Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 71 of 71
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Wanabodi,
      Kipenga cha kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UWT kimepulizwa na wa kwanza kukimbilia fomu ni Mwenyekiti wa sasa Mhe. Sofia Simba akijiaminisha atapata kwa mteremko wa kupita bila kupingwa maana CCM inatawaliwa na nidhamu ya woga kwa jina la "utii", lakini hali haikuwa hivyo kwani Mhe. Mama Anne Kilango Malecela ametia timu kumpinga Mama Simba ambae "she is good for nothing"!. Mama Kilango ni just an opportunist mpiga kelele kila anapoongea as if ana uchungu wa kweli na anachopigia kelele!.

      Ila kumlinganisha na mama Simba, Kilango ni mpiganaji wa kweli kwani baada ya kubebwa pale mwanzoni, sasa amejibeba na kubebeka zaudi wakati Simba yeye ni kubebwa tuu mwanzo mwisho!.

      Leo kuna binti kijana, msomi wa haja ambaye yuko very bright upstairs kwa jina la Bi. Mayrose Kavura Majinge, naye atatupa karata yake!. Huyu ni "very promising" kuibadili UWT toka hapo ilipo na kuipaisha to next level!.

      Sasa subirini tushuhudie sarakasi za kama CCM inaendelea kuchagua "good for nothing" na kuisindikiza rasmi kaburini, au wana CCM wata opt for "oportunistic" ili kuendeleza ulaji na kupeana au this time watachagua "promising leadership" kujaribu kuiokoa CCM ambayo imeshaonyesha dalili zote za mkao wa kifo?!.

      Kwa vile sio siri, its open secret kuwa members wengi wa jf ni washabiki wa CDM, wakiwa na matumaini kuwa 2015 its their time, wajue kuwa wapiga kura wengi zaidi Tanzania ni wanawake, I doubt kama BAWACHA does realy exist!, hivyo majaaliwa ya Chadema kushinda uchaguzi wa 2015, itategemea kura za wanawake hivyo ni nani anashinda uchaguzi wa UWT!. Akirudi Mama Simba au Mama Kilango, ushindi wa Chadema ni dhahiri, ila akishinda Mayrose Kavura!, amini msiamini, ikulu mtaishia kuisikia tuu!.
      Mark my words!.

      Pasco!.

      NB. Kwa vile mimi namshabikia EL ateuliwe CCM, na kwa CDM nausupport move ya ZZK, bado nasisitiza sina chama!. Ila wale mnao amini mimi ni gamba, endeleeni kuamini hivyo kwa sababu kuwa mwana CCM sio dhambi wala kuishabikia CCM sio kosa!.

    2. Miaka 50

    3. #61
      bwegebwege's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2010
      Location : Kwetu
      Posts : 702
      Rep Power : 595
      Likes Received
      69
      Likes Given
      20

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Quote By Bobuk
      Tunaomba CV yake? But I doubt wanyeviti wote wa UWT waliotangulia huwa ni wake/hawara wa vigogo wa CCM. Je na MayRose ni hawara/mke wa kigogo wa CCM?

      Naomba tukumbushane Wenyeviti wa UWT waliotangulia
      1 Marehemu Sophia Kawawa
      2. Anna Abdallah Msekwa
      3. Sophia Simba
      4.............
      5................
      Mkubwa Big-up kwa hili!MAHAWARA!!!!!
      Pasco likes this.
      SIPENDI: "UDHAIFU wa Rais, UZEMBE wa Bunge, UPUUZI wa CCM"


    4. #62
      Blood Hurricane's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 243
      Rep Power : 396
      Likes Received
      77
      Likes Given
      2

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Quote By Pasco
      Wanabodi,
      Kipenga cha kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UWT kimepulizwa na wa kwanza kukimbilia fomu ni Mwenyekiti wa sasa Mhe. Sofia Simba akijiaminisha atapata kwa mteremko wa kupita bila kupingwa maana CCM inatawaliwa na nidhamu ya woga kwa jina la "utii", lakini hali haikuwa hivyo kwani Mhe. Mama Anne Kilango Malecela ametia timu kumpinga Mama Simba ambae "she is good for nothing"!. Mama Kilango ni just an opportunist mpiga kelele kila anapoongea as if ana uchungu wa kweli na anachopigia kelele!.

