Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 101
    1. #1
      Nanyaro Ephata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Location : Arusha
      Posts : 610
      Rep Power : 544
      Likes Received
      412
      Likes Given
      1

      Default JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Malawi inatoa wapi kiburi cha kutangaza sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni sehemu yake? Hivi si kwamba sisi tumezembea mipaka yetu hadi jirani wameona udhaifu wetu?Hivi enzi za Mwalimu Nyerere Malawi wangethubutu?

      Kimsingi hata nchi jirani wameona udhaifu wa aina ya Uongozi tulio nao, uongozi hata kwenye mambo ya msingi unasema upepo utapita.

      Serikali ya awamu ya nne chini ya utawala dhaifu wa JK,umeshindwa hata kulinda mipaka yetu,haingii akilini kuwa sasa nchi yetu imekuwa haina ulinzi wa kutosha kwenye mipaka hadi kusababisha mamia kama sio maelfu ya wahamiaji haramu kukamatia maeneo ya Katikati ya nchi,hii inaonyesha kuwa mipaka yetu haipo salama.

      Sababu ya kuipiga Malawi tunayo,Uwezo tunao,na nia tunayo,JK peleka jeshi ziwa nyasa, angalau katika hili utakumbukwa kwalo kuwa ulisimama imara kuitetea mipaka ya Jamhuri yetu, kuendelea kukaa kimya kunawapa Malawi advantage a hivyo kuadhiri wananchi kwa ujumla kisaikolojia,ni lazima serikali yako ichukue hatua
      Erickb52 likes this.
      ........Saa ya ukombozi ni sasa..........

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 927
      Rep Power : 553
      Likes Received
      321
      Likes Given
      204

      Default re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      For those who are proposing war with Malawi should clearly know from the beginning that, in any war there is no winner. Those who go to war both loose and the difference is the level of loss one nation encours. We must do a through analysis as to who is behind Malawi? Can this small land locked country dare initiate war with Tanzania while almost half of her economy is connected with Dar given the transportation of her export and import? We need to do our homework throughly before engaging our brothers and sisters into war. I submit

    4. #62
      papason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : Choma Cha Nkola
      Posts : 875
      Rep Power : 616
      Likes Received
      154
      Likes Given
      164

      Default re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Dhaifu kweli kweli! yaani kazidiwa ujanja na mwanamke?

    5. #63
      DALLAI LAMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,851
      Rep Power : 892
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Natamani ingekuwa mi ndo JK,kikosi cha oljoro chote nakipigisha kambi LUDEWA.mama akileta choko Narusha MAGURUNETI

    6. #64
      Sibhonike's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 87
      Rep Power : 428
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By DALLAI LAMA
      Natamani ingekuwa mi ndo JK,kikosi cha oljoro chote nakipigisha kambi LUDEWA.mama akileta choko Narusha MAGURUNETI
      Vita ni vita Dallai.
      Know that!!

    7. #65
      Nanyaro Ephata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Location : Arusha
      Posts : 610
      Rep Power : 544
      Likes Received
      412
      Likes Given
      1

      Default re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      hatuwezi kuruhusu sehemu ya Jamhuri yetu ya Tanzania,kutangazwa kuwa ni eneo la nchi nyingine,kisha Jk anachekacheka.
      kwa mujibu wa taarifa mbalimbali za habari kutoka Malawi,zinasema kuwa serikali ya Malawi haipo tayari kukubaliana na Tanzania,kuwa sehemu ya ziwa liwe la Tanzania,bali Ziwa lote ni lao,sasa eti Serikali ya Tanzania inataka mazungumzo,huu ni wendawazimu

    8. Miaka 50

    9. #66
      Makoye Matale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Location : Uwandani, Kondeni
      Posts : 1,159
      Rep Power : 639
      Likes Received
      234
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Honolulu
      Ni wakati muafaka wa kuing'oa CCM madarakani! Vita ya ndani na nje! Natamani huyo Joyce Banda afanye haraka ili vijana tumpe support. Ni bora tupoteze ziwa Nyasa lakini tukaokoa raslimali nyingine zinazoendelea kuangukia mikononi mwa mafisadi wachache!!

      Kama huna hoja ni vyema ukanyamaza kuliko kupayuka ujinga huu: Tanzania kwanza, CCM, CHADEMA baadaye.
      pop_up likes this.

    10. #67
      Makoye Matale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Location : Uwandani, Kondeni
      Posts : 1,159
      Rep Power : 639
      Likes Received
      234
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Mngendalyasota
      Mkataba wa 1890 kati ya mjerumani na mwingereza "To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma.

