Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 103
    1. #1
      anney's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2010
      Posts : 152
      Rep Power : 480
      Likes Received
      40
      Likes Given
      27

      Default Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Read this Heligoland treaty document between German & Great Britain which is the one of the documents used by the Malawi government to argue their case.
      Attached Files

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 855
      Rep Power : 966
      Likes Received
      544
      Likes Given
      601

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Serikali ya Tanzania inalijua hili kwa wazi na mapana yake kwamba hatuna haki hata ye tone moja la maji ya Ziwa Malawi.

      Serikali haitakiwi kulifanya jambo hili la kisiasa maana kama ni siasa zako utacheza na wananchi wako lakini unaoweza kuwapiga mabomu ya machozi lakini si kwa watu kama Malawi ambao ni Soveregn state subject to international laws.

      Kama kweli Tanzania inataka hata tone moja la Ziwa Nyasa, iachane na porojo za kisiasa na i-file lawsuit for the boundary ili mpaka uwe katikati ya maji kama wengine duniani.

      Vinginevyo tutapigizana kelele kama wajinga na hakuna litakalotokea. Tutasubiri Rais wa Malawi tunayechekeana naye anayewapiga mabomu wapinzani wake nchini mwake, sisi tunatumia ziwa lile na kudhani kama ni letu.

      Kesho wapinzani wa Malawi waliokuwa wanapigwa mabomu ya mchozi wanakamata nchi, na nyinyi mliokuwa ama mnakaa kimya bila kumkemea anaona mnatumia ziwa lake na si lenu. Kwa nini asilie na nyinyi.

      Mimi huyu mama wa Malawi namkubali. Inawezekana anawapa fundisho wote waliomkera akiwa mpinzani wa serikali. Unadhani kwa nini alisema hamtaki Omar Bashir kuja mle.

      Mwacheni mama yetu awafundishe adabu wote wanaodhani tutafumbia maonevu ya dunia na ndipo mjue muonewaji akikamata power mjue litakalotokea.

      Najua kuna watakaonikejeli kuwa sina uzalendo. Hapa si suala la uzalendo. Baba na mama yangu wakifanya ujambazi wa kumdhulumu jirani yangu siwezi kukaa kimya na kuwatetea kwa kinachoitwa uzalendo. Huo ni wizi.

      Nendeni Mahakama za Kimataifa kuwashinda wamalawi na msidhani wa kupelekwa mahakamani ni migomo ya madktari na walimu tu.
      Superman likes this.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    4. #3
      Richard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2006
      Location : LANGLEY
      Posts : 2,272
      Rep Power : 1098
      Likes Received
      490
      Likes Given
      1680

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Mkuu Anney,

      Kwanza kabisa hii document inasema kwamba mkataba huu ni wa muda "temporarily".

      Halafu kwa uangalifu soma vipengele X1 na X11.

      Kwenye kipengele cha X1 inasemwa kwamba Sultan atarudisha kisiwa cha Mafya kwa wajerumani kwa ridhaa ya Uingereza bila masharti.

      Kipengele cha X11 kinasisitiza kwamba mpaka itakapopitishwa na bunge la Uingereza sehemu hio inabakia kuwa chini ya Uingereza.

      Sasa wamalawi wakichukulia hii document wanakuwa wamekosa kila kitu.
      Kichuguu likes this.
      When thinking about my risk assessment, I always remember:
      HAZARD and the RISK .

    5. #4
      Ubungoubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th July 2008
      Posts : 2,023
      Rep Power : 956
      Likes Received
      334
      Likes Given
      33

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Nikupateje
      Serikali ya Tanzania inalijua hili kwa wazi na mapana yake kwamba hatuna haki hata ye tone moja la maji ya Ziwa Malawi.

      Serikali haitakiwi kulifanya jambo hili la kisiasa maana kama ni siasa zako utacheza na wananchi wako lakini unaoweza kuwapiga mabomu ya machozi lakini si kwa watu kama Malawi ambao ni Soveregn state subject to international laws.

      Kama kweli Tanzania inataka hata tone moja la Ziwa Nyasa, iachane na porojo za kisiasa na i-file lawsuit for the boundary ili mpaka uwe katikati ya maji kama wengine duniani.