      Ila kumlinganisha na mama Simba, Kilango ni mpiganaji wa kweli kwani baada ya kubebwa pale mwanzoni, sasa amejibeba na kubebeka zaudi wakati Simba yeye ni kubebwa tuu mwanzo mwisho!.

      Leo kuna binti kijana, msomi wa haja ambaye yuko very bright upstairs kwa jina la Bi. Mayrose Kavura Majinge, naye atatupa karata yake!. Huyu ni "very promising" kuibadili UWT toka hapo ilipo na kuipaisha to next level!.

      Sasa subirini tushuhudie sarakasi za kama CCM inaendelea kuchagua "good for nothing" na kuisindikiza rasmi kaburini, au wana CCM wata opt for "oportunistic" ili kuendeleza ulaji na kupeana au this time watachagua "promising leadership" kujaribu kuiokoa CCM ambayo imeshaonyesha dalili zote za mkao wa kifo?!.

      Kwa vile sio siri, its open secret kuwa members wengi wa jf ni washabiki wa CDM, wakiwa na matumaini kuwa 2015 its their time, wajue kuwa wapiga kura wengi zaidi Tanzania ni wanawake, I doubt kama BAWACHA does realy exist!, hivyo majaaliwa ya Chadema kushinda uchaguzi wa 2015, itategemea kura za wanawake hivyo ni nani anashinda uchaguzi wa UWT!. Akirudi Mama Simba au Mama Kilango, ushindi wa Chadema ni dhahiri, ila akishinda Mayrose Kavura!, amini msiamini, ikulu mtaishia kuisikia tuu!.
      Mark my words!.

      Pasco!.

      NB. Kwa vile mimi namshabikia EL ateuliwe CCM, na kwa CDM nausupport move ya ZZK, bado nasisitiza sina chama!. Ila wale mnao amini mimi ni gamba, endeleeni kuamini hivyo kwa sababu kuwa mwana CCM sio dhambi wala kuishabikia CCM sio kosa!.
      Huyo dada unayemsema ni Mhaya hafai kama asivyofaa Simba na Kilango.
      Pasco likes this.

    5. #63
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By jmushi1
      Mkuu Pasco data za kwamba wanawake ndo wengi zaidi kati ya wapiga kura umezitoa wapi?Kwasababu huo ndo msingi wa hoja yako,then ni vyema ungetuwekea uthibitisho wa data(statistical) if possible.
      Mkuu J Mushi, kwanza asante for reading me in between the lines.
      Hoja yangu ya uwingi wa wanawake ni stastical ratio ya wanawake vis a vis wanaume kwa mujibu wa sensa ya mwisho ya watu na makazi!.

    6. #64
      UmkhontoweSizwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 2,017
      Rep Power : 934
      Likes Received
      555
      Likes Given
      319

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Mkuu Pasco, UWT ni sehemu ya CCM, na kwa kuwa hakuna anayeweza kuibadilisha ccm kwa umauti iliyofikia, hata huyo Majinge hawezi kuibadilisha wala kuipaisha hiyo uwt.
      Pasco likes this.
      "Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely." (Lord Acton, 1887)

    7. #65
      busar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2011
      Posts : 353
      Rep Power : 444
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      nimesoma nae Mzumbe, she is gud kwa kweli.....
      Pasco likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      nndondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 613
      Rep Power : 687
      Likes Received
      145
      Likes Given
      1

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Hakuna FHA promising tuwe we wazi maana ni Kweli tu ndio itakayotuweka wazi, hivi ni nani Kati ya hawa anaweza kuwafanyia Wanawake chochote? Catherine Huyu ni Yule concubine we mh waziri aw utalii? Aliyetumwq na EL kwenda kulipia mkutano wa uvccm Dodoma last year? Hapa ni Yale Yale ya Wanawake wa CCM uchupi kwa kwenda Mbele, hakuna Kati ya Hiyo cream Yao mwenye value ya uongozi, ni ngono tu hata Kama kwa sasa umewekwa ndani another makundi crisis
      Pasco likes this.