      From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the mouth of the Songwe River".
      Fine! Lay down the influence of British on Nyasaland.

    11. #68
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 414
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Nakumbuka mwaka 2010 kulitokea vurugu hapa Tunduma zilizohusisha wananchi wa Tanzania na Zambia wanaoishi mpakani, zilizopelekea IGP Mwema kuja tunduma kuangalia jinsi ya kusuruhisha mgogoro..baada ya kusemekana kuwa zambia wameleta wanajeshi upande wao. Tanzania ilileta haraka sana maofisa wa jeshi wasiopungua kumi wakitokea kambi ya Mbalizi wenyewe walisema wamekuja kuangalia usalama wa mpaka maswala ya vurugu hayawahusu, polisi wapo....naamini jeshi letu bado lipo makini sana sitashangaa kusikia badae maofisa usalama wa jeshi waliingia ndani ya malawi na kutoka bila kujulikana. Maana ni raisi sana mtanzania kuingia malawi kuliko mmalawi kuingia tanzania hii ni kwa sababu watanzania wengi sana malawi.

    12. #69
      Baro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 316
      Rep Power : 424
      Likes Received
      61
      Likes Given
      114

      Default re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      mh.NANYARO EPHATA..,umeongea kitu cha msingi sana nimependa ulivyomzalendo ..lakini kuna jambo nazani utakuwa uko wrong kidogo kutokana na uwelewa wangu mdogo nilionao ..sidhani kama ni busara kutangaza vita haraka haraka katika inshu sensitive kama hii mimi nazan yafanyike mazungumzo pande zote mbili ili kusettle hili suala na endapo njia za kidiplomasia zitashindikana ndo njia nyingine zifuate .......suala jingine mpaka malawi kufikia kutangaza ziwa nyasa ni mal yao mimi nazani ni mpango wa muda mrefu hivyo nazani wamejipanga kwa lolote hivyo hatutakiwi kukurupuka tusijeingia mtegoni ...kama tukishagundua lengo lao inabidi tututmie njia za kijajusi kuleleza ili tushinde kirahisi....ni mawazo tu

    13. #70
      Nyami2010's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Posts : 202
      Rep Power : 522
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      WanaJF

      Pamoja na kwamba Rais J.K ameonesha kuwa weak kwenye mambo mengi, lakini hili la mpaka wetu na Malawi ninaamini yuko makini kuliko maelezo. Usishangae vijana wetu tayari wako kwenye uwanja wa mapambano na wengine wanakunywa chai pale Lilongwe na Zomba, hususani kwenye Kamuzu na Cobbe barracks. Tanzania, iko fit kwenye hizi nyanja, acheni kukebehi na kutukana. Kudhihirisha haya niyasemayo, naomba usikilize hoja ya Mhe. Bernard Membe, siku ya Jumatatu au Jumanne (6-7 Agosti 2012). Ninawasilisha

    14. #71
      Nanyaro Ephata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Location : Arusha
      Posts : 610
      Rep Power : 544
      Likes Received
      412
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Baro
      mh.NANYARO EPHATA..,umeongea kitu cha msingi sana nimependa ulivyomzalendo ..lakini kuna jambo nazani utakuwa uko wrong kidogo kutokana na uwelewa wangu mdogo nilionao ..sidhani kama ni busara kutangaza vita haraka haraka katika inshu sensitive kama hii mimi nazan yafanyike mazungumzo pande zote mbili ili kusettle hili suala na endapo njia za kidiplomasia zitashindikana ndo njia nyingine zifuate .......suala jingine mpaka malawi kufikia kutangaza ziwa nyasa ni mal yao mimi nazani ni mpango wa muda mrefu hivyo nazani wamejipanga kwa lolote hivyo hatutakiwi kukurupuka tusijeingia mtegoni ...kama tukishagundua lengo lao inabidi tututmie njia za kijajusi kuleleza ili tushinde kirahisi....ni mawazo tu
      Mkuu Baro
      Hili swala halijaanza leo,na kama umenisoma vizuri nimesema Amiri Jeshi mkuu apeleke vikosi ziwa Nyasa,kwa kufanya hivyo,tutahakikisha ulizni wa wananchi wetu waishio jirani na hili Ziwa,Mgogoro wa Ziwa nyasa umeanza toka enzi za awamu ya kwanza.
      kuendelea kukaa kimya kunaadhiri wananchi wetu na kuwapa nguvu wavamizi hawa,

