Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Spika apata wageni toka Malawi!

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 55
    1. #1
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7790

      Default Spika apata wageni toka Malawi!

      Wadau punde spika Anna Makinda ametambulisha wageni toka Malawi akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Malawi.

      Je inawezekana ni mwanzo mzuri wa mazungumzo baada ya vile vitisho vya ziwa Nyasa au ndo kuzidi kwa mkorogano wa viongozi wetu katika kuiuza nchi yetu?

      Quote By WildCard
      Membe anapiga marufuku kuanzia leo shughuli zote za utafiti katika maeneo yalio ndani ya mipaka ya Tanzania.


      Last edited by zumbemkuu; 6th August 2012 at 11:43.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Crucifix's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 1,569
      Rep Power : 0
      Likes Received
      430
      Likes Given
      321

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Suluisho ni kuwa na serikali nne. Ya zanzibar, tanganyika, malawi, na ya muungano - TAZAMA

    4. #22
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7790

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By Crucifix
      Suluisho ni kuwa na serikali nne. Ya zanzibar, tanganyika, malawi, na ya muungano - TAZAMA
      etiii?
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    5. #23
      nyuki dume's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 391
      Rep Power : 515
      Likes Received
      21
      Likes Given
      9

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By Bornvilla
      Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
      Vita inaambatana na uchumi wa nchi kwanza tuangalie uchumi wetu unaruhusu kuingia vitani?Tusiseme kama tuandakika mistari ya bongofleva.athari ya vita ya Uganda ki-uchmi tunaiona hadi leo.

    6. #24
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      Quote By Bornvilla
      Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
      Kwa uchumi upi tulionao??

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    7. #25
      kibugumo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Location : arusha
      Posts : 389
      Rep Power : 870
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      waseme wameuziwa nani tumsweke ndani.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Kingcobra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 713
      Rep Power : 563
      Likes Received
      128
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Bornvilla
      Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
      Yes, kama tulivyochukua unguja na pemba.

    10. #27
      Mkeshaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : This is Anfield
      Posts : 3,635
      Rep Power : 1373
      Likes Received
      1091
      Likes Given
      318

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By Ringo Edmund
      walete zao waone kichapo chake na hivi tumegundua gesi marekani watajipendekeza kutupa ile mioto isiyokuwa na rubani.
      Si rahisi kama wengi wanavyofikiria.
      Unadhani confidence wameitoa wapi?
      You'll never walk alone - LFC.

    11. #28
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,957
      Rep Power : 12003
      Likes Received
      5276
      Likes Given
      5120

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By zumbemkuu
      Wadau punde spika Anna Makinda ametambulisha wageni toka Malawi akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Malawi.

      Je inawezekana ni mwanzo mzuri wa mazungumzo baada ya vile vitisho vya ziwa Nyasa au ndo kuzidi kwa mkorogano wa viongozi wetu katika kuiuza nchi yetu?
      Wasiwasi wangu ni kwamba huyo naibu spika wa bunge la malawi atakuwa amekuja kushuhudia reaction ya watanzania baada ya wao kutamka bayana kwamba ziwa nyasa ni lao lote.
      Kwa kutambua kwamba leo ministry of Foreign affairs wanafanya presentation ya budget yao basi wakaona waje kushuhudia kwa macho yao msimamo wa nchi ya Tanzania na wananchi wake kupitia chombo chetu cha bunge.

      Sasa kama wabunge wetu wasipoonyesha kwa dhati kwamba hawawezi kuruhusu kamwe uchokozi wa aina yoyote kutoka kwa malawi, na wakaendelea kutema mipasho bungeni, basi atarudi kwao na kuwaambia waendelee na uytafiti wao kama kawaida.
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    12. #29
      Gwakisa Mwandule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 418
      Rep Power : 431
      Likes Received
      149
      Likes Given
      1

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Sisi hatuna na hatujawahi kuwa na urafiki na malawi huyu mama wa malawi antaka kujaribu kila kitu hata sumu anataka kuionja! Yeye kama hajui umuhimu wa ardhi ya Tanzania ni lazima sasa tumuoneshe kuwa yeye ni kilaza wa siasa za kimataifa

    13. #30
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,954
      Rep Power : 2367
      Likes Received
      955
      Likes Given
      172

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By zumbemkuu
      Wadau punde spika Anna Makinda ametambulisha wageni toka Malawi akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Malawi.

      Je inawezekana ni mwanzo mzuri wa mazungumzo baada ya vile vitisho vya ziwa Nyasa au ndo kuzidi kwa mkorogano wa viongozi wetu katika kuiuza nchi yetu?



