Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 72
    1. #1
      George Kahangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2007
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 483
      Rep Power : 688
      Likes Received
      103
      Likes Given
      38

      Default Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Wakuu,

      Pamoja na mijadala kadhaa inayoendelea hapa JF kuwa na hoja zilizo nzuri kwa maslahi ya taifa letu, upo uwezekano mkubwa kwamba, maadam mchokozi na watu wake nao wanajua Kiswahili, pengine wako nasi mtandaoni wakifuatilia kila kinachoandikwa kwa sababu zao za kiintelijensia.

      Hivyo tunapoendelea kujadili, si vibaya kutahadhari tusijikute tumesaidia kumweleza adui kila udhaifu tulionao. Badala yake, tunaweza kujikita katika kuanika kile anachoendelea kufanya katika eneo letu na kile anachokusudia kufanya baadaye.

      Wazee wa kule kanda ya ziwa Nyanza wana msemo; Zamani chui alikuwa hajui kukamata shingo la mawindo yake, alijifunza baada ya kusikia mawindo ya kinong’ona kwamba; ‘tunachomoka maana anakamata mikia, siku akikamata shingoni, tumekwisha’
      Last edited by George Kahangwa; 4th August 2012 at 03:47.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,551
      Rep Power : 16758
      Likes Received
      2474
      Likes Given
      1841

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Vita inanukia...

    4. #22
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,169
      Rep Power : 620
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By Katavi
      Vita inanukia...
      SIO INANUKIA? BALI INAANZA KUNUKA!

    5. #23
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7786

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      najikuta nasikitika tu, heshima ya mtanzania imeshuka kiasi hiki??? loh!
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    6. #24
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,863
      Rep Power : 0
      Likes Received
      485
      Likes Given
      689

      Default

      Quote By dogojanja 87
      tutapeleka wale wanajeshi wetu wa "maonesho",mabingwa wa kupiga ngumi vitofali na kutembea juu ya moto..af wenzetu wametega rader za maana na vifaa vya kisasa vya kivita..si tunajifanya hatuamini teknolojia katika jeshi,ngoja sasa....
      I am sorry, wewe si dogo janja ila ni dogo mpumbavu, period. Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. I bet you are not Tanzanian!

    7. #25
      abousalah2's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 76
      Rep Power : 362
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga! Huu wizi wa kuchukua mali za watu utamalizika lini? Wanyasa wanayohaki ndio wakaidai na nina mategemeo makubwa watashinda mbio zao! M/mungu hayupamoja na wanaodhulumu! Ikiwa wanyasa madai yao ni kweli watathibiti! Nyasa inatumika nguvu znz imetumika ghilba na nguvu. Ya rabbi wadamirishe madhalimu. Amin

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By abousalah2
      Ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga! Huu wizi wa kuchukua mali za watu utamalizika lini? Wanyasa wanayohaki ndio wakaidai na nina mategemeo makubwa watashinda mbio zao! M/mungu hayupamoja na wanaodhulumu! Ikiwa wanyasa madai yao ni kweli watathibiti! Nyasa inatumika nguvu znz imetumika ghilba na nguvu. Ya rabbi wadamirishe madhalimu. Amin
      pelekeni uamsho wakawasaidie manake ndivyo mlivyo.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    10. #27
      Chilisosi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      mie niko tayari kubeba mtutu nikadunde mtu

    11. #28
      Highlander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 1,357
      Rep Power : 638
      Likes Received
      388
      Likes Given
      478

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Ndugu Kahangwa. I must say I thank you for placing this compilation here on JF. There is so much I didn't know that I now know. I was recently in Malawi and had met very good people there. The hospitality blinded my vision. Now I see so clearly there are also ****** in that country apparently, and I am changing my perception of the little nation after going through your post.

      We do have a problem I concede now, and we must prepare for the worst. ****** are known to have caused hell throughout history. Although I still believe this idiocy may be manipulated by a foreign oil company or companies, the truth remains: We have a problem, and we must prepare for the worst.

      Asante kwa post nzuri!


