Mimi ni mwanchama wa chadema na ni mkaa wa mwanza,kuna mambo nimekuwa nikijiuliza,
1.mbele ya pamba police post kuna ujenzi unaendelea pale yapata miezi 8 na kwa muonekano ujenzi na vifaa wanavyotumia havina kiwango kabisa japo mimi sio injinia.
2.stand kuu zinakoingilia daladala za airport na kutokea kuna mashimo makubwa sana yana miezi kadhaa pale.
3,kuna ujenzi unaendelea mlango mmoja ambao wanaziba shimo week karibia 2 sasa hauna kiwango pia.
3.kupaki gari mjini tunaambiwa tulipie kwa kutwa sh 900 toka 500 kuna uhalali wowote?
Naomba kupata ufafanuzi najua ukiwa kama mbunge hutoi pesa mfukoni ila una jukumu la kufutilia .

Reply With Quote


Follow Us Here