Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 103
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,218
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Wanabodi.

      Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kinafanya harakati na mbinu kuchukuwa dola lakini kuna mapungufu mengi sana ambayo ni kikwazo bahati mbaya Chadema wenyewe hawatambui hivyo vikwazo ndani ya chama chao..

      Chadema bado wanategemea wanachama wasiotabirika, wanachama wake ni wale wanaoingia wakati wa mikutano ya hadhara na maandamano, Chadema wamekosa uhalali wa mtawanyo wa wanachama hai katika kila kona ya nchi.

      Chadema baada kupata mafaniko katika uchaguzi mkuu uliopita wamejikuta wakihodhi wajibu wa jamii kisiasa kwa niaba ya vyama vingine wakihisi kwamba wao ni bora zaidi mbele ya jamii kuliko vyama vingine vyote nchini..

      Chadema mpaka sasa hawajawa na uhakika wa jinsi ya kumpata kiongozi wa juu katika nafasi ya Mwenyekiti au Urais kutoka kanda nyingine, Chadema kimeweza kupata umaarufu kisiasa lakini bado wanakabiliwa na tatizo la umakini, uzoefu na mbinu nina hakika uteuzi wa mgombea urais kutoka Chadema ataleta mtarafuku mkubwa ndani ya chama hicho viongozi wa Chadema kutoka kanda zingine hawataafiki mgombea urais atoke eneo moja tu kila uchaguzi.

      Chadema inasumbuliwa na kasumba ya ubinafsi na upendeleo wa kifamilia, Chadema wamejikuta wakipiga teke demokarasia ndani ya chama chao na wabunge wake wa viti maalum wengi wao wanatoka katika koo za waasisi wa chama.


    2. #2
      Makamuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 1,066
      Rep Power : 603
      Likes Received
      210
      Likes Given
      21

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Hayo maneno tulishazoea,una kingine kipya?kama hauna ntafute nkupe viroba vya konyagi ili utoe mapovu vizuri

    3. #3
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,545
      Rep Power : 6186
      Likes Received
      3105
      Likes Given
      1025

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Quote By Ritz View Post
      Wanabodi.

      Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kinafanya harakati na mbinu kuchukuwa dola lakini kuna mapungufu mengi sana ambayo ni kikwazo bahati mbaya Chadema wenyewe hawatambui hivyo vikwazo ndani ya chama chao..

      Chadema bado wanategemea wanachama wasiotabirika, wanachama wake ni wale wanaoingia wakati wa mikutano ya hadhara na maandamano, Chadema wamekosa uhalali wa mtawanyo wa wanachama hai katika kila kona ya nchi.

      Chadema baada kupata mafaniko katika uchaguzi mkuu uliopita wamejikuta wakihodhi wajibu wa jamii kisiasa kwa niaba ya vyama vingine wakihisi kwamba wao ni bora zaidi mbele ya jamii kuliko vyama vingine vyote nchini..

      Chadema mpaka sasa hawajawa na uhakika wa jinsi ya kumpata kiongozi wa juu katika nafasi ya Mwenyekiti au Urais kutoka kanda nyingine, Chadema kimeweza kupata umaarufu kisiasa lakini bado wanakabiliwa na tatizo la umakini, uzoefu na mbinu nina hakika uteuzi wa mgombea urais kutoka Chadema ataleta mtarafuku mkubwa ndani ya chama hicho viongozi wa Chadema kutoka kanda zingine hawataafiki mgombea urais atoke eneo moja tu kila uchaguzi.

      Chadema inasumbuliwa na kasumba ya ubinafsi na upendeleo wa kifamilia, Chadema wamejikuta wakipiga teke demokarasia ndani ya chama chao na wabunge wake wa viti maalum wengi wao wanatoka katika koo za waasisi wa chama.
      Mkuu Ritz una maoni mazuri na chokonozi juu ya CDM ambayo yatasababisha Mnakasha hasa kuhusu nafasi ya mgombe Urais na Uenyekiti wa CDM. Ila sasa subiri haki kutoka kwa jamaa wa CDM ambao wanadhani kila anayeikosoa CDM basi ni mgomvi wao.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    4. #4
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 883
      Rep Power : 599
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By mdizi View Post
      post ya kipuuzi kabisa hii
      ukweli unauma

