Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      imma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2009
      Posts : 421
      Rep Power : 584
      Likes Received
      15
      Likes Given
      13

      Default Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Hali ya nchi imekuwa tete,kila idara ya utumishi wa umma imeingia kwenye mgomo,kinacho lalamikiwa ni madai ya msingi ya haki za watumishi,alkini serikali inayachukulia madai haya kama kero na kelele za mpangaji hazimzui mwenye nyumba kukosa usingizi.Tumeona mgomo wa madaktari na sasa mgomo wa waalimu.

      Imekuwa ni kawaida sasa kwa serikali yetu sikivu kushindwa kutumia usikivu wake kukaa meza moja na watumishi wake ili kupata suluhisho la madai yao.Suluhisho limekuwa ni mahakama huku serikali ikitumika kutoa kauli ambazo mwisho wa siku mhimili wa mahakama uhitimisha kwa hukumu iliyo kwisha kutamkwa na serikali. Nini hatari yake,hatari yake ni mgongano wa madaraka na kuingilia uhuru wa mahakama.

      Sisi sote ni mashahidi,tumeona serikali sikivu mara zote ikishindwa na kukimbilia mahakamani wakati huo huo kesi haijatajwa wao hukimbilia kwenye media na kutangaza migomo hiyo ni batili.Kuna haja gani basi ya kukimbilia mahakamani ikiwa tayari imeshatekeleza hukumu itakayo tolewa na mahakama? Hali kama hii athari yake kubwa ni uvunjivu wa amani tuliyo jivunia kwa miongo zaidi ya mitano.Ifike wakati kila mhimili mmoja uheshimu mhimili mwingine ili kulinda mgongano wa kimadaraka unao fanywa na serikali yetu sikivu.

      Serikali hiyo hiyo sikivu kupitia kiongozi wa mhimili wa bunge imekuwa ikitumia rungu lake ipasavyo kuhakikisha hoja zote zinazo husiana na migogoro ya watumishi na serikali haijadiliwi bungeni kwa kigezo cha hoja hiyo iko mahakamani ilihali serikali ikitoa hukumu nje ya mahakama.Naomba wakuu wa JF tuliangalie hili kwa umakini ili kunusuru uchafuzi huu wa hali ya hewa kwa mgongano wa madarakaw unao fanywa makusudi na serikali yetu sikivu kwa mustakabali wa amnai ya nchi yetu.

      Naomba kuwakilisha.

      Quote By Mpendwa
      Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      1. Haiwezi kulipa waalimu
      2. Haiwezi kulipa madaktari
      3. Haiwezi kuwajibisha mafisadi, inaishia kuwatetea
      4. Haiwezi kutetea wanyonge zaidi ya kuwasaliti na kuwatekeleza
      5. Haiwezi hata kulitumia vema jeshi la polisi
      6. Haiwezi kuunda tume huru ya kuchunguza matukio ya kigaidi kama ya Dr Ulimboka, Zombe nk
      7. Haiwezi kununua CT scan pale muhimbili na hospitali za rufaa
      8. Haiwezi kuboresha miundombinu ya umeme na maji.... iliyopo ni tangu wakati wa Mwl Nyerere (RIP)
      9. Haiwezi kusajili vyombo salama vya usafiri majini
      10. Haiwezi kuwalipa mafao wazee wa afrika mashariki mpaka wanatuvulia nguo pale serander bridge
      11. Haiwezi haiwezi.....

      wadau Nisaidieni kujaza 'haiwezi' nyingine za serikali ya huyu jamaa
      wade kibadu and Msalagambwe like this.

      A question that sometimes drives me hazy: am I or are the others crazy?

    2. Miaka 50

    3. #2
      LIWALONALIWE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 900
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Mbona unashindwa kumalizia umeshatoka kupata ndovu mbilitatu unavyoonyesha.Niambia lipi kubwa kati ya hayo lilishawahi kutekelezwa kikamilifu katika vipindi vyote vya maraisi hapa TZ.
      Jk jembee wewe.
      Mwacheni ****** watu amalize muda wake na kwahabari yenu anamwaga lami kila barabara ya mkoa hapa tz.mnataka awafanyie nini.
      Tatizo la wa tz hata ukiwamwagia asali hawatosheki

    4. #3
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      How much does CT Scan machine cost bei ya sca ya hospitalini lakini yeye kasema ni 800,000
      wade kibadu likes this.

    5. #4
      kibugumo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Location : arusha
      Posts : 388
      Rep Power : 870
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Ahadi zake nyingi hazitekelezeki.

