Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 40
    1. #1
      nzom's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 151
      Rep Power : 463
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

      Katika kile kilichoonyesha kua walimu ndani ya nchi hii ndio waliowafundisha wote wenye maarifa na hao wenye madaraka,
      Baada ya serikali kuweka zuio mahakamani leo mahakama imeshindwa kuzuia mgomo kabisa.

      hivyo cwt walisha weka zuio na kinga hiyo hukumu mpaka j5 saa 8 mchana hivyo walimu wanaendelea kukaa nyumbani mpaka baada ya hukumu.

      Rai yangu mabavu na uonevu na kutothamini taaluma ndani ya nchi hii itakuja wapelekea kupata hasara kubwa

    2. Miaka 50

    3. #2
      Gurudumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2008
      Posts : 2,338
      Rep Power : 1055
      Likes Received
      223
      Likes Given
      104

      Default Re: Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

      Majaji nao wanafika mahali wanaona aibu, hata mwanaume kicheche kuna siku anaamua anapumzika, tusubiri kesho
      nyumba kubwa, matumbo and sembuli like this.

    4. #3
      Mu-sir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 1,260
      Rep Power : 688
      Likes Received
      322
      Likes Given
      341

      Default Re: Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

      best wishes kwa walimu.

    5. #4
      dedam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 598
      Rep Power : 603
      Likes Received
      102
      Likes Given
      35

      Default Re: Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

      Safi sana mahakama

    6. #5
      Nhundu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 41
      Rep Power : 368
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

      Is teaching a professional?
      Please greet thinkers may you comment on this threat, may be what i passive is wrong that teaching is not a professional that is why teachers are underpaid, ignored and undermined in our country Tanzania.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 463
      Likes Received
      71
      Likes Given
      0

      Default Re: Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

      Safi sana. Aluta continua

    9. #7
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Mahakama imeshindwa kutoa hukumu lakini yadai mgomo sio halali

      Source ITV Habari

      Mahakama ya kazi division ya kazi imeshindwa kutoa hukumu juu ya mgomo wa walimu na serikali hadi tarehe 2 August 2012 na mahakama imedai mgomo haukufuata taratibu zote na ni batili na viongozi wanasema ni halali

    10. #8
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,981
      Rep Power : 1212
      Likes Received
      968
      Likes Given
      247

      Default

      Quote By dosama
      Source ITV Habari

      Mahakama ya kazi division ya kazi imeshindwa kutoa hukumu juu ya mgomo wa walimu na serikali hadi tarehe 2 August 2012 na mahakama imedai mgomo haukufuata taratibu zote na ni batili na viongozi wanasema ni halali
      Majaji wakisema mgomo ni batili lazima watakuwa wamepakatwa na nape, namaanisha werema na rwakibarila!!!

    11. #9
      kibogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : MBEYA
      Posts : 1,687
      Rep Power : 694
      Likes Received
      421
      Likes Given
      314

      Default Re: Mahakama imeshindwa kutoa hukumu lakini yadai mgomo sio halali

      Kwa lugha laisi mgomo ni halali kama ingekuwa sio halali mahakama ingetoa hukumu mbona kwa Madaktari hukumu ilitoka fasta. Walimu mwendo mdundo mpaka kieleweke, serikali imeshikwa pabaya.

    12. #10
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Mahakama imeshindwa kutoa hukumu lakini yadai mgomo sio halali

      Watasemaje mgomo ni batili kabla ya kutoa hukumu? Mahakama au genge?
      mmbangifingi likes this.

    13. #11
      MotoYaMbongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 1,286
      Rep Power : 838
      Likes Received
      145
      Likes Given
      0

      Default Re: Mahakama imeshindwa kutoa hukumu lakini yadai mgomo sio halali

      Aliesema mgomo si halali ni wakili wa upande wa serikali, na ingekuwa mahakama imeona si halali ingetoa amri ya kuzuia. Magamba yamekamatwaaaa! Pabaya.
      mmbangifingi likes this.