    5. #5
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 883
      Rep Power : 599
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Karikenye View Post
      Post imejaa unga kama imetoka kwa sangoma, kama avatar yako ilivyo!!!!
      pro cdm huwa hamna hoja zaidi ya kutukana


    6. #6
      Nanyaro Ephata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Location : Arusha
      Posts : 611
      Rep Power : 548
      Likes Received
      412
      Likes Given
      1

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Rtz ficha upumbavu wako

    7. #7
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 587
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Ubinafsi upo ccm kama hujui.angali ilivyokazi kumpata mgombea urais.
      M.k.were alimtengeneza bonge la kashfa mzee wetu yule mzanzibar,eti sio mtz,yawezakuwa angeshinda yeye angefanya kazi kwa maslahi ya nchi,
      waulize pia kina sumay,

    8. #8
      Rommy01's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 31st July 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Seriously this is rediculous.....

    9. #9
      Korogwe Vijijini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th July 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanafwata ushabiki kwenye siasa mana jamaa ametoa uchambuzi wa maana ila watu wanajaribu kukosoa.Kwa wasomi wazuri wa sheria wanaona ukwel na ata lisu anajua ukwel ila anaupindisha anayebisha atakuwa ana mawazo chakavu na aniandikie no. ili tubishane vizuri
      rodrick alexander likes this.

    10. #10
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,218
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Mkuu Kimbunga, Mkuu kingxvi, tatizo la Pro-Chadema wengi wao hawataki tutaje mapungufu ya Chadema sio siri nguvu ya Chadema kiuchumi na kiushawishi bado inabaki katika Kanda ya Kaskazini hii inatokana na ukweli waasisi wa chama na walezi wake wenye nguvu kiuchumi wanatoka kanda hiyo.

    11. #11
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,354
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      813
      Likes Given
      622

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Quote By Ritz View Post
      Mkuu Kimbunga, Mkuu kingxvi, tatizo la Pro-Chadema wengi wao hataki kutaje mapungufu ya Chadema sio siri nguvu ya Chadema kiuchumi na kiushawishi bado inabaki katika Kanda ya Kaskazini hii inatokana na ukweli waasisi wa chama na walezi wake wenye nguvu kiuchumi wanatoka kanda hiyo.
      Mheshimiwa mbona unajichosha kwa kusukuma ukuta wakati kimbuga kinavuma. Utaondoka wewe na ukuta wako tukose hata kiganja cha kuzika
      Ukweli utakuweka huru daima

    12. #12
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 802
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default

      Quote By Ritz View Post
      Mkuu Kimbunga, Mkuu kingxvi, tatizo la Pro-Chadema wengi wao hawataki tutaje mapungufu ya Chadema sio siri nguvu ya Chadema kiuchumi na kiushawishi bado inabaki katika Kanda ya Kaskazini hii inatokana na ukweli waasisi wa chama na walezi wake wenye nguvu kiuchumi wanatoka kanda hiyo.
      yaani kuna watu wanahangaika ku-post mambo ya hovyo hovyo kama wewe

      watch the walk of your steps .., this post portrays your thinking capacity is at standstill

    13. #13
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,218
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By Nanyaro Ephata View Post
      Rtz ficha upumbavu wako
      Tatizo lingine huyu ni diwani wa Chadema Arusha badala ya kujibu hoja kaja na viroja.

      Diwani naomba unijibu swali langu la msingi Chadema wana tofauti gani na CCM..Kwa nini viongozi wa Chadem a wamerithisha familia zao nafasi nyeti za uongozi na koo za waasisi wa Chadema wamepewa ubunge.
      rodrick alexander likes this.

    14. #14
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 742
      Rep Power : 530
      Likes Received
      159
      Likes Given
      217

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Quote By Ritz View Post
      Tatizo lingine huyu ni diwani wa Chadema Arusha badala ya kujibu hoja kaja na viroja.

      Diwani naomba unijibu swali langu la msingi Chadema wana tofauti gani na CCM..Kwa nini viongozi wa Chadem a wamerithisha familia zao nafasi nyeti za uongozi na koo za waasisi wa Chadema wamepewa ubunge.
      Wako watu wa kutoa ushauri kwa CDM na huo ushauri wao ukapokelewa kwa mikono miwili lakini sio wa kutoka kwako ritz labda mtu awe mgeni hapa jamvini. Kawashauri magamba wenzio.