      Vinginevyo tutapigizana kelele kama wajinga na hakuna litakalotokea. Tutasubiri Rais wa Malawi tunayechekeana naye anayewapiga mabomu wapinzani wake nchini mwake, sisi tunatumia ziwa lile na kudhani kama ni letu.

      Kesho wapinzani wa Malawi waliokuwa wanapigwa mabomu ya mchozi wanakamata nchi, na nyinyi mliokuwa ama mnakaa kimya bila kumkemea anaona mnatumia ziwa lake na si lenu. Kwa nini asilie na nyinyi.

      Mimi huyu mama wa Malawi namkubali. Inawezekana anawapa fundisho wote waliomkera akiwa mpinzani wa serikali. Unadhani kwa nini alisema hamtaki Omar Bashir kuja mle.

      Mwacheni mama yetu awafundishe adabu wote wanaodhani tutafumbia maonevu ya dunia na ndipo mjue muonewaji akikamata power mjue litakalotokea.

      Najua kuna watakaonikejeli kuwa sina uzalendo. Hapa si suala la uzalendo. Baba na mama yangu wakifanya ujambazi wa kumdhulumu jirani yangu siwezi kukaa kimya na kuwatetea kwa kinachoitwa uzalendo. Huo ni wizi.

      Nendeni Mahakama za Kimataifa kuwashinda wamalawi na msidhani wa kupelekwa mahakamani ni migomo ya madktari na walimu tu.
      WEWE NI MJINGA HAUNA AKILI, kama ziwa lote ni la malawi, ile bandari ya mbambabay kule mbinga na ile ya kyela zinafanya nini, mbona muda wote tumekuwa tukisafirisha bidhaa zetu mle bila malawi kuingilia, sasa wameona kuna mafuta ndo wanataka kutuzuia, si wangetuzuia toka zamani tusijenge bandari ya mbambabay pale na kule kyela na kusiwe na usafiri kutoka mbinga hadi kyela kwa maji ya ziwa, zile hotel za matemabeach kule kyela zinafanya nini kwenye maji ya malawi?...are you serious?
      Kichuguu, Ngongo and mkada like this.
      Haya yote ni ubatili mtupu, hakuna jipya hapa duniani!

    6. #5
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 855
      Rep Power : 966
      Likes Received
      544
      Likes Given
      601

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Richard
      Mkuu Anney,

      Kwanza kabisa hii document inasema kwamba mkataba huu ni wa muda "temporarily".

      Halafu kwa uangalifu soma vipengele X1 na X11.

      Kwenye kipengele cha X1 inasemwa kwamba Sultan atarudisha kisiwa cha Mafya kwa wajerumani kwa ridhaa ya Uingereza bila masharti.

      Kipengele cha X11 kinasisitiza kwamba mpaka itakapopitishwa na bunge la Uingereza sehemu hio inabakia kuwa chini ya Uingereza.

      Sasa wamalawi wakichukulia hii document wanakuwa wamekosa kila kitu.
      Richard,

      Kigezo cha mipaka ni ramani iliyokuwa submitted huko United Nations. Wanaochora ramani hizikwenye GoogleEarth na GPS zote si wajinga. Ni ramani wanayotumia.

      Narudia, haya mambo Tanzania ilitakiwa kuliwasilisha kwenye international community kuliko kudanganya kuwa inachukua hatua zingine ambazo sanasana zitailetea matatizo Tanzania.

      Malawi wako correct.
      Richard likes this.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Richard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2006
      Location : LANGLEY
      Posts : 2,272
      Rep Power : 1098
      Likes Received
      490
      Likes Given
      1680

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Nikupateje
      Richard,

      Kigezo cha mipaka ni ramani iliyokuwa submitted huko United Nations. Wanaochora ramani hizikwenye GoogleEarth na GPS zote si wajinga. Ni ramani wanayotumia.

      Narudia, haya mambo Tanzania ilitakiwa kuliwasilisha kwenye international community kuliko kudanganya kuwa inachukua hatua zingine ambazo sanasana zitailetea matatizo Tanzania.

      Malawi wako correct.
      Mkuu, nakuunga mkono kabisa ila nilitaka tu pawepo angalizo kwenye hii document.

