Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Salary Slip's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 1,344
      Rep Power : 692
      Likes Received
      649
      Likes Given
      382

      Default Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Wazri wa ushirikiano wa afrika mashariki bwana Samweli Sitta, ametoa angalizo leo bungeni kwa wanawake wa kitanzania kuwa makini na wanaume kutoka nje ya nchi wanaotaka kufunga nao ndoa, kwani inaonekana wanaolewa sio kwa mapenzi ila ni ili wale wanaowaoa wapate haki ya kumiliki ardhi hapa nchini. Hii ni kutokana na uhaba wa ardhi kwenye nchi zao. Amesema ndoa hizo huwa haziduma kwahiyo lengo la waowaji inaonekana ni kupata ardhi kupitia mgongo wa ndoa na wanawake wa kitanzania. Na mbaya zaidi hio ndoa ikivunjika huyu mgeni ndio hubaki na hio ardhi.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,228
      Rep Power : 908
      Likes Received
      283
      Likes Given
      60

      Default re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Mbona kachelewa sana kulitamka? ni mpango wa siku nyingi sana huuu, na serikal;i ya kenya inaudhamini, kijana akitaka kuoa Tanzania, anapesa support kubwa sana

    4. #3
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,349
      Rep Power : 2044
      Likes Received
      465
      Likes Given
      2749

      Default re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Quote By Salary slip
      Wazri wa ushirikiano wa afrika mashariki bwana Samweli Sitta, ametoa angalizo leo bungeni kwa wanawake wa kitanzania kuwa makini na wanaume kutoka nje ya nchi wanaotaka kufunga nao ndoa, kwani inaonekana wanaolewa sio kwa mapenzi ila ni ili wale wanaowaoa wapate haki ya kumiliki ardhi hapa nchini.Hii ni kutokana na uhaba wa ardhi kwenye nchi zao.Amesema ndoa hizo huwa haziduma kwahiyo lengo la waowaji inaonekana ni kupata ardhi kupitia mgongo wa ndoa na wanawake wa kitanzania.
      This fellah is naive!! Yaani anataka kutuambia wadada wetu wakatae kuolewa to serve the government's ass!!

      They should go further on this, have the proper policies to combat such a scenario!! Wanasiasa wameamua kulaza vichwa vyao, wanataka kulala usingizi wa pono!!!!

      My foot...
      Mindi and Abdulhalim like this.
      There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela

      e-mail: [email protected]

    5. #4
      MotoYaMbongo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 1,290
      Rep Power : 0
      Likes Received
      146
      Likes Given
      0

      Default re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Kama wameliona hilo, wenyewe kama serikali wamejipangaje? Wanawake hawawezi kukataa kuolewa kisiasa tu, isitoshe wanawake wangapi wana uelewa huo? Na je wizara inampango gani kuwaelimisha athari zake?
      JokaKuu likes this.

    6. #5
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,837
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      2450
      Likes Given
      3518

      Default re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      ..kwani ukioa Mtanzania uraia unakuja na cheti cha ndoa??

      ..waziri apendekeze mabadiliko ya sheria ambapo mtu akioa/kuolewa na Mtanzania basi imchukue miaka 10 mpaka 15 kupata uraia.

      ..katika kipindi chote cha mpito asiruhusiwe kumiliki ardhi, ila kupitia kwa mkewe/mumewe. zaidi ardhi isiwe mali inayoweza kugawanyika ikiwa wahusika watatalikiana. Yaani kama umeoa/kuolewa na Mtanzania mkiachana ardhi inabaki kwa Mtanzania.

      ..sasa mtu akivumilia miaka yote hiyo, basi huyo kwa kweli anastahili ardhi yetu.
      BAK and emalau like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Salary slip
      Wazri wa ushirikiano wa afrika mashariki bwana Samweli Sitta, ametoa angalizo leo bungeni kwa wanawake wa kitanzania kuwa makini na wanaume kutoka nje ya nchi wanaotaka kufunga nao ndoa, kwani inaonekana wanaolewa sio kwa mapenzi ila ni ili wale wanaowaoa wapate haki ya kumiliki ardhi hapa nchini.Hii ni kutokana na uhaba wa ardhi kwenye nchi zao.Amesema ndoa hizo huwa haziduma kwahiyo lengo la waowaji inaonekana ni kupata ardhi kupitia mgongo wa ndoa na wanawake wa kitanzania.
      ah,ina maana hawa wazungu wanaopewa ARDHI BWERERE WAMEFUNGA NDOA NA NANI????
      JokaKuu likes this.

    9. #7
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,171
      Rep Power : 41580
      Likes Received
      6072
      Likes Given
      1058

      Default re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Duh,

      Wabongo tuna ndoa za kutafuta makaratasi ya bongo? Hatujachacha.

      On the real, utajuaje haya mapenzi ya kweli na haya ni ya makaratasi?

      Mie mbona nina ndugu wameoana na Wakenya miaka miingi sana iliyopita, hapo vipi? Mstari tunapiga wapi?
      JokaKuu and Saint Ivuga like this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    10. #8
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Quote By Nyunyu
      This fellah is naive!! Yaani anataka kutuambia wadada wetu wakatae kuolewa to serve the government's ass!!

      They should go further on this, have the proper policies to combat such a scenario!! Wanasiasa wameamua kulaza vichwa vyao, wanataka kulala usingizi wa pono!!!!

      My foot...
      Six ni janga jingine la kitaifa..
      Nyunyu likes this.
      Moola's the motive

    11. #9
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By JokaKuu
      ..kwani ukioa Mtanzania uraia unakuja na cheti cha ndoa??