    15. #15
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default

      Kwani wabunge wa ccm wanatoka kwenye koo za watu gani? Karibia kila waziri wa zamani au Rais watoto wao ni wakuu wa mikoa au wabunge au mawaziri... Ningeshauri mue mnafunga hiyo midomo yenu ka hamna cha maana cha kusema

    16. #16
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,424
      Rep Power : 25474
      Likes Received
      1146
      Likes Given
      913

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Quote By Ritz View Post
      Mkuu Kimbunga, Mkuu kingxvi, tatizo la Pro-Chadema wengi wao hawataki tutaje mapungufu ya Chadema sio siri nguvu ya Chadema kiuchumi na kiushawishi bado inabaki katika Kanda ya Kaskazini hii inatokana na ukweli waasisi wa chama na walezi wake wenye nguvu kiuchumi wanatoka kanda hiyo.
      umeliona hilo mkuu je na vyama vingine kama CCM,CUf, ADC, DP, UDP nazo unaziongeleaje? kwa point ambayo umeiongea hapa?
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    17. #17
      Nyetk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 690
      Likes Received
      580
      Likes Given
      600

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Juu ya CDM mtaweweseka sana tu. Na bado!

    18. #18
      Mlyafinono's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 133
      Rep Power : 389
      Likes Received
      42
      Likes Given
      1

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Tutajie mgombea urais wa ccm 2015

    19. #19
      Bukutonaga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 207
      Rep Power : 468
      Likes Received
      41
      Likes Given
      1

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Quote By Ritz View Post
      Wanabodi.

      Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kinafanya harakati na mbinu kuchukuwa dola lakini kuna mapungufu mengi sana ambayo ni kikwazo bahati mbaya Chadema wenyewe hawatambui hivyo vikwazo ndani ya chama chao..

      Chadema bado wanategemea wanachama wasiotabirika, wanachama wake ni wale wanaoingia wakati wa mikutano ya hadhara na maandamano, Chadema wamekosa uhalali wa mtawanyo wa wanachama hai katika kila kona ya nchi.

      Chadema baada kupata mafaniko katika uchaguzi mkuu uliopita wamejikuta wakihodhi wajibu wa jamii kisiasa kwa niaba ya vyama vingine wakihisi kwamba wao ni bora zaidi mbele ya jamii kuliko vyama vingine vyote nchini..

      Chadema mpaka sasa hawajawa na uhakika wa jinsi ya kumpata kiongozi wa juu katika nafasi ya Mwenyekiti au Urais kutoka kanda nyingine, Chadema kimeweza kupata umaarufu kisiasa lakini bado wanakabiliwa na tatizo la umakini, uzoefu na mbinu nina hakika uteuzi wa mgombea urais kutoka Chadema ataleta mtarafuku mkubwa ndani ya chama hicho viongozi wa Chadema kutoka kanda zingine hawataafiki mgombea urais atoke eneo moja tu kila uchaguzi.

      Chadema inasumbuliwa na kasumba ya ubinafsi na upendeleo wa kifamilia, Chadema wamejikuta wakipiga teke demokarasia ndani ya chama chao na wabunge wake wa viti maalum wengi wao wanatoka katika koo za waasisi wa chama.

      NI KWELI

      1.Chadema ni bora zaidi
      2.Chadema ya leo ina wanachama wengi sana tena walio hai
      3.Chadema haina mambo ya ubinafsi na upendeleo kama ilivyo CCM
      4.Viongozi wa chadema kutoka kanda zingine wataafiki Mugombea kutoka kanda yoyote ya nchi kikubwa awe mwadilifu,mzalendo kama walivyo wagombea wetu wa nafasi za urais walotangulia.


      Majungu hayo yapeleke LUMUMBA ndo kuna habari za udaku,watanzania tumechoka tunataka tumaini jipya "MANENO YA LAWRENCE MASHA"

      Thanks

    20. #20
      Mrimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 1,270
      Rep Power : 4612
      Likes Received
      334
      Likes Given
      320

      Default Re: Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

      Quote By Ritz View Post
      Mkuu Kimbunga, Mkuu kingxvi, tatizo la Pro-Chadema wengi wao hawataki tutaje mapungufu ya Chadema sio siri nguvu ya Chadema kiuchumi na kiushawishi bado inabaki katika Kanda ya Kaskazini hii inatokana na ukweli waasisi wa chama na walezi wake wenye nguvu kiuchumi wanatoka kanda hiyo.
      Kwanza nikiri kwamba kukosoa ni utamaduni wa kujenga, hapo hakuna shaka.

