Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Makamu M/kiti BAVICHA-Taifa atikisa Mbeya..

    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Makamu M/kiti BAVICHA-Taifa atikisa Mbeya..

      Makamu mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa JULIANA SHONZA ameanza kwa kishindo ziara yake Mkoani mbeya moja kwa moja akijikita Vijijini kwa lengo la Kujenga na kuimarisha chama chake.

      Ziara yake ilianza jana kwenye kata ya MSIA ambapo katika kata hiyo alifanya mkutano wa hadhara uliokua na mamia ya watu.katika mkutano huo,Juliana Shonza alijikita katika kueleza namna wwananchi wanavyotakiwa kujitokeza kwenye sensa inayoanza agousti 26 mwaka huu,pia alielezea umuhimu wa wanachi kujitokeza katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa manufaa ya taifa hili na wananchi wake

      Sehemu kubwa pia ya mazungumzo yake kwa wananchi alijikita kwenye umuhimu wa vijana na wanawake kuijiingiza kwenye siasa bila kuogopa mabavu na vitisho toka chama Tawala.Pia alizungumzia namna wanachi wanavyoibiwa zao lao la kahawa na viongozi wa serikali ya ccm pamoja na makampuni binafsi.
      Leo Makamu mwenyekiti huyo atakuwa na mkutano wa hadhara katika kata ya ITAKA amabapo anategemea kukutana na wananchi wa kata hiyo.

      Katika ziara hiyo makamu mwenyekiti ameshirikiana vyema na viongozi wa jimbo,viongozi wa baraza la vijana mkoa wa mbeya ambao kwa umoja wao wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu katika ziara hii
      Ziara hiyo itaendelea kesho kwenye kata ya IYULA na kwa muda wa wiki moja ijayo atajikita kwenye wilaya la MBARALI

      Ikumbukwe wazi Makamu mwenyekiti anajitolea kufanya ziara hii,anasisitiza vijana kuendelea kujitolea kwenye ujenzi wa chama.Pia mwenyekiti huyo huyo amepitisha bakuri la kuchangia ziara yake hiyo kwa wadau mbalimbali, wa mkoa wa mbeya na wale wanaokiunga mkono chadema,hatimaye amefanikiwa kuanza ziara hiyo inayoonekana kuwa na mafanikio makubwa kutokana na idadi ya watu wanaohamia chadema na kuomba kadiza chama hicho,Pia wingi wa wafuasi wa chadema kwenye mikutano hii ni wazi kwamba CHADEMA inakubarika mkoani mbeya na vijiji vyake.
      Kiresua and judith kushaba like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,457
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      426

      Default

      Noel Saronga Mkuu rekebisha kidogo,usiseme ANAJITOLEA kwa sababu ni wajibu wake.Otherwise kila la kheri.
      Janjaweed and Msalagambwe like this.

    4. #3
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,030
      Rep Power : 2564
      Likes Received
      788
      Likes Given
      29

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Nimesoma let me go out and come back again maana am lost for sure .Mbona kama ni kupigiwa debe zaidi kuliko kazi yake kama Makamu?

    5. #4
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      1122
      Likes Given
      649

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Mrs Shibuda amejirekebisha? Title imgesomeka Mamluki wa BAVICHA ajirekebisha?
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    6. #5
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 805
      Rep Power : 556
      Likes Received
      270
      Likes Given
      0

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Naona ushauri wa wana-JF ulimfikia vyema baada ya kucheua zile pumba!! Binafsi nampa hongera na namtakia kila la kheri!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 596
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      anatafuta posho tu hana lolote.

    9. #7
      JIBRIL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 395
      Rep Power : 488
      Likes Received
      52
      Likes Given
      45

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Quote By POMPO
      Mrs Shibuda amejirekebisha? Title imgesomeka Mamluki wa BAVICHA ajirekebisha?
      Mrs ben Saanane.

