Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Wana JF na labda hata Nape anaweza kutusaidia hapa .Nina nyeti za uhakika kwamba terminal 3 is no more watu wamegawana pesa na mradi umesimama lakini ndiyo kifo chake .Ulifanyika ujanja kama ule uliotumika kuchukua pesa ya Safari ya JK .Mwakyembe kama sijakosea hili liko chini yako na JK unatueleza nini na hasa baada ya kuwaondoka watanzania tena wapiga kura wa CCM kwa mabavu na kuwafanya kuwa masikini kwa jina la kupanua uwanja na sasa kimyaaaa .
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,186
      Rep Power : 24275
      Likes Received
      4682
      Likes Given
      2300

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Mkuu unazimanage vipi thread zote? We kweli kiboko aisee!
      genekai likes this.

    4. #3
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Quote By Lunyungu
      Wana JF na labda hata Nape anaweza kutusaidia hapa .Nina nyeti za uhakika kwamba terminal 3 is no more watu wamegawana pesa na mradi umesimama lakini ndiyo kifo chake .Ulifanyika ujanja kama ule uliotumika kuchukua pesa ya Safari ya JK .Mwakyembe kama sijakosea hili liko chini yako na JK unatueleza nini na hasa baada ya kuwaondoka watanzania tena wapiga kura wa CCM kwa mabavu na kuwafanya kuwa masikini kwa jina la kupanua uwanja na sasa kimyaaaa .

      Ha ha ah Mkuu Ulikuwa wapi wakati akina Shukuru Kawambwa wanagawana Kasungura ka Terminal Three hao ndio CCM bana bwaha ha ha aaa
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    5. #4
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Quote By Albedo
      Ha ha ah Mkuu Ulikuwa wapi wakati akina Shukuru Kawambwa wanagawana Kasungura ka Terminal Three hao ndio CCM bana bwaha ha ha aaa
      Mkuu umenishitua sana kumtaja SK .Huyu jamaa kumbe ni wembe usio na makali wala haraka ? Mie nimeshangaa kusikia habari hii kwamba mfadhili kashituka wakati pesa watu wamesha hamisha .
      Albedo likes this.
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    6. #5
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Kila wakati nikipita pale najiulizaga lini wataweka terminal 3 papendeze kumbe watu washagawana pesa...
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Quote By mtotowamjini
      Kila wakati nikipita pale najiulizaga lini wataweka terminal 3 papendeze kumbe watu washagawana pesa...
      Utangoja Mirere na Utakufa Bila Kerere kama Wafuasi wa Kibwtere Mboooongoooo Mbongo Dar es Salaaam
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    9. #7
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 548
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Jamani wa dsm! Iyo trm 3 ilikuwa ijengwe wapi sie wengine tupo nje na mkoa huo! All in all laana iwaangukie mafisadi wote wa mradi!
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    10. #8
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,744
      Rep Power : 725
      Likes Received
      292
      Likes Given
      266

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Mungu ibariki Tanzania!

    11. #9
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,391
      Rep Power : 665
      Likes Received
      448
      Likes Given
      262

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Mkuu habari hii ni tamu ila nadhani ingekuwa vizuri ukatuwekea japo hizo bank transfers papers au MOU za kugawana huo 'umatemate' wa terminal 3. hiyo ingeleta heshima sana kwa jukwaa letu.

      unajua ukishamtaja mkuu wa kaya kwa tuhuma kubwaa hivi halafu hutoi vielelezo, heshima ya JF inakuwa mashakani.
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

    12. #10
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Quote By Bitabo
      Mkuu habari hii ni tamu ila nadhani ingekuwa vizuri ukatuwekea japo hizo bank transfers papers au MOU za kugawana huo 'umatemate' wa terminal 3. hiyo ingeleta heshima sana kwa jukwaa letu.

      unajua ukishamtaja mkuu wa kaya kwa tuhuma kubwaa hivi halafu hutoi vielelezo, heshima ya JF inakuwa mashakani.
      Mkuu hakuna ushahidi zaidi ya ukweli kwamba hakuna ujenzi na hakuna pesa na hata katika bajati hujasikia hilo kutajwa sasa ushahidi gani ?
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    13. #11
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,541
      Rep Power : 807
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Hili jambo lilikwepo humu muda kidogo. Ninachojua hawa wafadhili wa kichina walitaka na dili za Uranium, zilivyogoma wakapull plug zote.

    14. #12
      mkigoma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 486
      Rep Power : 331
      Likes Received
      82
      Likes Given
      0

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      watu watu wa jf kwa uwongo wamefuzu, ukweli unaachwa pembeni, ila siasa za uwongo, sijui lini tutatoka hukn!

    15. #13
      Machiavelli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd October 2007
      Location : The Settlement, British Virgin Islands
      Posts : 69
      Rep Power : 608
      Likes Received
      10
      Likes Given
      39

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Mkigoma

      Tafadhali omba msamaha kwa Lunyungu! Au na wewe ni mpambe wa Riz1? Maana wale wachina wanadai VX Land Cruiser mpaka leo!! Dogo deal alishindwa ku-deliever unabisha nini? Usindandie treni kwa mbele uliza facts watu watamwaga and that is the bottom line!

