Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 36 of 36
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1921
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Membe, Zoka, Mwambene, Mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      ​NILIANDIKA hapa jana juu ya mada hapa juu. Nilisema najua baadhi ya watu watakuwa wamepongeza uteuzi wa Mwambene kuwa mkurugenzi wa MAELEZO kwa kuzingatia kuwa ni kijana na labda ataleta mabadiliko fulani kwenye tasnia ya habari.

      Lakini nataka nitoe angalizo dogo ili muweze kufahamu kinundani kilichosababisha Mwambene kuteuliwa na Rais Kikwete kushika nafasi hiyo.

      Uteuzi wa Mwambene unatokana na ile habari ya Membe na ufungiwaji MwanaHalisi. Membe ndiyo kiini cha kufungiwa MwanaHalisi kwa sababu ya kulinda maslahi yake binafsi kwa ZOKA. Membe na Zoka ni pacha na kidole, na kwamba ndiyo tegemeo la Membe la kufikishwa Ikulu ndani ya Usalama wa taifa.

      Mnakumbuka jinsi stori za kutekwa kwa Dk. Ulimboka zilivyokuwa zinamuingiza moja kwa moja ZOKA katika mpango mzima. Kwa kuona hivyo, Membe akaamua kutumia njia za panya ikiwa ni pamoja na kumshawishi mkuu wa nchi kuagiza MwanaHalisi kufungwa.

      Naye Mwambene, licha ya kuwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, ni mtu wa karibu sana na Membe. Infact, pale wizarani watu wakiwa wanamsema vibaya Membe halafu ghafla Mwambene akitokea, wote wananyamaza kimya! Uteuzi wake ni sehemu ya majadiliano aliyofanya Membe siku ile anajadiliana na JK kuhusu MwanaHalisi. Hii sehemu ya strategies zake kuelekea 2015. Kwa sisi tunaojua nini kinaendelea kwenye teuzi hizi, tunasema ngoja tusubiri tuone.....
      King of Kings likes this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,104
      Rep Power : 13052
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default

      membe si mbaya hata kidogo

      ila uraisi wa nchi hapana, hawezi kuua hata mbu?

      Hawezi fanya maamuzi hata ya ale kitumbua au andazi.

      Yee abaki tu kupendezesha wizara wizara lakini uraisi tunataka mtu atakayefanya 'KAZI'

      tumechoka wanamme wanaosifiwa kwa sura.

      Quote By koo
      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      gfsonwin likes this.

    4. koo
      #22
      koo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 228
      Rep Power : 460
      Likes Received
      58
      Likes Given
      41

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      zoka hana ubavu wa kumpa mtu urais yeye mwenyewe kashachafuka vyakutosha na membe analijua hilo na hakuna mtu mwenye kuutaka urais akamtegemea zoka huyo atakuwa hajui analolifanya pili uteuzi wa mwambene ulifanyika hata kabla ya mwanahalisi kuanza kuandika habari hizo tatu zoka hawezi kumtumia membe kumpa mtu nafasi serikalini kumbuka tiss inauwezo wa kumpa mtu nafasi katika taasisi yoyote hapa nchini kama kachero wao mamlaka hayo wanayo na rais anayafaham na hana uwezo wakupingana nayo bado unayumba yumba kwa taarifa yako inayoonekana wazi niyakutunga na iliyokosa mashiko ''Naye Mwambene, licha ya kuwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, ni mtu wa karibu sana na Membe. Infact, pale wizarani watu wakiwa wanamsema vibaya Membe halafu ghafla Mwambene akitokea, wote wananyamaza kimya!'' hii pekee inaonyesha unatumikia wizara ya mambo ya nje na humpendi waziri wako sipingani nawewe ila usilete habari za kuunga unga kwa lengo la kupunguza machungu yako. fanya kazi kujenga taifa lako.
      kawakama likes this.
      KIKWAZO CHA MAENDELEO NI 'MCHAKATO"

    5. koo
      #23
      koo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 228
      Rep Power : 460
      Likes Received
      58
      Likes Given
      41

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Quote By Kongosho
      membe si mbaya hata kidogo

      ila uraisi wa nchi hapana, hawezi kuua hata mbu?

      Hawezi fanya maamuzi hata ya ale kitumbua au andazi.

      Yee abaki tu kupendezesha wizara wizara lakini uraisi tunataka mtu atakayefanya 'KAZI'

      tumechoka wanamme wanaosifiwa kwa sura.
      Sisemi membe anafaa kuwa rais wa nchi hii mwenyewe simuungi mkono lakini haifai kuishushia hadhi jf kwa kupokea habari yakuunga unga isiyo na mantiki kisa hatumpendi membe
      KIKWAZO CHA MAENDELEO NI 'MCHAKATO"

    6. #24
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Quote By koo
      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      Na wewe acha vitisho kwani kakwambia anafanya kazi wizara hiyo ????Wacha hizo habari tuzipate live, mwambie bosi wako bado tunaye!!!


