Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      JIBRIL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 395
      Rep Power : 488
      Likes Received
      52
      Likes Given
      45

      Default Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      uchaguzi wa uvccm umeanza kwa kuingiliwa na vyama nje ya ccm huku baadhi ya wanasiasa nje ya umoja wa vijana kupanga safu yao.ridhiwani anatuhumiwa kumpandikiza ally hepi aliyekuwa kiongozi wa DARUSO huku baadhi ya wanasiasa vijana nje ya CCM wakipandikiza wagombea wao kwa ustadi ndani ya jumuiya.Maandalizi ya kuchukua fomu hadi uandishi wa matamko yao na hata ufadhili unafanywa na baadhi ya watu kwa maslahi ambayo hayaendani na umoja wa vijana.

      Hali hii inatishia uchaguzi huru na wa hakli kwa maslai ya baraza la vijana kwani madhumuni ya mipango hii hayajawekwa wazi.siasa za kuchafuana zinasukwa kwa ustadi mkubwa unaohusisha mbinu za kimafya jambo ambalo linakosesha haki kwa watoto wa wakulima wasio na watu wa kuwapigia vifua.hali ya mgawanyiko ndani ya chama ndiyo inayoendelea kukiumiza chama jambo lililotoa mwanya kwa vyama vya upinzani kujipenyeza na kuunga mkono baadhi ya wagombea kwa maslahi binafsi.

    2. Miaka 50

    3. #2
      maandamano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,052
      Rep Power : 626
      Likes Received
      354
      Likes Given
      915

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Good news better yet who cares
      Women are not allowed to attend school. You can be jailed for owning a television. A man can be jailed in Afghanistan if his beard is not long enough.George W.Bush,2001

    4. #3
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,729
      Rep Power : 32787
      Likes Received
      4994
      Likes Given
      6457

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Quote By JIBRIL
      uchaguzi wa uvccm umeanza kwa kuingiliwa na vyama nje ya ccm huku baadhi ya wanasiasa nje ya umoja wa vijana kupanga safu yao.ridhiwani anatuhumiwa kumpandikiza ally hepi aliyekuwa kiongozi wa DARUSO huku baadhi ya wanasiasa vijana nje ya CCM wakipandikiza wagombea wao kwa ustadi ndani ya jumuiya.Maandalizi ya kuchukua fomu hadi uandishi wa matamko yao na hata ufadhili unafanywa na baadhi ya watu kwa maslahi ambayo hayaendani na umoja wa vijana.


      Hali hii inatishia uchaguzi huru na wa hakli kwa maslai ya baraza la vijana kwani madhumuni ya mipango hii hayajawekwa wazi.siasa za kuchafuana zinasukwa kwa ustadi mkubwa unaohusisha mbinu za kimafya jambo ambalo linakosesha haki kwa watoto wa wakulima wasio na watu wa kuwapigia vifua.hali ya mgawanyiko ndani ya chama ndiyo inayoendelea kukiumiza chama jambo lililotoa mwanya kwa vyama vya upinzani kujipenyeza na kuunga mkono baadhi ya wagombea kwa maslahi binafsi.
      I think you should clap for yourself. However popular those words are. Those who uses them are silly and uncultured.Allegations without envidence!

      To be candid with you,stop making silly political excuses.

      Sina haja ya kupandikiza mtu UVCCM.Siwezi kumuondolea mashine ya oksijeni mgonjwa aliyeko ICU.Chama chenyewe kimeshakufa nijishughulishe nacho kwa nini.Naomba msinihusishe na hizo siasa zenu.Sipendi ujinga huu mnaofanya.Endeleeni kuchafuana huko vichochoroni
      Janjaweed, kanga, nashy and 2 others like this.
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    5. #4
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Who cares?
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    6. #5
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 1284
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ben Saanane
      I think you should clap for yourself. However popular those words are. Those who uses them are silly and uncultured.Allegations without envidence!

      To be candid with you,stop making silly political excuses.

      Sina haja ya kupandikiza mtu UVCCM.Siwezi kumuondolea mashine ya oksijeni mgonjwa aliyeko ICU.Chama chenyewe kimeshakufa nijishughulishe nacho kwa nini.Naomba msinihusishe na hizo siasa zenu.Sipendi ujinga huu mnaofanya.Endeleeni kuchafuana huko vichochoroni
      kamanda Ben just ignore those guys who think by simple mind and spends 24 hrs 4 discusing people instead of logic.
      Bali endeleza mapambano kukijenga chama (CHADEMA) kama sisi kesho hapa moro tutakuwa na M4C.

