Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      cjilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Behind you
      Posts : 391
      Rep Power : 468
      Likes Received
      119
      Likes Given
      157

      Default Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Maana nae lilimsema vibaya sana yeye pamoja na chama chake katika matoleo yake, nataka kauli yake, walau aonyeshe furaha yake adharani, kwani Mh. Na CCM yake alishawahi kukubali pia kuwa gazeti hili lilichangia kupungua kwa kura za chama chake kwenye uchaguzi wa 2010

      Pole, Mama Salma Kikwete

      Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 07 April 2010

      Madudu mengine ya Kikwete haya hapa | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010

      Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi

      Siri za CCM, CUF zavuja
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010

      Kikwete tumbo moto | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 29 December 2010

      Rais Kikwete aumbuka
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 April 2010

      Kikwete ndani ya CCJ | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 May 2011

      Kikwete maji ya shingo | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 19 October 2011

      Lowassa, Rostam kumzima Kikwete
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 June 2011

      Rais Jakaya Kikwete dhaifu? | Gazeti la MwanaHalisi

      Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 September 2011

      Rekodi ya aibu ikulu | Gazeti la MwanaHalisi

      Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 23 November 2011

      CCM sasa wamevuna walichopanda | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 April 2012

      Uhalali serikali ya JK ni wa kura tu?
      Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 18 April 2012

      Dua la kuku la CCM laishindwa CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Reginald Miruko - Imechapwa 02 May 2012

      Makala hizi na nyingine nyingi zimechangia wananchi kupunguza imani kwa serikali hii ya ccm, nilitegemea basi CCM walau ingeipongeza serikali kwa wazi kabisa kwa kulifungia gazeti linalowanyima usingizi tena kwa muda usiojulikana, inaweza kuwa pia gazeti hili limefungiwa milele
      iwa milele
      liwalo na liwe

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      chitalula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 428
      Rep Power : 519
      Likes Received
      88
      Likes Given
      40

      Default re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Nakumbuka ile tume iliyoundwa kufanya utafiti kwa nini ccm imepoteza mvuto kama sikosei iliongozwa na mukama vile(katibu wa ccm wa sasa) ilisema wazi kuwa imepoteza umaarufu kwa sababu magazeti yanawachafua sana hasa mwanahalisi, pengine ndo inaanza kutekeleza mapendekezo ya tume hiyo kuanza kuyapunguza taratibu magezeti hayo na wameanza na shina bila shaka matawi hayatadumu tena
      Albert Einstein: Problems can not be solved by the same level of thinking that creates them

    4. #3
      cjilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Behind you
      Posts : 391
      Rep Power : 468
      Likes Received
      119
      Likes Given
      157

      Default re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Quote By chitalula
      Nakumbuka ile tume iliyoundwa kufanya utafiti kwa nini ccm imepoteza mvuto kama sikosei iliongozwa na mukama vile(katibu wa ccm wa sasa) ilisema wazi kuwa imepoteza umaarufu kwa sababu magazeti yanawachafua sana hasa mwanahalisi, pengine ndo inaanza kutekeleza mapendekezo ya tume hiyo kuanza kuyapunguza taratibu magezeti hayo na wameanza na shina bila shaka matawi hayatadumu tena
      Wanajidanganya kwani kuna vyanzo vingi vya habari hata jf ni chanzo cha habari huru, ila kwa hili nakosa imani kama jf itaendelea kudumu zaidi ya mwaka, rungu la serikali linaweza kutuangukia muda c mwingi, kwani serikali huwa linatekeleza mapendekezo ya tume za ccm lakini sio tume zinzoziunda zenyewe kama ile ya richmond
      liwalo na liwe

    5. #4
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By cjilo
      Wanajidanganya kwani kuna vyanzo vingi vya habari hata jf ni chanzo cha habari huru, ila kwa hili nakosa imani kama jf itaendelea kudumu zaidi ya mwaka, rungu la serikali linaweza kutuangukia muda c mwingi, kwani serikali huwa linatekeleza mapendekezo ya tume za ccm lakini sio tume zinzoziunda zenyewe kama ile ya richmond
      Hivi si tumuache mmiliki achukue hatua zinazostahili dhidi ya hiki kinachoonekana ni uonevu?

    6. #5
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,874
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      803
      Likes Given
      229

      Default re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      ndiyo maana watu wanajificha nyuma ya ID zako coz Ban ingekuwa imeshatembea kwa wote wanao ipinga CCM kupitia waajiri.Nasikia hata kwenye ofisi za serikali wamewapiga biti wafanyakazi ni marufuku kusimama vikundi vikundi.
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    7. Miaka 50

    8. #6
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,039
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Quote By cjilo
      Maana nae lilimsema vibaya sana yeye pamoja na chama chake katika matoleo yake, nataka kauli yake, walau aonyeshe furaha yake adharani, kwani Mh. Na CCM yake alishawahi kukubali pia kuwa gazeti hili lilichangia kupungua kwa kura za chama chake kwenye uchaguzi wa 2010

      Pole, Mama Salma Kikwete

      Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 07 April 2010

      Madudu mengine ya Kikwete haya hapa | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010

      Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi

      Siri za CCM, CUF zavuja
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010

      Kikwete tumbo moto | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 29 December 2010

      Rais Kikwete aumbuka
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 April 2010

      Kikwete ndani ya CCJ | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 May 2011