      Malawi wanaangalia wao walipata nini baada ya uhuru na hii kitu ya Ziwa Nyasa haipo kwenye akili yao.

      Wakoloni wametuletea matatizo sana.
      Nikupateje likes this.
      When thinking about my risk assessment, I always remember:
      HAZARD and the RISK .

    9. #7
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,978
      Rep Power : 12008
      Likes Received
      5310
      Likes Given
      5144

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Nikupateje wewe utakuwa mmalawi uliyejibanza hapa kwetu.
      Kama ni mtanzania basi utakuwa jinga kabisa. Miaka yote wamalawi walikuwa hawajui kwamba ziwa lote ni la kwao?
      Nachojua ni kwamba malawi watake wasitake, wapende wasipende tunagawana pasu kwa pasu ziwa nyasa.

    10. #8
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3043
      Likes Received
      3051
      Likes Given
      4137

      Default

      Quote By Nikupateje
      Richard,

      Kigezo cha mipaka ni ramani iliyokuwa submitted huko United Nations. Wanaochora ramani hizikwenye GoogleEarth na GPS zote si wajinga. Ni ramani wanayotumia.

      Narudia, haya mambo Tanzania ilitakiwa kuliwasilisha kwenye international community kuliko kudanganya kuwa inachukua hatua zingine ambazo sanasana zitailetea matatizo Tanzania.

      Malawi wako correct.
      Acha porojo za google earth na treaty za wakoloni uchwara.

      UN Convention ya 1982 inasemaje kuhusu mipaka ya majini!??
      mharakati likes this.

    11. #9
      Jonas justin's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 89
      Rep Power : 451
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      nawasiwasi na uraia wako...

    12. #10
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,606
      Rep Power : 22057
      Likes Received
      997
      Likes Given
      784

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Kitu cha 1890 hawa jamaa wana shida kwa brain sasa nasi tukikomaa na mikataba ya karne ya 19 si Rwanda na Burundi zitakuwa mikoa yetu!
      Ngongo and Highlander like this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    13. #11
      Highlander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 1,393
      Rep Power : 645
      Likes Received
      407
      Likes Given
      488

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Bigirita
      Acha porojo za google earth na treaty za wakoloni uchwara.

      UN Convention ya 1982 inasemaje kuhusu mipaka ya majini!??




      Wewe ndo twambie sasa hiyo convention ya 1982 inasema nini !
      Nikupateje likes this.

    14. #12
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 855
      Rep Power : 966
      Likes Received
      544
      Likes Given
      601

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Highlander

      Wewe ndo twambie sasa hiyo convention ya 1982 inasema nini !
      Achana naye huyo. Haelewei kwamba hiyo convention iko valid kama hakuna Treaty.

      Unadhani wa-Malawi nao ni wazembe kutunza international document zao kama wewe ulivyoshindwa kutunza Mkataba wa Muunngano wa miaka 48 tu iliyopita??!!
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    15. #13
      Azipa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 933
      Rep Power : 548
      Likes Received
      226
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Nikupateje
      Richard,

      Malawi wako correct.
      Hapana hawapo right, na muanzisha topic sidhani kama hii ndo hoja ya Wamalawi. Huu ni mtazamo wake Anney yeye binafsi

      Kamuzu Banda alijikita kwenye mipaka ya pre-colonial societies/ kingdoms. Ndo maana akasema hata zile wilaya nne za mpakani kwa upande wa Tanzania ni za Malawi.

      Nionavyo mimi aidha tuwaachie tu Wamalawi mbona hata Kawawa ashawahi sema hilo ziwa ni lao.

      Ila kama tutang'ang'ania basi tufanye hivyo kwa kigezo cha sheria za kimataifa zinazoitwa Littoral law na Riparian law. Hakuna ubishi kati yetu na Wamalawi kwamba hilo ziwa linaunda mpaka. Kwa upande wetu tunasema mpaka upo katikati ya ziwa.

      Hata hizi google maps mnazozipost hapa zinaonesha hilo ziwa ndo linaunda mpaka. Na hapa ndipo littoral na riparian law zinaweza kutumika. Kwa mujibu wa littoral na riparian law sisi pia tuna haki ya kumiliki hilo ziwa kwa kigezo kwamba linaunda mpaka wetu hata kama limelalia upande wa Malawi
      Last edited by Azipa; 4th August 2012 at 18:12.
      MaMkubwa1 likes this.