      FEAR NOT.
      Ben Saanane likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Young Tanzanian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 564
      Rep Power : 475
      Likes Received
      45
      Likes Given
      49

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      duh baada ya puma wamehamia uvvcm...kila ktu kina mwsho hatupo mbali hii ni mikakat ya urais 2015 bt watafel

    9. #7
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1664

      Default

      Quote By Ben Saanane
      I think you should clap for yourself. However popular those words are. Those who uses them are silly and uncultured.Allegations without envidence!

      To be candid with you,stop making silly political excuses.

      Sina haja ya kupandikiza mtu UVCCM.Siwezi kumuondolea mashine ya oksijeni mgonjwa aliyeko ICU.Chama chenyewe kimeshakufa nijishughulishe nacho kwa nini.Naomba msinihusishe na hizo siasa zenu.Sipendi ujinga huu mnaofanya.Endeleeni kuchafuana huko vichochoroni
      Nilikuwa nakusubiri. Umejibu vizuri ila hapo kwenye red ndio jibu la msingi!
      Ben Saanane likes this.

    10. #8
      Daniel Muhina's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 354
      Likes Received
      7
      Likes Given
      4

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Hey Guys! waacheni uvccm wafanye chaguzi zao kwa salama na amani, kwani chaguzi zote lazima ziwe na kelele za hapa na pale but long at last uchaguzi utafanyika kwa amani, na hakuna mtu mwenye kuweza kupanga safu kwakushawishi Tanzania nzima eti imchague fulani, ni kweli baadhi ya watu waweza kuwa na mchaguo yao lakini itategemea hayo machaguo yana kubalika vipi kitaifa! so if its Ally, Sango and who ever wapiga kura wataamua

    11. PPM
      #9
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 403
      Rep Power : 474
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Quote By Ben Saanane
      I think you should clap for yourself. However popular those words are. Those who uses them are silly and uncultured.Allegations without envidence!

      To be candid with you,stop making silly political excuses.

      Sina haja ya kupandikiza mtu UVCCM.Siwezi kumuondolea mashine ya oksijeni mgonjwa aliyeko ICU.Chama chenyewe kimeshakufa nijishughulishe nacho kwa nini.Naomba msinihusishe na hizo siasa zenu.Sipendi ujinga huu mnaofanya.Endeleeni kuchafuana huko vichochoroni
      Mkuu mbona umelipuka kama mjamzito?

    12. #10
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1664

      Default

      Quote By PPM
      Mkuu mbona umelipuka kama mjamzito?
      moja kati ya coment za kijinga kabisa kukutana nazo hapa jukwaani. Very low!
      Ben Saanane likes this.

    13. #11
      mwinukai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 656
      Rep Power : 539
      Likes Received
      134
      Likes Given
      51

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Quote By PPM
      Mkuu mbona umelipuka kama mjamzito?
      fanya sala ya kuomba hekima na busara
      Ben Saanane likes this.

    14. #12
      JIBRIL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 395
      Rep Power : 488
      Likes Received
      52
      Likes Given
      45

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Quote By Ben Saanane
      I think you should clap for yourself. However popular those words are. Those who uses them are silly and uncultured.Allegations without envidence!

      To be candid with you,stop making silly political excuses.

      Sina haja ya kupandikiza mtu UVCCM.Siwezi kumuondolea mashine ya oksijeni mgonjwa aliyeko ICU.Chama chenyewe kimeshakufa nijishughulishe nacho kwa nini.Naomba msinihusishe na hizo siasa zenu.Sipendi ujinga huu mnaofanya.Endeleeni kuchafuana huko vichochoroni
      mjue kwamba mkakati wenu wa kuidhoofisha uvccm hautawezekana.na hili litaenda kamatiku ya ccm hakuna tena kuvuruga chaqguzi zetu.Ushahidi upo.mmeshindwa hata kubadili fomati ya tamko lako la uchaguzi wa bavicha na mantiki ile ile ndiyo mliyotumia kuandika tamko la sango na hasa kuitukana jumuiya ya vijana kuwa ya watoto wa vigogo.wewe ndio umekuwa mtumiajia mkuu wa hii misamiati.kamwe uvccm haichaguliwi viongozi na viajana wa bavicha na hata kama wanatishia kuhamia chadema.chama kinasafishwa kurudishwa katika mstari

