Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 98
    1. #1
      Yericko Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!
      Hali ndani ya ccm imezidi kuwa mbaya na ambayo haijawahi kutokea tangu kuundwa kwa chama hiki tangu mwaka 1977,

      WAHAFIDHINA ndani ya ccm wameapa kuwa hawapo tayari kuona ccm ikishindwa Uchaguzi ujao, na wapo tayari kufia miguuni kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Tz,

      Taarifa za ndani na zakuaminika zinasema mpasuko wenye kutishia hata usalama wa nchi yetu,umeanzaa baada ya Lowassa kulazimishwa na wanausalama kuhudhuria UGAWAJI wa ng'ombe pale Monduli ulioratibiwa na kusimamiwa na Rais Jakaya Kikwete!

      Kimsingi inasemekana Lowasa alishaapa kutokaa meza moja na JK, hivyo kitendo cha kulazimishwa kuwepo na kuamuliwa kutoa kauli ya kumsifu jk imemkera sana yeye na wanamtandao wake ndani ya ccm na wamepanga kufanya UASI mkubwa ndai ya CHAMA na ikibidi wanasema (nje ya chama)!

      Wakati hilo likijiri kambi ya Samweli Sita nayo imechukizwa sana na hatua ya JK kukaribiana na Lowasa kwani wanasema kitendo cha JK kuwa (maadui) kilikuwa kikiwasaidia wao kujijenga kisiasa na kutimiza malengo yao ya Urais 2015

      Hawa nao wanatafakari hatua za kuchukua na inatajwa kuna vikao vya siri vimekuwa vikifanyika Tabora na Masaki vikiratibiwa na wanamtandao wa Sitta!

      Kundi lingine ni la Waziri Membe,

      Kwanza Membe amekasirishwa sana kuona wanaccm wanamchafua huku mwenyekiti jk akiacha tu hizo rafu bila kupuliza kipyenga, amefika mbali na kusema sasa anajibu mapigo,

      Wakati kundi la mwishoo ni la vijana, likiongozwa na Januari Makamba, Emanuel Nchimbi, Nape Nauye nk

      Hawa wamestushwa sana na mwenyekiti kuwageuka nakuanza kuwa karibu na Lowasa wakati alishawaahidi kuwa sasa ni zamu ya vijana,

      Hili nalo linajiapiza kuwa bora chama kife lakini sio kuongozwa na wazee kwakuwa wameongoza kwa miaka 50 lakini nchi inakuwa kwa kurudi nyuma,

      Wakati kundi hili likisema kwa manung'uniko, linaonekana kama linasalitiana kwakuwa baadhi yao wameanza kupingana na kudharauliana wao kwa wao, na wengi wakimtupia lawama Januari na Nape kwa wamekuwa wakijipendekeza kwa Mwenyeti badala ya kujenga umoja wao!

      Wadadisi wa siasa za ccm wanasema kuwa hali iliyopo haiwezi kutatulika bila juhudi za vyama marafiki vya nje, kama ANC afrika Kusini, PLO cha Palestina, Frelimo cha Msumbiji,nk

      Haya ndugu zangu mungu aepushilie mbali Chama hiki kife bila kurusha miguu maana kitatuingiza kwenye matatizo makubwa!
      Last edited by Yericko Nyerere; 6th August 2012 at 08:08.
      style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="https://www.jamiiforums.com/clear.gif" alt="Reply With Quote" /> Reply With Quote

    2. Miaka 50

    3. #2
      Emma.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 856
      Rep Power : 519
      Likes Received
      110
      Likes Given
      0

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Kwisha kazi ccm imefikia tamati hapo hakuna atayeweza tena kukirudisha
      Kiwi likes this.

    4. #3
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,598
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1154
      Likes Given
      745

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Mimi siamini kuwa kufa kwa ccm kunatakuwa na madhara kwenye Taifa letu. ccm hii ingekuwa makini na impact kwenye nchi yetu kikwete asingekuwa hata mkuu wa wilaya, achilia mbali kuwa raisi.
      Jasusi, bdo, Kiwi and 2 others like this.

    5. #4
      Kiwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 366
      Rep Power : 563
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1164

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Sikio la kufa halisikii dawa! Kama falme zilivyoinuka na kuanguka, anguka kuu la ccm limekaribia! Chama kimekiuka miiko, kimewasahau wakulima na wafanyakazi, kimekumbatia mafisadi, na kinazima kila njia ya sauti ya wanyonge kusikika. Huwezi kujenga nyumba imara yenye msingi dhaifu!

    6. #5
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Me hilo halininyimi usingizi,,,,,sinufaiki na chama chochote kwa namna yeyote,,,,,,,,

    7. FemaTV & Radio

    8. BAK
      #6
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,561
      Rep Power : 44957
      Likes Received
      8286
      Likes Given
      8280

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Tuwaache wakorogane tu maana mifarakano ndani ya magamba ni faida kubwa sana kwa Tanzania na Watanzania.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    9. #7
      malaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 980
      Rep Power : 640
      Likes Received
      233
      Likes Given
      61

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Ngumi za makaburini.
      Mchambuzi likes this.