    16. #14
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Lunyungu
      Wana JF na labda hata Nape anaweza kutusaidia hapa .Nina nyeti za uhakika kwamba terminal 3 is no more watu wamegawana pesa na mradi umesimama lakini ndiyo kifo chake .Ulifanyika ujanja kama ule uliotumika kuchukua pesa ya Safari ya JK .Mwakyembe kama sijakosea hili liko chini yako na JK unatueleza nini na hasa baada ya kuwaondoka watanzania tena wapiga kura wa CCM kwa mabavu na kuwafanya kuwa masikini kwa jina la kupanua uwanja na sasa kimyaaaa .
      People who feed on rumour mongering!

    17. #15
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 573
      Likes Received
      258
      Likes Given
      243

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Quote By Lunyungu
      Wana JF na labda hata Nape anaweza kutusaidia hapa .Nina nyeti za uhakika kwamba terminal 3 is no more watu wamegawana pesa na mradi umesimama lakini ndiyo kifo chake .Ulifanyika ujanja kama ule uliotumika kuchukua pesa ya Safari ya JK .Mwakyembe kama sijakosea hili liko chini yako na JK unatueleza nini na hasa baada ya kuwaondoka watanzania tena wapiga kura wa CCM kwa mabavu na kuwafanya kuwa masikini kwa jina la kupanua uwanja na sasa kimyaaaa .
      haya majina ya mwakyembe na Jk yametoka wapi tena na hili terminal 3? ukweli ni kua mkataba ulisainiwa na serikali ya china huko china na kampuni ikachaguliwa kuja kuanza ujenzi. Sasa kama kawaida fat cats wawili watatu wakauliza chetu kiko wapi?( ufisadi wa tanzania hata katibu kata anaweza chukua chake bila ya mwenyekiti wake kujua). wajenzi wakasema sisi hatujui kama kuna makubaliano binafsi, sisi tuko hapa kujenga tu, fat cats wakaona isiwe shida project ikasimamishwa. Hapa sidhani kama SK,Jk etc wanahusika na lolote zaidi ya wachache waliokua wanasimamia mradi kudai kampuni haina uwezo ije nyingine na mkataba ule kuvunjwa

    18. #16
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Hii ndo Tanganyika last time kulikuwa na uzio wa mabati itabidi nayo tuanze kugawana

    19. #17
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3567
      Likes Received
      3073
      Likes Given
      463

      Default Re: JK na Mwakyembe terminal 3 JKN mmekubali wamekula ?

      Quote By Lunyungu
      Wana JF na labda hata Nape anaweza kutusaidia hapa .Nina nyeti za uhakika kwamba terminal 3 is no more watu wamegawana pesa na mradi umesimama lakini ndiyo kifo chake .Ulifanyika ujanja kama ule uliotumika kuchukua pesa ya Safari ya JK .Mwakyembe kama sijakosea hili liko chini yako na JK unatueleza nini na hasa baada ya kuwaondoka watanzania tena wapiga kura wa CCM kwa mabavu na kuwafanya kuwa masikini kwa jina la kupanua uwanja na sasa kimyaaaa .



      HIVI kweli hawa VIONGOZI wa Jakaya Kikwete wana UCHUNGU na NCHI? Wakati wanajenga Terminal 2 Nyerere Pamoja

      Na Ujamaa aliweka zabuni na kampuni ya KIFARANSA ikashinda wakajenga TERMNAL 2; MPAKA leo Tunayo na ni JENGO

      BORA ni sisi Waafrika hatujui Utunzaji...

      Sasa Terminal 3 nani alikuwa Mzabuni? Usiniambie walichagua contractor MBONGO kama wa KIWANJA CHA NDEGE CHA

      MBEYA... AMBACHO HAUJUI were is the terminal... Just the run-way...

      WEZI WEZI... MTASHIKWA... SIKU ZENU NI AROBAINI...

    20. #18
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Not reachable
      Posts : 2,135
      Rep Power : 609
      Likes Received
      241
      Likes Given
      213

      Default

      Quote By Lunyungu
      Wana JF na labda hata Nape anaweza kutusaidia hapa .Nina nyeti za uhakika kwamba terminal 3 is no more watu wamegawana pesa na mradi umesimama lakini ndiyo kifo chake .Ulifanyika ujanja kama ule uliotumika kuchukua pesa ya Safari ya JK o.Mwakyembe kama sijakosea hili liko chini yako na JK unatueleza nini na hasa baada ya kuwaondoka watanzania tena wapiga kura wa CCM kwa mabavu na kuwafanya kuwa masikini kwa jina la kupanua uwanja na sasa kimyaaaa .
      Source: Taarifa za kiintelejensia za Marando wa Manji

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...