      Kwani BAVICHA hawana fungu kwa viongozi wao kwenye ujenzi wa chama? Hili kundi linaendelea kuchomoza kwa kasi

    10. #8
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Quote By POMPO
      Mrs Shibuda amejirekebisha? Title imgesomeka Mamluki wa BAVICHA ajirekebisha?
      Daa mnajuana eeeeh,mrs Mbowe?

    11. #9
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,425
      Rep Power : 5041
      Likes Received
      786
      Likes Given
      1804

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Kazi nzuri, binadamu hujikwaa na huinuka na kuendelea na harakati za kufanya kazi!! Juliana alijikwaa na alifanyia kazi hilo limkwao na sasa anafanya kazi nzuri tumpe moyo na ushirikiano!
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    12. #10
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Quote By kingxvi
      anatafuta posho tu hana lolote.
      angekuwa na shida na posho angedai mshahara,....Mbona Heche analipwa,anapewa na posho...!!!11
      Juliana jembe,fanya kazi kamanda wangu J

    13. #11
      panadol's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 352
      Rep Power : 0
      Likes Received
      42
      Likes Given
      0

      Default Re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Mleta maada acha uongo yani vijana wa chadema sijuhi mkoje hivyo viposho mnavyopewa vinawazuzua kweli kuja mitandaoni kuleta maneno ya uongo kila siku,watu wa mbeya hatudanganyiki wala hatushawishiki kwa hoja za kichochezi na kibaguzi nafikiri mleta maada huwajuhi watu wa mbeya vizuri huku watu hawachaguhi chama wanachagua mtu kutokana na uwezo wake wa kuwajibika kwa wananchi wake ndiyo maana walimchagua Dr Mwakyembe,Prof Mwandosya,Mh Zambi na wengineo ika kwa hapa mbeya mjini wananchi wanajuta kumchagua mwanamziki manake wanasema jimbo limebadilika limekuwa la kihuni na hakuna maendeleo yoyote na ndiyo maana Mh raisi alipoenda mbeya kuanalia uwanja wa ndege juzi juzi wamemwomba awasaidie kutatua kero zao ikiwamo za maji ambazo Mh Mbunge alihaidi kuzitatua ameshindwa kabisa alihaidi mambo mengi mpaka sasa ata yeye ukimuhoji amefanya lipi kati ya yale aliyohaidi hasemi kitu hivyuo unavyoleta maada kwa ajili ya kudanganya watu humu jamvini haisaidihi kitu unajidanyganya wewe na viongozi wako waliokutuma kama hamuamini subirini uchaguzi ujao muone kama Sugu atarudi bungeni sisi huku mbeya hatudanganyiki kirahisi rahisi kwa makelele ,fujo,porojo,uchochezi na kejeli dhidi ya serikali ambayo tunaona imetusaidia sana na bado inaendelea kutusaidia yale waliyotuhaidi tunaona wakiyatekeleza kwa vitendo!

    14. #12
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,457
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By judith kushaba
      angekuwa na shida na posho angedai mshahara,....Mbona Heche analipwa,anapewa na posho...!!!11
      Juliana jembe,fanya kazi kamanda wangu J
      Hiki ndicho mlichokuwa mnataka,mleta mada alidhamiria kuleta uchochezi kama ulivyodhihirisha hapa