      Quote By George Kahangwa
      third world war ikayamba,ife tdzamenyana ndi tanzania believe it or not.
      I Agree with mr fuel.ma arab kwawo ndi kupha,kuononga ndi kuba.analowa mmalo mwa satana ndikhulupilileni.
      timaona ndife anthu wamba koma inu anthu andale mumazindikila pa last minute.
      mashahili kwao mkuchotsa zikopa ma albino becareful my fellow malawians before its too late
      Like 0
      Reply



      The wise one, you should indeed be part of delegation to TZ. I have looked at the comments to the subject and am awe struck by the oneness potrayed by all. Their belong to mother Malawi and standing up for her. BIG UP guys.
      Like 0
      Reply



      Remember this has been prophesied by prophet Bushiri.
      Like 0
      Reply



      This is a total greedy by our neighbour,how come on Earth humans think like small creatures?it is absolutely anacceptable to what Tanzanians think of our beloved malawi.We are going expose them until they tell us the truth about the other land they have stolen from us.
      Like 0
      Reply



      This is a crisis.parliament shd b called and a bill on conscription be proposed,debated and passed.another bill for funds to buy tanks,artillery,guns and other weapons even chemical.we need to be prepared lest all our neighbours will claim a chunk of our land.
      Like 0
      Reply

      20
      kaleesta Says: August 1st, 2012 at 6:10 pm


      mnn,mn
      Like 0
      Reply



      These Taifa’s are playing with fire here. This is Lake ‘Malawi’ and I for one am ready to go to war if that is what it takes to school them about ownership of the Lake. They will pay in blood and tears!
      General Odillo please don’t waste any time, this is not a time for diplomacy, look at the misfortune that this PP regime’s constant smiling and begging has brought for us, even Swahili’s want to ride us bareback in our own lake. Athileni ma stunt grenade agalu amenewa right at the boarder, let them ran to Kikwete and tell him kutu kwanukha utsi ku Lake Malawi! This is where we miss Chitsulo cha njanji, he would not have bitten his words over this insult by Kikwete.
      Like 3
      Reply

      22
      Wa Nzeru Wa kum'mawa Says: August 1st, 2012 at 6:59 pm


      Big up Wise One,
      I have been looking for such analysis to the history of this dispute, now it seems clear. To defuse the Taifas claim, we as Malawians let’s also counter by claiming that land in the prehistoric era.
      Maravi for Malawi
      Nyasa for Nyasaland
      Lake Nyasa for Nyasaland.
      Lake Malawi for Malawi.
      On this one, I am ready to join the barracks to fight for my legitimate boarders. I urge the MDF to start recruiting more of us who are willing for this cause.

      Well-loved. Like 9
      Reply



      Is it Lake Tanzania? NO! NO! NO! NO! NO!
      Is it Lake Mozambique? NO! NO! NO! NO! NO!
      Is it Lake Zambia? NO! NO! NO! NO! NO!
      The lake’s name is lake Malawi. PERIOD!
      Like 2
      Reply



      Yes good history for me. I missed and did this position. But most people that lakes or similar bodies most of them grow and claim further land outwards. Tanzanians claim may be appropriate. Please advise on experiences as mentioned herein. Anyway challenges need to be resolved.
      Like 0
      Reply



      It seems that some of our Tanzanian wa Swahili friends want a some of the oil proceeds, if there is any? They would never make this an issue otherwise.Let us talk but don’t give them an inch of the lake or a drop of oil!! They have been blessed with much in Tanzania!! You know that they will never be satisfied…..
      Like 0
      Reply

      26
      Humphrey's Titus Nthara Jnr Says: August 1st, 2012 at 11:19 pm


      Ladies and Gentlemen in TAnzania can you help me on this one,if you had a mango tree on your house and the tree has some fruits which are dangling at your neighbours yard, can the neighbour claim that part of the tree branch and its fruits dangling on the other side of her house is hers?? Taifas the best you can do which i can accept is ENJOY THE FRUITS FORGET ABOUT THE TREE, mind you we have the best civil service you cannot win this case, you have LAKE VICTORIA,YOU HAVE LAKE TANGANYIKA MORE OVER THE GIANT INDIAN OCEAN WHAT ELSE DO YOU WANT? leave the lake to us. Nyasaland and Tanganyika are too different names they dont even match shame on you TAIFAS.
      Like 3
      Reply

      27
      kuwapunira Says: August 1st, 2012 at 11:28 pm


      Koma mukuyamba zimenezi chifukwa choti chitsulo cha njanji chafa.
      Mitu zanu nonse ma TAIFA.
      Like 0
      Reply



      I beta die fytn 4wats myn thn leav en c my neba takn advntag of my silenc….
      Like 0
      Reply

      29
      Penicillin Says: August 2nd, 2012 at 8:56 am


      They own part of Lake Victoria, Lake Tanganyika and a big big chunk of the Indian Ocean. Why the **** do they want part of our lake?!?!?!
      Like 1
      Reply



      What belongs to me is for me,and if people witnesses that it belongs to me then it is for me fore ever,i will never allow some one to just take it away from me alive unless i am killed.I can’t give it to others unless it is of no use to me.Have the right to fight what belongs to you and people will help you if you fall in the stream of your wicknes.
      Like 0
      Reply
      George Kahangwa likes this.