    15. #13
      JIBRIL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 395
      Rep Power : 488
      Likes Received
      52
      Likes Given
      45

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Quote By Daniel Muhina
      Hey Guys! waacheni uvccm wafanye chaguzi zao kwa salama na amani, kwani chaguzi zote lazima ziwe na kelele za hapa na pale but long at last uchaguzi utafanyika kwa amani, na hakuna mtu mwenye kuweza kupanga safu kwakushawishi Tanzania nzima eti imchague fulani, ni kweli baadhi ya watu waweza kuwa na mchaguo yao lakini itategemea hayo machaguo yana kubalika vipi kitaifa! so if its Ally, Sango and who ever wapiga kura wataamua
      tamko la sango
      PRESS STATEMENT

      HOTUBAYA MGOMBEA NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA (UVCCM) TAIFA- SANGOGUNGU KASERA

      2August 20112

      Ndg:Wanahabari
      Ndg: wanaUVCCM wenzangu

      Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa naomba kutoa salamu zangu za dhati kwa Watanzania na vijana wenzangu wanchi hii pamoja nanyi waandishi wa Habari kwa kushiriki nami katika safari hiiinayolenga kuunganisha na kujenga hatua za mabadiliko ya maisha ya Vijana waTanzania. Kwa namna ya pekee kabisa niwashukuru na kuwaomba mshikamano vijanawenzangu wa Chama cha Mapinduzi ambao kupitia kwao ninatumia nafasi hii kuomba ridhaa yao ili nipate nafasi ya kuwa chemchem ya mafanikio na mabadiliko katika maisha yetu kwa kuanzia na chama chetu. Leo hii naungana na vijana wenzangu hawa wa ndani ya CCM, kufanya jambo moja kubwa, jambo la kuchukua fomuya kuwania moja ya nafasi kubwa katika jumuiya ya Vijana wa CCM Tanzania. Ninafanya kazi hii leo nikitambua mambo yafuatayo:

      Kwanza, ninalenga kuleta mabadiliko yanayotazama aina ya vijana tuliopo sasa, aina ya maisha tunayoishi na aina ya changanoto zinazotukabili mimi nikiwa mmojawapo.

      Pili kwa upekee mkubwa, nachukua fomu hii nikibaini hali ya vijana huko tulikotoka na , changamoto tulizopitia na hatari inayotukabili mbele kama hatua stahiki hazitaanza kuchukuliwa na vijana wa aina yangu ambao tuna uzoefu wa kutosha wa maisha ya kawaida ambayo yanahitaji nguvu na akili zetu na za wenzetu waliotutangulia katika kuboresha maisha yetu ili tuweze kuwa raia wema katika nchi yetu na wanachama waadilifu wa chama chetu na jumuiya zake.

      Ndugu Waandishi wa Habari;

      Kazi hii ya kuchukua fomu ninayoifanya leo hii na kisha kuanza zoezi la kutafuta kuungwa mkono. Ni kazi inayohitaji ushirikiano mkubwa kwa uongozi wa Jumuiya yetu pamoja na vijana mbalimbali bila kujali itikadi zao za vyama vya siasa. Nasema hivi kwa kutambua kuwa UVCCM ndiyo Jumuiya pekee yenye kubeba taswira na matarajio ya vijana wa Tanzania na ambayo siku zote inatakiwa kusimamia maslahi na matakwa ya vijana wa Tanzania na kwakuwa jumuhia hii ni jumuhia ya chama kinachoongoza si chama tawala .

      Ndugu zangu wanahabari na wana CCM tunafahamu tofauti kati ya kuongoza na kutawala ndio maana nimetumia neno kuongoza, na Kama kazi hii ilikuwa haifanyiki huko nyuma na kama ilifanyika bila kuridhisha, mimi nimeamua kwa moyo mkunjufu kuingia kuonesha namna jumuiya yetu itakavyoweza kuwatumikia vijana wa Tanzaniana kukiboresha chama cha Mapinduzi ili kitambue wajibu wake kwa vijana wote waTanzania na kwa kufanya hivi kiweze kusimamia misingi iliyolijenga Taifa hili na kuachwa na waasisi wa Taifa letu Hayati Baba Wa Taifa na Hayati Rais Karume ambao walilijenga taifa letu katika misingi ya haki, usawa na ustahimilivu.

