Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

    Report Post
    Page 1 of 14 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 263
    1. #1
      Mpaka Kieleweke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 2,665
      Rep Power : 1166
      Likes Received
      675
      Likes Given
      7

      Default Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Nimeshtushwa na tamko ambalo amelitoa muda huu bungeni kuwa Serikali ya Tanzania iko tayari kwa uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi na ametoa tamko hilo kama kaimu waziri Mkuu .

      Tamko hili kalitoa kwa niaba ya Serikali sasa hii ni hatari kama Kaimu waziri Mkuu anaweza kutangaza vita na hii ni kinyume na katiba yetu mwenye mamlaka hiyo ni Rais ambaye ni Amir Jeshi Mkuu.
      Quote By Jasusi
      Hajatangaza vita hapo. Amesema iko tayari kupambana na uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi.
      Saint Ivuga, manyamba and cement like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,612
      Rep Power : 2890
      Likes Received
      3831
      Likes Given
      12203

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Hajatangaza vita hapo. Amesema iko tayari kupambana na uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi.

    4. #3
      Mark Francis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Location : Ubungo, DSM
      Posts : 434
      Rep Power : 580
      Likes Received
      198
      Likes Given
      45

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Kuna nini kimetokea kwani mpaka atoe kauli hiyo??
      "Better to be hurt by the truth than comforted with a lie"

    5. #4
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 900
      Rep Power : 530
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Amiri Jeshi mkuu anawaza kuoa ramadhani ikiisha bora asaidiwe majukumu.
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    6. #5
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 752
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      kwani huko mipakani kuna nini kimetokea mpaka jamaa aseme hivyo?
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    7. Miaka 50

    8. #6
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Malawi wanataka Lake Nyasa ambalo wao wanaliita Lake Malawi liwe lao lote,, wanasema Watanzania wana maziwa mengi sana pamoja na bahari ya Hindi so its better tuwaachie Lake Nyasa/Malawi liwe lao 100%.. So they started exploration ya mafuta na gas mpaka wanakaribia kuingia Mbinga sasa..

    9. MTK
      #7
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 928
      Rep Power : 4494
      Likes Received
      300
      Likes Given
      329

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Quote By Mpaka Kieleweke
      Nimeshtushwa na tamko ambalo amelitoa muda huu bungeni kuwa Serikali ya Tanzania iko tayari kwa uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi na ametoa tamko hilo kama kaimu waziri Mkuu .

      Tamko hili kalitoa kwa niaba ya Serikali sasa hii ni hatari kama Kaimu waziri Mkuu anaweza kutangaza vita na hii ni kinyume na katiba yetu mwenye mamlaka hiyo ni Rais ambaye ni Amir Jeshi Mkuu.
      Usimlishe maneno, yule bwana ana busara anajua mwenye mamlaka ya kutangaza vita ni amiri jeshi mkuu pekee; alichofanya ni kuwaweka sawa wanachi kwamba serikali iko macho kuhusu hali hiyo ili kuondoa dukuduku miongoni mwa wananchi.
      Tofautisha kauli ya Sitta na hii hapa:
      "Sasa tutampiga nduli iddi Amin;
      Nia ya kumpiga tunayo;
      Sababu ya kumpiga tunayo na
      Uwezo wa kumpiga tunao".

      J.K. Nyerere; October 1978.

    10. #8
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,599
      Rep Power : 1123
      Likes Received
      1378
      Likes Given
      1528

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Quote By Mpaka Kieleweke
      Nimeshtushwa na tamko ambalo amelitoa muda huu bungeni kuwa Serikali ya Tanzania iko tayari kwa uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi na ametoa tamko hilo kama kaimu waziri Mkuu .

      Tamko hili kalitoa kwa niaba ya Serikali sasa hii ni hatari kama Kaimu waziri Mkuu anaweza kutangaza vita na hii ni kinyume na katiba yetu mwenye mamlaka hiyo ni Rais ambaye ni Amir Jeshi Mkuu.
      MKuu unatumia akili gani leo, ile ya kawaida au ile hasi?
      Jasusi and kajembe like this.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    11. #9
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,901
      Rep Power : 5058
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2627

      Default

      Quote By ndenga
      Malawi wanataka Lake Nyasa ambalo wao wanaliita Lake Malawi liwe lao lote,, wanasema Watanzania wana maziwa mengi sana pamoja na bahari ya Hindi so its better tuwaachie Lake Nyasa/Malawi liwe lao 100%.. So they started exploration ya mafuta na gas mpaka wanakaribia kuingia Mbinga sasa..
      Wachukue tu sisi tumelala tupo bize na siasa na migomo bora wachukue ziwa lote!
      bdo, Bufa and maingu z like this.

    12. #10
      ray jay's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 83
      Rep Power : 402
      Likes Received
      7
      Likes Given
      13

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      sasa hapo katangaza wapi vita?au na wewe unatumia ma...io kufikiri?

    13. #11
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 752
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Quote By ndenga
      Malawi wanataka Lake Nyasa ambalo wao wanaliita Lake Malawi liwe lao lote,, wanasema Watanzania wana maziwa mengi sana pamoja na bahari ya Hindi so its better tuwaachie Lake Nyasa/Malawi liwe lao 100%.. So they started exploration ya mafuta na gas mpaka wanakaribia kuingia Mbinga sasa..

      kwa hilo hap wanachokoza ...ila in other word wacha wachimbe sisi mboyoyo nyingi hatuwezi hata kuchimba ila wasiingie kwetu nchi kavu
      bdo likes this.
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    14. #12
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,566
      Rep Power : 1994
      Likes Received
      1605
      Likes Given
      1600

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Hivi watu huwa hawa hawaelewi au wanaamua tu kupotosha?
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    15. #13
      Mpaka Kieleweke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 2,665
      Rep Power : 1166
      Likes Received
      675
      Likes Given
      7

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Quote By MTK
      Usimlishe maneno, yule bwana ana busara anajua mwenye mamlaka ya kutangaza vita ni amiri jeshi mkuu pekee; alichofanya ni kuwaweka sawa wanachi kwamba serikali iko macho kuhusu hali hiyo ili kuondoa dukuduku miongoni mwa wananchi.
      Tofautisha kauli ya Sitta na hii hapa:
      "Sasa tutampiga nduli iddi Amin;
      Nia ya kumpiga tunayo;
      Sababu ya kumpiga tunayo na
      Uwezo wa kumpiga tunao".

