Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 37 of 37
    1. #1
      Ikwanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 508
      Likes Received
      106
      Likes Given
      48

      Default Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Ndugu wana JF, Jana serikali ya magamba kupitia jeshi la zimamoto wameanzisha mradi wa kukusanya mihela kwa ajili ya uchaguzi ujao, hapa naambatanisha ninachomaanisha ili wote kama bado hamjaona muone.

      My Take.

      Hivi kwenye suala la zima moto kipi cha muhimu, sticker au Fire extinguisher? maana naona sasa tutakuwa tunalipia sticker kulingana na ukubwa wa gari yaani CC. halafu wanasingizia kuwa kutakuwa kunafanyika inspection pale fire ndo wakupatie hiyo sticker, jamanii huo si wizi mchana kweupe kweli, Hivi ni huduma gani ambayo tunalazimika kulipia kwa gharama zote hizi kama sio kwa ajili ya hela ya kampeni? hivi huo ukaguzi watakuwa wanakagua nini? why all these forces wakati huu?

      Nchi hii ni lini wizi na justification za uongo zitaacha? naomba wazalendo tulipigie kelele hili suala.

      nawasilisha
      Olaigwanani lang likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 508
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Sasa jamani tufanyaje nini? Au ndio hadi 2015?
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    4. #22
      kibugumo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Location : arusha
      Posts : 399
      Rep Power : 872
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Watanzania tumekuwa wapole mno,kila tunachoambiwa tunakubali kirahisi sana,ni kwa nini tunaacha nguvu ndogo na dhaifu kuishinda kubwa?au kuruhusu fikra dhaifu kutawala kubwa.Nchi nyingine hata mkate ukipanda bei kiholela watu wanaingia mtaani.

    5. #23
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Pale kuna mtu anaitwa Pius Nyambacha ni balaa kwa mulungula .Maana jamaa kwanza ana kampuzi ya fire na mazabe kibao yeye ni engineer na hapo City Fire kuna mtu anaitwa Fikiri naye ni balaa zaidi kwa mulungula sasa kazi kwenu .
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    6. #24
      kamalaika's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th March 2007
      Posts : 170
      Rep Power : 658
      Likes Received
      21
      Likes Given
      23

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Quote By kibugumo
      Watanzania tumekuwa wapole mno,kila tunachoambiwa tunakubali kirahisi sana,ni kwa nini tunaacha nguvu ndogo na dhaifu kuishinda kubwa?au kuruhusu fikra dhaifu kutawala kubwa.Nchi nyingine hata mkate ukipanda bei kiholela watu wanaingia mtaani.
      Watanzania waoga, sio wapole.

    7. #25
      Jembe Ulaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2008
      Posts : 414
      Rep Power : 621
      Likes Received
      95
      Likes Given
      127

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Quote By Ikwanja
      Ndugu wana JF, Jana serikali ya magamba kupitia jeshi la zimamoto wameanzisha mradi wa kukusanya mihela kwa ajili ya uchaguzi ujao, hapa naambatanisha ninachomaanisha ili wote kama bado hamjaona muone.

      My Take.

      Hivi kwenye suala la zima moto kipi cha muhimu, sticker au Fire extinguisher? maana naona sasa tutakuwa tunalipia sticker kulingana na ukubwa wa gari yaani CC. halafu wanasingizia kuwa kutakuwa kunafanyika inspection pale fire ndo wakupatie hiyo sticker, jamanii huo si wizi mchana kweupe kweli, Hivi ni huduma gani ambayo tunalazimika kulipia kwa gharama zote hizi kama sio kwa ajili ya hela ya kampeni? hivi huo ukaguzi watakuwa wanakagua nini? why all these forces wakati huu?

      Nchi hii ni lini wizi na justification za uongo zitaacha? naomba wazalendo tulipigie kelele hili suala.

      nawasilisha
      Dawa yao ni kuelemisha wananchi "kula CCM lakini kura CDM"".
      CHADEMA CHAWEMA CHAWEZA!

    8. Miaka 50

    9. #26
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Yani hawa jamaa hadi kula na kulala wataanza kukata kodi! Maana kila sehemu wanakata,je kama silipi hyo 40k watanifanya nini? Je nisipolipia hyo Load license je watanifanya nini? Polisi akanikamata si nampa buku2 tu? Kwanza hawajalipwa mshaara mpaka mda huu hata buku nitampa ataniachia!

    10. #27
      Mlengo wa Kati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 1,301
      Rep Power : 0
      Likes Received
      188
      Likes Given
      11

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      CCM ndio wanakusanya hela ya zima moto? au ni propagation zako za kuikandia CCM?

    11. #28
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 468
      Rep Power : 461
      Likes Received
      93
      Likes Given
      18

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      karibu hiki kijinyongeza chote cha mshahara kinarudi serikalini tena

    12. #29
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 994
      Rep Power : 632
      Likes Received
      114
      Likes Given
      81

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      kamtungi kenyewe kanauzwa 15,000, stiker 40,000 kweli serikal mmepania kutubakisha mifupa. Mimi naamini TULIMNUKUU VIBAYA mh Rais wetu MTUKUFU JK, ule usemi wake wa maisha bora kwa kila Mtanzania! Alikuwa anamaanisha maisha BORA kwa kila FISADI.

