Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyasa!

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 117
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16431
      Likes Given
      8465

      Default Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyasa!

      Kama Tanzania inaamini nusu ya Ziwa Nyasa ni mali yake kwanini wanasubiri kuwabembeleza Wamalawi kuhusu suala la kusitisha utafiti wa mafuta ili kupisha majadiliano? HIvi tumekuwa wasahaulifu hivi kiasi kwamba hatujui suala hili nusura litulete katika vita na Kamuzu Banda?

      Tanzania inaamini mpaka wake na Malawi umepita kwenye Ziwa Nyasa. Sasa kama hii ni imani ya Kikwete na Membe na serikali yetu kwa ujumla kwanini wanataka kupoteza muda wa kuwashawishi Wamalawi? Jambo rahisi ni Serikali kuanza utafiti wa mafuta na gesi kwenye "upande wetu" na kutoa kibali kwa makampuni ya kimataifa kufanya hivyo. Wamalawi watafanya nini?

      Unless tuna jeshi lisiloweza kulinda mipaka yetu! Kama Wamalawi wameweza kuingia "nusu yetu" ni nini kinatuzuia kuwazuia? Si Idi Amin naye alisema sehemu ya ardhi yetu ni yake akateua hadi Mkuu wa Wilaya?

      Lakini nani anafikiri kuna kiongozi anayeweza kusimama vikali hivi? Watu wameng'ang'ania ati JWTZ lilinde mitambo ya umeme ya Tanesco! na mipaka analinda nani?
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #41
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Mwamunyange atangaze kichapo kwa Joyce banda

    4. #42
      Shadow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2008
      Posts : 2,017
      Rep Power : 965
      Likes Received
      154
      Likes Given
      103

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Hii ndo mikakati ya serikali ya CCM: http://www.dailynews.co.tz/index.php...border-dispute
      Hasta ala victoria, siempré

      "Forever, Until Victory"

    5. #43
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,207
      Rep Power : 960
      Likes Received
      490
      Likes Given
      1456

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By mndwadage
      mkuu tatizo la Tanzania ni siasa hata kwenye maswala ya utendandaji,hawa wamalawi ilikua ni kuwasogezea vifaa vya kijeshi na wanajeshi kadhaa wawe wanapiga jeramba pembezoni mwa ziwa. sidhani kama Malawi wengethubutu kukanyaga hata fukwe za Tanzania.!!
      Utasikia bajeti ni finyu kufanya hivyo.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    6. #44
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By brazilian
      Mwamunyange atangaze kichapo kwa Joyce banda
      Kibali lazma kitoke kwa amiri jeshi mkuu..,
      jeshi linaitamani sana hii mechi ya 'kirafiki' ila ndo ivo tena.., let diplomacy lead the way..,
      Ogah likes this.

    7. #45
      fumu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 355
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By meningitis
      mwananchi analalamika na serikali inalalamika.
      Zahabu, almasi. tanzinite na gas ni yenu pekeyenu, mafuta ya Zanzibar eti nayo ni yakwenu....tangu lini changu changu peke yangu, chako chetu sote. Sasa Malawi, hiyo zambi ya uchoyo, ukizowea kudhukumu basi elewa nawe utadhulumiwa huku unaangalia.

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Ngisibara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2009
      Posts : 1,154
      Rep Power : 760
      Likes Received
      134
      Likes Given
      129

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Nadhani watu wanazungumzia kupeleka wanajeshi kule kwa urahisi sana. Hupeleki wanajeshi kwenye mpaka wa nchi nyingine bila kuwa tayari kupigana vita. Kuna vitendo ambavyo kisheria vikifanyika vinachukuliwa kuwa ni "act of war". Tanzania haipaswi kupeleka wanajeshi wake karibu na mpaka na Malawi bila kuwa tayari kwenda vitani. Swali, Watanzania mko tayari kwa vita siyo kwenda kujionesha tu. Nani kawaambia ati mkipeleka wanajeshi basi wamalawi watanywea? Na wenyewe si wana jeshi?

      Unafikiri kuwa na wingi wa jeshi na silaha ndio kushinda vita? Lakini kubwa zaidi ni kuwa viongozi wetu tayari hawana ile cloud ya kuwa viongozi wa wakati wa vita. Kama kwenye amani wametutawala hivi wakati wa vita itakuwaje? Njia pekee ya kuleta hiyo heshima ni sisi kutangaza tunaanza utafiti wetu wa mafuta kwenye nusu yetu tukiheshimu mipaka yetu na hatutagusa nusu ya Malawi. Malawi watakuwa wametupiwa mpira!