      Ni mwanzo mzuri! mambo mazuri hayati haraka watanzania

      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    14. #31
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7790

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By Mwita Maranya
      Wasiwasi wangu ni kwamba huyo naibu spika wa bunge la malawi atakuwa amekuja kushuhudia reaction ya watanzania baada ya wao kutamka bayana kwamba ziwa nyasa ni lao lote.
      Kwa kutambua kwamba leo ministry of Foreign affairs wanafanya presentation ya budget yao basi wakaona waje kushuhudia kwa macho yao msimamo wa nchi ya Tanzania na wananchi wake kupitia chombo chetu cha bunge.

      Sasa kama wabunge wetu wasipoonyesha kwa dhati kwamba hawawezi kuruhusu kamwe uchokozi wa aina yoyote kutoka kwa malawi, na wakaendelea kutema mipasho bungeni, basi atarudi kwao na kuwaambia waendelee na uytafiti wao kama kawaida.
      mkuu heshima yako.
      tahadhari mkuu, vita ya kuusaka urais ndani ya CCM ni mbaya sana, hata huyu mheshimiwa sana Membe huenda analake jambo. bwanawe, nimejikuta nahusisha tukio la hawa wageni toka malawi na hotuba ya Membe na urais 2015. usiniulize kivip, teh teh!
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    15. #32
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7790

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By njiwa



      Ni mwanzo mzuri! mambo mazuri hayati haraka watanzania

      mmh! labda bana, naona Membe na JK wanafanana karibia kila kitu, unafiki, fitna, mpaka UDHAIFU.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    16. bdo
      #33
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By Bornvilla
      Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
      Kama tutakavyowafanya waZenji wakileta za kuleta, tena Zenji tutaigawa vipande vipande, vingine vitakuwa wilaya za mikoa wa Mafia, Kinondoni, Bagamoyo, Tanga na Kilimanjaro

    17. #34
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,852
      Rep Power : 2331
      Likes Received
      2861
      Likes Given
      5516

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Soon ntakuwa wa Malawi mie.....

      Labda Mwanangu pia atakuwa adopted na Mwimbaji Madonna....

      Malawi njooni haraka basi.......................