    6. #5
      imma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2009
      Posts : 421
      Rep Power : 584
      Likes Received
      15
      Likes Given
      13

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Tunataka Chuo kikuu kila mkoa
      Tunataka elimu sawa kwa wote
      Tunataka mafisi (mafisadi) wote waondolewewe
      Tunataka madini yetu
      Tunataka kulipwa kwa madaktari
      Tunataka kulipwa kwa walimu
      Nataka urith wangu wa EAC.
      Quote By LIWALONALIWE
      Mbona unashindwa kumalizia umeshatoka kupata ndovu mbilitatu unavyoonyesha.Niambia lipi kubwa kati ya hayo lilishawahi kutekelezwa kikamilifu katika vipindi vyote vya maraisi hapa TZ.
      Jk jembee wewe.
      Mwacheni ****** watu amalize muda wake na kwahabari yenu anamwaga lami kila barabara ya mkoa hapa tz.mnataka awafanyie nini.
      Tatizo la wa tz hata ukiwamwagia asali hawatosheki
      Tunataka Chuo kikuu kila mkoa
      Tunataka elimu sawa kwa wote
      Tunataka mafisi (mafisadi) wote waondolewewe
      Tunataka madini yetu
      Tunataka kulipwa kwa madaktari
      Tunataka kulipwa kwa walimu
      Nataka urith wangu wa EAC.

      A question that sometimes drives me hazy: am I or are the others crazy?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      UBoNGo HaRaGe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 207
      Rep Power : 396
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Naomba kufahamu nini vipaumbele vyetu maana kila sekta watu wanalalamika
      Last edited by UBoNGo HaRaGe; 2nd August 2012 at 21:43.

    9. #7
      Prince Hope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Posts : 395
      Rep Power : 423
      Likes Received
      68
      Likes Given
      24

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Quote By LIWALONALIWE
      Mbona unashindwa kumalizia umeshatoka kupata ndovu mbilitatu unavyoonyesha.Niambia lipi kubwa kati ya hayo lilishawahi kutekelezwa kikamilifu katika vipindi vyote vya maraisi hapa TZ.
      Jk jembee wewe.
      Mwacheni ****** watu amalize muda wake na kwahabari yenu
      anamwaga lami kila barabara ya mkoa hapa tz.mnataka awafanyie nini.
      Tatizo la wa tz hata ukiwamwagia asali hawatosheki
      Hapooooooooooooooooooo kwenye red. Chukua jembe kalime hiyo lami tuone kama utavuna mpunga ili kupunguza bei ya mchele!

    10. #8
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 927
      Rep Power : 552
      Likes Received
      319
      Likes Given
      204

      Default As long as Jakaya Kiwete ni rais wa nchi hii

      WanaJF, nimefuatilia kwa makini migomo yote miwili ya madaktari na waalimu, nimejiridhisha kuwa wamefuata taratibu zote lakni kesi zao zilipofika mahakamani serikali imeshinda. Nimekumbuka na maneno ya mheshimiwa Lisu kuwa majaji wanateuliwa watu wasio na sifa. Na tunajua kibinadamu ukiteuliwa wakati huna sifa lazima utaufyata mkia tu na kumtumikia aliyekuteua. Ninamalizia kwa kusema kuwa as long as JK ni rais wa nchi hii watu mnaodhani mahakama itawasaidia sahauni mpaka may be after 2015. JK ni mbabe sana japo anaonekana kuchekacheka. Ni JK huyu huyu aliymtaiti jaji Mkuu mstaafu Ramadhani hadi akakubali kuivua mahakama haki yake ya msingi ya kutafsiri sheria kwenye ile issue ya mgombea binafsi. Gone are Mkapas day wakati serikali ilikuwa inabwagwa mara kibao mahakamani. Mnaonaje?

    11. #9
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,533
      Rep Power : 1803
      Likes Received
      2451
      Likes Given
      2493

      Default Re: As long as Jakaya Kiwete ni rais wa nchi hii

      Uanachama CCM ni hatua muhimu ya awali katika ujenzi wa tabia chafu kimaadili.
      Ubunge CCM ni hatua ya pili inayotoa fursa katika kukomaza tabia chafu kimaadili.
      Uwaziri ni tuzo kwa kufuzu katika fani ya kujenga na kutetea tabia chafu kimaadili.
      Uraisi ni kulinda na kusimamia, kwa kutumia vyombo vya dola, tabia chafu kimaadili.