      Kama wao wanaamini ziwa zima ni lao basi wao ndio wafanye hatua ya kwanza vita.... hapo ndio JWTZ linapoenda kulinda mpaka wetu!

      Viongozi bado wamelala?


      Cold war over Lake Malawi continues: Ghost of Kamuzu, Nyerere revisit Malawi
      By Wise One From East and Garvey Karvei August 1, 2012 ·
      Malawi: 2012, July: “But our terms are clear on this. According to the 1890 ecoland agreement between Britain and Germany, the border between Malawi and Tanzania is the edge of the waters of Lake Malawi. So we are very clear about that but we will continue to engage with Tanzania as a good neighbour,” Patrick Kabambe, Principal Secretary, Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Malawi quoted by Malawi’s Daily Times.
      Tanzania: 2012, July: “We don’t want Tanzanians to ask for permission from Malawi to fetch water or fish from Lake Nyasa. If we don’t reach a consensus, we will take recourse in international law.” Tanzania‘s Attorney General Judge Frederick Werema, responding to a concern from the Member of Parliament for Mbeya Region (special seats), Hilda Ngoye.
      Ms Ngoye had charged that the Malawian tourists and fishing boats have been trespassing on Tanzanian territorial waters at will, http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/299533-tanzania-malawi-row-over-lake-nyasa-again-5.htmlescalating tensions.
      “Tanzanians around Lake Nyasa’s shores have the right to fish or engage in other productive activities on the lake, without being intimidated,” she had told the Tanzanian parliament, demanding an explanation from the government on the status of the border between Tanzania and Malawi.
      Kamuzu and Nyerere
      The gist of the dispute:
      T he dispute is about who owns what is, as far as Malawians are concerned, Lake Malawi and as far as Tanzanians are concerned, Lake Nyasa.
      According to Malawi, this isn’t even a subject for debate. Malawi owns 100% of Lake Malawi and if we are to go by the vision of Malawi’s founding president, Dr. Hastings Kamuzu Banda, Malawi just like its predecessor the Maravi Kingdom should in fact http://www.iss.org.za/pubs/Books/Evol_Revol%20Oct%2005/Chap5.pdf%20 extend to some parts of present day Tanzania and even Mozambique.
      According to Tanzania on the other hand, the lake is shared and the <span style=”text-decoration: underline; http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf boundary of these two neighbouring countries should follow the median line in Lake Nyasa.
      This is the official stance of the Tanzanian Government hence any Malawian activity beyond this line are deemed “trespassing”. The Historical Context; This dispute traces its origin to the Berlin Conference, and trouble is rooted in the Berlin Act of 1885, that was signed by the 13 European powers that attended the conference that formalised the http://www.bbc.co.uk/history/british/abolition/scramble_for_africa_article_01 .shtml
      Scramble for Africa
      According to documents on the demarcation of the border around Lake Nyasa encapsulated by the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 – verbatim – the border runs as below:“To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma. From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the http://germanhistorydocs.ghi-dc.org/pdf/eng/606_Anglo-German%20Treaty_110.pdf“mouth of the Songwe, Tanzania, of course, doesn’t agree with this, with Tanzanian scholars calling this demarcation http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf.
      Put to Kamuzu Banda by Tanzania’s Julius Nyerere that the map between independent Malawi and Tanzania should follow the median line, in his unique blunt style Dr. Banda responded as below: “We will never recognize or accept this claim: we will never agree to the suggestion or proposal. The Lake has always belonged to Malawi….Everyone knew Nyerere as a coward and communist inspired jellyfish: We know while pretending to be a staunch supporter of the OAU, Nyerere is the worst agitator and betrayer of the cause for which the Organization was formulated. History, geography or even ethnical knowledge will convince Nyerere that four districts to the South of Tanganyika belong to us by nature. It is only that we respect the feasible unification of Mother Africa that we do not claim these districts. All that we are doing is setting [sic] historical truth.”
      Dr. Banda in 1962 reinforced his claim in addition to the authority of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 with some maps from the “http://www.societyofmalawi.org/talks/nationalarchives.pdf. He even went as far as suggesting to Mwalimu Julius Nyerere that a part of http://www.ajol.info/index.php/asr/article/viewFile/23256/19939 Mozambique was supposed to be part of Malawi– then still Nyasaland.
