Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Should CHADEMA Fire Zitto?

    View Poll Results: Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

    Voters
    209. You may not vote on this poll
    • YES

      138 66.03%
    • NO

      57 27.27%
    • May be

      10 4.78%
    • I don't know

      4 1.91%
    Report Post
    Page 10 of 33 FirstFirst ... 8910111220 ... LastLast
    Results 181 to 200 of 657
    1. #1
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Should CHADEMA Fire Zitto?

      Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,

      Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?

      Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.


      Update:Baada ya issue ya kina Ben Saanane na wengineo,ni vyema chadema wakakaa kikao cha kamati kuu kulizungumzia hilo jambo na kulimaliza once and for all!Hakuna sababu ya kuendeleza malumbano kwenye chama,hayo badala ya kujenga yanaharibu.Maneno yanayosemwa na hao wanachadema huwezi kuamini kama na wao ni wanachama wa chama hicho.Wapo ndani ya chama lakini wanahubiri kuwa chama ni cha kidini,kikabila na kikanda.Kamwe watu hao hawawezi ku coexist na viongozi wenzao na chama kikabaki salama,hilo haliwezekani.Wakati wa kufanya maamuzi magumu ni sasa,hilo litawafanya wapenzi wa chadema waweke heshima kwa chama na pia kufutilia mbali dhana ya kuwa na viongozi na wanachama wenye ushawishi kueneza chuki dhidi ya viongozi wengine na chama kwasababu tu ya kutaka madaraka.Pia kama imani ya kwamba viongozi fulani wanataka kumuuwa kiongozi fulani,imani hiyo ni ya hatari sana endapo jambo lolote litampata kiongozi huyo akiwa bado yupo ndani ya chama.Hivyo maoni yangu ni kwamba muyamalize as soon as possible.

      Quote By 50thebe
      jmushi1 suggests that Chadema should fire Zitto...

      I suppose the principle of fire for fire should be cautiously employed at this stage. Abstractedness or rather hypothetical evidences produced by Ben Saanane, Tuntemeke and co. suggests that their team has failed to accomplish their original mission (if there was any). I just wonder how happy are Mbowe and Slaa by now.

      Back to jmushi1 question, my attempts to restructure the question gave me the following pictures
      1. SHOULD ZITTO FIRE CHADEMA?
      2. SHOULD FIRE CHADEMA ZITTO?
      3. SHOULD ZITTO CHADEMA FIRE?

      Hey, just take few minutes to reflect any orientation of these four strong words proposed by jmushi1.

      In essences, I trust Chadema anticipated twists and turns of her members hence there are exit clauses and guidelines for disciplinary actions for her members. If CHADEMA, I repeat, if CHADEMA operates as a business entity which seeks to create a brand and sell the business with marginally profit, then they should not only keep Zitto and but also embrace his ideas.

      But if CHADEMA operates as a political party that seeks to take power back to the citizen through citizen empowerment, equity and accountability based on fairness and justice, they should discipline Zitto Zuberi Kabwe based on party's constitution. If it deems fit to fire Zitto let it be; because Zitto might continue to fire CHADEMA day in day out, more so, who can predict the outcomes and the impact of Zitto FIRE(ing) Chadema?
      Last edited by jmushi1; 21st December 2012 at 01:08.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato


    2. #181
      annalolo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 401
      Likes Received
      14
      Likes Given
      41

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Kama kweli ushahidi ukipatikana basi itabidi aondoke zake maana cdm wanapinga rushwa , ufisadi n.k ila nitasikitika sana kwa mwanasiasa kama zitto kukumbwa na kashfa kama hiyo duuu.
      jmushi1 likes this.

    3. #182
      Cassian Lucas's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Posts : 24
      Rep Power : 383
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By EmeraldEme View Post
      Ulipoanza, hukuchanganya mambo ya Urais, umeuliza kuwa should the party fire him? If you want to speak of Urais nadhani ungeiweka post yako ikae vizuri zaidi. Issue hapa ni yeye kuwa fired endapo itathibitika kuwa amechukua Rushwa. Ikiwa amechukua, ameshasema atawajibika, irregardless of the stand of the party!!! Unless kama sijakuelewa thread yako, i stand to be corrected...Kama hajachukua Chama hakiwezi kumuwajibisha!Unamuwajibisha mtu kwa kitu ambacho una uhakika nacho na si vinginevyo.