      J.K. Nyerere; October 1978.
      Amesema kuwa " wananchi wa Mikoa ya Mbeya,Iringa na Ruvuma wasiwe na wasiwasi kwani Tanzania iko tayari kupambana na uchokozi wowote ule kutoka kwa Malawi"

      Hii ni kauli nzito ya kuashiria kuwa tayari kwa mapambano na Malawi ni kauli ya kutangaza Vita na ni kinyume na katiba angeweza kusema kuwa tuko macho na tunafuatilia kinachoendelea ila kusema tupo tayari kwa mapambano na uchokozi wowote ni vita hiyo......huku ni kutangaza na sio kwamba namlisha maneno./

    16. #14
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Quote By Janjaweed
      MKuu unatumia akili gani leo, ile ya kawaida au ile hasi?
      Kapata pa kutolea hatred yake dhidi ya Six leo
      Janjaweed likes this.

    17. #15
      BINARY NO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 550
      Rep Power : 483
      Likes Received
      136
      Likes Given
      63

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Atleast kavunja ukimya! kwani hizi habari tumekua tukizijadiri sisi wabunge wa jamii na serikali ilikua bado ipo kimya..Tulitegemea AMIRI JESHI MKUU jana agusie japo kwa nukta tu kua mipaka ya nchi yetu sio SALAMA lakini kimya mie nadhani tumpe hongera mh SITA kwa ujasiri wake kwani BETTER LATE THAN NEVER kama hawa MALAWI wakishapata hayo mafuta na ukizingatia makampuni ya uchimbaji ni ya UINGEREZA kwao maslahi kwanza na itakua ngumu eti hiyo km hiyo iamuliwe na UN, obvious UK ita side upande wa MALAWI kwani wana interest..Nini serikali inapaswa kufanya ni kuieleza MALAWI kua uchokozi km huo haukubaliki wa kusema ziwa lote ni lao, pia ni kuwaonya very strongly hao raia wa UK wenye makampuni kua NEVER CROSS TO OUR TERRITORIAL WATER na wakikiuka wakamatwe na washitakiwe kwa sheria za TZ that will sound better to them all kwani ata hao UK wanajua kua dispute area btn MALAWI -TANZANIA ni ktk ziwa sasa kwanini wafanye uchimbaji wa mafuta?
      Rayase, Kamarada, Cha Moto and 4 others like this.

    18. #16
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,599
      Rep Power : 1123
      Likes Received
      1378
      Likes Given
      1528

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Quote By Kassim Awadh
      Kapata pa kutolea hatred yake dhidi ya Six leo
      nimeona aisee..........
      ndyoko likes this.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    19. #17
      spartacus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 354
      Rep Power : 509
      Likes Received
      100
      Likes Given
      50

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Quote By Mpaka Kieleweke
      Nimeshtushwa na tamko ambalo amelitoa muda huu bungeni kuwa Serikali ya Tanzania iko tayari kwa uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi na ametoa tamko hilo kama kaimu waziri Mkuu .

      Tamko hili kalitoa kwa niaba ya Serikali sasa hii ni hatari kama Kaimu waziri Mkuu anaweza kutangaza vita na hii ni kinyume na katiba yetu mwenye mamlaka hiyo ni Rais ambaye ni Amir Jeshi Mkuu.
      hopeless, usiandike vitu usivyo na hakika navyo.....em soma upya upuuzi wako afu useme wapi amesema anatangaza vita?? unajua maana ya kutangaza vita?? au unalaumu tu wakati hujui ukweli wa mambo?? kama hamjui, muwe mnauliza kwanza.........leo ni nimeamini,"artifial education is no match to natural stupidity"..................
      damper and zululima like this.
      If you are waiting for the Gov't to solve your problems, then YOU are the PROBLEM.......

    20. #18
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,194
      Rep Power : 868
      Likes Received
      307
      Likes Given
      123

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      Wachukue tu sisi kila kitu tunacho tunachezea wanao weza kutumia acha watumie tu
      maingu z likes this.
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    21. #19
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default re: Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

      We waache... Sie tunawacheki tuuu.. Na hivi wanajeshi wetu hawaja practice vita siku nyingi..
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    22. #20
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 414
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mpaka Kieleweke
      Amesema kuwa " wananchi wa Mikoa ya Mbeya,Iringa na Ruvuma wasiwe na wasiwasi kwani Tanzania iko tayari kupambana na uchokozi wowote ule kutoka kwa Malawi"

      Hii ni kauli nzito ya kuashiria kuwa tayari kwa mapambano na Malawi ni kauli ya kutangaza Vita na ni kinyume na katiba angeweza kusema kuwa tuko macho na tunafuatilia kinachoendelea ila kusema tupo tayari kwa mapambano na uchokozi wowote ni vita hiyo......huku ni kutangaza na sio kwamba namlisha maneno./
      tatizo mmezoea kauli laini za jk.!
      yegella likes this.

    Page 1 of 14 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...