Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      ​NILIANDIKA hapa jana juu ya mada hapa juu. Nilisema najua baadhi ya watu watakuwa wamepongeza uteuzi wa Mwambene kuwa mkurugenzi wa MAELEZO kwa kuzingatia kuwa ni kijana na labda ataleta mabadiliko fulani kwenye tasnia ya habari.

      Lakini nataka nitoe angalizo dogo ili muweze kufahamu kinundani kilichosababisha Mwambene kuteuliwa na Rais Kikwete kushika nafasi hiyo.

      Uteuzi wa Mwambene unatokana na ile habari ya Membe na ufungiwaji MwanaHalisi. Membe ndiyo kiini cha kufungiwa MwanaHalisi kwa sababu ya kulinda maslahi yake binafsi kwa ZOKA. Membe na Zoka ni pacha na kidole, na kwamba ndiyo tegemeo la Membe la kufikishwa Ikulu ndani ya Usalama wa taifa.

      Mnakumbuka jinsi stori za kutekwa kwa Dk. Ulimboka zilivyokuwa zinamuingiza moja kwa moja ZOKA katika mpango mzima. Kwa kuona hivyo, Membe akaamua kutumia njia za panya ikiwa ni pamoja na kumshawishi mkuu wa nchi kuagiza MwanaHalisi kufungwa.

      Naye Mwambene, licha ya kuwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, ni mtu wa karibu sana na Membe. Infact, pale wizarani watu wakiwa wanamsema vibaya Membe halafu ghafla Mwambene akitokea, wote wananyamaza kimya! Uteuzi wake ni sehemu ya majadiliano aliyofanya Membe siku ile anajadiliana na JK kuhusu MwanaHalisi. Hii sehemu ya strategies zake kuelekea 2015. Kwa sisi tunaojua nini kinaendelea kwenye teuzi hizi, tunasema ngoja tusubiri tuone.....
      King of Kings likes this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1633
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Unapotafuta uongo atleast uwe na visugar coat kidogo ili umezeke. Membe na kufungiwa mwanahalisi hakuna connection yeyote kwakuwa Mwambene aliteuliwa zamani kabla hata mwanahalisi halijachapisha ile habari ya Ulimboka.

    4. #3
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 898
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Mkuu, usiumize kichwa....acha wafu wawazike wafu wenzao
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    5. #4
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,225
      Rep Power : 908
      Likes Received
      283
      Likes Given
      59

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      sawa tumesikia, tufanye nini sasa na Mh. Rais kashafanya uteuzi?

    6. #5
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      mtiririko wa habari hii unatia mashaka.
      tamuchungu likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      mwanahalisi lilisema zoka ni naibu mkurugenzi mkuu ana power kiasi gani kumfanya membe awe rais inahitaji maelezo mapana ili tukuelewe
      tamuchungu likes this.

    9. MTK
      #7
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 928
      Rep Power : 4494
      Likes Received
      300
      Likes Given
      329

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Aaaagh!! Pure fantasy.

    10. #8
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      wametajwa watu watano ambao hawaunganishwi mahali popote na taarifa iliyo mbele yetu au ndio mwanahalisi imetokea jf. huu si udaku tu bali ni udakuzi
      tamuchungu likes this.

    11. #9
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,675
      Rep Power : 1910
      Likes Received
      1579
      Likes Given
      676

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Quote By MAMA POROJO
      wametajwa watu watano ambao hawaunganishwi mahali popote na taarifa iliyo mbele yetu au ndio mwanahalisi imetokea jf. huu si udaku tu bali ni udakuzi
      Ni kweli kabisa MAMA POROJO aliyehusika ni mmoja tuu tena alikamatwa kanisani akitubu

    12. #10
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default re: Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      mods watakuban milele unaona sasa unasema waliban hadi IP ili ushindwe kubadili jina lingine. adhabu hiyo ni kali utakuwa umeshindikana

    13. koo
      #11
      koo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 228
      Rep Power : 460
      Likes Received
      58
      Likes Given
      41

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      KIKWAZO CHA MAENDELEO NI 'MCHAKATO"

    14. #12
      Wimana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1,046
      Rep Power : 556
      Likes Received
      281
      Likes Given
      180

      Default

      Quote By koo
      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      Wapambe mko wengi humu!

    15. #13
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4294
      Likes Given
      1229

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Endelea kutujuza dunia haina siri.

    16. #14
      Josephine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 695
      Rep Power : 730
      Likes Received
      753
      Likes Given
      134

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Mmmmmmmmmmmmmmm,nchi hii.

      Asante kwa taarifa,wengi watakupinga lakini........................ ...........??
      Zaburi 1:1 Heri mtu yule asiyekwenda katika shahuri la wasio haki;wala hakukusanyika katika njia ya wakosaji;wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    17. #15
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,161
      Rep Power : 13065
      Likes Received
      14099
      Likes Given
      14918

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      issssshhhh!, kwani kwenye menu yetu kuna CCM peke yake?

      Come 2015, hata SAU itapigiwa kura.
      gfsonwin likes this.

    18. #16
      Deofm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 225
      Rep Power : 410
      Likes Received
      31
      Likes Given
      26

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Quote By koo
      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      Vipi kaka? Mbona umetumia kauli kali hivyo? au inakuhusu moja kwa moja. kama una maoni tofauti naomba uyashushe hapa jamvini.

    19. #17
      jidula's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 7
      Rep Power : 387
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      du,hapa kuunganisha analysis yako kazi!
      hii kama udaku vile.

    20. #18
      jidula's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 7
      Rep Power : 387
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      ooh,kumbe hii thread imeanzishwa na 'kafiribangi'...!

    21. #19
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1633
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default

      Quote By koo
      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      Tatizo lake sio Membe ni kukua kwa Mwambene wakati yeye anaishia ukarani.

    22. #20
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,022
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Bange mbaya sana,jamaa ameitwika ya gizani imemchanganya ameamua kuja kumalizia malue lue yake hapa jukwaani,

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...