      But as is usually case in any dispute, Tanzania is equally able to produce maps that show the median as the boundary, but such maps have never disputed the contents and spirit of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890.
      Pre-Independence Treaties and the Lake Malawi /Nyasa dispute:
      The reason this dispute will not disappear any day soon is rooted in Malawi’s and Tanzania’s divergent views vis-à-vis pre-independence treaties including the Anglo-Germany Treaty.
      Julius Nyerere, as the first Tanganyika Prime Minister, prepared a policy document for implementation after independence in which the Secretary—General of the United Nations was informed thus:
      “As regards bilateral treaties validly concluded by the United Kingdom on behalf of the territory of Tanganyika, or validly applied or extended by the former to the territory latter, the Government of Tanganyika is willing to continue to apply within the territory, on a basis of reciprocity, the terms of all such treaties for a period of 2 years from the date of independence [i.e. until 8 December 1963] unless abrogated or modified by mutual consent. At the expiry of that period, the government of Tanganyika will regard such of these treaties, which could not by the application of the customary international law be regarded as otherwise surviving, as having terminated.”
      As a result, http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf Tanzania refused to recognize the treaties that naturally gave the lake to Malawi on independence on 6 July 1964 since its allegiance to such expires on December 8, 1963.
      And this was the major recipe for this dispute because, it meant that in practice; Malawi and Tanzania now had different points of reference, which explains the continued stand-off.
      Parties that have different points of reference in any argument are as good as parallel lines. They can never meet. In the least, it explains where Malawi and Tanzania are at, with respect to Lake Malawi a.k.a Lake Nyasa.
      In all likelihood, Dr. Banda would have viewed such a policy, which was supposed to be outward looking but designed in a way that only serves internal interests, with utter contempt.
      Any merit in Tanzania’s claim to half the lake?
      Having said all this one then wonders if Tanzanians are mad to be claiming half the lake and on what basis some map makers show the median line as the boundary. There are several International Conventions that deal with rights associated with water.
      Rights associated with water that is not flowing are called littoral. Generally land beneath non-sovereign lakes are owned by the surrounding upland owners. When all the deeds call to the lake, each owner has title to a centre point. This principle is referred to riparian rights and is the basis for Tanzania’s claim.
      Should Malawi buy this?
      From the statement of Patrick Kabambe, Malawi’s Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, this seems like a far-fetched idea and one is tempted to subscribe to this thought.
      “Indeed, we went for discussion on the border issue and we categorically put it to them that as far we are concerned, the entire lake belongs to Malawi.”
      The point is: if one person unilaterally decides to annul existing international treaties (like the Anglo-Germany Treaty – which by the way is all there is on this – and both Tanzanians and Malawians were not represented which makes them both victims); why should another person suffer from subscribing to the treaty?
      Advice to Malawi: Let’s by all means meet, eat, drink together, and talk with Tanzania. But the talking will not undo the Anglo-Germany Treaty.
      As Dr. H. Kamuzu Banda used to say, we are all brothers and sisters – the maps and divisions were imposed on us by the colonialists; therefore, let us all (Malawians and Tanzanians) fish and swim in the beautiful Lake Malawi.
      But please, our brothers and sisters from across the border shouldn’t stop us from exploring ventures that can lift our livelihood and economy.
      Just as the learned Tanzanian scholar, http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf, quoted William Shakespeare – Merchant of Venice, we will go a step further and paraphrase the same: Tanzania will be taking our lives, if Tanzania takes away the means by which we want to prosper and live!
      Mzee Mwanakijiji and Ogah like this.
      SEMINA ELEKEZI, Mie ntakula mpaka kulee, wewe palee na nyie paleee, Mawaziri wangu angalieni msiingiliane mpaka tutakapokutana 2015