    15. #13
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Quote By panadol
      Mleta maada acha uongo yani vijana wa chadema sijuhi mkoje hivyo viposho mnavyopewa vinawazuzua kweli kuja mitandaoni kuleta maneno ya uongo kila siku,watu wa mbeya hatudanganyiki wala hatushawishiki kwa hoja za kichochezi na kibaguzi nafikiri mleta maada huwajuhi watu wa mbeya vizuri huku watu hawachaguhi chama wanachagua mtu kutokana na uwezo wake wa kuwajibika kwa wananchi wake ndiyo maana walimchagua Dr Mwakyembe,Prof Mwandosya,Mh Zambi na wengineo ika kwa hapa mbeya mjini wananchi wanajuta kumchagua mwanamziki manake wanasema jimbo limebadilika limekuwa la kihuni na hakuna maendeleo yoyote na ndiyo maana Mh raisi alipoenda mbeya kuanalia uwanja wa ndege juzi juzi wamemwomba awasaidie kutatua kero zao ikiwamo za maji ambazo Mh Mbunge alihaidi kuzitatua ameshindwa kabisa alihaidi mambo mengi mpaka sasa ata yeye ukimuhoji amefanya lipi kati ya yale aliyohaidi hasemi kitu hivyuo unavyoleta maada kwa ajili ya kudanganya watu humu jamvini haisaidihi kitu unajidanyganya wewe na viongozi wako waliokutuma kama hamuamini subirini uchaguzi ujao muone kama Sugu atarudi bungeni sisi huku mbeya hatudanganyiki kirahisi rahisi kwa makelele ,fujo,porojo,uchochezi na kejeli dhidi ya serikali ambayo tunaona imetusaidia sana na bado inaendelea kutusaidia yale waliyotuhaidi tunaona wakiyatekeleza kwa vitendo!
      TULIA KWANZA POVU LIKUTOKE LIISHE,MAMBO YA KUONGEA HUKU UNATOA POVU MDOMONI UTAPALIWA BURE.....
      Haya sasa Uhusiano wamaelezo yako na Kilichopostiwa hapa yako wapi?
      wamemtaja mwakyembe hapa?wamemtaja rais hapa? wamemtaja sugu hapa?...Pia unataja mabo ya uchaguzi mara sijui kiaenda kikarudi je vinahusika hapa?
      Jifunze kufyata mkia ukiona wakubwa wanapita

    16. #14
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Makamu M/kiti BAVICHA-Taifa atikisa Mbeya..

      Quote By Molemo
      Hiki ndicho mlichokuwa mnataka,mleta mada alidhamiria kuleta uchochezi kama ulivyodhihirisha hapa
      Molemo hayo yote ynazaliwa kutiokana na aina ya viswali vinaavyoulizwa......Kuna majibu yanayo zalisha majibu kama haya so usishangae saana...
      Kila swali linamajibu yake tena true answers endeleni kuwauliza

    17. #15
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,741
      Rep Power : 32790
      Likes Received
      4996
      Likes Given
      6458

      Default Re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Quote By JIBRIL
      Mrs ben Saanane.

      Kwani BAVICHA hawana fungu kwa viongozi wao kwenye ujenzi wa chama? Hili kundi linaendelea kuchomoza kwa kasi

      Malicious Fabrication.Umbeya wako huu utakupeleka pabaya siku moja.Endeleeni kuchonga kwa kuwa mnatumia ID fake lakini hamuwezi kuni-face.mmenitafuta wee bado mnaendelea.Endeleeni na uzuzu wenu kisiasa

      Unajua kusema bila utafiti ni kuonyesha ufinyu wa mawazo.Do you have an idea on how daft you are?

      Hata ikiwa hivyo wewe inakuhusu nini.baadhi yenu mmeshindwa kazi ya uongozi mpo huku kuchafua majina ya wengine tu

      Ukiona Mwanaume unashindwa kazi ya kuongoza unaanza kuhofia wanawake wachapakazi ujue kuna tatizo.Mnapoteza kujiamini.Ndiyo maana Malawi nchi dhaifu inaongozwa na mwanamama shupavu inatupelekesha Tanzania imara inayoongozwa na wababa dhaifu.Leo tunatishiwa kunyang'anywa Ziwa Nyasa kwa kuwa tunaongozwa na wanaume dhaifu.Huu ni mzigo kwa Taifa.Usipoachana na mfume dume utakuja kututia aibu siku moja

      Ninyi jamaa mmekaa kupika majungu huku tu.She's a Threat kwenu. You lot are a funny bunch! You should spend your time trying to find a way of making the lives of your fellow Tanzanians better.Jengeni chama. I understand some of you are feeling threatened by everything. That's why BAVICHA hasn't been developing the way it should. Tushirikiane kujenga BAVICHA na si kuchafuana humu.Ignorance is the order of the way. This so called 'threat' is only a figment of some over zealous and gutless political bigots. I'm not saying you shouldn't be vigilant, but people should learn to be respectful!
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    18. #16
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,407
      Rep Power : 1287
      Likes Received
      1033
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ben Saanane
      Malicious Fabrication.Umbeya wako huu utakupeleka pabaya siku moja.Endeleeni kuchonga kwa kuwa mnatumia ID fake lakini hamuwezi kuni-face.mmenitafuta wee bado mnaendelea.Endeleeni na uzuzu wenu kisiasa

      Unajua kusema bila utafiti ni kuonyesha ufinyu wa mawazo.Do you have an idea on how daft you are?