    12. #29
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,629
      Rep Power : 10157
      Likes Received
      5644
      Likes Given
      12664

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By George Kahangwa
      Of course hawawezi kutegemea JF tu, lakini JF licha ya kwamba inareflect public opinion, ni mwalimu pia wa hiyo hiyo public.
      Aidha, imesemwa hapa mara nyingi, kwamba laiti hata vyombo vyetu vingetilia maanani kinachoandikwa JF, tungeepuka mengi.


      Kwa faida ya wengine, article uliyoitaja hii hapa;
      JSTOR: An Error Occurred Setting Your User Cookie
      nimesoam hii article ..nimegundua kuwa huyu mama ana hasira na Tanzania itakuwa baba yake ndio alimjaza ujinga kwa hiyo hana jipya hasira ni hasara
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    13. #30
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,629
      Rep Power : 10157
      Likes Received
      5644
      Likes Given
      12664

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      This is a crisis.parliament shd b called and a bill on conscription be proposed,debated and passed.another bill for funds to buy tanks,artillery,guns and other weapons even chemical.we need to be prepared lest all our neighbours will claim a chunk of our land.
      now i acna say these malawians smokes weeds
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    14. #31
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,942
      Rep Power : 2365
      Likes Received
      951
      Likes Given
      171

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By George Kahangwa
      Wakuu,

      Pamoja na mijadala kadhaa inayoendelea hapa JF kuwa na hoja zilizo nzuri kwa maslahi ya taifa letu, upo uwezekano mkubwa kwamba, maadam mchokozi na watu wake nao wanajua Kiswahili, pengine wako nasi mtandaoni wakifuatilia kila kinachoandikwa kwa sababu zao za kiintelijensia.

      Hivyo tunapoendelea kujadili, si vibaya kutahadhari tusijikute tumesaidia kumweleza adui kila udhaifu tulionao. Badala yake, tunaweza kujikita katika kuanika kile anachoendelea kufanya katika eneo letu na kile anachokusudia kufanya baadaye.

      Wazee wa kule kanda ya ziwa Nyanza wana msemo; Zamani chui alikuwa hajui kukamata shingo la mawindo yake, alijifunza baada ya kusikia mawindo ya kinong’ona kwamba; ‘tunachomoka maana anakamata mikia, siku akikamata shingoni, tumekwisha’
      nilisoma article nyasa times wame acknowledge source jamii forums .. so they are watching !
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    15. #32
      George Kahangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2007
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 483
      Rep Power : 688
      Likes Received
      103
      Likes Given
      38

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By njiwa


      nilisoma article nyasa times wame acknowledge source jamii forums .. so they are watching !
      Ndiyo mkuu, hata mimi niliona hilo ndio maana nikaona tutahadharishane (rejea post nilipo-paste kilichoandikwa katika gazeti hilo)

    16. #33
      George Kahangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2007
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 483
      Rep Power : 688
      Likes Received
      103
      Likes Given
      38

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Kwa mujibu wa CIA, jamaa wako hivi;

      Nguvu za Kijeshi za Malawi





      Malawi Defense Forces (MDF): Army (includes Air Wing, Marine Unit) (2009)
      Military service age and obligation:
      18 years of age for voluntary military service; standard obligation is 2 years of active duty and 5 years reserve service (2007)
      Manpower available for military service:
      males age 16-49: 3,514,809 (2010 est.)
      Manpower fit for military service:
      males age 16-49: 2,132,909
      females age 16-49: 2,043,925 (2010 est.)
      Manpower reaching militarily significant age annually:
      male: 183,683
      female: 183,028 (2010 est.)
      Military expenditures:
      1.3% of GDP (2006)
      country comparison to the world: 112

    17. #34
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,375
      Rep Power : 16492
      Likes Received
      4298
      Likes Given
      5491

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Duh!wanatuita "Taifas" maybe because of Taifa Stars?if so ni bora tungeiname timu ya Taifa "Simba stars" ili watuite "Simba".Hata hivyo pia wanatuita "Arab Swahili" pamoja na "swahilis".Very interesting...Na sisi tunawaitaje?ama just "Malawians"?

      Kuna mwenye kujuwa kama wamalawi wote ni "wanyasa"?maana wanasisitiza kuwa "lake nyasa" ambayo ndo hiyo hiyo "lake Malawi" ni ya Malawi ama nyasa land.Ndo kuna aliyetoa mfano kuwa lake Tanganyika haiwezi kuwa Malawi...
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    18. #35
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Lets wait and see!

    19. #36
      George Kahangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2007
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 483
      Rep Power : 688
      Likes Received
      103
      Likes Given
      38

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By jmushi1
      Duh!wanatuita "Taifas" maybe because of Taifa Stars?if so ni bora tungeiname timu ya Taifa "Simba stars" ili watuite "Simba".Hata hivyo pia wanatuita "Arab Swahili" pamoja na "swahilis".Very interesting...Na sisi tunawaitaje?ama just "Malawians"?