    10. #67
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1846
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Mama Kilango ni just an opportunist mpiga kelele kila anapoongea as if ana uchungu wa kweli na anachopigia kelele!.

      Ila kumlinganisha na mama Simba, Kilango ni mpiganaji wa kweli kwani baada ya kubebwa pale mwanzoni, sasa amejibeba na kubebeka zaudi wakati Simba yeye ni kubebwa tuu mwanzo mwisho!.


      Hapo mkuu ni kama unajikanyaga, mara uumpe credit Mama Kilango mara umponde..huu ni ushambenga...

      Leo kuna binti kijana, msomi wa haja ambaye yuko very bright upstairs kwa jina la Bi. Mayrose Kavura Majinge, naye atatupa karata yake!. Huyu ni "very promising" kuibadili UWT toka hapo ilipo na kuipaisha to next level!.

      Huyu dada hanalolote, amekuwa mwandishi pale StarTV akifanya kazi ya magamba, na hii ni kuonyesha namna ambavyo waandishi wengi wa Tanzania ni magamba na wanasubiria huruma za raisi kugaiwa ukuu wa wilaya na vyeo vingine..hana kitu huyu....

      Kwa vile sio siri, its open secret kuwa members wengi wa jf ni washabiki wa CDM, wakiwa na matumaini kuwa 2015 its their time, wajue kuwa wapiga kura wengi zaidi Tanzania ni wanawake, I doubt kama BAWACHA does realy exist!, hivyo majaaliwa ya Chadema kushinda uchaguzi wa 2015, itategemea kura za wanawake hivyo ni nani anashinda uchaguzi wa UWT!. Akirudi Mama Simba au Mama Kilango, ushindi wa Chadema ni dhahiri, ila akishinda Mayrose Kavura!, amini msiamini, ikulu mtaishia kuisikia tuu!.
      Mark my words!.
      Aliyekwambia kuwa member wengi wa humu JF ni CDM nani? No research no right to say...kama una data tupe hapa usije na hoja kama mkulima awa toka matombo huko....Unaposema kuwa BAVICHA haipo CHADEMA nakuona kama mgonjwa wa akili vile, Hivi unafahamu kazi inayofanywa na John Heche pamoja na timu yake? Au hao kwako ni wazee? nakuwa na shaka na uwezo wako wa kufikiri. Yani kwa mawazo yako madogo unamaanisha huyo Rose ndio atawazuia vuguvugu la mabadiliko Tanzania? Mawazo haya ata ng'ombe hawezi kuyaamini wala kuyasikiliza...ni mawazo ya kijinga na yenye upeo mdogo wa kufikiri. Hivi wewe unataka kutuambia kuwa wanawake wa Ki-tanzania ni wazembe kiasi kwamba huyo Rose atawageuza akili zao....

      Conclusion:

      Mwenye akili timamu atagundua kuwa wewe umetumwa kuja hapa kumpigia debe huyo Rose sijui...nadhani ni vyema na haki ukampelekea taarifa kuwa hakuna kitu kama hicho...Tanzania ya leo sio ya miaka ya 1947.
      Pasco likes this.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    11. #68
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Quote By only83
      [COLOR=#333333]
      Hapo mkuu ni kama unajikanyaga, mara uumpe credit Mama Kilango mara umponde..huu ni ushambenga....
      Huwa nasifu penye kustahili sifa na kuponda zehemu za vipondo. Hivi mtu akiwa ni mbaya, ni lazima awe mbaya tuu?.
      Kwa kukusaidia, mimi Pasco wa jf, nimemsifu JK ni "mtu wa watu", "down to earth" na "has a good sense of humour" kongoli hapa Cached.
      Pia ni mimi ndie niliyeorodhesha madhaifu ya JK na kueleza kuwa ni "ghaifu" hata kabla JJ.Mnyika hajapasua jipu bungeni. Kongoli hapa Cached

