Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Polisi yazuia Operation Sangara ya CHADEMA Morogoro kisa hakuna Askari

    Report Post
    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 133
    1. #1
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Polisi yazuia Operation Sangara ya CHADEMA Morogoro kisa hakuna Askari

      Polisi katika manispaa ya mji wa Morogoro wamezuia operation sangara ya CHADEMA kwa sababu za kuwa hakuna askari wa kutosha kusimamia mikutano yao katika mkoa wa Morogoro.

      Lakini pamoja na makatazo hayo CDM wamedai wao wataendelea na mikutano yao kama kawaida kwa sababu haisuani na fujo wala vurugu na siku zote Polisi huwa hawawasaidii kwa lolote.

      Concern

      Jeshi la PolisiCCM liko kwa ajili ya kuzuia CDM sio kulinda

    2. Miaka 50

    3. #61
      Ufunuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Posts : 457
      Rep Power : 494
      Likes Received
      118
      Likes Given
      155

      Default Re: Polisi yazuia Operation Sangara ya CHADEMA Morogoro kisa hakuna Askari

      Sioni ajabu serikali ikipeleka suala la kuzuia mikutano ya CHADEMA mahakamani kisha wakatumia kama kisingizio kuwa suala la mikutano lipo mahakamani so hairuhusiwi mpaka kesi itakapomalizika 2016.
      HERI WENYE MOYO SAFI MAANA HAO WATAMWONA BWANA

    4. #62
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Hakuna polisi wa kutosha kulinda mkutano wa chadema ila wapo polisi wakutosha wakuzuia mkutano.

      Wapuuzi wakubwa na hao viongozi wao,eti watailazimisha chadema kutii sheria,hivi chadema wanavunja sheria ipi wakifanya mikutano???
      Wanaziba jua kwa mfuko wa plastik ngoja uwayeyukie,maana njinsi wanavyozua mikutano ndivyo imani inavyoongezeka kwa watz.

      Long live cdm!!!!!!
      King of Kings likes this.

    5. #63
      Nyetk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 1,028
      Rep Power : 682
      Likes Received
      574
      Likes Given
      590

      Default Re: Polisi wafanya operation kila mtaa kuzuia mkutano wa CHADEMA Morogoro Mjini

      Quote By kapotolo
      Hii ni Tanzania zaidi ya uijuavyo, wamalawi wako busy wanataka kutupiga, sisi tunahangaika na chadema
      Very true indeed! Malawi wameshatudharau hata wako tayari kuzichapa na sisi afu sisi tunapeleka askari kuwadhibiti watawala halali wa kesho! Funny!

    6. #64
      Muarobaini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 52
      Rep Power : 380
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Shard Nagolipa
      Habari wakuu!
      Ikiwa yamebakia almost masaa 5 kabla ya kuanzia mkutano mkubwa wa CHADEMA chini ya M4C na viongozi wa kitaifa Mbowe, Dr.slaa etc,
      Asubuhi leo polisi(FFFU) wengi wakiwa kwenye magari yao yenye bendera nyekundu, wameanza operation maalum ya kupita kila kona ya mji ili kutisha watu wasihudhurie ktk mkutano huo wa CDM.

      MY OUTLOOK :
      kazi ya dola kusupress upinzan nchii yaanza kazi rasmi, Tusiogope tusonge mbele wana CHADEMA.
      "the thing that we have to fear, its only fear"

      FEAR NOT.
      Mbona walisema hawana polisi wa kutosha kufanya ulinzi katika mkutano wa chadema na hao wametoka wapi?

    7. #65
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,874
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      803
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By dosama
      Polisi katika manispaa ya mji wa Morogoro wamezuia operation sangara ya CHADEMA kwa sababu za kuwa hakuna askari wa kutosha kusimamia mikutano yao katika mkoa wa Morogoro.

      Lakini pamoja na makatazo hayo CDM wamedai wao wataendelea na mikutano yao kama kawaida kwa sababu haisuani na fujo wala vurugu na siku zote Polisi huwa hawawasaidii kwa lolote.