      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    18. #35
      BobMic's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 361
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By Kiumbo
      Wimbo wa miss tanzania wa solo thang ni jibu tosha ya haya yanayoendelea.
      Nimeupenda sana huo wimbo..ngoja niweke mashairi yake hapa wadau msome:
      MISS TANZANIA-SOLO THANG
      "[Ubeti wa Kwanza]
      Baba yake alikuwa mkoloni kipindi huyu Miss mwali
      Mchonga alikata utepe lakini hakuvinjari
      Sababu alikua busy kumlinda na geti kali
      Kumbe wenzake wanabinjuka, kushtuka akakaa mbali
      Demu alikua na heshima kabla haijatangazwa Rukhsa
      Chukua Chako Mapema ukimkonyeza tu umegusa
      Ana kifua kimebetuka sio maziwa ni madini
      Kayaacha wazi, watu wanashika hapo ndio anaponiudhi mimi
      Watu wanagonga tu Ikulu tena kwa mitindo huru
      Kavu kavu bila kinga hajali vinavyodhuru
      Kawa shangingi na amedata hana uwoga wa kunguru
      Anapenda sana chapaa haimtoshi kodi na ushuru
      Ana kijungu matata laini kama nyanya masalo
      Anatingisha Afrika nzima na mzigo Kilimanjaro
      Usimchezee kwa vidani sio pete sio hereni
      Anamiliki tanzanite kama ardhi ya Mererani
      Sura dhahabu inaita kama amezaliwa Geita
      Tatizo ndio kicheche kila mwanaume ndio amepita
      Hata Benja hakutoka Kapa huyu demu hajatulia
      Kama rushwa ndio kikwapa ananuka na kunukia
      [Kiitikio]
      Miss Tanzania
      Nakupenda ila hujatuliaa
      Vitendo vyako sitojivunia
      Sifa yako kubwa umefulia
      Miss Tanzania
      [Ubeti wa Pili]
      Bora angebaki kuwa modo kama Flavian Matata
      Ila demu amejiachia kisa anaendekeza bata
      Sitachoka kuwakilisha jinsi anavyoniacha hoi
      Juzi juzi kaopolewa na Handsome Boy
      Kabla hapo shoga zake wote kashawaona mabwege
      Sababu hawana dira na yeye ameshahongwa ndege
      Anafaa kuwa Miss Dunia maandalizi longolongo
      Tatizo anakula sana akijamba ni Songosongo
      Mara ghafla kanenepa kumbe mimba B.O.T.
      Kumbe demu aligawa EPA watu wamepiga hafu jii
      Alizugwa na akaunti hewa kuwadi Bwana Bilal
      Mara mdomo naye kazimwa bila hata picha ya kaburi
      Kinachomponza huyu shawty utulivu sifuri
      Ila hakuna anayepinga kwamba huyu demu ni mzuri
      Mixer siasa na biashara demu ameshakuwa chotara
      Mishe za Dar akimaliza Mjengoni anakwenda lala
      Kadri miaka inavyokwenda demu anazidi fulia
      Kumbe weupe ni mkorogo ona mwili sasa umefifia
      Demu kazidi umalaya wacha mabwana wamteme
      Haogopi kuliwa mtungo kisa anagawa umeme
      [Kiitikio]
      [Ubeti wa Tatu]
      Wadaku walishamfuma anakula denda na Richmond
      Dowans akazidi kete akamvisha pete ya diamond
      Binti masikini akanasa bwana mshenga ndio Lowasa
      Shemeji hataki hata picha ndio tabia gani sasa
      Ndoa ilifungwa kwa vifijo vigogo wakala pizza
      Keki nzima wale wao share yetu si ni giza
      Sio hayo demu ana mengi ya kuchukiza
      Malighafi ashazinadi for sale anajiuza
      Mtaani ilivuma rumor demu kawa mama huruma
      Uchumi umefungwa drip maendeleo ndio kali homa
      Mali asili ndio kitasa kila ufunguo ndio unapita
      Toka alipovunja ungo nusu karne imeshapita
      Mapenzi kafanya mradi anamegwa na mafisadi
      Amani kwa time bomb binti amekumbatia radi
      Vitendo vyake vibaya vinafanya adharaulike
      Tabia Katiba sio Msahafu ndio useme isibadilike
      Mikosi inayomkuta ndio kwanza anatabasamu
      Hajali waliomzunguka kama nao binaadamu
      Mbagala walimbaka mpaka akamwaga damu
      Na juzi Gongo la Mboto kaanza kujamba mabomu
      [Kiitikio]"

    19. #36
      m_tz's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Hv, wewe umemaliza hata la saba, mbona uko nje ya mada kabisa. JF ni mtandao wa wajinga wengi wanazungumza bila mpangilio.
      Quote By manucho
      Kwa jinsi wanauza kila kitu huku ndani ya nchi hata visivyohamishika wanauza na vinahamishwa, wamalawi watakuwa wako sahihi. Walishauziwa sasa wanataka eneo lao walilokwisha uziwa.

      Sidhani kama malawi hawaelewi, wanaelewa mipaka kila kitu suala ni kwamba walishauziwa na hawa kina Mkapa, J. K na team zao.

    20. #37
      mchillo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 362
      Rep Power : 512
      Likes Received
      115
      Likes Given
      181

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By Bobuk
      Samahani pamoja na mahaba yangu na TANGANYIKA lakini sio kweli kwamba UN inasema mipaka ya nchi inapokutana na ziwa basi kila nchi imiliki nusu ya eneo husika.

      Kama ingekwa hivyo, mbona Tangayika tunamiliki > 60% ya LAKE VICTORIA na < 40% inayobaki ndiyo inamilikiwa kwa pamoja na Kenya na Uganda?!
      Ni kwa sababu tuna mpaka mpana zaidi na ziwa hilo kuliko nchi yoyote miongoni mwetu. Kwa hiyo hata umiliki wetu utakuwa mkubwa. Umeelewa?
      Heri ujinga wa mtu mzima kuliko busara za kichaa

    21. #38
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1828
      Likes Given
      3343

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Mi naona ingefaa kama wangeuza ikulu yaani pango la wala rushwa. Maana maamuzi yote ya kipuuzi yanatoka mle. Wameshindwa kukanusha kuwa hata watekaji wa Ulimboka walitoka mle. Badala yake wanafungia magazeti. Kama wana ubavu waje waifunge JF waone walichoona akina Gaddafi.

    22. #39
      mchillo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 362
      Rep Power : 512
      Likes Received
      115
      Likes Given
      181

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Quote By bdo
      Kama tutakavyowafanya waZenji wakileta za kuleta, tena Zenji tutaigawa vipande vipande, vingine vitakuwa wilaya za mikoa wa Mafia, Kinondoni, Bagamoyo, Tanga na Kilimanjaro

      Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.