    16. #14
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 855
      Rep Power : 966
      Likes Received
      544
      Likes Given
      601

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Azipa
      Hapana hawapo right, na muanzisha topic sidhani kama hii ndo hoja ya Wamalawi. Huu ni mtazamo wake Anney yeye binafsi

      Kamuzu Banda alijikita kwenye mipaka ya pre-colonial societies/ kingdoms. Ndo maana akasema hata zile wilaya nne za mpakani kwa upande wa Tanzania ni za Malawi.

      Nionavyo mimi aidha tuwaachie tu Wamalawi mbona hata Kawawa ashawahi sema hilo ziwa ni lao.

      Ila kama tutang'ang'ania basi tufanye hivyo kwa kigezo cha sheria za kimataifa zinazoitwa Littoral law na Riparian law. Hakuna ubishi kati yetu na Wamalawi kwamba hilo ziwa linaunda mpaka. Kwa upande wetu tunasema mpaka upo katikati ya ziwa.

      Hata hizi google maps mnazozipost hapa zinaonesha hilo ziwa ndo linaunda mpaka. Na hapa ndipo littoral na riparian law zinaweza kutumika. Kwa mujibu wa littoral na riparian law sisi pia tuna haki ya kumiliki hilo ziwa kwa kigezo kwamba linaunda mpaka wetu hata kama limelalia upande wa Malawi
      Riparian zones ni maeneo yanayopakana na kingo za ziwa au bahari. Ni kwa mujibu huu ndiyo tukaweza kujenga Mbamba Bay port.

      Kuhusu Littoral zone kwa hili ziwa ni ngumu kwa sababu kumbuka hili liko katikati ya rift valley na dimension zake si kama kwenye coastline.

      Hivyo, ama utumie Littoral law au Riparian law bado utaipotosha Tanzania kwa sababu si madai yake. Tanzania inataka mpaka uwe katikati wakatikwa hizi mbili haiwezi ku-achieve hiyo goal.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    17. #15
      Mo-TOWN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 1,135
      Rep Power : 5162
      Likes Received
      222
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By Nikupateje
      Serikali ya Tanzania inalijua hili kwa wazi na mapana yake kwamba hatuna haki hata ye tone moja la maji ya Ziwa Malawi.

      Serikali haitakiwi kulifanya jambo hili la kisiasa maana kama ni siasa zako utacheza na wananchi wako lakini unaoweza kuwapiga mabomu ya machozi lakini si kwa watu kama Malawi ambao ni Soveregn state subject to international laws.

      Kama kweli Tanzania inataka hata tone moja la Ziwa Nyasa, iachane na porojo za kisiasa na i-file lawsuit for the boundary ili mpaka uwe katikati ya maji kama wengine duniani.

      Vinginevyo tutapigizana kelele kama wajinga na hakuna litakalotokea. Tutasubiri Rais wa Malawi tunayechekeana naye anayewapiga mabomu wapinzani wake nchini mwake, sisi tunatumia ziwa lile na kudhani kama ni letu.

      Kesho wapinzani wa Malawi waliokuwa wanapigwa mabomu ya mchozi wanakamata nchi, na nyinyi mliokuwa ama mnakaa kimya bila kumkemea anaona mnatumia ziwa lake na si lenu. Kwa nini asilie na nyinyi.

      Mimi huyu mama wa Malawi namkubali. Inawezekana anawapa fundisho wote waliomkera akiwa mpinzani wa serikali. Unadhani kwa nini alisema hamtaki Omar Bashir kuja mle.

      Mwacheni mama yetu awafundishe adabu wote wanaodhani tutafumbia maonevu ya dunia na ndipo mjue muonewaji akikamata power mjue litakalotokea.

      Najua kuna watakaonikejeli kuwa sina uzalendo. Hapa si suala la uzalendo. Baba na mama yangu wakifanya ujambazi wa kumdhulumu jirani yangu siwezi kukaa kimya na kuwatetea kwa kinachoitwa uzalendo. Huo ni wizi.