      Hata ikiwa hivyo wewe inakuhusu nini.baadhi yenu mmeshindwa kazi ya uongozi mpo huku kuchafua majina ya wengine tu

      Ukiona Mwanaume unashindwa kazi ya kuongoza unaanza kuhofia wanawake wachapakazi ujue kuna tatizo.Mnapoteza kujiamini.Ndiyo maana Malawi nchi dhaifu inaongozwa na mwanamama shupavu inatupelekesha Tanzania imara inayoongozwa na wababa dhaifu.Leo tunatishiwa kunyang'anywa Ziwa Nyasa kwa kuwa tunaongozwa na wanaume dhaifu.Huu ni mzigo kwa Taifa.Usipoachana na mfume dume utakuja kututia aibu siku moja

      Ninyi jamaa mmekaa kupika majungu huku tu.She's a Threat kwenu. You lot are a funny bunch! You should spend your time trying to find a way of making the lives of your fellow Tanzanians better.Jengeni chama. I understand some of you are feeling threatened by everything. That's why BAVICHA hasn't been developing the way it should. Tushirikiane kujenga BAVICHA na si kuchafuana humu.Ignorance is the order of the way. This so called 'threat' is only a figment of some over zealous and gutless political bigots. I'm not saying you shouldn't be vigilant, but people should learn to be respectful!
      tatizo Heche anawanyima usingizi since that time uchaguzi wa BAVICHA.

      THINK BIG.
      Ben Saanane likes this.

    19. #17
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,457
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By JIBRIL
      Mrs ben Saanane.

      Kwani BAVICHA hawana fungu kwa viongozi wao kwenye ujenzi wa chama? Hili kundi linaendelea kuchomoza kwa kasi
      Mkuu jadili tu hoja lakini si vizuri kushambulia watu wasiohusika.
      Ben Saanane likes this.

    20. #18
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,741
      Rep Power : 32790
      Likes Received
      4996
      Likes Given
      6458

      Default Re: Makamu M/kiti BAVICHA-Taifa atikisa Mbeya..

      Quote By Gigi
      tatizo Heche anawanyima usingizi since that time uchaguzi wa BAVICHA.


      THINK BIG.
      Your post shows how out of touch you are with reality..Nisingenyimw usingizi hata kama ingetokea muujiza akanishinda mbele ya ballot Box.
      Sipendi kumzungumzia,ingekuwa yeye kapost kwa ID yake Real ningemjibu inavyostahili.Mnaonyimwa usingizi ni ninyi ambo mko so obsessed na ben kila wakati.B'cause you never prepared to occupy whatever position you have and as such you guys are clueless.
      Turudi kwenye mjadala sasa
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    21. #19
      Simiyu one's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 355
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Makamu M/kiti BAVICHA-Ttaifa atikisa Mbeya..