      Hayo ya Urais unayaleta ni mengine!
      Nakuunga mkono, Walicho kifanya Muhongo na Maswi nikuwachanganya wabunge wakashindwa kujadili ufisadi wa makampuni yanayo zalisha umeme km vle Songs, Agrco, Iptl nk na kujadili tuhuma za ztt! Yaani bunge la upinzani limekosa mwelekeo wamenasika ktk mtego wa ccm! Badala ya kujipanga nijinsigani ya kufanya kuhusu spika na naibu wake wanavyo dhibiti upinzani, tuliwategemea sana cdm lkn kwa style hii Basi tena, vyama vyaupinzani Tanzania ni tatizo sana! Naanza kuamini maneno ya Mwl Kambarage "MPINZANI WA KWELI ATATOKA CCM
      jmushi1 and EmeraldEme like this.

    4. #183
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By EmeraldEme View Post
      Alimtaja Slaa au ni speculations?
      Ni kweli hakumtaja Slaa,lakini ni muumini wa "mgombea kijana",connect the dots...
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    5. #184
      bagamoyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2010
      Posts : 1,344
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      310
      Likes Given
      374

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      PRESS CONFERENCE: MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE

      MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE DHIDI YA TUHUMA ZA RUSHWA HUSUSAN KUELEKEA KATIKA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI


      Video kwa hisani ya zittokabwe wa youtube
      jmushi1 likes this.

    6. #185
      Nguruvi3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2010
      Location : Kidabashi-Dongobeshi
      Posts : 3,605
      Rep Power : 2925
      Likes Received
      5002
      Likes Given
      3076

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By jmushi1 View Post
      Jambo linalonitatiza ni watu Zitto anaowatupia lawama dhidi ya shutma hizo.Ukimsoma vyema utagunduwa anawalalamikia wenzake ambapo walitakiwa wawe together.Statement yake haijasaidia chochote.However nakubaliana na maoni yako.
      Mkuu jmushi1, Zitto ni Polarizing figure. Bila kujali ametendewa au amatenda dhambi ninasema kwa uhakika he is a polarizing figure.

      Kama unafuatilia habari zake tangu 2010 amekuwa mtu wa utata sana hasa pale chama kinapoonekana kuimarika.
      Sina maana anakihujumu, lakini utakumbuka operesheni Sangara ilipopamba moto ni yeye aliyesababisha ikafifia.

      Sasa suala la uenyekiti wa kamati ya bunge na urais vinatoka wapi?
      Suala la wabunge wenzake kumpiga vita linatoka wapi?
      Huko kwenye kamati nadiriki kusema hakuwa makini.
      Haiwezekani awe mwenyekiti siku zote halafu baada ya kuvunjwa ndipo atoke na kusema kuna madudu.

      Zitto bado anaamini kuwa Kafulila alionewa na wala hajakanusha kauli za udini au ukabila kwasababu Kafulila aliyetoa maneno machafu na mazito bado ni mshiriki mkubwa wa ZZK, yeye alijotoa mhanga kwa aijili ya ZZK.
      Tamasha la Kigoma ni mwendelezo wa falsafa ya ujana hata kama kufanya hivyo kutaleta madhara ndani ya chama

      Mh ZZK anaamini kuwa yeye peke ni chadema na hivyo hahitaji timu ya chama.
      Ukifuatailia utaona jinsi gani mwezi huu alivyoua M4C kwa hoja na mambo yanayoonyesha political immaturity nzuri tu.

      Chadema wana window of opportunity ya kuwaondoa CCM as of today. CCM hawakubali kirahisi na wanauzoefu wa kisiasa mkubwa wa kugeuza hali ya kisiasa.

      Jambo lolote linaloweza kuleta mtafaruku ndani ya Chadema basi ni mtaji kwa CCM.
      Hakuna ubaya kwa Zitto kutanganza nia, lakini alizingatia nyakati na busara za kufanya hivyo?

      Hoja yangu ni kuwa hadi utakapopatikana ushahidi wa kutosha, CDM hawana haki ya kumchukulia hatua.
      Zitto naye asifikirie political career kama solo candidate, lazima afanye kazi na wenzake na ajue ni maarufu kwasababu ni sehemu ya chama maarufu. ZZK anatakiwa awe kiungo cha CDM na si kigawe au kigawo.

      I stand to be corrected, historia inaonyesha ZZK ni muumini wa siasa za ujana,anadhani ni beacon CDM, mara nyingi amekuwa anakigawa chama, ana misimamo yenye utata sana hata yale yenye masilahi ya taifa.

