Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 43
    1. #1
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,020
      Rep Power : 2562
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Ninaomba WIZARA YA ELIMU iwe makini nawawekezaji katika secta ya elimu, hasa kwenye shule ambazo zinatoa msaada kwawatoto wakitanzania ambao familia zao hazina uwezo wa kifedha, kwa mfanoninaomba mmiliki wa shule ya St Jude apate muda wa kusikiliza kilio chawafanyakazi wake wakitanzania kwani kimsingi wamekuwa wakiteswa, kukandamizwana kupuuzwa wanapodai haki na maslahi bora kazini kwao.

      Shule hii utumia picha za wafanyakazi kuzalisha kiasi kikubwa cha fedhakuendesha shule, kwa wafanyakazi na wanafunzi hupigwa picha mara kwa mara nakulazimishwa kuleta picha za familia zao kila mwaka bila shule kuweka wazi kwamfanyakazi kuwa anawafadhili wangapi, wafadhili huchangia kiasi gani chafedha, kukatazwa kuwasiliana na mfadhili, kuruhusiwa kuhoji lolote kuhusu patona matumizi ya uzalishwaji wa fedha kupitia wewe na familia yako? Hata hivyopicha za familia zinazalisha fedha kwaajili ya uendeshaji wa shule ilihalifamilia haifaidiki kwa uuzaji huo wa sura zao ughaibuni? Kinachosikitisha zidini pale mfanyakazi anapoachishwa ,shule inaendelea kitumia picha za wafanyakazi na familia zao kuzalisha fedha nyingi za kigeni bila ridhaa wala fedha hizokuwafaidisha wenye picha, na kutojali kuwa kitendo hicho kinyume nasheria.

      Pia picha hizo zimekuwa mara kadhaa zikidhalilisha utu na uhuru wamuafrika, kwani sura za watanzania zimekuwa bidhaa ya kuzalisha fedhazisizojulikana ni kiasi gani na kwa faida ya nani? tena ulazimisha vitendovisivyo halisi na maisha yetu mfano unalazimishwa kucheka ukichukuliwa pichailihali mapato uzalishayo hujui na ukikataa kutekeleza unatishiwa kufukuzwakazi, wanafunzi ushikishwa zawadi zisikuwa zao na kupigwa picha na uzalishakiasi cha fedha bila ridhaa wafunzi wanapohoji hupewa adhabu au kutishiwakufukuzwa.

      Kama hiyo aitoshi shule hii imekuwa mara kadhaa ikipuuza sheria za nchibila sababu za msingi mfano wamekuwa wakiajiri familia za ughaibuni kinyume nasheria za nchi mfano wanaajiri baba, mama na mtoto wa familia moja tena kwenyenafasi za juu na kutoweka wazi taaluma zao wakiwaaminisha kuwa ukiwa mzungubasi we msomi wa kila kitu, kinyume na sheria ya ajira nchini, pia shuleimekuwa mara kadhaa haieshimu sikukuu za kitaifa bila sababu za lazima nakutojali wala kuthamini mchango wa waasisi na wazalendo waliopoteza maishakujenga utaifa, amani na umoja wa Tanzania, cha kushangaza shule ujiamulia sikuza mapumziko ya wafanyakazi na wanafunzi watakavyo wao, huwa najiuliza hivi shida inaweza tulazimisha kufuata sheria za wawekezaji na kupuuzasheria za nchi yetu Tanzania?

      Linalosikitisha zaidi shule hii imekuwa hodari wa kupiga vita ya matumiziya lugha ya kishwahili kwa wanafunzi na wafanyakazi hata kudiriki kuwaadhibukwa kuwarudisha wanafunzi nyumbani kwa kosa la kuzunguza kishwahili, hatakufika mbali zaidi na kufukuza mwalimu mwenye shahada ya ualimu kwa kosa nikuzungumza kishwahili na wanafunzi, huu ni uvunjaji wa sheria za nchiusiovumilika.

      Hata hivyo nataka wao wajue kuwa lugha ya taifa Kiswahili imekuwa mhimilimkubwa wa kujenga umoja na amani. Kiasi cha kuwa wekeza kupata mafanikio, kamaawa amini wakajaribu kuwekeza Somalia na kuwasaidie watoto wa Somalia wenyeshida kubwa ya elimu, ilo linge ondoa jeuri yao ya kupuuza sheria za Tanzania.