      Kikwete maji ya shingo | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 19 October 2011

      Lowassa, Rostam kumzima Kikwete
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 June 2011

      Rais Jakaya Kikwete dhaifu? | Gazeti la MwanaHalisi

      Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 September 2011

      Rekodi ya aibu ikulu | Gazeti la MwanaHalisi

      Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 23 November 2011

      CCM sasa wamevuna walichopanda | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 April 2012

      Uhalali serikali ya JK ni wa kura tu?
      Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 18 April 2012

      Dua la kuku la CCM laishindwa CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi
      Na Reginald Miruko - Imechapwa 02 May 2012

      Makala hizi na nyingine nyingi zimechangia wananchi kupunguza imani kwa serikali hii ya ccm, nilitegemea basi CCM walau ingeipongeza serikali kwa wazi kabisa kwa kulifungia gazeti linalowanyima usingizi tena kwa muda usiojulikana, inaweza kuwa pia gazeti hili limefungiwa milele
      iwa milele
      Kwa nini CCM na JK pekee na siyo watanzania wote wapenda maendeleo? Hivi unaweza kulisifia gazeti ambalo hata siku moja haliwahabarishi wananchi juu hali ya uchumi, mazingira, taarifa za majanga ili kuchukua tahadhari n.k na badala yake kuwa chambo cha baadhi ya vyama vya siasa kujipatia umaarufu. Gazeti ambalo kila mtu anajiuliza ni chuo gani ambacho watumishi wake wamesomea kuangika majungu, fitina, uchochezi na umbea pekee. Hakika kwa Mtanzania ambaye anasimama katika ukweli, lazima ataona umuhimu wa kufungiwa Mwanahalisi kwa vile halipo kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi ya kisiasa tu.

    9. #7
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,039
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Quote By chitalula
      Nakumbuka ile tume iliyoundwa kufanya utafiti kwa nini ccm imepoteza mvuto kama sikosei iliongozwa na mukama vile(katibu wa ccm wa sasa) ilisema wazi kuwa imepoteza umaarufu kwa sababu magazeti yanawachafua sana hasa mwanahalisi, pengine ndo inaanza kutekeleza mapendekezo ya tume hiyo kuanza kuyapunguza taratibu magezeti hayo na wameanza na shina bila shaka matawi hayatadumu tena
      Ulisoma mapendekezo ya tume hiyo? haya tuambie hilo lilikuwa pendekezo la kwanza, la pili linasemaje? JF hakuna mwelekeo tena kila mtu anaamka anaandika anachokifikiria kichwani ili mradi tu naye aonekane yumo ndani ya JF. Hivi hakuna uwezejano wa kubadili kauli mbui ya JF? ili hata wenye mawazo finyu kama hawa nao waweze kukubalika.

    10. #8
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,039
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Quote By KOMBAJR
      ndiyo maana watu wanajificha nyuma ya ID zako coz Ban ingekuwa imeshatembea kwa wote wanao ipinga CCM kupitia waajiri.Nasikia hata kwenye ofisi za serikali wamewapiga biti wafanyakazi ni marufuku kusimama vikundi vikundi.
      Siyo sera ya CDM. Unaruhusiwa kusimama vikundi kama mfanyakazi mwenzako ni nduguyo.

    11. #9
      cjilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Behind you
      Posts : 391
      Rep Power : 468
      Likes Received
      119
      Likes Given
      157

      Default Re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Quote By thatha
      Kwa nini CCM na JK pekee na siyo watanzania wote wapenda maendeleo? Hivi unaweza kulisifia gazeti ambalo hata siku moja haliwahabarishi wananchi juu hali ya uchumi, mazingira, taarifa za majanga ili kuchukua tahadhari n.k na badala yake kuwa chambo cha baadhi ya vyama vya siasa kujipatia umaarufu. Gazeti ambalo kila mtu anajiuliza ni chuo gani ambacho watumishi wake wamesomea kuangika majungu, fitina, uchochezi na umbea pekee. Hakika kwa Mtanzania ambaye anasimama katika ukweli, lazima ataona umuhimu wa kufungiwa Mwanahalisi kwa vile halipo kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi ya kisiasa tu.

      Unataka iandikeje hebu check hizi makala

      Reli imetelekezwa, uchumi ukala mweleka | Gazeti la MwanaHalisi

      Hakuna nia ya kuondoa umaskini | Gazeti la MwanaHalisi

      Bila nishati, usalama wa taifa hatarini | Gazeti la MwanaHalisi

      Rekodi ya kuzama kwa meli | Gazeti la MwanaHalisi

      Mkukuta unaufanya umaskini uwe sugu | Gazeti la MwanaHalisi

      umeshawahi kuzisoma hizi makala, jaribu basi kuzisoma hata kwa leo uone kama si za majanga, uchumi na kadhalika? Kama ulikuwa hulisomi kausha acha wanalolijua waseme
      liwalo na liwe

    12. #10
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      315
      Likes Given
      907

      Default Re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Unategemea JK atoe kauli gani zaidi ya kufurahia kuwa agizo lake la kuvinyamazisha vyombo vya habari vinavyoikosoa serikali yake dhaifu na dhalimu limetekelezwa?
      cjilo likes this.
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    13. #11
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 574
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

      Hayo ni madhara ya kuwa na serikali isiyopenda kukosolewa ,matokeo yake inatumia ubabe kufungia chombo cha habari

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...