      ..waziri apendekeze mabadiliko ya sheria ambapo mtu akioa/kuolewa na Mtanzania basi imchukue miaka 10 mpaka 15 kupata uraia.

      ..katika kipindi chote cha mpito asiruhusiwe kumiliki ardhi, ila kupitia kwa mkewe/mumewe. zaidi ardhi isiwe mali inayoweza kugawanyika ikiwa wahusika watatalikiana. Yaani kama umeoa/kuolewa na Mtanzania mkiachana ardhi inabaki kwa Mtanzania.

      ..sasa mtu akivumilia miaka yote hiyo, basi huyo kwa kweli anastahili ardhi yetu.
      jaman hawa makaburu wanaoitumia ardhi yetu nao wameoana na nani???MBONA SIJIBIWI JAMANI???????????????
      JokaKuu likes this.

    12. #10
      emalau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2009
      Posts : 574
      Rep Power : 627
      Likes Received
      98
      Likes Given
      97

      Default re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Sheria ya ardhi ni dhaifu, mtu binafsi mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi lakini kampuni ya kigeni inaruhusiwa, kwa hiyo wageni wanachofanya wanasajili kampuni uchwala kama investor at the end of the day wanatumia loop hole hiyo kujitwalia ardhi ya wadanganyika. 6 kama anaangalia mambo ya chumbani tu namshauri aangalie kwa mapana zaidi mpaka vichakani.
      JokaKuu and Recover like this.

    13. #11
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,367
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default

      Duu hii nayo balaaa.......!

    14. BAK
      #12
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,619
      Rep Power : 44968
      Likes Received
      8372
      Likes Given
      8347

      Default Re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Pendekezo lako ni zuri sana, linastahili kufanyiwa kazi.

      Quote By JokaKuu
      ..kwani ukioa Mtanzania uraia unakuja na cheti cha ndoa??

      ..waziri apendekeze mabadiliko ya sheria ambapo mtu akioa/kuolewa na Mtanzania basi imchukue miaka 10 mpaka 15 kupata uraia.

      ..katika kipindi chote cha mpito asiruhusiwe kumiliki ardhi, ila kupitia kwa mkewe/mumewe. zaidi ardhi isiwe mali inayoweza kugawanyika ikiwa wahusika watatalikiana. Yaani kama umeoa/kuolewa na Mtanzania mkiachana ardhi inabaki kwa Mtanzania.

      ..sasa mtu akivumilia miaka yote hiyo, basi huyo kwa kweli anastahili ardhi yetu.
      JokaKuu likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    15. #13
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,047
      Rep Power : 610
      Likes Received
      442
      Likes Given
      1349

      Default Re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      kwa mara ya kwanza nilishuhudia mzungu anaongeza mke wa pili wa kitanzania (wa kwanza alikuwa asian), kumbe nia ilikuwa ni ardhi
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    16. #14
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,171
      Rep Power : 41580
      Likes Received
      6072
      Likes Given
      1058

      Default Re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Sijui na watu wa nchi nyingine (e.g Wamarekani) wakisema Watanzania tusimiliki ardhi kwao itakuwaje kwa Watanzania.

      Tutatafuta mchawi sana kwa watu wa nje, at the end of the day kama hatuifanyii kazi hiyo ardhi tutakuwa kama joka la mdimu.

      Tunachohitaji kufanya ni kuitumia ardhi sufficiently. Sio kukazania kuzibia wageni kwa mtindo wa mtego wa panya.
      Nyunyu likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    17. #15
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 663
      Rep Power : 511
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Quote By Abdulhalim
      Six ni janga jingine la kitaifa..
      Kaleta takwimu au kawasiliana na ma DC, Masheikh na makanisa kujua ni wangapi tayari wameolewa au wako mbioni kuolewa? Kweli ni janga la kitaifa kama dhaifu(jk).
      Abdulhalim likes this.

    18. #16
      Kindimbajuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 685
      Rep Power : 1045
      Likes Received
      207
      Likes Given
      168

      Default Re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      Quote By Salary slip
      Wazri wa ushirikiano wa afrika mashariki bwana Samweli Sitta, ametoa angalizo leo bungeni kwa wanawake wa kitanzania kuwa makini na wanaume kutoka nje ya nchi wanaotaka kufunga nao ndoa, kwani inaonekana wanaolewa sio kwa mapenzi ila ni ili wale wanaowaoa wapate haki ya kumiliki ardhi hapa nchini. Hii ni kutokana na uhaba wa ardhi kwenye nchi zao. Amesema ndoa hizo huwa haziduma kwahiyo lengo la waowaji inaonekana ni kupata ardhi kupitia mgongo wa ndoa na wanawake wa kitanzania. Na mbaya zaidi hio ndoa ikivunjika huyu mgeni ndio hubaki na hio ardhi.
      ni bora hawa wanawake waoane na majirani zetu kwani hata sasa hiyo ardhi wanaoifaidi ni jamii ya akina "sitta". sasa si bora wanawake watapata wanaume kwa gharama ya ardhi kuliko sasa hawaolewi na ardhi hawana

    19. #17
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,256
      Rep Power : 13084
      Likes Received
      14140
      Likes Given
      15008

      Default Re: Sitta: Wanawake wa kitanzania wanaolewa kwa ajili ya ardhi Afrika Mashariki

      hivi kumbe???

      Ngoja nikammwage baba watoto, tena ni mkei kabisa, nimekula yamini kulinda ardhi ya tz maana sirikali imeshindwa.

      Hana tofauti na sofia aliyesema wanawake wawanyine uhausi wababa.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...