindwa kuelewa,ulikuwa unataka kusema nini tukusaidie?
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    17. #17
      mayengo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 370
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Bado sijaona!

    18. #18
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,193
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      998
      Likes Given
      173

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By director1 View Post
      nimesoma mara tatu nashindwa kuelewa,ulikuwa unataka kusema nini tukusaidie?
      mkuu unaweza ukanisaidia seriously huyu Nyakarungu ni nani..?! sio jina maarufu hapa JF as he claimed amepotea na kuomba radhi or kulisikia katika medani ya siasa.. au ni mpya.. katika medani ya siasa?!
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    19. #19
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,826
      Rep Power : 1375
      Likes Received
      1096
      Likes Given
      4

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Mwenye thread ww ni nani? Unaposition gan ktk siasa za Tz na hasa CHADEMA? Ila usjie ukawa ni katibu wa tawi la CHADEMA kijijini alafu uje utupigie kelele hapa utadhan eti ni mbunge wa CDM au public figure wa chama.

    20. #20
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,193
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      998
      Likes Given
      173

      Default Re: Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

      Quote By Nyakarungu View Post
      Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

      HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

      Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

      Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

      Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.

      mkuu Nyakarungu wewe ni nani.. wengine hatukufahamu ..?
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...