Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      mgeni wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 1,157
      Rep Power : 891
      Likes Received
      578
      Likes Given
      0

      Default Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Wana JF kutokana na Chadema kufanya Mikutano yenye Mvuto kwa Wananchi,Serikali kupitia ngazi za Juu za (ccm)Uongozi Zimemuamuru Msaliji(kada wa ccm)wa vyama vya siasa Kutengeneza Kanuni itakayokataza vyama vyote vya siasa kufanya mikutano kwa Uhuru(mlengwa ni M4C)kwani mikutano hiyo imekuwa ikihatarisha Amani ya Nchi na kuzoa wana chama wa vyama vingine.,kwa mujibu wa mtoa Nyeti hizi Msajili atawaita makatibu wakuu wote na kuwapa kitabu cha Kanuni ya Mikutano ambayo haita Mruhusu mtu asiye wa Mkoa fulani kuvuka mkoa na kuhutubia Hadhara bila kibali maalum cha Msajili.
      Haya ni maagizo toka juu nawasilisha

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Ahsante kwa taarifa...
      magamba wanatapatapa.
      Jasusi likes this.

    4. #3
      real thinker's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 354
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      wataiona mbombo magamba hata watumie njia yoyote wanayoona inafaa they must knw that the end of their domination in tz is soon to be end up and m4c wil take the position for better lives and management of tanzanians.

    5. #4
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,744
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      147

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Kwa katiba ipi ya nchi au sheria ya mtanzania kwenda popote kwenye nchi hii ili mradi havunji sheria imesha kufa,Kwa hiyo serikali inakubaliana na sera ya majimbo je itakuwa hivyo na kwa mwenyekiti wa CCM yaani huu utawala hauna tofauti na ule wa makaburu una nyonga sana haki za wananchi

    6. #5
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Hii serikali ni ombaomba, na moja ya masharti inayopewa itembezapo bakuli lake, ni kuheshimu utawala bora. Wakileta hii nasi tusisite kuwashitaki kwa hao bwana zao (wafadhili) kwamba wanakiuka haki za binadamu na kutoheshimu utawala bora.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    7. Miaka 50

    8. #6
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2589
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Wakaongee na Gadafi atawapa mbinu huko aliko.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    9. #7
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Quote By mgeni wenu
      Wana JF kutokana na Chadema kufanya Mikutano yenye Mvuto kwa Wananchi,Serikali kupitia ngazi za Juu za (ccm)Uongozi Zimemuamuru Msaliji(kada wa ccm)wa vyama vya siasa Kutengeneza Kanuni itakayokataza vyama vyote vya siasa kufanya mikutano kwa Uhuru(mlengwa ni M4C)kwani mikutano hiyo imekuwa ikihatarisha Amani ya Nchi na kuzoa wana chama wa vyama vingine.,kwa mujibu wa mtoa Nyeti hizi Msajili atawaita makatibu wakuu wote na kuwapa kitabu cha Kanuni ya Mikutano ambayo haita Mruhusu mtu asiye wa Mkoa fulani kuvuka mkoa na kuhutubia Hadhara bila kibali maalum cha Msajili.
      Haya ni maagizo toka juu nawasilisha
      Hilo nimeliona leo nilipopita Morogoro. FFU kutoka Dar wametanda kila kona ya Manispaa kuzuia Mikutano ya CDM. TAFAKARI: Police wa kulinda mikutano ya vyama hakuna kama alivyodai RPC Moro, lakini wa kuzuia mikutano ya vyama kinzani wapo wa kutosha na nimeshuhudia leo!!!

    10. #8
      EMMANUEL NSAMBI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2011
      Posts : 357
      Rep Power : 454
      Likes Received
      78
      Likes Given
      17

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Hiyo haipo wala haiwezekani.Ina maana mwenyekiti au katibu wa chama haruhusiwi
      kutembelea matawi ya chama?Huyu msajili akicheza watu watazaa nae.

    11. #9
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      yaani ni marufuku kwa rais kufika kaskazini?
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    12. #10
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 414
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Raisi nae itabidi awe na pass ya kuvuka mkoa.!! ccm wamefilisika ubunifu hadi busara,wanajiona wanahati miliki na nchi hii.

    13. #11
      Deofm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 225
      Rep Power : 410
      Likes Received
      31
      Likes Given
      26

      Default Re: Mikutano ya Vyama vya Siasa kuundiwa Kanuni ya Makatazo

      Hii ni hatari sana kwa umoja wa kitaifa, nadhani mtakumbuka kauli ya Joshua Nasari pale Arusha hadi akalazimika kuifuta na kuomba msamaha. wakileta hili hata watumishi wa umma na viongozi kama wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurungenzi wa halmashauri nk watalazimika kuwa wazaliwa katika mikoa husika. Tulianza na sumu ya udini, naomba sana hii ya ukabila tuiache kwani hakuna atakayesalimika.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...