This is not a unique problem in Africa, kwani kati ya nchi 54 za Africa, nchi 48 zina matatizo ya namna hiyo ingawa on difference scales. Ni nchi sita tu za Africa leo hii hazina matatizo ya mipaka. Chanzo cha tatizo letu na Malawi goes back to late 1980s when the Anglo-German treaty was signed kuzuia ugomvi kati ya ujerumani na uingereza wakati ule wa colonial expansion. Wakati wa ukoloni, ilikuwa rahisi sana kwa British na Germans kuheshimu the treaty, lakini hali ikabadilika pale nchi zetu zilipopata uhuru. Tumekuwa na tatizo hili kwa miaka 48 kwani lilianza mwaka 1964, ni kwamba tu baada ya Mwalimu kuondoka na soko huria kuingia, kumekuwa na many developments to over shadow issue kama hii, hasa jumuiya ya SADC.
Vinginevyo, as we all know, Mwalimu Nyerere was a pro-active leader, sio kama viongozi waliomfuatia ambao wao kazi yao ni ku react after tatizo kutokea, badala ya kujaribu kulikinga au kulipunguza makali. Mwalimu alielewa mapema sana juu ya umuhimu wa negotiations to resolve the problem and he constantly came up with ideas on how our country and Malawi tungeweza kwa pamoja to share the resources ndani ya ziwa nyasa. Lakini pamoja na juhudi zote za Mwalimu, Rais wa wakati ule - Dr. Kamuzu Banda alikuwa mkaidi sana, kwa mfano kuna wakati alimjibu Mwalimu kama ifuatavyo:
“We will never recognize or accept this claim: we will never agree to the suggestion or proposal. The Lake has always belonged to Malawi….Everyone knew Nyerere as a coward and communist inspired jellyfish: We know while pretending to be a staunch supporter of the OAU, Nyerere is the worst agitator and betrayer of the cause for which the Organization was formulated. History, geography or even ethnical knowledge will convince Nyerere that four districts to the South of Tanganyika belong to us by nature. It is only that we respect the feasible unification of Mother Africa that we do not claim these districts. All that we are doing is setting [sic] historical truth.”
Source ya nukuu hii: James Mayall, “The Malawi -Tanzania Boundary Dispute,” The Journal of Modern African Studies, Volume 11, Issue No. 4, (December 1973): 611–628.
Mimi nadhani solution ingekuwa rahisi zaidi kama ingekuwa ni suala la ku-share resources pertaining to fishing, hydro power project, recreation na utalii in the context of SADC. Lakini kwa suala la Gesi/Mafuta kwa nchi maskini kama zetu, hasa kama Malawi ambayo ni land locked na isiyokuwa na resources zozote za maana, hapo kuna mtihani mgumu sana. Lakini ni muhimu viongozi wetu kutokurupuka katika hili kwani neither of the countries can afford to go into war na mwenzake.
Lastly, I remain to wonder iwapo mawaziri wetu wa mambo ya nje katika miaka yote hii walikuwa wanafanya any serious efforts kulitatua tatizo hili kupitia ministerial committees chini ya SADC. Ni vizuri kama angetokea mbunge mmoja akamuuliza Waziri Membe Jumatatu ijayo wakati atakapokuwa anawasilisha bajeti ya wizara yake.
Follow Us Here