      Kuna mwenye kujuwa kama wamalawi wote ni "wanyasa"?maana wanasisitiza kuwa "lake nyasa" ambayo ndo hiyo hiyo "lake Malawi" ni ya Malawi ama nyasa land.Ndo kuna aliyetoa mfano kuwa lake Tanganyika haiwezi kuwa Malawi...
      Ukitumia mantiki hiyo hiyo ya jina la ziwa, Lake Tanganyika si lote ni la Tanganyika cum Tanzania, DR-Congo na Zambia zina sehemu katika ziwa hilo pia.

    20. #37
      Richard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2006
      Location : LANGLEY
      Posts : 2,225
      Rep Power : 1088
      Likes Received
      483
      Likes Given
      1645

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Hawa majirani mbona wanajitutumua sana au ni kwasababu mama Banda anajitahidi kutoa maamuzi magumu.

      Hata kama misaada itamiminika kwa wingi kwa sasa baada ya Mutharika kuondoka hio si sababu ya kutafuta uchokozi sehemu nyingine.

      Kuna watu wengine tumepitapita Malawi hasa Karonga na hapo tuna wenzetu wanakifahamu vizuri kiswahili. Bado nakumbuka ile njia ya basi kupitia Nkahata Bay kwenda Karonga.

      Bila hii mipaka iliowekwa na wazungu hadi ndani ya maji ya ziwa Nyasa sisi tusingekuwa na haja ya kulumbana kuhusu nani anamiliki wapi. Hizi rasilimali kuanzia Uranium pale Kayelekera, gesi na mafuta ndio chanzo cha migogoro mahali popote duniani na mabeberu wanaanza kuwatumia wamalawi kujitutumua.

      Nchi za Tanzania na Malawi ni ndugu na tuanishi pamoja siku zote, tunaingia kutoka katika nchi zetu na kufahamiana kwa uzuri tu, na huo ndio ukweli.

      Ila kama kweli Malawi ina "backers" kwenye hili suala la mpaka basi huo ndio unafiki wa nchi za magharibi na siku zote kuna watu wanawakumbatia na kujiona wanafanya mambo mazuri.

      Mnafiki mtu mbaya sana na ni sawa na mtu anaependa kusema, "ooh eti mimi sifungamani na upande wowote ule, what a ****!"
      Last edited by Richard; 4th August 2012 at 16:01.
      When thinking about my risk assessment, I always remember:
      HAZARD and the RISK .

    21. #38
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,375
      Rep Power : 16492
      Likes Received
      4298
      Likes Given
      5491

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By George Kahangwa
      Ukitumia mantiki hiyo hiyo ya jina la ziwa, Lake Tanganyika si lote ni la Tanganyika cum Tanzania, DR-Congo na Zambia zina sehemu katika ziwa hilo pia.
      I thought so,hiyo sababu aliyoitoa huyo mchangiaji wao ni invalid...Lakini pia nimeuliza kama wamalawi wote ni "wanyasa",that will make a difference,kwasababu hatuna kabila la watanganyika,je "wanyasa" ni kabila ama ni jina kama "Tanganyika"?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    22. #39
      Elungata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 3,659
      Rep Power : 1238
      Likes Received
      411
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      The yellowstuff about to hit the fan.

    23. #40
      Consigliere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Location : Right in your head
      Posts : 1,592
      Rep Power : 905
      Likes Received
      725
      Likes Given
      506

      Default Re: Mgogoro ziwa Nyasa: Tahadhari kwa watanzania, hasa watumiaji wa JF

      Quote By abousalah2
      Ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga! Huu wizi wa kuchukua mali za watu utamalizika lini? Wanyasa wanayohaki ndio wakaidai na nina mategemeo makubwa watashinda mbio zao! M/mungu hayupamoja na wanaodhulumu! Ikiwa wanyasa madai yao ni kweli watathibiti! Nyasa inatumika nguvu znz imetumika ghilba na nguvu. Ya rabbi wadamirishe madhalimu. Amin
      Unasikia wewe kimbulukutu??? usipende kudandia mambo yasiyo kuhusu sawa......!!!!!!
      Huna ujualo, ni heri ufuatilie posts na comments kwa lengo la kujifunza badala ya kuleta dark ideas hapa, hapa hatujadili siasa za UAMSHO, nakushauri utulie pembeni badala ya kutaka kupotosha muelekeo wa mjadala, na malalamiko yenu ya mitaani yasiyo na facts.
      Power of Mind cannot be the ultimate salvation for humanity, for all the faculties of mind are decidedly limited.

    24. Study Abroad
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...