    10. #47
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By Abdulhalim
      dawa ni kupeleka majeshi mstari wa mbele, ndio kazi yao kulinda mipaka.
      Rais wa Uganda Iddi Amin alifanya timing na kujaribu 'kina cha maji' na alichokiona kinareflect Tanzania ya wakati huo.
      Wamalawi nao wamesoma alama za nyakati na wakaona kuna opportunity ya kupanua nchi yao, inaonekana kama alivyopost MMM wamefanikiwa tayari hatua za awali maana badala ya kufurushwa wameambiwa wakae kwenye majadiliano. Sasa cha kufikiria hapa ni kuwa hawa jamaa wanataka kupindisha mambo na uenda wakawa na 'supporting facts' za nyakati hizi kwa kuelewa kuwa Mwalimu Nyerere aliyelifahamu zaidi suala hili hayupo tena na waliobaki wanaonekana (labda) hawana habari na mambo ya mipaka bali kupambana na matatizo mengine ya nchi na kutafuta utajiri.

      Ngoja tuone safari hii nao watakomeshwa kama ilivyokuwa hapo mwaka 1978/1979.

      Mtu mmoja kaleta hii hapa jamvini: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-legelege.html


    11. #48
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 573
      Likes Received
      258
      Likes Given
      243

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By Mpungati
      Huu ni mwaka wa saba ( 7 ) sasa watanzania wanaishi bila rais !
      he he he tunaishi kama Belgium, nchi isiyo na serikali miaka kadhaa sasa..tofauti wenzentu hawana haja ya serikali kuu kwa sababu nchi imejipanga halmashauri zinafanya kazi vizuri tu bila ya wanasiasa na umoja wa ulaya unasaidia kulinda sovereignty na mipaka yake.

    12. #49
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Hapa ni kutafuta hata Helcopta yetu na camera kibao tunazunguka kwa mahewa nasi tunafanya utafiti wa mafuta na gesi. Watakapoleta chokochoko juu ya uhalali wa kurusha ndege Ziwani hapo ndo Jeshi linakaa mkao wa kuingia vitani. Kamalawi kenyewe kadogo kinyama hata mabom ya Mbagara yanatosha kukiweka hatiani kusamaratika kote.
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    13. #50
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,196
      Rep Power : 1955
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13644

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Our President is handsome.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    14. #51
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By lukindo
      Rais wa Uganda Iddi Amin alifanya timing na kujaribu 'kina cha maji' na alichokiona kinareflect Tanzania ya wakati huo.
      Wamalawi nao wamesoma alama za nyakati na wakaona kuna opportunity ya kupanua nchi yao, inaonekana kama alivyopost MMM wamefanikiwa tayari hatua za awali maana badala ya kufurushwa wameambiwa wakae kwenye majadiliano. Sasa cha kufikiria hapa ni kuwa hawa jamaa wanataka kupindisha mambo na uenda wakawa na 'supporting facts' za nyakati hizi kwa kuelewa kuwa Mwalimu Nyerere aliyelifahamu zaidi suala hili hayupo tena na waliobaki wanaonekana (labda) hawana habari na mambo ya mipaka bali kupambana na matatizo mengine ya nchi na kutafuta utajiri.

      Ngoja tuone safari hii nao watakomeshwa kama ilivyokuwa hapo mwaka 1978/1979.

      Mtu mmoja kaleta hii hapa jamvini: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-legelege.html

      Link haina maslahi ya Tanzania
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    15. #52
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,092
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1026
      Likes Given
      2876

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      akitoka kutufuturisha lindi atakuwa na jibu
      mtamuuwa na pressure prezidaa wetu mara mgomo walimu,madaktari, mara kasheshe la mafuta lol
      kazi ipo hapa labda atuonyeshe kuwa yeye sio dhaifu.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    16. #53
      Who Cares?'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2008
      Location : JUPITER PLANET
      Posts : 1,364
      Rep Power : 831
      Likes Received
      551
      Likes Given
      267

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By mpungati
      huu ni mwaka wa saba ( 7 ) sasa watanzania wanaishi bila rais !
      na ni mwaka wa saba (7) nakosa raha mimi binafsi kwa kuwa na kivuli cha rais ambaye anaifanya nchi ikose heshima na utaifa uliotukuka kiasi cha mtanzania kusimama popote pale duniani na kusema mimi ni muafrika natoka nchi ya tanzania ya (taja jina la rais wako wa sasa uone inavyokuwa tofauti ukitaja jina la baba wa taifa)


      natamani mungu angemrudisha tena nyerere atupe ile faraja ilopotea ya kujivunia utanzania na kuheshimika kwetu dunia nzima japo tulikuwa masikini ila tulikuwa na jeuri na dunia yote ilituheshimu kwa hilo....

      Nenda mwalimu, tangulia mwalimu..tanzania uliyotiuachia sio ile tena..hii sio yule mbwa dume aliyekuwa akibweka na kuonyesha makucha yake pindi chokochoko yoyote inapotikisa uzi wa mipaka yetu...

      Tanzania tulonayo ni sawa na mbwa koko-jike anayefyata mkia mpaka kitovuni..tunabugudhiwa na kuchokolewa na vijiti hata na majirani wasiostahili kwa lolote lile...