      Concern

      Jeshi la PolisiCCM liko kwa ajili ya kuzuia CDM sio kulinda
      Mkuu Hivi sababu ni kutokuwepo kwa polisi wa kulinda amani au CCM nao wana mkutano?

    8. RukaaJuu Final

    9. MI6
      #66
      MI6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 373
      Likes Received
      17
      Likes Given
      10

      Default Re: Polisi yazuia Operation Sangara ya CHADEMA Morogoro kisa hakuna Askari

      Saa ya ukombozi yaja. ukiwa morogoro leo unaweza ukashangaa kila round about kuna defender ya polisi.

    10. #67
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,874
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      803
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By dosama
      Polisi katika manispaa ya mji wa Morogoro wamezuia operation sangara ya CHADEMA kwa sababu za kuwa hakuna askari wa kutosha kusimamia mikutano yao katika mkoa wa Morogoro.

      Lakini pamoja na makatazo hayo CDM wamedai wao wataendelea na mikutano yao kama kawaida kwa sababu haisuani na fujo wala vurugu na siku zote Polisi huwa hawawasaidii kwa lolote.

      Concern

      Jeshi la PolisiCCM liko kwa ajili ya kuzuia CDM sio kulinda
      Mkuu Hivi sababu ni kutokuwepo kwa polisi wa kulinda amani au CCM nao wana mkutano?

    11. #68
      Pangaea's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 377
      Likes Received
      36
      Likes Given
      72

      Post Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Wana JF.
      Kulikuwa na taarifa kuwa M4C ipo Morogoro leo ingawa taarifa za Polisi zilionesha kuwepo zuio la harakati za M4C hapo morogoro. Ninaomba kama kuna mwenye taarifa mpya atu-update.

    12. #69
      NGOWILE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Posts : 325
      Rep Power : 843
      Likes Received
      169
      Likes Given
      22

      Default Yanayojiri morogoro mkutano wa chadema.

      Kwa wale mliopo moro tunaomba mtutupie up dates juu ya kinachoendelea kuhusiana na mkutano wa CHADEMA.

    13. #70
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,655
      Rep Power : 928
      Likes Received
      587
      Likes Given
      93

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      ngoja nitie timu abood,nitawaletea updates maana nipo dar.

    14. #71
      1800's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,657
      Rep Power : 891
      Likes Received
      416
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By NGOWILE
      Kwa wale mliopo moro tunaomba mtutupie up dates juu ya kinachoendelea kuhusiana na mkutano wa CHADEMA.
      Wakuu mpaka sasa naona magari ya M4C yanaranda randa tu barabarani,polisi nao wamejaa kwa wingi mno ila hawasumbuki nayo kabisa,bado hatujajua hatima ya mkutano,ila nimeongea na baadhi ya askari wengi kama si wote ni pro Cdm,hawakubaliani na sababu zilizotolewa na ma boss wao kuzuia juu ya mkutano,wanakiri kua ni amri toka serikalini na wala si muingiliano wa mikutano kati ya cdm na c.c.m kama walivyodai,wanasema dola inaogopa sana sumu zinazotemwa kwenye operesheni sangara,ni wazi c.c.m inaelekea ukingoni!!Moro ilikua ngome ya c.c.m,sasa hawaamini kua Moro nayo inawageuka sasa,ndio maana wanatumia nguvu kubwa kwa uoga wao!
      muchetz, OSOKONI, MR. ABLE and 2 others like this.

    15. #72
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,398
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Kwa taarifa kamili:
      ilibidi kamanda wa polisi ampigie Mbowe simu ili kuwakataza vijana wa CDM waliokuwa wamejaa sana ktk ofisi za CDM za hapa moro, makundi makubwa ya vijana yaliendelea kujaa sana tayar kwa maandamano lakini walikuja viongozi wa CDM Benson kigaila, Rwakatare na mwita waitara wakatangaza kusitisha mkutano wake na badala yake utafanyika tarh 18 na hii imetokana na polisi kuwaplease sana viongzoi wa CDM kwani hali ilikuwa tete sana japo asubuhi 2.
      Lakini kiukweli hapa Moro kuna mwamko mkubwa sana na hii ndio image nzima ya anguko la CCM mkoani hapa.

