'Wapo watu wameanza kupotosha kwenye vyombo vya habari kuwa eti nimehudhuria kazini.Hiyo si kweli.Hizo ni harakati za CCM na Serikali yake kunichora mimi kama Msaliti.Hawatafanikiwa.Sasa hivi Walimu tumejipanga vya kutosha.Mgomo wetu ni halali kwahiyo walimu hawapaswi kuwa na shaka yoyote.Kauli za viongozi wa Serikali si lolote kwenye jambo lililopo kisheria. Walimu,tupo pamoja. Tusimame pamoja kudai haki zetu. Serikali isiyosikia sauti,itasikia matendo.'
Source: Niko naye hapa

Reply With Quote
Follow Us Here