      Kitendo cha shule hii kuwatumia watanzania kama bidhaa na utaratibu waowa fukuza fukuza waliyonayo hasa kwa watanzania. Shule hii huwatumiaviongozi wazalendo kuwanyanyasa wenzao na kusaidia shule kuendelea na dharauna kupuuza sheria za nchi zenye maslahi kwa wazalendo, wale wote watakaonyeshauzalendo kama mimi wakuonyesha kukerwa na kuchukua hatua ya kuhoji na kuteteasheria za nchi na watanzania dhidi ya upuuzwaji wa uzalendo, haki, utu, lughaya taifa, maslahi ya kiwango cha utumikishwaji, niliishia kufukuzwa kwa kosa lakuongea kishahili na wanafunzi.

      Ushauri wangu kwa wizara ya elimu.
      Kwanza kupandisha mshahara na mazingira yakazi serikalini ilikuvutia waalimu wote toka shule binafsi kwani wangi wamechoshwani manyanyaso ya waajiri.
      Pili kufanya ukagua si wa taaluma tu bali piamfumo wa uajiri na maslahi ya watanzania waajiriwa kwenye shule zinazomilikiwabinafsi kwa misaada ya watu toka ughaibuni.

      Tatu iwe na utaratibu wa ufuatiliaji wamapato na matumizi ya shule zinazopata fedha toka kwa wafadhili kwani shidaza watanzania zimekuwa zikinufaisha wachache na kutengeneza ajira ya watuwasiona sifa za kufanya kazi ughaibuni na kuja kufanya kazi ambazo wazalendowanaweza kuzifanya.

      Nne kusisitiza hasa shule binafsi nchinikuthamini lugha ya kishwahili, kuheshimu sheria za ajira, kuheshimu sikukuu zakitaifa na kuheshimu, kulinda tamaduni na vipaji vya watanzania kwamanufaa ya Tanzania.

      Ni kweli tar 15/06/2012 nimefukuzwa kazi yakufundisha (ualimu) St-Jude-Arusha kwa kosa la kuzungumza Kiswahili.

      Uzalendo gharama nimeamua kujitoa kwa kuteteanchi yangu Tanzania.

      Mwalimu Daniel Urioh. Kwa undani zaidi piga:+255 755 379 737

      Chanzo:HABARI NA MATUKIO: MWALIMU AFUKUZWA KAZI KWA KUONGEA "KISWAHILI" - ARUSHA
      Mkandara likes this.
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      chuwaalbert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 295
      Rep Power : 499
      Likes Received
      52
      Likes Given
      129

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Kama mkataba na Mwajiri wake ni kuongea Ung'eng'e maeneo ya shule akiuvunja anategemea nini?
      JokaKuu and Dawa kuchanana tu like this.

    4. #3
      kiagata's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 149
      Rep Power : 401
      Likes Received
      29
      Likes Given
      24

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Duah,pole sana kwa yaliyokupata.
      Kazi ni ajira,chakula,heshima na msaada kwa anayeifanya.Kuipoteza kwa vyovyote inauma na kupteza hayo hapo juu na zaidi.
      Sasa kwa ushauri,nenda Mahakamani kwenye mahakama ya kazi na utapata msaada kwa watu waliokerwa na tabia ya kufukuzwa watu hovyo hovyo bila kufuata taratibu.Ingawa shule za Internatinal,English mediam na hizi zote za st.st......... lugha(english) ndio msingi unaotofautisha shule za kina Kayumba na zao.
      Pole sana.

    5. #4
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Mnaabudu wazungu halafu mnakuja kulalamika hapa tuwasaidie nini? Endeleeni kuwaabudu!

    6. MI6
      #5
      MI6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 373
      Likes Received
      17
      Likes Given
      10

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      pole sana...

      Usisahau kudai chako mapemaaaa....

    7. Miaka 50

    8. #6
      DR. RICHARD's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 373
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      kama kunamkataba wa kazi unaosema mwl. atafukuzwa kazi akiongea kiswahili na wanafunzi (siyokufundisha) ndani ya tanzania lazima tu utakuwa batili kwani kiswahili ni lugha ya taifa na kama kakosea kuna kutoa onyo, hao wawekezaji kama elimu ni liingereza basi wakaweke huko kwa waingeleza, haliwezi likawa taifa linalopuuza lugha yake ya taifa.