      Quote By panadol
      Mleta maada acha uongo yani vijana wa chadema sijuhi mkoje hivyo viposho mnavyopewa vinawazuzua kweli kuja mitandaoni kuleta maneno ya uongo kila siku,watu wa mbeya hatudanganyiki wala hatushawishiki kwa hoja za kichochezi na kibaguzi nafikiri mleta maada huwajuhi watu wa mbeya vizuri huku watu hawachaguhi chama wanachagua mtu kutokana na uwezo wake wa kuwajibika kwa wananchi wake ndiyo maana walimchagua Dr Mwakyembe,Prof Mwandosya,Mh Zambi na wengineo ika kwa hapa mbeya mjini wananchi wanajuta kumchagua mwanamziki manake wanasema jimbo limebadilika limekuwa la kihuni na hakuna maendeleo yoyote na ndiyo maana Mh raisi alipoenda mbeya kuanalia uwanja wa ndege juzi juzi wamemwomba awasaidie kutatua kero zao ikiwamo za maji ambazo Mh Mbunge alihaidi kuzitatua ameshindwa kabisa alihaidi mambo mengi mpaka sasa ata yeye ukimuhoji amefanya lipi kati ya yale aliyohaidi hasemi kitu hivyuo unavyoleta maada kwa ajili ya kudanganya watu humu jamvini haisaidihi kitu unajidanyganya wewe na viongozi wako waliokutuma kama hamuamini subirini uchaguzi ujao muone kama Sugu atarudi bungeni sisi huku mbeya hatudanganyiki kirahisi rahisi kwa makelele ,fujo,porojo,uchochezi na kejeli dhidi ya serikali ambayo tunaona imetusaidia sana na bado inaendelea kutusaidia yale waliyotuhaidi tunaona wakiyatekeleza kwa vitendo!
      Kama miaka yote CCM imekuwa madarakani hapo Mbeya imeshinndwa kuboresha huduma za maji sugu anawezaje kufanya hivyo kwa miaka miwili na nusu? au unatuambia sugu alipochaguliwa ubunge hapo Mbeya alikausha na hayo maji?
      maingu z likes this.

    22. #20
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,407
      Rep Power : 1287
      Likes Received
      1033
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Noel Saronga
      Makamu mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa JULIANA SHONZA ameanza kwa kishindo ziara yake Mkoani mbeya moja kwa moja akijikita Vijijini kwa lengo la Kujenga na kuimarisha chama chake.

      Ziara yake ilianza jana kwenye kata ya MSIA ambapo katika kata hiyo alifanya mkutano wa hadhara uliokua na mamia ya watu.katika mkutano huo,Juliana Shonza alijikita katika kueleza namna wwananchi wanavyotakiwa kujitokeza kwenye sensa inayoanza agousti 26 mwaka huu,pia alielezea umuhimu wa wanachi kujitokeza katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa manufaa ya taifa hili na wananchi wake

      Sehemu kubwa pia ya mazungumzo yake kwa wananchi alijikita kwenye umuhimu wa vijana na wanawake kuijiingiza kwenye siasa bila kuogopa mabavu na vitisho toka chama Tawala.Pia alizungumzia namna wanachi wanavyoibiwa zao lao la kahawa na viongozi wa serikali ya ccm pamoja na makampuni binafsi.
      Leo Makamu mwenyekiti huyo atakuwa na mkutano wa hadhara katika kata ya ITAKA amabapo anategemea kukutana na wananchi wa kata hiyo.

      Katika ziara hiyo makamu mwenyekiti ameshirikiana vyema na viongozi wa jimbo,viongozi wa baraza la vijana mkoa wa mbeya ambao kwa umoja wao wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu katika ziara hii
      Ziara hiyo itaendelea kesho kwenye kata ya IYULA na kwa muda wa wiki moja ijayo atajikita kwenye wilaya la MBARALI

      Ikumbukwe wazi Makamu mwenyekiti anajitolea kufanya ziara hii,anasisitiza vijana kuendelea kujitolea kwenye ujenzi wa chama.Pia mwenyekiti huyo huyo amepitisha bakuri la kuchangia ziara yake hiyo kwa wadau mbalimbali, wa mkoa wa mbeya na wale wanaokiunga mkono chadema,hatimaye amefanikiwa kuanza ziara hiyo inayoonekana kuwa na mafanikio makubwa kutokana na idadi ya watu wanaohamia chadema na kuomba kadiza chama hicho,Pia wingi wa wafuasi wa chadema kwenye mikutano hii ni wazi kwamba CHADEMA inakubarika mkoani mbeya na vijiji vyake.
      Hongera kamanda shonza.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...