      FEAR NOT.

    16. #73
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,695
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Quote By Shard Nagolipa
      Kwa taarifa kamili:
      ilibidi kamanda wa polisi ampigie Mbowe simu ili kuwakataza vijana wa CDM waliokuwa wamejaa sana ktk ofisi za CDM za hapa moro, makundi makubwa ya vijana yaliendelea kujaa sana tayar kwa maandamano lakini walikuja viongozi wa CDM Benson kigaila, Rwakatare na mwita waitara wakatangaza kusitisha mkutano wake na badala yake utafanyika tarh 18 na hii imetokana na polisi kuwaplease sana viongzoi wa CDM kwani hali ilikuwa tete sana japo asubuhi 2.
      Lakini kiukweli hapa Moro kuna mwamko mkubwa sana na hii ndio image nzima ya anguko la CCM mkoani hapa.

      FEAR NOT.
      Mkuu hao vijana kwani na wao wameletwa na mafuso kama wale wa chama tarajiwa cha upinzani?
      Recover likes this.

    17. #74
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Quote By Pangaea
      Wana JF.
      Kulikuwa na taarifa kuwa M4C ipo Morogoro leo ingawa taarifa za Polisi zilionesha kuwepo zuio la harakati za M4C hapo morogoro. Ninaomba kama kuna mwenye taarifa mpya atu-update.
      sasa unaanzisha thread ya nn wakati hujui chochote??acha kukurupuka!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    18. #75
      bob68's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 375
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Tunapenda tu kupata habari je hizo taarifa unazozitaka utazifanyia kazi kweli?au ukasimulie bar na sehemu nyinginezo tu utazani ulikuwepo eneo la tukio haisadii hiyo!!jamani

    19. #76
      never's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Location : ARUSHA
      Posts : 225
      Rep Power : 461
      Likes Received
      74
      Likes Given
      12

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Kwataarifa Rasmi mikutano ya chadema imeahirishwa, mpaka tarehe 08 nasiyo tarehe 18 Na hii nikutokana na viongozi wa juu wa chama pamoja na viongozi wa juu wa police kujadiliana, na ziara hii itaanzia ifakara.

    20. #77
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,200
      Rep Power : 870
      Likes Received
      307
      Likes Given
      123

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Nipo Moro kwakweli polisi ni kila kona na inaonekana kama polisi wanaweza zuia kwani hapa nipo maeneo ya Masika Wale jamaa wa kutuliza ghasia wamejaa maenneo ya B one Jirani na Bank ya CRDB lakini hakika muamko ni mkubwa sana wa watu kutaka mkutano ufanyike. Kila Mtu maeneo ya katikati ya mji analaani vikali mpango mzimwa wa kuzima mkutano wa leo. Hapa nataka kurudi tena viwanja vitakavyofanyika mkutano maana mpaka saa saba na nusu mchana kulikuwa bado hakujaeleweka ila nasi tunawajuza yatakayojiri huku mji kasoro bahari
      Crashwise likes this.
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    21. #78
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,128
      Rep Power : 14289
      Likes Received
      4015
      Likes Given
      3274

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Quote By never
      Kwataarifa Rasmi mikutano ya chadema imeahirishwa, mpaka tarehe 08 nasiyo tarehe 18 Na hii nikutokana na viongozi wa juu wa chama pamoja na viongozi wa juu wa police kujadiliana, na ziara hii itaanzia ifakara.
      Sasa huyo Shilogile si alisema anazuia kwasababu ya nane nane, je 08.08 si ndiyo siku yenyewe au lengo lao ni kuwagawa kuwa wengine waende nane nane na wengine waende kwenye mkutano wa chadema na hapo watakuwa wamefanikiwa malengo yake....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    22. #79
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      Taarifa rasmi kutoka kwa kamanda wangu aliyeko Morogoro ni kwamba polisi wamesalimu amri na wamekubali M4C ianze wiki ijayo tarehe 08
      Zipuwawa likes this.

    23. #80
      bob68's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 375
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Kama kuna mwenye taarifa kuhusu M4C hapo Morogoro

      I am loging out!!!!

    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...