    14. #12
      Escherichia Coli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 67
      Rep Power : 382
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By dosama
      Source ITV Habari

      Mahakama ya kazi division ya kazi imeshindwa kutoa hukumu juu ya mgomo wa walimu na serikali hadi tarehe 2 August 2012 na mahakama imedai mgomo haukufuata taratibu zote na ni batili na viongozi wanasema ni halali
      Aliyesema siyo halali ni wakili wa serikali siyo mahakama!!
      muchetz likes this.

    15. #13
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 487
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: Mahakama imeshindwa kutoa hukumu lakini yadai mgomo sio halali

      masikini JK, sidhani kama hata swaumu yake inapokelewa na mwenyez mungu,kwa watoto wetu kukosa haki ya kusoma!
      Kigogo and muchetz like this.

    16. #14
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,981
      Rep Power : 1212
      Likes Received
      968
      Likes Given
      247

      Default

      Quote By sembuli
      masikini JK, sidhani kama hata swaumu yake inapokelewa na mwenyez mungu,kwa watoto wetu kukosa haki ya kusoma!
      madrasa wanaenda shida iko wapi!!!!
      Nyinyi wa makanisani mtajijua na mtakatifu zenu sijui st.
      sembuli likes this.

    17. #15
      Acha Dhambi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 73
      Rep Power : 449
      Likes Received
      10
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By dosama
      Source ITV Habari

      Mahakama ya kazi division ya kazi imeshindwa kutoa hukumu juu ya mgomo wa walimu na serikali hadi tarehe 2 August 2012 na mahakama imedai mgomo haukufuata taratibu zote na ni batili na viongozi wanasema ni halali
      hacha uongo wote tumeona hiyo habari walichosema watatoa hukumu tarehe 2 mwezi wa nane

    18. #16
      Muarubaini's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 223
      Rep Power : 403
      Likes Received
      47
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By dosama
      Source ITV Habari

      Mahakama ya kazi division ya kazi imeshindwa kutoa hukumu juu ya mgomo wa walimu na serikali hadi tarehe 2 August 2012 na mahakama imedai mgomo haukufuata taratibu zote na ni batili na viongozi wanasema ni halali
      acha kupotosha umma, mahakama hajasema lolote, hukumu tar 2, unashindwa kuelewa, mbona hiyo habari nimetizama

    19. #17
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,021
      Rep Power : 7642
      Likes Received
      989
      Likes Given
      752

      Default Re: Mahakama imeshindwa kutoa hukumu lakini yadai mgomo sio halali

      Quote By dosama
      Source ITV Habari

      Mahakama ya kazi division ya kazi imeshindwa kutoa hukumu juu ya mgomo wa walimu na serikali hadi tarehe 2 August 2012 na mahakama imedai mgomo haukufuata taratibu zote na ni batili na viongozi wanasema ni halali
      Failed judiciary with foda faster judges!!!! unable to write a judgement

    20. #18
      Vijijini Lawama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 117
      Rep Power : 383
      Likes Received
      38
      Likes Given
      11

      Default Re: Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

      Haya mambo! bwana yanamwisho wake!

    21. #19
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Nhundu
      Is teaching a professional?
      Please greet thinkers may you comment on this threat, may be what i passive is wrong that teaching is not a professional that is why teachers are underpaid, ignored and undermined in our country Tanzania.
      eti eeenh,,,,mgomo wa walim nawe umekuathiri
      zumbemkuu likes this.

    22. #20
      Vijijini Lawama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 117
      Rep Power : 383
      Likes Received
      38
      Likes Given
      11

      Default Re: Mahakama imeshindwa kutoa hukumu lakini yadai mgomo sio halali

      Mkuu aliyesema kuwa mgomo ni batili ni wakili wa serikali na si mahakama, na wakili wa walimu akasema mgomo umefuata sheria na taratibu zote na hivyo mgomo ni halali. Kwa kuwa mahakama imebanwa na sheria na taratibu zilizofuatwa na CWT

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...