      Quote By only83
      [COLOR=#333333]
      Huyu dada hanalolote, amekuwa mwandishi pale StarTV akifanya kazi ya magamba, na hii ni kuonyesha namna ambavyo waandishi wengi wa Tanzania ni magamba na wanasubiria huruma za raisi kugaiwa ukuu wa wilaya na vyeo vingine..hana kitu huyu....
      Kumbe huyu ni mwandishi wa habari!, kumbe alikuwa akifanya kazi pale Star TV ila hana lolote!, kumbe ni kweli waandishi wengi wa Tanzania ni magamba!, mimi nilidhani ni wale wa Uhuru/Mzalendo na Deli Nyuzi tuu, kumbe hata wa Mwanahalisi, Raia Mwema, Tanzania Daima, Mwananchi, Alnuur, Alhuda, etc, etc. Asante kwa taarifa.
      Aliyekwambia kuwa member wengi wa humu JF ni CDM nani? No research no right to say...kama una data tupe hapa usije na hoja kama mkulima awa toka matombo huko....
      Kumbe unasubiri kuambiwa urari wa members humu na mapenzi yao yalipo?!, endelea kusubiria, utaambiwa tuu!. Ila kiukweli mimi ni mkulima awa toka matombo huko!.
      Unaposema kuwa BAVICHA haipo CHADEMA nakuona kama mgonjwa wa akili vile, Hivi unafahamu kazi inayofanywa na John Heche pamoja na timu yake? Au hao kwako ni wazee?
      Ni kweli, mimi ni mgonjwa wa akili, ila sijafikia tuu stage ya kichaa, ila mtu aliyesoma neno BAWACHA, macho yake yakaona imeandikwa BAVICHA!, huyo atakuwa sio mgonjwa wa akili, bali ni kichaa kabisa!, ila shukuru Mungu, hujaanza kuokota makopo!.
      On a serious note: Kama wafuasi wenyewe wa CDM, wengi ndio wa type hii, ndugu zangu kazi mnayo na safari bado ni ndefu!.
      nakuwa na shaka na uwezo wako wa kufikiri.
      usiwe na shaka, this is for sure, sio kuwa uwezo wangu wa kufikiri ni mdogo, bali sina kabisa uwezo, hivyo huwa sifikirii chochote na my head ni empty, hakuna fikra kabisa!

      Conclusion:
      Mwenye akili timamu atagundua kuwa wewe umetumwa .
      Kiukweli wewe ndio mwenye akili timamu na utimamu wako nimeuthibitisha jinsi ulivyoweza kugundua kuwa nimetumwa!.

    12. #69
      OMBUDSMAN's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th September 2012
      Posts : 87
      Rep Power : 351
      Likes Received
      32
      Likes Given
      25

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      WATANZANIA HATA AMBAO HATUTAKI SIASA AMKENI TUWAKATAE WANASIASA WAGOMBEA WANAOTURUDISHA NYUMA KIMAENDELEO. PICHA MOJA MANENO ELFU GONGA HAPA UONE:

      http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/225329-mama-kilango-v-s-sophia-simba-ndani-ya-uchaguzi-wa-uwt-11.html#post4763302
      Pasco likes this.
      All generalizations are false, including this one

    13. #70
      JERUSALEMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 790
      Rep Power : 494
      Likes Received
      231
      Likes Given
      150

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Quote By Pasco
      Mkuu Wa Ukenyenge, sina CV yake rasmi ila ni msomi mwenye masters. Sifa yake kuu ni kitabu fulani alichoandika kuhusu vita dhidi ya umasikini!.