      Nendeni Mahakama za Kimataifa kuwashinda wamalawi na msidhani wa kupelekwa mahakamani ni migomo ya madktari na walimu tu.
      Need we say more? watu wanataka kufanya serious business. Sio misifa ya kuwa na maliasili kibao wakati tija ni sifuri...go Malawi.

    18. #16
      Azipa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 933
      Rep Power : 548
      Likes Received
      226
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Nikupateje
      Riparian zones ni maeneo yanayopakana na kingo za ziwa au bahari. Ni kwa mujibu huu ndiyo tukaweza kujenga Mbamba Bay port.

      Kuhusu Littoral zone kwa hili ziwa ni ngumu kwa sababu kumbuka hili liko katikati ya rift valley na dimension zake si kama kwenye coastline.

      Hivyo, ama utumie Littoral law au Riparian law bado utaipotosha Tanzania kwa sababu si madai yake. Tanzania inataka mpaka uwe katikati wakatikwa hizi mbili haiwezi ku-achieve hiyo goal.
      Haijalishi mpaka upo kwa wapi hizo sheria za riparian na littoral zikitupa umiliki wa namna moja au nyingine hao Malawi hawataruhusiwa hata kujenga bwawa. Mimi naona tuanzie hapo

    19. #17
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By anney
      Read this Heligoland treaty document between German & Great Britain which is the one of the documents used by the Malawi government to argue their case.
      Lakini unajua Treaty hii pia haizitambui nchi za Rwanda na Burundi..Sasa tuwauliza Malawi wao wanazitambua nchi za Rwanda na Burundi?.. kama wanazitambua inakuwaje wanapingana na treaty hii hii wanayoitumia leo kudai Lake Nyasa ni yao..
      Exploration of reality

    20. #18
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Ubungoubungo
      WEWE NI MJINGA HAUNA AKILI, kama ziwa lote ni la malawi, ile bandari ya mbambabay kule mbinga na ile ya kyela zinafanya nini, mbona muda wote tumekuwa tukisafirisha bidhaa zetu mle bila malawi kuingilia, sasa wameona kuna mafuta ndo wanataka kutuzuia, si wangetuzuia toka zamani tusijenge bandari ya mbambabay pale na kule kyela na kusiwe na usafiri kutoka mbinga hadi kyela kwa maji ya ziwa, zile hotel za matemabeach kule kyela zinafanya nini kwenye maji ya malawi?...are you serious?
      Wewe ndie mjinga, kwani Malawi wanamiliki ziwa (maji)na sio ardhi ambako nyie mumejenga bandari za Mbambabay na Kyela.

    21. #19
      mkada's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : MBEYA
      Posts : 562
      Rep Power : 492
      Likes Received
      182
      Likes Given
      92

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Kuna watu wanajiita jf snr expert member,halafu kichwani ni empty headed,yaani tabula rasa

    22. #20
      Job K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 1,550
      Rep Power : 748
      Likes Received
      266
      Likes Given
      254

      Default Re: Heligoland-Zanzibar Treaty:The basis For Malawi Claims

      Quote By Nikupateje
      Achana naye huyo. Haelewei kwamba hiyo convention iko valid kama hakuna Treaty.

      Unadhani wa-Malawi nao ni wazembe kutunza international document zao kama wewe ulivyoshindwa kutunza Mkataba wa Muunngano wa miaka 48 tu iliyopita??!!
      Sasa kama ni wajuzi wa kutunza documents walikuwa wapi wakati tunayatumia hayo maji? Acha uvivu wewe! Yaani hapa wote tunatakiwa kuwa wapole tuelewane kindugu tu. Maana kama tukiamua kufuatilia mipaka ya Deutsch Ostafrika tutaenda kudai Rwanda, Burundi zirudi kwetu na Dar, Tanga, Mtwara, Mombasa, Lamu, Malindi n.k ziende kwa Sultani wa Zanzibar.

      Ziwa tutaligawa kati kwa kati watake wasitake!!
      Wameyataka wenyewe sasa wacha yawakute! Tuliwaambia badilikeni hawakusikia sasa tumebadilika sisi(wananchi)! Jackbauer (5:45 am, 12 April 2012)

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...