Ndugu zangu hivi ili nchi iwe mwanachama wa un, eac, sadc uwa inatozwa ada ya uanachama? Na je ni kiasi gani kwa anayejua tafadhari.
Ndugu zangu hivi ili nchi iwe mwanachama wa un, eac, sadc uwa inatozwa ada ya uanachama? Na je ni kiasi gani kwa anayejua tafadhari.
Watafika sasa hivi...watupe vitu,,,alafu kipindi cha Gadafi kuna nchi zilikua zinalipiwa ada ya uanachama AU
'vox populi, vox dei"
Follow Us Here