      Ndugu wana habari; Katika kipindi hiki chakutafuta nafasi ya kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi hii nitabakia kuongozwa na Moto isemayo: Vijana kwanza kwa taifa lenye amani na maendeleo. Bila vijana kuangaliwa na kupewa yale wanayostahiki, ni wazi taifa lenye amani na maendeleo halitakuwepo. Natambua fika kuwa vijana wa Tanzania wanakabiliwa na changamoto kubwa hasa ile inayolenga kubaini ndoto ya maisha yao ya sasa na siku zijazo. Naamini mimi ni mmoja wa vijana hawa ambaye pia ninahitaji kuona vijana walio katika kilimo basi wanaweza kupata soko la mazao yao. Vijanawabeba mikokoteni nao wanafanya kazi hiyo kwa miaka kadhaa na kisha kuboreshaajira zao.

      Vijana wanaosoma basi wanahitimu vema na kupata ajira wanazostahiki na pia walio makazini na waliopata nafasi za kuongoza wanaonesha mfano wakufanya kazi kwa kujituma na kwa bidii ili kuonesha kuwa vijana tunaweza na hatuwezi kuliangusha taifa. Natambua haya ninayoyazungumza ni mambo magumu lakini pia natambua yanahitaji mbinu nyingi ili kukabiliana nayo. Kwa sasa natumia nafasi hii kukiomba Chama changu, kuiomba Jumuiya Yetu ya Vijana kutambua kuwa nina dhamira, nina nia, nina sifa za kutosha, nina uwezo wa kufanya majukumu haya ninayoyaomba na ninafahamu kazi za majukumu haya.

      Tena nina rekodi katika umri wangu huu wa kufanya mambo ya kutukuka ambayo rekodi yake inaweza kutazamwa pote nilipobahatika kutoa utumishi wangu. Kwa namna isiyoonyesha kuyumba naomba kuwaeleza vijana wenzangu kuwa kutokanana mshikamano wa vijana wenzangu kwangu ni wazi tumejiandaa kushinda katika nafasi hii ili tuweze kuleta mwanga wa mabadiliko katika jumuiya yetu na chama chetu katika maandalizi ya chaguzi zijazo. Ndugu wanahabari ninatambua zipo changamoto nyingi zinazoikabili UVCCM na changamoto hizi zinahitaji kiongozi ambaye atakuwa na uthubutu wakuweza kukabiliana nazo, changamoto kuuni kitaswira, kimuundo, kiimani, kimadhumuni kama ambavyo zimehainishwa kwenyekanuni za ummoja wa vijana. Nina maanisha nini ninapozungumzia taswira ya UVCCM.Taswira ya UVCCM Taifa leo siotaswira ya kimapambano.

      Historia yetu ipo wazi jumuiya ya vijana ilishiriki katika mapambano ya kuleta Uhuru, Umoja na mshikamano mtakumbuka wakati TANU Inahangaika na kutafuta Uhuru wa Tanganyika na Afro-Shirazi party ikipambana kuleta Uhuru wa Zanzibar vijana waliunganishwa na jumuiya za umoja wa vijana wa vyama hivi viwili ambavyo ni TANU YOUTH LEAGUE na ASP YOUTH LEAGUE, zinafahamika kazi zilizofanywa na wabeba mizigo wa Kariakoo mfano Mzee Rajabu Diwani, leo UVCCM sio tena yawabeba mizigo, sio tena ya wamachingasio tena ya wakulima ,sio tena jumuiya ya wafanyakazi ni jumuiya ya wafanyabiashara, watoto wa vigogo ama wenyenasaba nao ama rafiki zao, inahitaji viongozi wenye dhamira ya dhati ambao watarudisha jumuiya hii kwa vijana wakitanzania na kurudisha taswira ya kimapambano ambayo ni mapambano ya kiuchumi, kazi ya Uhuru imeshafanyika imebakia jukumu la kuleta Uhuru wa kiuchumi na kuwa kimbilio la vijana wote.

