Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      Napenda japo tu nielezwe kama kweli wabunge wetu wanajuwa kiingerza au ni wavivu wa kusoma? ikumbukwe sheria ya marekeebisho ya hifadhi ya jamii ilipitishwa kwa mbwembwe mwezi aprill mwaka huu lakini hakuna mbunge yeyte wa ccm wala wa upinzani aliyeweza kugundua hilo au nalo lilichomekwa kama walivyofanya kwenye hseri YA GHARAMA ZA UCHAGUZI mwaka juzi, ni rais Slaa ndiye alikuja kugundua hilo, kwa maana hiyo hili bunge la sasa chini ya Spika, wabunge either hawasomi au hawajui kiingereza??

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,035
      Rep Power : 1418
      Likes Received
      610
      Likes Given
      44

      Default Re: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      Quote By Msiba
      Napenda japo tu nielezwe kama kweli wabunge wetu wanajuwa kiingerza au ni wavivu wa kusoma? ikumbukwe sheria ya marekeebisho ya hifadhi ya jamii ilipitishwa kwa mbwembwe mwezi aprill mwaka huu lakini hakuna mbunge yeyte wa ccm wala wa upinzani aliyeweza kugundua hilo au nalo lilichomekwa kama walivyofanya kwenye hseri YA GHARAMA ZA UCHAGUZI mwaka juzi, ni rais Slaa ndiye alikuja kugundua hilo, kwa maana hiyo hili bunge la sasa chini ya Spika, wabunge either hawasomi au hawajui kiingereza??
      Mkuu kuna wabunge wengi tu hawajui Kiingereza, lakini wapo ambao hata sheria za kiswahili hawasomi, wanakuwa bungeni kutimiza wajibu wa kuhudhuria na sio kufanya kazi ya kuangalia sheria na jinsi zinavyopitishwa.

    4. #3
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default Re: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      "Shukrani kwa nyerere alicheza utadhani pele kuendeleza kiswahili mikoani na mbelele tunamuendekeza mzungu wakati tuna shida tele kingeleza bila hela ni sawa na kupiga kelele"---Wakilisha

      Mdau kingeleza ni lugha tu kama lugha nyingine nenda china hawajui hata kingeleza,nenda japan hawajui hata kingeleza! Kutokujua lugha sio ujinga,ujinga ni kujifanya unajua wakati hujui

    5. #4
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default

      Quote By Msiba
      Napenda japo tu nielezwe kama kweli wabunge wetu wanajuwa kiingerza au ni wavivu wa kusoma? ikumbukwe sheria ya marekeebisho ya hifadhi ya jamii ilipitishwa kwa mbwembwe mwezi aprill mwaka huu lakini hakuna mbunge yeyte wa ccm wala wa upinzani aliyeweza kugundua hilo au nalo lilichomekwa kama walivyofanya kwenye hseri YA GHARAMA ZA UCHAGUZI mwaka juzi, ni rais Slaa ndiye alikuja kugundua hilo, kwa maana hiyo hili bunge la sasa chini ya Spika, wabunge either hawasomi au hawajui kiingereza??
      Kuhusu fao la kujitoa si kingereza bali ni kwamba hilo swala halijawekwa mule,kuna jembe kama mnyika anachambua kila kipengele asingeweza kukipitisha hicho kitu!

    6. #5
      Nali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st March 2010
      Posts : 125
      Rep Power : 490
      Likes Received
      20
      Likes Given
      6

      Default Re: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      Ni kweli issue sio lugha bali ni uvivu wa kusoma maana pia karibia wale wabunge wote pale mjengoni ni Vilaza sana wakiongozwa na wapiga debe maarufu Akina OleSendeka!!! Tukipata japo wabunge 10 majembe kama Kamanda Mnyika basi Nchi hii itapiga hatua kibwa sana!!!!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,196
      Rep Power : 2095
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default

      Siriii minitsi tu eksipulini yuasefu ...hahaaaa spika weee...spika mwenyewe hajui kiingereza ndo iwe wabunge

    9. #7
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 414
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Msiba
      Napenda japo tu nielezwe kama kweli wabunge wetu wanajuwa kiingerza au ni wavivu wa kusoma? ikumbukwe sheria ya marekeebisho ya hifadhi ya jamii ilipitishwa kwa mbwembwe mwezi aprill mwaka huu lakini hakuna mbunge yeyte wa ccm wala wa upinzani aliyeweza kugundua hilo au nalo lilichomekwa kama walivyofanya kwenye hseri YA GHARAMA ZA UCHAGUZI mwaka juzi, ni rais Slaa ndiye alikuja kugundua hilo, kwa maana hiyo hili bunge la sasa chini ya Spika, wabunge either hawasomi au hawajui kiingereza??
      Bora leo umeshughulisha ubongo kuja na uzi wa maana, sio kila siku chadema chadema.!!

    10. #8
      mwakajila's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 387
      Likes Received
      18
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Msiba
      Napenda japo tu nielezwe kama kweli wabunge wetu wanajuwa kiingerza au ni wavivu wa kusoma? ikumbukwe sheria ya marekeebisho ya hifadhi ya jamii ilipitishwa kwa mbwembwe mwezi aprill mwaka huu lakini hakuna mbunge yeyte wa ccm wala wa upinzani aliyeweza kugundua hilo au nalo lilichomekwa kama walivyofanya kwenye hseri YA GHARAMA ZA UCHAGUZI mwaka juzi, ni rais Slaa ndiye alikuja kugundua hilo, kwa maana hiyo hili bunge la sasa chini ya Spika, wabunge either hawasomi au hawajui kiingereza??
      Qualification za kuwa mbunge hazihitaji ujue kiingereza...

    11. #9
      Job K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 1,552
      Rep Power : 748
      Likes Received
      266
      Likes Given
      254

      Default Re: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      Ken ripit your kweshen sir? I dont andastend the kweshen bikoz yu are not streti! Huyu alikuwa mbunge wangu wakati anaomba kura za bunge la Afrika. sasa huyu muswada wa kisheria ataona ndani huyu? Chezea kingeleja wewe!! Ila mimi nina wasiwasi na hicho kipengele huenda kilichomekwa mbele ya safari! Maana majembe yetu yangekiona mapema! Ila na sisi wa-TZ tumezidi kwa uvivu wa kusoma, namwunga mkono che Nkapa!

    12. #10
      sesy nzenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 372
      Likes Received
      11
      Likes Given
      94

      Default Re: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      kama wengi wao wanalala tu bungeni hata ingekuwa kwa kiswahili wasingeweza jua

    13. #11
      Iramba Junior's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 376
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Re: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      Quote By sesy nzenga
      kama wengi wao wanalala tu bungeni hata ingekuwa kwa kiswahili wasingeweza jua

      Jamani ukweli ni kwamba kipengele hicho cha fao la kujitoa hakikwepo wakati hiyo sheria inapitishwa wabunge wanasema imechomekwa wakati mkuu anataka kusign hiyo sheria

    14. #12
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Hivi wabunge wetu wanajuwa kiingerza??

      Muulize Jah People, Prof? Maji Marefu, Asumpta Mshama na wengineo!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...