      Umeanza vizuri kabisa mkuu, ila mimi napingana na wewe kidogo hapo kwenye red. Sishangai kwani unapokuwa vitani huchagui silaha. Na hii imekuwa silaha ambayo wapinzani wa CDM wamekuwa wakiitumia kwa muda mrefu sasa, inagawa binafsi naona kama kwa sasa haina nguvu sana ktk vita hii.

      Kitu ambacho watu wengi sasa, ama kwa makusudi au kwa kutokujua, mfumo wa kisiasa wa sasa sio kama ule wa kumwondoa mkoloni. Kipindi cha uhuru, adui alikuwa mkoloni, kwa hiyo vuguvugu la mageuzi lilijumuisha jamii zote za kitanzania. Ila kwa sasa ni tofauti, vuguvugu la mageuzi linahusu jamii moja, yaani familia moja(Tanzania). Kwa maana kwamba unapambana na adui ambaye ni ndugu yako, ili upate support itategemea jinsi gani utawashawishi wanafamilia wenzako kukuunga mkono.

      Kwa maana hii mwanzo wa mageuzi lazima utaanza na mtu mmoja, kisha wawili, theni watatu, wanne, watano.... nk. Kwa vyoyote huwezi kuanza na kupata wafuasi wengi kwa mara moja. Hilo sijui kama unalitambua au la, ila kumbuka unapokuwa unaanza vuguvugu kama hili adui yako naye hajalala. Lazima na yeye anatafuta mbinu za kukudhoofisha, ndio maana hapa hata wewe unatumika kuwadhoofisha wapinzani. Hii ni haki yako kabisa, maana haya ni mapambano.

      Kwa issue ya ukanda au ukabila/familia halina tofauti na maelezo yangu ya hapo juu. Siku zote vuguvugu la mageuzi huanza na watu wenye mawazo na itikadi inayofanana. Hii haimfungi mtu kuanza na jamaa zake, wafanyakazi wenzake, marafiki zake kwa sababu unapoanza kunadi sera zako ni lazima utaanza na watu walio karibu yako. Na hii ina sababu nyingi tu, maana pengine ndio watu unaowaamini, mimi sioni kama hilo ni tatizo. Hata wewe kesho ukifikiria kuanzisha taasisi fulani, watu wa kwanza kuwaona lazima ni watu wako wa karibu unaodhani unawaamini.

      Kuhusu kuenea sehemu mbalimbali nchini, hii iko wazi. Moto siku zote utaanza na majani makavu point A kisha utaenea hadi point B, C, D....nk. Namaanisha kwamba kuenea kwa CDM sehemu mbalimbali nchini kutategemea uwezo na kasi yake ya kujinadi, ambayo hata hivyo lazima ku'overcome resistance kutoka kwa wapinzani wake wanaozidi kila kukicha. Lakini hata hivyo wanajitahidi, maana hata wewe umekiri kwamba uchaguzi uliopita wamepata mafanikio fulani. Huu kwao ni mwanzo mzuri.

      Kuhusu mgogoro wa uongozi ndani ya chama, mimi huwa sipendi kuishi kwa hisia. Maana mambo mengi yamekuwa yakichukuliwa kwa
      'hear said' tuuu, lakini ukijakufuatilia unakuta ni mbinu tu za kuwombea adui yako njaa. Lakini ukweli unabaki kwamba muda huo ukifika kila kitu kitakuwa wazi, tutajua nani ndiye nani.

      Ninachosisitiza ni kwamba,sio tu CDM, bali hata vyama vingine vilivyopo na vitakavyoanzishwa, visinyimwe fursa ya kujieneza kwa sababu nyepesi nyepesi kama hizi ulizotoa hapa. Waachwe watanzania wachague vyama na viongozi wanaowataka.

      Nadhani nimeeleweka mkuu.
      Jasusi, mzeelapa, Ritz and 3 others like this.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...