Lazima kitaeleweka!
Viva walimu
Source Habari leo
Lazima kitaeleweka!
Viva walimu
Source Habari leo
Naamini sasa hata wale walimu waliokuwa wakisaidia kubeba masanduku ya kura kwenye uchaguzi na kuiba kura watatusaidia mwaka huu!
Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!
Mwalimu ndio kila kitu. Sawa na mtu anayekuandalia chakula ukizingua maisha yako yanakuwa hatarini. Serikali halioni hilo.
For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu nimecheka mpaka basi ahhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaa
3x3 likes
Mr Rocky ninahasira sana na watawala wa nchi hii ambao wao wanataka madaraka ili tu watunishe mifuko yao bali si kumsaidia mnyonge ajinyunye kutoka mavumbini alipo. real the end is near wacha tujaribu bana tukichinjiwa badharini na opposition poa tu.
"thought takes man out of servitude into freedom"
'daima tudumu katika upendo'
Hawa Walimu Badala ya kuhamishia hasira zao kwa wanafunzi, nawashauri (kama kweli wako serious) wamalizie hasira zao CCM -kwenye uchaguzi mkuu 2015.
mwalimu kama yaya ukimnyima posho atamtia masinge mtoto; atakuywa maziwa yake ata... duh. wanadhani ualimu sawa na kusomba matofali kwamba utayona matofali yaliyosombwa hapohapo.
Nchi ya migomo baridi....sijui hawa watawala hawaoni wanakotupeleka, kazi kweli kweli
I Miss my Mum
Waalimu wenyewe vilaza.
Follow Us Here