      Watanzania, chini ya CCM, tumeliwa!
      imma and zoeca like this.
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    12. #10
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 927
      Rep Power : 552
      Likes Received
      319
      Likes Given
      204

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Kabisaa tunatakiwa kupata mbadala, mahakama inajifanya waalimu wameshindwa na walipe fidia, watalipa fidia na itaonekana balabala kwenye matokeo ya shule za serikali yanayokuja.

    13. #11
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 540
      Rep Power : 532
      Likes Received
      87
      Likes Given
      21

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Muulize vizuri aliahidi nini atakwambia hajui,
      muulize kanini Tz maskini atakwambia hajui,
      Muulize Znz ni nchi au si nchi atakwambia hajui,
      Muulize aliyemteka Dr Ulimboka ni nani, na serikali imefanmya nini atakwambia hajui,
      Muulize anaenda safari za nje kufanya nini atakwambia hajui,
      Muulize anafanya kazi gani akiwa ofisini atakwambia hajui
      ....
      ...
      N.k.

      Huyu ni JK zaidi ya umjuavyo!
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    14. #12
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 535
      Rep Power : 452
      Likes Received
      177
      Likes Given
      527

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Mwandishi;Kwa nini nchi yako Tanzania pamoja na utajiri wote wa watu,ardhi, maji mengi, madini na mbuga za wanyama lakini bado ni masikini?

      Kikwete; Angazi! Hata mimi najiuliza hivyohivyo sielewe kwa nini watu wa nchi yangu ni malofa, labda ndugu mwandishi nisaidie jibu.

    15. #13
      Kimbweta's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 62
      Rep Power : 356
      Likes Received
      41
      Likes Given
      1

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Quote By imma
      Hali ya nchi imekuwa tete,kila idara ya utumishi wa umma imeingia kwenye mgomo,kinacho lalamikiwa ni madai ya msingi ya haki za watumishi,alkini serikali inayachukulia madai haya kama kero na kelele za mpangaji hazimzui mwenye nyumba kukosa usingizi.Tumeona mgomo wa madaktari na sasa mgomo wa waalimu.

      Imekuwa ni kawaida sasa kwa serikali yetu sikivu kushindwa kutumia usikivu wake kukaa meza moja na watumishi wake ili kupata suluhisho la madai yao.Suluhisho limekuwa ni mahakama huku serikali ikitumika kutoa kauli ambazo mwisho wa siku mhimili wa mahakama uhitimisha kwa hukumu iliyo kwisha kutamkwa na serikali. Nini hatari yake,hatari yake ni mgongano wa madaraka na kuingilia uhuru wa mahakama.

      Sisi sote ni mashahidi,tumeona serikali sikivu mara zote ikishindwa na kukimbilia mahakamani wakati huo huo kesi haijatajwa wao hukimbilia kwenye media na kutangaza migomo hiyo ni batili.Kuna haja gani basi ya kukimbilia mahakamani ikiwa tayari imeshatekeleza hukumu itakayo tolewa na mahakama? Hali kama hii athari yake kubwa ni uvunjivu wa amani tuliyo jivunia kwa miongo zaidi ya mitano.Ifike wakati kila mhimili mmoja uheshimu mhimili mwingine ili kulinda mgongano wa kimadaraka unao fanywa na serikali yetu sikivu.

      Serikali hiyo hiyo sikivu kupitia kiongozi wa mhimili wa bunge imekuwa ikitumia rungu lake ipasavyo kuhakikisha hoja zote zinazo husiana na migogoro ya watumishi na serikali haijadiliwi bungeni kwa kigezo cha hoja hiyo iko mahakamani ilihali serikali ikitoa hukumu nje ya mahakama.Naomba wakuu wa JF tuliangalie hili kwa umakini ili kunusuru uchafuzi huu wa hali ya hewa kwa mgongano wa madarakaw unao fanywa makusudi na serikali yetu sikivu kwa mustakabali wa amnai ya nchi yetu.

      Naomba kuwakilisha.
      Na bado, 2015 ni mbali wanatamani ifike. Walidhani walipo kuwa wanachakachua kura ili kwenda Ikulu ni kula bata tu! Watashika adabu yao. Mwisho wa siku chuichui nao watagoma..nadhani ndio utakuwa mwisho wa ******..sijui atakuwa mkimbizi wapi..

    16. #14
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,056
      Rep Power : 920
      Likes Received
      830
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

      Serikali ya JK imeshindwa hata kulinda MIPAKA ya nchi yetu.

      Refer the recent claims by Malawians that the WHOLE LAKE NYASA belongs to Malawi and they will continue with oil and gas exploration with impunity.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...