    15. #72
      Baro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 316
      Rep Power : 424
      Likes Received
      61
      Likes Given
      114

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Quote By Nanyaro Ephata
      Mkuu Baro
      Hili swala halijaanza leo,na kama umenisoma vizuri nimesema Amiri Jeshi mkuu apeleke vikosi ziwa Nyasa,kwa kufanya hivyo,tutahakikisha ulizni wa wananchi wetu waishio jirani na hili Ziwa,Mgogoro wa Ziwa nyasa umeanza toka enzi za awamu ya kwanza.
      kuendelea kukaa kimya kunaadhiri wananchi wetu na kuwapa nguvu wavamizi hawa,
      yap ni good idea...kaka

    16. #73
      m_tz's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Wewe mpuuzi kweli, mjinga na si mtanzania. Watu kama nyinyi walikuwepo hata tulipokuwa tunadai uhuru, waliona bora ukoloni uendelee na baadhi ya makabila yalitaka uhuru wao tu(Kaskazini corridor). Mjinga wewe natamani nikung'oe macho. Sasa kama hamna uchungu na nchi mnauchungu na nini. Kama uko radhi nchi yako ichukuliwe, kelele za uchungu wa nchi mnatoa wapi!

    17. #74
      m_tz's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Hao ndio cdm bwana, wanatamani kumpa support Joyce Banda. Halafu hili jina la Nanyaro si walewale jamaa wa Kaskazini wanaotaka kujitenga! Cdm wanafikiri vita ni kama maandamano yao barabarani.

    18. #75
      Mbelwa Germano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 701
      Rep Power : 838
      Likes Received
      200
      Likes Given
      262

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      use your resource you have to acquire resource

    19. #76
      Nanyaro Ephata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Location : Arusha
      Posts : 610
      Rep Power : 544
      Likes Received
      412
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By pop_up
      Hao ndio cdm bwana, wanatamani kumpa support Joyce Banda. Halafu hili jina la Nanyaro si walewale jamaa wa Kaskazini wanaotaka kujitenga! Cdm wanafikiri vita ni kama maandamano yao barabarani.
      acha kukurupuka,jenga hoja,matusi na kejeli yanakushushia heshima yako.Soma thread kwa makini ndio upost

    20. #77
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,013
      Rep Power : 582
      Likes Received
      124
      Likes Given
      17

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Wamefikia wp jaman?

    21. #78
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Quote By Mpitagwa
      For those who are proposing war with Malawi should clearly know from the beginning that, in any war there is no winner. Those who go to war both loose and the difference is the level of loss one nation encours. We must do a through analysis as to who is behind Malawi? Can this small land locked country dare initiate war with Tanzania while almost half of her economy is connected with Dar given the transportation of her export and import? We need to do our homework throughly before engaging our brothers and sisters into war. I submit
      Malawi don't depends on Tanzania or Dar for transportation of her exports or Imports. They have been using South route since 60s and for them to declare Lake Nyasa, they have done their homework. America was found through war, so was England, China, and almost 3/4 of all nations had to fight war to gain Independence. Securing Independence is as fierce as sustaining development. If to retain nominal jurisdiction over Lake Nyasa and territories require military intervention - So be it!
      Setuba Noel likes this.
      Exploration of reality

    22. #79
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 1,003
      Rep Power : 614
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Wakuu, tusiombe nchi kuingia Vitani. Hiki kipindi ni kigumu mno kwani ukweli hatuna jeshi, bali tuna makambi ya kulelea watoto wa wakubwa. 1978 tulikuwa na wanajeshi. leo tukianza vita, wakati hatuna wanajeshi, hata mabomu yanajilipukia yenyewe, pesa zote ziko kwa mafisadi, tutapigwa, tutatekwa, tutatawaliwa na mwanamke wa malawi, itakuwa aibu mara mbili.
      "KAMA NI ZIWA NYASA TU, BORA TUMWACHIE, KWANZA LI NCHI LENYEWE KUBWA MNO, HATA LINATUSHINDA KUTAWALA"

    23. #80
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,638
      Rep Power : 2008
      Likes Received
      1655
      Likes Given
      1634

      Default Re: JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

      Kati ya vitu ambavyo hata sina ofu navyo ni vita dhidi ya Malawi.
      Nina uhakika kama itatokea vita haitodumu hata miezi miwili Wamalawi watasalimu amri au watakuwa wamepoteza robo tatu ya majeshi yao na vibaraka wao.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...