Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      164

      Default Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      'Wapo watu wameanza kupotosha kwenye vyombo vya habari kuwa eti nimehudhuria kazini.Hiyo si kweli.Hizo ni harakati za CCM na Serikali yake kunichora mimi kama Msaliti.Hawatafanikiwa.Sasa hivi Walimu tumejipanga vya kutosha.Mgomo wetu ni halali kwahiyo walimu hawapaswi kuwa na shaka yoyote.Kauli za viongozi wa Serikali si lolote kwenye jambo lililopo kisheria. Walimu,tupo pamoja. Tusimame pamoja kudai haki zetu. Serikali isiyosikia sauti,itasikia matendo.'

      Source: Niko naye hapa
      Last edited by VUTA-NKUVUTE; 31st July 2012 at 09:09.
      zumbemkuu likes this.
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!


    2. #2
      zenmoster's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : U.K
      Posts : 936
      Rep Power : 577
      Likes Received
      192
      Likes Given
      55

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      sasa si bora akanushe hiyo habari kwenye vyombo vya habari mapema iwezakanavyo maaana walimu wengine washazani kuwa yeye ni msaliti.. mshauri afanye hivyo mapema tena kwa haraka na msisitizo mkubwa sana

    3. #3
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 303
      Rep Power : 443
      Likes Received
      63
      Likes Given
      126

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Pinda yuko wapi? si apeleke wanajeshi na polisi wakafundishe.

    4. #4
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      164

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Quote By zenmoster View Post
      sasa si bora akanushe hiyo habari kwenye vyombo vya habari mapema iwezakanavyo maaana walimu wengine washazani kuwa yeye ni msaliti.. mshauri afanye hivyo mapema tena kwa haraka na msisitizo mkubwa sana
      Nitafanya hivyo Mkuu...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    5. GP is offline
      GP
      #5
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 922
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Quote By VUTA-NKUVUTE View Post
      'Wapo watu wameanza kupotosha kwenye vyombo vya habari kuwa eti nimehudhuria kazini.Hiyo si kweli.Hizo ni harakati za CCM na Serikali yake kunichora mimi kama Msaliti.Hawatafanikiwa.Sasa hivi Walimu tumejipanga vya kutosha.Mgomo wetu ni halali kwahiyo walimu hawapaswi kuwa na shaka yoyote.Kauli za viongozi wa Serikali si lolote kwenye jambo lililopo kisheria. Walimu,tupo pamoja. Tusimame pamoja kudai haki zetu. Serikali isiyosikia sauti,itasikia matendo.'

      Source: Niko naye hapa
      mkuu uko na marehemu Adrian Mkoba??? (aliekua askofu wa morogoro)
      acha KUPOTOSHA na KUDANGANYA umma we magamba, huyo kiongozi wa walimu anaitwa GRATIAN MUKOBA, kama umetumwa hebu kaa chini acha kutoka povu


    6. SMU is offline
      SMU
      #6
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,604
      Rep Power : 3828
      Likes Received
      1350
      Likes Given
      1987

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      VUTA-NKUVUTE ...ni 'Gratian Mukoba' na sio Adrian Mkoba. Adrian Mkoba kwa sasa ni marehemu, aliwahi kuwa Askofu wa Jimbo la Mororgoro miaka ya themanini.
      VUTA-NKUVUTE likes this.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    7. #7
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      164

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Quote By GP View Post
      mkuu uko na marehemu Adrian Mkoba??? (aliekua askofu wa morogoro)
      acha KUPOTOSHA na KUDANGANYA umma we magamba, huyo kiongozi wa walimu anaitwa GRATIAN MUKOBA, kama umetumwa hebu kaa chini acha kutoka povu
      Ni typing error Mkuu.Inasameheka...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    8. #8
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 537
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Waziri yuko Clouds FM anazingua bangi
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    9. #9
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,897
      Rep Power : 1550
      Likes Received
      842
      Likes Given
      463

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Nimeshangaa sana kwa serikali kusema ya kuwa haya madai ya walimu ni mapya. Tumeshuhudia walimu wakidai madai yao haya tangu miaka minne iliyopita, sasa huo upya wa madai ni wa miaka mingapi? Kwani haki mpya hazitakiwi kuombwa/kupiganiwa?? Inaelekea kama madai yako hayajatimiza miaka kumi, basi kwa serikali yetu hii madai hayo yatakuwa ni mapya.
      Jamaa2 likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    10. #10
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 418
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By NG'OMBE View Post
      Pinda yuko wapi? si apeleke wanajeshi na polisi wakafundishe.
      pinda huu mgomo ni kama haumhusu...labda sababu mgomo wa madaktarari umemwacha mtupu hana ham na migomo sasahivi.!