    13. #30
      Lyceum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2009
      Posts : 547
      Rep Power : 600
      Likes Received
      100
      Likes Given
      128

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Quote By Ikwanja
      hilo ni eneo ambalo nao fire staff individually watafaidi baada ya trafic polici kuwa wanakuala pekeyao. mimi ninchoshangaa ukaguzi tuu 40k, hakuna msaaada mwingine. let us all say no to this wizi wa mchana.

      hivi kwanza hii sheria ilipitia wapi, au ndo kama ya social security funds?
      Hakuna watu bogus kama trfick polisi Tanzania. Ni hovyo, wezi na wenye njaa kali. Kama wanakubali kuhongwa hata 500 na mtu masikini kuna watu hapo. They are simply Breathing things not human naapa

    14. #31
      Lyceum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2009
      Posts : 547
      Rep Power : 600
      Likes Received
      100
      Likes Given
      128

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Quote By mgodi
      kamtungi kenyewe kanauzwa 15,000, stiker 40,000 kweli serikal mmepania kutubakisha mifupa. Mimi naamini TULIMNUKUU VIBAYA mh Rais wetu MTUKUFU JK, ule usemi wake wa maisha bora kwa kila Mtanzania! Alikuwa anamaanisha maisha BORA kwa kila FISADI.
      Wanakagua kitu gani kama ni suala la udhibiti wa moto? Kama mtu kuangalia kama una mtungi au huna linagharimu 40000 basi Watz tumeliwa, tunaliwa na tutaliwa hadi tushangae. Its illogical mtungi kuwa ghali kuliko ukaguzi

    15. #32
      King'amuzi 2015's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 353
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      wafanye nini na siku zao zinaishia ni kubeba kila kinacho onekana

    16. #33
      King'amuzi 2015's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 353
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      wafanye nini na siku zao zinaishia ni kubeba kilg kinacho onekana

    17. #34
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 358
      Rep Power : 430
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Rais dhaifu, serikali dhaifu na watu dhaifu ndio maana tuna lalamika tu .

    18. #35
      nkikiki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2011
      Posts : 53
      Rep Power : 414
      Likes Received
      5
      Likes Given
      6

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Quote By Ikwanja
      hilo ni eneo ambalo nao fire staff individually watafaidi baada ya trafic polici kuwa wanakuala pekeyao. mimi ninchoshangaa ukaguzi tuu 40k, hakuna msaaada mwingine. let us all say no to this wizi wa mchana.

      hivi kwanza hii sheria ilipitia wapi, au ndo kama ya social security funds?
      Jamani hata km tutalipa, hicho kikosi cha zimamoto hapo fire kitakidhi kuhudumia magari yote ya hapa Dar?

    19. #36
      Maendeleo tu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 77
      Rep Power : 452
      Likes Received
      8
      Likes Given
      11

      Default Re: Mradi wa kukusanya hela za Rushwa kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 huu hapa, tayari waanza.

      Quote By Ikwanja
      hilo ni eneo ambalo nao fire staff individually watafaidi baada ya trafic polici kuwa wanakuala pekeyao. mimi ninchoshangaa ukaguzi tuu 40k, hakuna msaaada mwingine. let us all say no to this wizi wa mchana.

      hivi kwanza hii sheria ilipitia wapi, au ndo kama ya social security funds?
      Corruption is authority plus monopoly minus transparency...
      Hicho ndicho kilichofanyika kwani kwa ambao hawakuona hilo tangazo kwa sababu zozote zile walishutukia tu road licence zimepanda na baada ya kuuliza wanaambiwa mambo ya fire.

      Sticker ya ukaguzi usalama barabarani TZS 3,000 lakini fire TZS 25,000; 30,000 au 40,000 kulingana na cc za gari. Haya wengi wetu tulishakamuliwa bila kukaguliwa na wala kupewa huduma yoyote.

      Tunalipa PAYE, na kodi ya kila huduma au manunuzi utakayofanya lakini hatusongi mbele...

      Dah, kweli hii ndiyo bongo!

    20. #37
      gastone's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 372
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Maendeleo tu
      Corruption is authority plus monopoly minus transparency...
      Hicho ndicho kilichofanyika kwani kwa ambao hawakuona hilo tangazo kwa sababu zozote zile walishutukia tu road licence zimepanda na baada ya kuuliza wanaambiwa mambo ya fire.

      Sticker ya ukaguzi usalama barabarani TZS 3,000 lakini fire TZS 25,000; 30,000 au 40,000 kulingana na cc za gari. Haya wengi wetu tulishakamuliwa bila kukaguliwa na wala kupewa huduma yoyote.

      Tunalipa PAYE, na kodi ya kila huduma au manunuzi utakayofanya lakini hatusongi mbele...

      Dah, kweli hii ndiyo bongo!
      kinachonisikitisha ni hao wanaojiita wawakilishi wetu bungeni hususani wa upinzani (wa ccm kwa makusudi siwahesabu coz wanawakilisha matumbo yao na chama) kushindwa kuhoji serikali katika hili. Haiingii akilini eti unakagua stika ya fire badala ya mtungi wenyewe! Ni wazi kwamba wako interested na pesa zetu kupitia stika kuliko huo mtungi, sasa mtu makini atajiuliza kinachozima moto ikiwa la kutokea likatokea ni stika au mtungi?! Mnyika, zitto, lissu tafadhali lisemeeni hili bungeni. Pia kwenye majukwaa kama ya m4c lipueni huu wizi wa wazi directly kwenye mikutano yenu, hili ni rahisi kueleweka hata kwa mwananchi mpanda baiskeli tu! Tafadhali tumieni loop holes kama hizi kugain popularity kwa wananchi.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...