    10. #8
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Inakuwaje mtu analazimishwa kugawa Ng'ombe na akakubali? Halafu huo si mchezo wa siasa tu kama michezo mingine?
      Msalagambwe likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    11. #9
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,169
      Rep Power : 620
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Hii ni habari njema kwa wapinzani wa ccm! Ni wachache walio makini watakaojighulisha walau kuhoji chanzo cha habari yenyewe achilia mbali kutafuta usahihi wake! Ingawa imekaa kishabiki sana na kikutungwa tungwa!! Sikatai mpasuko ndani ya ccm hilo halina shaka, ila je, ni ya kweli haya? Ikiwa jibu ndiyo basi ni wakati wa watanzania kusahihisha makosa yaliyoligharimu taifa kwa miaka 50. Wacha tuone!!!

    12. #10
      oyaoya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 194
      Rep Power : 402
      Likes Received
      32
      Likes Given
      15

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Mkuu,

      Hoja nyepesi sana hiyo, haiwezi kusababisha mpasuko unaousema. CCM inajipanga sasa hivi, ndo maana wapinzani kwa nje mnakikuza hata kidogo kinachotokea chamani. poleni sana

    13. #11
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,185
      Rep Power : 3551
      Likes Received
      3050
      Likes Given
      460

      Default Re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru Chama hicho!

      Yericko Nyerere

      R U GUESSING OR SERIOUS Unaposema Juhudi za Kimataifa? What is CCM again? first PLO haiwezi kusuluhisha

      Sababu ilikuwa inamsaport IDD AMIN kwenye VITA na Tanzania na pia walipeleka Wanajeshi...

      ANC Umeona Haina Uhusiano na Tanzania toka Oliver Tambo aondoke... Waliopo Sasa hawana Connection

      FRELIMO labda lakini watamuita LOWASSA na SITTA na kuwaambia pendaneni? kuna utajiri wa GAS?

      Frelimo wenyewe sio Socialist RAIS wao ni billionea kwahiyo sijui itikadi gani itawasaidia CCM...

      NDOTO NDOTO....
      Jasusi and rodrick alexander like this.

    14. #12
      Isalia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 453
      Rep Power : 471
      Likes Received
      66
      Likes Given
      0

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Mbona hili umelisahau kwa upande wazanzibar kuhusu mfumo wa muungano mbona watu vidole machoni hawatambuani yaani raha kama nini chama hiki kinakoelekea

    15. #13
      kibugumo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Location : arusha
      Posts : 387
      Rep Power : 870
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Siasa ni mchezo mchafu, hivi kwa shughuli ya kugawa ngombe kwa nini asingeenda waziri mkuu au waziri wa mifugo, au Wassira au hata Lukuvi? Hivi ni kwa nini Bwana Mkubwa anaingizwa kwenye mitego ya kiaina hivi?

      Kama wanakufa wakafie mbele ya safari, hii Tanzania ni yetu sote sio ya wajanja wachache mafisadi.Hatuwezi kuendelea kuwa waoga kwa ajili ya magamba, mbona wao wanapofisadi nchi sio waoga?

      Hata wakija vijana,embe halianguki mbali na mti na mtoto wa nyoka na nyoka, CCM wamepoteza mwelekeo na uhakali wa kuongoza nchi.

    16. #14
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,196
      Rep Power : 12564
      Likes Received
      5766
      Likes Given
      754

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Heading na Content tofauti kabisa...ebu pitia hotuba ya Lowassa wakati anaongea na waandishi wa habari anakuambia yeye na JK hawakukutana barabarani...nimefungua hii thread nikidhani nakutana na habari ya maana kumbe ni Vapour.
      Last edited by Ritz; 5th August 2012 at 17:58.
      Jasusi likes this.

    17. #15
      Aristides Pastory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 436
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bajabiri
      Me hilo halininyimi usingizi,,,,,sinufaiki na chama chochote kwa namna yeyote,,,,,,,,
      wewe umerikoroga sasa nini kilichokuhusu hapo juu...

      Kama wewe sio GAMBA ni nini???

    18. #16
      Aristides Pastory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 436
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default

      Bora cCm kife kabla ya 2015 maana hata raia wamesikika wakisema

      ''...bora kuishi na vVu kuliko kuongozwa na cCm...''{mwisho wa kunukuu}
      Ndallo likes this.

    19. #17
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,601
      Rep Power : 22055
      Likes Received
      992
      Likes Given
      777

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Liwalo na liwe tena ikifa kaburi lake liwe futi 12 kama tunavyozika wachawi kwetu!The country is in shamble and disorganised with
      Widespread lack of patriotism bse of CCM

    20. #18
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,049
      Rep Power : 24548
      Likes Received
      3126
      Likes Given
      354

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Uzuri wa Lowasa anajua kucheza na mbongo za magamba! Muda si mrefu atawaformat vichwa vyao na watasahau yote yaliyopita maana watayaita yaliyopita si ndwele.
      Na watakapo yaita kuwa si ndwele m4c itakuwa imezibua shampeni na kizibo kinadondokea magogoni.
      Nicholas, mwakaboko and Sangarara like this.

    21. #19
      Kalila's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th September 2010
      Location : tanzania
      Posts : 248
      Rep Power : 490
      Likes Received
      57
      Likes Given
      28

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      lowasa kiboko ukimuona kanisani azania front kama mlokole vile kumbe.......

    22. #20
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,669
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default re: MPASUKO mkubwa CCM, Juhudi za Kimataifa zinahitajika kukinusuru!

      Quote By Ritz
      Heading na Content tofauti kabisa...ebu pitia hotuba ya Lowassa wakati anaongea na waandishi wa habari anakuambia yeye na JK hawakukutana barabarani...nimefungua hii thread nikidhani nakutana na habari ya maana kumbe ni Vapour.
      Walikutana wapi? Au guest house

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...