    11. #11
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      164

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Quote By SMU View Post
      VUTA-NKUVUTE ...ni 'Gratian Mukoba' na sio Adrian Mkoba. Adrian Mkoba kwa sasa ni marehemu, aliwahi kuwa Askofu wa Jimbo la Mororgoro miaka ya themanini.
      Asante kwa Marekebisho Mkuu.Nilimaanisha Gratian Mkoba.Mods nisaidieni kubadili jina la kwanza...
      SMU likes this.
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    12. #12
      masalu mhalagani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      26

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      ninaumia zaidi ya wanavyoumia hao viongozi coz kwetu hatuna pesa za kupeleka watoto private,hivi ss wanadhurura tu mjini,wa primary na sekondari!!sijui kama itaisha salama hii....WATOTO WAO WANASOMA MBELE WENGINE FEDHA BYS&GIRLS!!!

    13. #13
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 2,045
      Rep Power : 929
      Likes Received
      406
      Likes Given
      167

      Default

      Oooooh!! Ok,
      Propaganda haziepukiki, walihisi waalimu hawatathubutu, hawataweza na hawatasonga mbele...kama wao walivyofanya.

    14. #14
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,897
      Rep Power : 1550
      Likes Received
      842
      Likes Given
      463

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      MOD tunaomba kichwa cha habari kisahihishwe jina. Inaelekea mleta mada hakunakili jina vizuri, Rais wa CWT ni Gratian Mkoba (na si Marehemu Askofu Adrian Mkoba).
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    15. #15
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,119
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      919
      Likes Given
      412

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Quote By NG'OMBE View Post
      Pinda yuko wapi? si apeleke wanajeshi na polisi wakafundishe.
      aisee umenikumbusha. anao wengi tu wenye taaluma hiyo, cjui ni kwa nini hawapeleki mashuleni
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    16. #16
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 502
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Sawa, tunaomba Rais wa CWT awe ana up date mgomo kila siku asubuhi kwenye vyombo vya habari ili tusiyumbishwe na propaganda za akina Shukuru Kawabwa. SOLIDARITY FOREVER. Naenda shamba hivi, nitarudi town jioni sana, mgomo umenisaidia kweli, shule sometimes inaboa kweli hasa unafikiria kuwa mwisho wa mwezi mshahara hautoshi kwa lolote....wengi tutaacha kazi hii kwa sababu ya maslahi. Sijui kama katika kizazi hiki yupo mwalimu ambaye atastafu. Kwanza wengi tuliingia kwenye profession baada ya kukosa ALTERNATIVE, SO TUNATAFUTA, tukipata the way, TUNASEPA.
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    17. #17
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 7,281
      Rep Power : 0
      Likes Received
      239
      Likes Given
      1

      Default tumechoshwa na uzandiki wa habari leo

      gazeti la habari leo linalochapishwa kwa kutumia kodi za wananchi leo limeripoti kuwa eti "rais wa cwt bw.gratian mkoba amekwenda kazini na kusaini kitabu cha mahudhurio akiogopa adhabu" taarifa hizi ni za uongo na zimekanushwa vikali,tumechoshwa na uzushi wa habari leo.
      my take
      mgomo hauzuiliwi kwa habari za kuzusha,mgomo uko palepale mpaka kieleweke.

    18. #18
      Domy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Location : EARTH
      Posts : 1,884
      Rep Power : 1747
      Likes Received
      450
      Likes Given
      52

      Default re: Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

      Quote By NG'OMBE View Post
      Pinda yuko wapi? si apeleke wanajeshi na polisi wakafundishe.
      teth teh teh teh.........hiyo kali

    19. #19
      Mnyonge Namba1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 402
      Rep Power : 453
      Likes Received
      78
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By VUTA-NKUVUTE View Post
      'Wapo watu wameanza kupotosha kwenye vyombo vya habari kuwa eti nimehudhuria kazini.Hiyo si kweli.Hizo ni harakati za CCM na Serikali yake kunichora mimi kama Msaliti.Hawatafanikiwa.Sasa hivi Walimu tumejipanga vya kutosha.Mgomo wetu ni halali kwahiyo walimu hawapaswi kuwa na shaka yoyote.Kauli za viongozi wa Serikali si lolote kwenye jambo lililopo kisheria. Walimu,tupo pamoja. Tusimame pamoja kudai haki zetu. Serikali isiyosikia sauti,itasikia matendo.'

      Source: Niko naye hapa
      Hofu yangu ni kwamba: HUENDA UKAOKOTWA Mabwepande, Msitu wa Pwani au UKAIFUATA MV Spice Islander/Skagit ilipo.Hakikisha usalama wako upo.

    20. #20
      Mnyonge Namba1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 402
      Rep Power : 453
      Likes Received
      78
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mzalendo JR View Post
      Waziri yuko Clouds FM anazingua bangi
      Hii nayo kali

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...