      Acheni unazi wa kijinga usio na tija nyinyi! mnavijua vita au mnavisikia? Hivi hizo bangi huwa mnachanganya na gongo la...au.....? Muwapige wamalawi kwa sababu zipi? kuhoji mipaka waliyoachiwa kisheria na wakoloni sawa na sisi tulivyoachiwa? Ukweli ni kwamba katika mzozo wa Malawi nchi zote ziko sahihi na kinachotakiwa ni busara hata kidogo tu, yaani kuvuta viti, kukaa pamoja na kuelewana mbele ya mashuhuda (AU/UN); na hili la Zanzibar limetokea wapi? wamefanya nini hadi muwagawe vipande vipande? Kwani ni koloni la Tanganyika lile? Zanzibar ni taifa huru lililoridhia kwa hiyari yake kuungana na taifa jingine kwa maslahi ya nchi mbili. Wana uwezo wa kuamua kujitoa kama walivyoamua kujiunga na sisi. Licha ya kuwa na eneo dogo na watu wachache; wanasimama kama taifa lenye hadhi sawa na Tanganyika, Kenya, Marekani au nchi yoyote unayoifahamu na kwa taarifa zenu walevi wa namna hiyo Zanzibar si taifa dogo sana kiasi hicho kwani kuna nchi zina watu elfu kumi na zina hadhi sawasawa na Marekani na Uingereza! Sasa sina shaka kwamba chokochoko baina ya pande hizi mbili mara nyingi huchochewa na walevi msiojua kabisa athari za vita. Kelele za namna hii zikikutana na watu wa aina yenu kule ndiyo yanatokea yanayotokea! Mungu ibariki Tanzania, dumisha amani na umoja!
      Last edited by mchillo; 7th August 2012 at 06:22.
      Heri ujinga wa mtu mzima kuliko busara za kichaa

    23. bdo
      #40
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: Spika apata wageni toka Malawi!

      Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika, Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, nisaidie kwa jambo hili kwanza, hivi Uamsho ni nani nchi hii, je nao pia wanaimba Mungu Ibariki Tanzania, Dumisha Uhuru na Umoja.....Tanzania na watu wake, je uamsho nao huwa wanaimba wimbo huu kwa kusisimka? Makanisa yaliyounguzwa huko zenj ni kwa ajili ya nini, Pili umoja ni nguvu na utengano ni uzaifu kwa kuna ubaya gani, kuwa na taifa moja - mbona wilaya za Iringa zimepelekwa Njombe, vijiji na wilaya za mwanza na kagera vimekuwa Geita, kwa nini Zenji isiwezekane, maana ni umoja huo huo?
      Quote By mchillo


      Acheni unazi wa kijinga usio na tija nyinyi! mnavijua vita au mnavisikia? Hivi hizo bangi huwa mnachanganya na gongo la...au.....? Muwapige wamalawi kwa sababu zipi? kuhoji mipaka waliyoachiwa kisheria na wakoloni sawa na sisi tulivyoachiwa? Ukweli ni kwamba katika mzozo wa Malawi nchi zote ziko sahihi na kinachotakiwa ni busara hata kidogo tu, yaani kuvuta viti, kukaa pamoja na kuelewana mbele ya mashuhuda (AU/UN); na hili la Zanzibar limetokea wapi? wamefanya nini hadi muwagawe vipande vipande? Kwani ni koloni la Tanganyika lile? Zanzibar ni taifa huru lililoridhia kwa hiyari yake kuungana na taifa jingine kwa maslahi ya nchi mbili. Wana uwezo wa kuamua kujitoa kama walivyoamua kujiunga na sisi. Licha ya kuwa na eneo dogo na watu wachache; wanasimama kama taifa lenye hadhi sawa na Tanganyika, Kenya, Marekani au nchi yoyote unayoifahamu na kwa taarifa zenu walevi wa namna hiyo Zanzibar si taifa dogo sana kiasi hicho kwani kuna nchi zina watu elfu kumi na zina hadhi sawasawa na Marekani na Uingereza! Sasa sina shaka kwamba chokochoko baina ya pande hizi mbili mara nyingi huchochewa na walevi msiojua kabisa athari za vita. Kelele za namna hii zikikutana na watu wa aina yenu kule ndiyo yanatokea yanayotokea! Mungu ibariki Tanzania, dumisha amani na umoja!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...