    9. #7
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,020
      Rep Power : 2562
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Very sad ila sasa huyu kaanza kuongea lugha hii kuanzia lini hadi afukuzwe mara hii ? Na mikataba ya aina hii ndani ya Tanzania inakuwaje ?
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    10. #8
      Wizzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 432
      Rep Power : 516
      Likes Received
      79
      Likes Given
      34

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      jaman 2msaidie huyu jamaa kisheria

    11. #9
      rwazi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd November 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 420
      Likes Received
      36
      Likes Given
      9

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      ymimi sioni sababu ya kujua wafafhili wanatoa kiasi gani kwani eakati unaingia hapo ulirnda kuomba kaxi sasa unataka kujua eafadhili wanatoa kiasi gani hiyosiyo kazi yako wewe dai kilicho chako qtu

    12. #10
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,765
      Rep Power : 15109
      Likes Received
      7229
      Likes Given
      6904

      Default

      Quote By Wizzo
      jaman 2msaidie huyu jamaa kisheria
      wewe umenena vyema.....hawa wazungu wanataka kutushika nyeti sasa.....

    13. #11
      Mzee2000's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2009
      Posts : 308
      Rep Power : 559
      Likes Received
      17
      Likes Given
      3

      Default

      Pole sana kweli ni kituko.Mikasa kama hii inatoka Afrika tuu.Ila ndio hivyo waafrika tumezidi kudharau lugha zetu this in cludes nyinyi waalimu.Natumaini hilo ni fundisho.

    14. #12
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      pole ndugu,mahakama zinamlinda mwenye nacho sijui utapataje haki yako

    15. #13
      SHEMGUNGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 332
      Rep Power : 437
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      duu inategemea na makubaliano anaonekana alionywa sana akawa anajisahau! ila vp kuhusu st kayumba kakosa kabisaa!

    16. #14
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,177
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2297

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Quote By Preta
      wewe umenena vyema.....hawa wazungu wanataka kutushika nyeti sasa.....
      Kama mkataba alioingia nao unamkataza kuzungumza kiswahili maeneo ya kazini shughuli ipo!
      Labda pa kuanzia ni kumfukuza mzungu aliye implement kanuni ya kukataza kuzungumza kiswahili!
      Preta likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    17. #15
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,837
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      2449
      Likes Given
      3518

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      ..wa-Tz tuhakikishe tunajifunza Kiingereza kwa juhudi zote.

      ..Kiswahili hakiwezi kutufikisha mbali, that is the reality.

    18. #16
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 868
      Rep Power : 528
      Likes Received
      168
      Likes Given
      158

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      shule nyingi, after lol wewe unavyeti vyako, huyo hakupi kiinua mgongo wewe, jiajiri na safari hii fungua biashara zako
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    19. #17
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,696
      Rep Power : 11282
      Likes Received
      1481
      Likes Given
      570

      Default

      Quote By Preta
      wewe umenena vyema.....hawa wazungu wanataka kutushika nyeti sasa.....

      Yani acha tu! Halafu Mi hawa wasungu wananitia kichefuchefu sasa!

      Lakini haya yote ni ccm ndio wametusababishia!

    20. #18
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 868
      Rep Power : 528
      Likes Received
      168
      Likes Given
      158

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Quote By JokaKuu
      ..wa-Tz tuhakikishe tunajifunza Kiingereza kwa juhudi zote.

      ..Kiswahili hakiwezi kutufikisha mbali, that is the reality.
      hembu iandike hiyo kwa ung'eng'e tukuone
      JokaKuu likes this.
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    21. #19
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 868
      Rep Power : 528
      Likes Received
      168
      Likes Given
      158

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Quote By mansakankanmusa
      hembu iandike hiyo kwa ung'eng'e tukuone
      wanataka watushike sehemu za siri tuendelee? wew vipi bana
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    22. #20
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,177
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2297

      Default Re: Mwalimu afukuzwa kazi kwa kuzungumza Kiswahili Arusha

      Quote By JokaKuu
      ..wa-Tz tuhakikishe tunajifunza Kiingereza kwa juhudi zote.

      ..Kiswahili hakiwezi kutufikisha mbali, that is the reality.
      Issue siyo kutokujua kuzungumza kiingereza. Issue ni kuzungumza kiswahili kwenye eneo la kazi!
      JokaKuu likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...