Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Walimu si Muhimu kwa Taifa la Tanzania.

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      kimboka one's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2010
      Posts : 620
      Rep Power : 598
      Likes Received
      61
      Likes Given
      2

      Default Walimu si Muhimu kwa Taifa la Tanzania.

      Serikali kama kawaida yake imeagiza mahakama kusimamisha mgomo wa waalimu na kuwalazimisha warudi kazini kuendelea na mgomo baridi kwa sababu wao wala watoto wao si wahanga wa huu mgomo.

      Ila hawa viongozi wetu wasio na huruma na raia wa nchi hii wajue mwisho wao hauko mbali kuna siku hao watoto wanaomaliza darasa la 12(form 4) na la saba wakiwa hawajui kusoma, watavyamia magorofa yao na kudai kugawana mali walizo wadhulumu,leo wataniona kama mwehu hivi ila ipo siku wa si mbali ambayo viongozi wote watalazimika kutembea na SMG na askari wenye silaa kali kutokana na hasira ya watanzania kwao.

      Mimi sitaki kujadili chochote kutokana na mgomo huu ambao mkuu wa nchi anaona hauna madhara makubwa kwani ‘walimu wakigoma mitaala bado ipo watakuja wengine kufundisha’ hivyo ata wakigoma hakuna madhara.hivyo hatuna pesa za kuwapa waalimu ila za wabunge,mawaziri,maVX ,G8 na magorofa ya vigogo pamoja na posha za kila aina,zenyewe zipo ila za waalimu kwa kuwa si muhimu hazipo!.

      Wadau mi ngoja nitoke tu hapa hii nchi si mahali salama pa kuishi tena!.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 490
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Walimu si Muhimu kwa Taifa la Tanzania.

      Nichukue na mie unakoenda..

    4. #3
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,607
      Rep Power : 1104
      Likes Received
      997
      Likes Given
      751

      Default Re: Walimu si Muhimu kwa Taifa la Tanzania.

      Walimu wamezidi ukilaza na woga wewe ukiamua kugoma nenda moja kwa moja kwenye mgomo ni mahakama ipi au serikali ipi itakayokuruhusu kugoma?? mshahara wa walimu nafikiri unawatosha sana ndio maana wametishwa kidogo wakafyata!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    5. #4
      African teacher's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 346
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Walimu si Muhimu kwa Taifa la Tanzania.

      Tumefyata eeeh'goja muonje utamu matokeo yajayo'hapo ndipo utakapojua ka tumefyata

    6. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...