    7. koo
      #25
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 228
      Rep Power : 460
      Likes Received
      58
      Likes Given
      41

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Quote By Josephine
      Mmmmmmmmmmmmmmm,nchi hii.

      Asante kwa taarifa,wengi watakupinga lakini........................ ...........??
      Heshima kwako.

      Nakusihi uisome vizuri taarifa hii uitathimini vizuri.
      KIKWAZO CHA MAENDELEO NI 'MCHAKATO"

    8. Miaka 50

    9. #26
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Tuendelee kupata udaku.

    10. #27
      MchunguZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th June 2008
      Posts : 1,306
      Rep Power : 819
      Likes Received
      208
      Likes Given
      76

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Quote By koo
      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      Usizibe midomo ya watu, fungua wa kwako.
      Yeye kasema hayo, nawe sema ya kwako! Kama hampendi Membe hiyo safi na hapo ndo sisi tunaona ni pazuri kupata taarifa ambazo wewe unayempenda utazificha.

      Kafiribangi, hebu lete yote yanayomuhusu Membe.

      Hata hivyo hatuoni kama Memmbe ni Presidential material. Tumechoka na watu wanaofikiri kwa taabu kama huyu tuliye naye. Milioni 45 tukose mwenye kichwa kilichojaa!
      The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle

    11. #28
      gulio's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 376
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      kuna A-Z TUTAFIKA Z tu

    12. #29
      BONGE BONGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2011
      Location : Chumbe
      Posts : 571
      Rep Power : 497
      Likes Received
      108
      Likes Given
      122

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      ........nani? Membe? si afadhali na Kikwete apewe mingine kumi na wala sio huyu nyoka wa mdimu, tumechoka marais wanaocheka cheka sisi....
      "I did not care if the name was Lake Nyasa, Malawi, Banda or Kamuzu, but borders were not negotiable." Tanzania’s president Julius Nyerere.

    13. #30
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Na hadithi yako inaishia hapo hapo., pumba tupu

    14. #31
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Kafiribangi yawezekana kabisa ukawa na mantiki lakini mistari uliyounga siwez kuikonekti

      vijana wa ZOKA walifuta uzi wako
      Membe alipanga na mkuu wa nchi wa mchukue MWAMBENE awe sijui nani
      hapo hapo ZOKA, kausika kwa utekaji wa dr ULI na pia
      MEMBE kamshawish baba ritz afungie mwnahalis

      yawezekana kabisa ukawa una logic ila kwa jinsi ulivyo dondosha huu wino hapa ni ngumu kuleta mantiki.

      kwa kidogo nilichoelewa mimi nasema hivi
      Membe hafai kabisa kuwa raisi wa taifa hili, uhandsome is not an ishu bana tuletewe hata masudI sura mbaya kama atachapa kazi ss hatuna neno na hilo. hatuangalii utanashati wala tabasamu hayo anaangalia Lundenga ila watazania wanaangalia mwajibikaji, mwenye maadili, asiye na upendeleo, mwenye msisimamo na maamuzi magumu. 2015 CCM ikitaka iingie Ikulu Imrudishe Edward LOwassa nje na hapo hakuna kitu. miye hata NRA NITAIPIGIA.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    15. #32
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,900
      Rep Power : 31777
      Likes Received
      5876
      Likes Given
      19165

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Membe awe rais haiwezekani.

    16. #33
      kawakama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 595
      Rep Power : 552
      Likes Received
      119
      Likes Given
      257

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      udaku kama wa global publisherz

    17. #34
      Mkomamanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 361
      Rep Power : 448
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Quote By koo
      Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine
      Wala siyo siri Mwambene naye ni TISS kama walivyowengi pale kwa Membe na JK anamwamini Membe sababu ya kumpatia habari za ndani toka kwa Zoka na atajitahidi kuendelea kumfurahisha ili 2015 aundiwe EPA nyingine. Si unaona alivyokuwa keshaanza kuunganisha na Libya ya Ghadaffi? Sasa watu wa Benghazi wakaingilia ikatibua mpango mzima kwa sasa nadhani wanaandaa labda haya ma Symbion ndo mpango wenyewe. Na Mwambene ndo TISS wenyewe wakipata wanamtonya Membe hata akiwa nje naye anabofya tu kwa mzee wa kaya na anaonekana shujaa. Tusubiri ya Syria ndani ya TZ kwa mtindo wao huu wa kupokonya wenzao madaraka.

    18. #35
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Burn Karudi
      Tatizo lake sio Membe ni kukua kwa Mwambene wakati yeye anaishia ukarani.
      yaani hawa ndio wale wale,akiona mwenzie anabadilisha shati au kiatu anaanza majungu,mtu mweusi hatari sana kwa wivu.

    19. #36
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Re: Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

      Umaskini wa watanzania unasababishwa na watu kupenda kutumia mda wao mwingi vijiweni kupiga soga.jf nayo imegeuka kijiwe cha soga na kahawa.

    20. Study Abroad
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...