      Ni dhamirayangu ya kugombea nafasi hii ni kuhakikisha awamu ya pili ya mapambano ya kiuchumi ya umoja wa vijana inaanza rasmi. Nafahamu zipo changamoto za kiutawala, kiuchumi na jumuiya kuendelea kuishi kwa kutegemea misaada na Ruzuku kutoka kwenye chama, nafahamu watendajiwana hali mbaya kiuchumi hasa katika mawilaya, nafahamu ofisi zetu za wilaya zina upungufu wa vitendea kazi ni dhamira yangu kubadili mwelekeo wa utendajiwa jumuiya yetu kutoka “Business as usual” kuvalisha skafu viongozi na kuimba nyimbo, kuwa jumuiya yenye dira namwelekeo sahihi wa kuwaunganisha na kumkomboa kijana wa kitanzania.

      Ndugu waandishi wa Habari; Ninafahamu matarajio yavijana wa kitanzania yatafikiwa kupitia CCM imara na CCM inatokana na uimara wajumuiya zake kuwa imara na hili inawezekana kwa kupatikana viongozi Imara na mimi nina amini ni mmoja waviongozi ambao wataifanya jumuiya yetu kuwa Imara.

      Kwa kuhitimisha Hotuba yangu naomba kutoa shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kunifanikisha kuwananyi hapa, niwashukuru wana familia yangu, marafiki na nyie ndugu zanguwaandishi wa Habari kwa kukubali kujumuika nami kunisikiliza leo. Niwaombe Vijana wenzangu wa CCM kuniunga mkono katika azma hii kubwa niliyo nayo na niwakumbushe tu kuwa, zoezi hili la kuchukua fomu nililofanya hapa leo si langu bali la vijana wote wa Tanzania wakiwakilishwa na Vijana wa Chama cha Mapinduzi.

      Ni imani yangu kuwa, wana UVCCM hawatakubali kuangusha taa hiiwaliyoiwasha kule Rorya mkoa wa Mara wao wenyewe na badala yake wataungana namibega kwa bega ili kuufikia ushindi. Tutapitisha fomu hii pamoja nao, tutachujwa pamoja nao na kisha tutashinda pamoja nao na kisha kuanza kuwaongoza vijana wa Tanzania pamoja nao. Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma atubariki na kutupa nguvutufanikishe azma hii muhimu pamoja. Kidumu Chama cha Mapinduzi

      Asanteni kwa kunisikiliza.

      Mimi Ndg Sango Gungu Kasera- Mjumbe Mkutano Mkuu UVCCM (W) Rorya

      Kauli mbiu Mbiu “Vijana kwanza kwa taifa lenye amani namaendeleo’’.

    16. #14
      ocampo four's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 249
      Rep Power : 376
      Likes Received
      31
      Likes Given
      6

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      salum hepi hajawahi kuwa kiongozi wa daruso tuacheni uwongo wa kumpandisha chati, nafkiri tumpeni nafasi atupe majibu kuhusu ela alizokuwa anapewa na mkandala ili afanye usaliti kwa wanafunzi kuhusu migomo iliyokuwa na maslahi kwa watoto wa masikini..ebu vijana tuwe realistic kidogo hivi huyu kidudu mtu riz one atatutawala mpaka lini, baba yake kashindwa yeye ana jipya gani? the best way ampeleke hepi akawe makamu WAMA.

    17. #15
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 414
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By PPM
      Mkuu mbona umelipuka kama mjamzito?
      ficha upumbavu wako.!!!!

    18. #16
      Msemaovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 391
      Rep Power : 511
      Likes Received
      82
      Likes Given
      59

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Quote By PPM
      Mkuu mbona umelipuka kama mjamzito?
      Eti na wewe ni Great Thinker!!!What a ****
      Ben Saanane likes this.

    19. PPM
      #17
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 403
      Rep Power : 474
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      Mtaniuwa washikaji, mtu wa chadema asiguswe humu ndani?

    20. #18
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Filipo
      moja kati ya coment za kijinga kabisa kukutana nazo hapa jukwaani. Very low!
      keshasahau kama yeye mwenyewe ni matokeo ya uja uzito.

    21. #19
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,027
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      haya ni majungu tu baada ya kujitathmini9 na kuona uwezo wako ni mdogo unaanza kuwachafua wenzako.

    22. #20
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,027
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Uchaguzi UVCCM..Ally Hep Vs Sango: Mapandikizi ya Ridhiwani na Saanane

      huku ni kumanga manga.kama umejiona kuwa huna uwezo kaa pembeni acha kuwachafua wenzako,sio vizuri

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...