Read this Heligoland treaty document between German & Great Britain which is the one of the documents used by the Malawi government to argue their case.
Read this Heligoland treaty document between German & Great Britain which is the one of the documents used by the Malawi government to argue their case.
Serikali ya Tanzania inalijua hili kwa wazi na mapana yake kwamba hatuna haki hata ye tone moja la maji ya Ziwa Malawi.
Serikali haitakiwi kulifanya jambo hili la kisiasa maana kama ni siasa zako utacheza na wananchi wako lakini unaoweza kuwapiga mabomu ya machozi lakini si kwa watu kama Malawi ambao ni Soveregn state subject to international laws.
Kama kweli Tanzania inataka hata tone moja la Ziwa Nyasa, iachane na porojo za kisiasa na i-file lawsuit for the boundary ili mpaka uwe katikati ya maji kama wengine duniani.
Vinginevyo tutapigizana kelele kama wajinga na hakuna litakalotokea. Tutasubiri Rais wa Malawi tunayechekeana naye anayewapiga mabomu wapinzani wake nchini mwake, sisi tunatumia ziwa lile na kudhani kama ni letu.
Kesho wapinzani wa Malawi waliokuwa wanapigwa mabomu ya mchozi wanakamata nchi, na nyinyi mliokuwa ama mnakaa kimya bila kumkemea anaona mnatumia ziwa lake na si lenu. Kwa nini asilie na nyinyi.
Mimi huyu mama wa Malawi namkubali. Inawezekana anawapa fundisho wote waliomkera akiwa mpinzani wa serikali. Unadhani kwa nini alisema hamtaki Omar Bashir kuja mle.
Mwacheni mama yetu awafundishe adabu wote wanaodhani tutafumbia maonevu ya dunia na ndipo mjue muonewaji akikamata power mjue litakalotokea.
Najua kuna watakaonikejeli kuwa sina uzalendo. Hapa si suala la uzalendo. Baba na mama yangu wakifanya ujambazi wa kumdhulumu jirani yangu siwezi kukaa kimya na kuwatetea kwa kinachoitwa uzalendo. Huo ni wizi.
Nendeni Mahakama za Kimataifa kuwashinda wamalawi na msidhani wa kupelekwa mahakamani ni migomo ya madktari na walimu tu.
.."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.
Mkuu Anney,
Kwanza kabisa hii document inasema kwamba mkataba huu ni wa muda "temporarily".
Halafu kwa uangalifu soma vipengele X1 na X11.
Kwenye kipengele cha X1 inasemwa kwamba Sultan atarudisha kisiwa cha Mafya kwa wajerumani kwa ridhaa ya Uingereza bila masharti.
Kipengele cha X11 kinasisitiza kwamba mpaka itakapopitishwa na bunge la Uingereza sehemu hio inabakia kuwa chini ya Uingereza.
Sasa wamalawi wakichukulia hii document wanakuwa wamekosa kila kitu.
When thinking about my risk assessment, I always remember:
HAZARD and the RISK .
WEWE NI MJINGA HAUNA AKILI, kama ziwa lote ni la malawi, ile bandari ya mbambabay kule mbinga na ile ya kyela zinafanya nini, mbona muda wote tumekuwa tukisafirisha bidhaa zetu mle bila malawi kuingilia, sasa wameona kuna mafuta ndo wanataka kutuzuia, si wangetuzuia toka zamani tusijenge bandari ya mbambabay pale na kule kyela na kusiwe na usafiri kutoka mbinga hadi kyela kwa maji ya ziwa, zile hotel za matemabeach kule kyela zinafanya nini kwenye maji ya malawi?...are you serious?
Haya yote ni ubatili mtupu, hakuna jipya hapa duniani!
Richard,
Kigezo cha mipaka ni ramani iliyokuwa submitted huko United Nations. Wanaochora ramani hizikwenye GoogleEarth na GPS zote si wajinga. Ni ramani wanayotumia.
Narudia, haya mambo Tanzania ilitakiwa kuliwasilisha kwenye international community kuliko kudanganya kuwa inachukua hatua zingine ambazo sanasana zitailetea matatizo Tanzania.
Malawi wako correct.
.."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.
When thinking about my risk assessment, I always remember:
HAZARD and the RISK .
Nikupateje wewe utakuwa mmalawi uliyejibanza hapa kwetu.
Kama ni mtanzania basi utakuwa jinga kabisa. Miaka yote wamalawi walikuwa hawajui kwamba ziwa lote ni la kwao?
Nachojua ni kwamba malawi watake wasitake, wapende wasipende tunagawana pasu kwa pasu ziwa nyasa.
nawasiwasi na uraia wako...
Kitu cha 1890 hawa jamaa wana shida kwa brain sasa nasi tukikomaa na mikataba ya karne ya 19 si Rwanda na Burundi zitakuwa mikoa yetu!
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
.."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.
Hapana hawapo right, na muanzisha topic sidhani kama hii ndo hoja ya Wamalawi. Huu ni mtazamo wake Anney yeye binafsi
Kamuzu Banda alijikita kwenye mipaka ya pre-colonial societies/ kingdoms. Ndo maana akasema hata zile wilaya nne za mpakani kwa upande wa Tanzania ni za Malawi.
Nionavyo mimi aidha tuwaachie tu Wamalawi mbona hata Kawawa ashawahi sema hilo ziwa ni lao.
Ila kama tutang'ang'ania basi tufanye hivyo kwa kigezo cha sheria za kimataifa zinazoitwa Littoral law na Riparian law. Hakuna ubishi kati yetu na Wamalawi kwamba hilo ziwa linaunda mpaka. Kwa upande wetu tunasema mpaka upo katikati ya ziwa.
Hata hizi google maps mnazozipost hapa zinaonesha hilo ziwa ndo linaunda mpaka. Na hapa ndipo littoral na riparian law zinaweza kutumika. Kwa mujibu wa littoral na riparian law sisi pia tuna haki ya kumiliki hilo ziwa kwa kigezo kwamba linaunda mpaka wetu hata kama limelalia upande wa Malawi
Last edited by Azipa; 4th August 2012 at 18:12.
Riparian zones ni maeneo yanayopakana na kingo za ziwa au bahari. Ni kwa mujibu huu ndiyo tukaweza kujenga Mbamba Bay port.
Kuhusu Littoral zone kwa hili ziwa ni ngumu kwa sababu kumbuka hili liko katikati ya rift valley na dimension zake si kama kwenye coastline.
Hivyo, ama utumie Littoral law au Riparian law bado utaipotosha Tanzania kwa sababu si madai yake. Tanzania inataka mpaka uwe katikati wakatikwa hizi mbili haiwezi ku-achieve hiyo goal.
.."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.
Exploration of reality
Kuna watu wanajiita jf snr expert member,halafu kichwani ni empty headed,yaani tabula rasa
Sasa kama ni wajuzi wa kutunza documents walikuwa wapi wakati tunayatumia hayo maji? Acha uvivu wewe! Yaani hapa wote tunatakiwa kuwa wapole tuelewane kindugu tu. Maana kama tukiamua kufuatilia mipaka ya Deutsch Ostafrika tutaenda kudai Rwanda, Burundi zirudi kwetu na Dar, Tanga, Mtwara, Mombasa, Lamu, Malindi n.k ziende kwa Sultani wa Zanzibar.
Ziwa tutaligawa kati kwa kati watake wasitake!!
Wameyataka wenyewe sasa wacha yawakute! Tuliwaambia badilikeni hawakusikia sasa tumebadilika sisi(wananchi)! Jackbauer (5:45 am, 12 April 2012)
Follow Us Here