      Huyu Mayrose she is real good ambaye anaweza kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya CCM kwa ku invoke changes from within!.

      Kwa vile huyu ni mdada wa ukweli, bado anaamini a dying CCM can be revived kupitia UWC!. Kumbe bado hajajua, uwongo, fitna na majungu ni mtaji mkubwa wa ushindi kwenye uchaguzi wowote wa ndani ya CCM.

      Huyu Mayrose ana tatizo moja kibwa, she is too genuine hivyo kuwa too good kwa CCM, I hope baada ya uchaguzi huu wa UWT, she'll realize she is in a wrong party, anapoteza bure time, money na her very promising potentials to try reviveing a dying CCM!.

      I wish her all the best!.
      She might be good, hard working and ambitious lakini ukweli kwamba yuko ccm mimi najua wote waliok huko ni wachumia tumbo tu na siku CDM tukishinda utaona watakavyo anza kuja mbio wakiwa sababu mbalimbali. kama anajiamini aje CHADEMA aungane na wapigania haki wenzake akina sisi.
      Pasco likes this.

    14. #71
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

      Quote By Pasco
      Wanabodi,
      Kipenga cha kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UWT kimepulizwa na wa kwanza kukimbilia fomu ni Mwenyekiti wa sasa Mhe. Sofia Simba akijiaminisha atapata kwa mteremko wa kupita bila kupingwa maana CCM inatawaliwa na nidhamu ya woga kwa jina la "utii", lakini hali haikuwa hivyo kwani Mhe. Mama Anne Kilango Malecela ametia timu kumpinga Mama Simba ambae "she is good for nothing"!. Mama Kilango ni just an opportunist mpiga kelele kila anapoongea as if ana uchungu wa kweli na anachopigia kelele!.

      Ila kumlinganisha na mama Simba, Kilango ni mpiganaji wa kweli kwani baada ya kubebwa pale mwanzoni, sasa amejibeba na kubebeka zaudi wakati Simba yeye ni kubebwa tuu mwanzo mwisho!.

      Leo kuna binti kijana, msomi wa haja ambaye yuko very bright upstairs kwa jina la Bi. Mayrose Kavura Majinge, naye atatupa karata yake!. Huyu ni "very promising" kuibadili UWT toka hapo ilipo na kuipaisha to next level!.

      Sasa subirini tushuhudie sarakasi za kama CCM inaendelea kuchagua "good for nothing" na kuisindikiza rasmi kaburini, au wana CCM wata opt for "oportunistic" ili kuendeleza ulaji na kupeana au this time watachagua "promising leadership" kujaribu kuiokoa CCM ambayo imeshaonyesha dalili zote za mkao wa kifo?!.

      Kwa vile sio siri, its open secret kuwa members wengi wa jf ni washabiki wa CDM, wakiwa na matumaini kuwa 2015 its their time, wajue kuwa wapiga kura wengi zaidi Tanzania ni wanawake, I doubt kama BAWACHA does realy exist!, hivyo majaaliwa ya Chadema kushinda uchaguzi wa 2015, itategemea kura za wanawake hivyo ni nani anashinda uchaguzi wa UWT!. Akirudi Mama Simba au Mama Kilango, ushindi wa Chadema ni dhahiri, ila akishinda Mayrose Kavura!, amini msiamini, ikulu mtaishia kuisikia tuu!.
      Mark my words!.

      Pasco!.

      NB. Kwa vile mimi namshabikia EL ateuliwe CCM, na kwa CDM nausupport move ya ZZK, bado nasisitiza sina chama!. Ila wale mnao amini mimi ni gamba, endeleeni kuamini hivyo kwa sababu kuwa mwana CCM sio dhambi wala kuishabikia CCM sio kosa!.
      Uchaguzi umemalizikaa, ubatili umeshinda!. Tuendelee na yatokanayo!.

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...