      Pumzika pema mwalimu tusikuchoshe ... Ni vijana wako uliotuachia wameamua kuku-tia aibu na kuibomoa tanzania uliyoijenga kwa nguvu zako zote.

      r.i.p baba wa taifa j.k. Nyerere.
      if we die the next generation will fight them too..and the one after them untill the victory is on our side

    17. #54
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,044
      Rep Power : 583
      Likes Received
      405
      Likes Given
      107

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Hivi kwa nini serikali inalea swala hila miaka yote hii!
      Never give up your right!

    18. #55
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 573
      Likes Received
      258
      Likes Given
      243

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      ubaya wa haya matatizo ya mipaka uwa hayaishi kama kamuzu alileta hii miaka 30 iliyopita ina maana hata tukikaa mezani nao na kusuluhisha kidiplomasia haki yetu ya msingi ya utaifa-Mipaka yetu, tayari tumeshaonyesha udhaifu na serikali zijazo za malawi zitarudia tena huu mchezo na huko mbeleni Millitant Rwanda na Burundi hawatokosa kusema sehemu kubwa fulani yenye wanaongea lugha yao mpakani ni yao kihistoria na wanakuja na ramani yao ya mwaka 1880...huu udhaifu unaset precedent za kijinga sana

    19. #56
      Renegade's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2009
      Posts : 1,106
      Rep Power : 740
      Likes Received
      176
      Likes Given
      759

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By Mkuu wa chuo
      labda JK bado hajui hilo, JK ni kiongozi mzuri ila anaangushwa na wasaidizi wake, kwani hamkuona alivyomng'oa kanali Mohamed Bakar wa Comoro bila ya mjeshi hata mmoja wa Tanzania kudanja! Usikute wasaidizi hawajampatia taarifa sahihi, kuhusiana na hilo!
      Kiongozi Mzuri ni yule anayeweza kuchagua wasaidizi wake wazuri na si vinginevyo, Kama huwezi kuchagua Wasaidizi basi huna huwezo wa kuongoza.
      Usually when people are sad, they don't do anything. They just cry over their condition. But when they get angry, they bring about a change.

    20. #57
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,239
      Rep Power : 2204
      Likes Received
      1821
      Likes Given
      2508

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Nadhani Wamalawi wanataarifa zetu nyingi za kiintelenjinsia ndio maana wamechokoza mjadala wakati huu.tusiwapuuze maana wanaamini siasa imetugawanya kuliko wakati wowote na imeingia hadi kwenye vyombo vya usalama.Msimamo wa Malawi juu ya ziwa nyasa haujawahi kubadilika na hautabadilika kirahisi.

      Viongozi wetu hapa ndio wajue umuhimu wa kutofautisha Dola na siasa,Maslahi yanafanya wafanye chochote kulinda serikali ya CCM bila kujali mitizamo ya wananchi ilivyo sasa.

      Turudishe umoja na serikali irudishe imani kwa wananchi ili kurudisha morali ya askari pia.

    21. #58
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Shule ya msingi enzi hizo tuliimba..."Baandaa wa Malawi!katuvalia ngozi ya chui,kututishia watanzaniaaa,hatujali!,hatujal i"*2
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    22. #59
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,228
      Rep Power : 908
      Likes Received
      283
      Likes Given
      60

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Nasikitiswa sana na waandishi wetu, jana walipata nafasi ya kumuuliza Mh.Rais maswali, hili la mpaka ni hot kwa sasa hakuna aliyeligusioa zaidi ya kuuliza yale yale tunayoyasikia kila siku....... kuweni wabunifufu jamani, someni hata news za nje kujua wanasema kuhusu tanzania

    23. #60
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,950
      Rep Power : 1532
      Likes Received
      745
      Likes Given
      237

      Default Re: Njia rahisi ya kuleta 'sense' kwa Wamalawi: Tanzania itangaze kuanza utafiti wa mafuta Ziwa Nyas

      Quote By cement
      Tanzania hatuna Rais
      Wameishaona kuwa hatuna Rais na ndio maana wanaleta chokochoko za mpaka; angekuwa NJOMBA thubutu yao walete mchezo!! Wanaona jamaa anacheza kiduku tu nchi inakwenda mrama na ndio wameona pa kuingilia. Malawians are very strategic because they have found out that our Nation is polarised because of political differences hence the country cannot defend itself effectively if invaded a' la KAGERA SALIENT INVASION!!

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...