      Chadema nao wanapaswa kubeba lawama, tumewatahadharisha mara nyingi sana juu ya mfumo wao wa kufichana na kuficha matatizo. Haya tunayoyaona ni mwendelezo wa akina Juliana Shonzo, Kafulila,Tuntemeke n.k.
      CDM wamechukua mfumo wa kufuga watu na si taasisi kama lilivyo CCM.

      Kwa mahali ilipo CDM wanatakiwa wawe na uangalifu sana, ni make au break.
      Wakiongozwa na kanuni, sheria na taratibu watavuka mawaimbi haya, wakifuata upepo na emotional decision they're done! Very fine and thin line to walk on.
      Mkandara and jmushi1 like this.


    7. #186
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By bagamoyo View Post
      PRESS CONFERENCE: MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE

      MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE DHIDI YA TUHUMA ZA RUSHWA HUSUSAN KUELEKEA KATIKA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI


      Video kwa hisani ya zittokabwe wa youtube
      Zitto amekosea kusema wenzake ndo wameingia mtegoni,mi nadhani either yeye ndo kaingia mtegoni,ama kawaingiza wenzake mtegoni.Nadhani siasa za Zitto ni very divisive.Route aliyoichukuwa anajuwa kuwa hata kama anataka a more powerfull position,cost yake itakuwa kubwa.Na yeye anafahamu,kweli kawatega chadema.Ndo maana anawaambia kuchafuliwa kwake ni ni kuchafuliwa kwa chadema,so ni wazi malalamiko hayo ni dhidi ya wenzake.I can't believe this stuff.Zitto uliingia mtegoni kwa kujweka karibu na mafisadi na kusapoti baadhi ya issues zao.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    8. #187
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,254
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1272
      Likes Given
      955

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Mkuu Ritz
      Napita tu huyu jamaa si alidai yeye sio mwanachadema hebu nikumbushe unajua thread zimekuwa nyingi sana humu JF

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    9. #188
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 6,478
      Rep Power : 3917
      Likes Received
      1522
      Likes Given
      2681

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Issue ya rushwa ni ya kipuuzi kama uzinzi. Unaweza ona katoto kazuri kenye uzoefu katik mchezo ingawa ni kadogo kiumri, kimekula sana maisha waziwazi na wakubwa kuliko wewe, ila siku zinavyokwenda kinaanza kutega, kinakutafuta kama mshauri, halafu kinaamua weka wazi mambo kuwa kinakuzimia na kinavyokujua kinaamini kuwa kuwa nawe maisha yake yatabadilika sana.Ghafla akili inaanza kulainika na kuifikiri hiyo option, and then occassionally kinatokea kwa style ya kuhamasiza zaidi akili yako.Then unalegea, unajisikia kuhesabu 1, 2 , unastop, siku inapita.Then akili inakosa uvumilivu, halafu natokea mtu kukafukuzia mbele yako, unapata wivu bila kujijua, na hali ya kutaka wahi inaongezeka .Then mazingira yanakuja tena unaanza hesabu 1,2 unashangaa umepita 3.Unafanya zoezi rasmi.Katikati ya Tukio unashtushwa na kujilaumu kwa ulichofanya baada ya kuona mamlaka ikikutia hatia hatiani, marafiki wanakushangaa, watoto, na mchumba /mke wako anakushangaa anakuchukia, anakuona kuwa hata mwanao unaweza mnanii, na mwanao naye kama yupo naye anaanga kuogopa, ghalfa inakuwa habari ya nchi hata kama ulikuwa hujulikani hata ktk nyumba kumi za jirani.


      Rushwa ina mbaya zaidi ilikunyemelea wakati una hitaji hela na watoa rushwa walikuwa na predatory strategies.Huna ujanja unakuwa prey within seconds, halfu unashindwa elewa kwanini watu wa karibu nao wanakuchukia wanakuacha pekee yako uilezee hiyo hali.Ni haki yao kwa vile hawakuwa nawe wakati ulikuwa unajenga mazingira ya kudakwa, wakati ukitoa utetezi kuwa hao wawindaji hawakuwezi kwani umeshakomaa na kuwajua vya kutosha.Pengine pia ukaongeze nyama kuwa hii ndio njia ya wewe kunasa mambo yao.

      CIA huwa wakituma operative wao huwa wanatuma na mtu mwingine wa kumtazama, ili asijejikuta amekuwa addicted/au hata kuangukia katika mapenzi na tamaduni au hata uatartibu wa anayewindwa.Hata wagonjwa wa waganga hujikuta wakiolewa na waganga.

      Kama mh atakuwa ameanguka kweli basi CDM watakuwa na kipindi kigumu sana:
      -Kumtupa si vyema kwani pia alikuwa na mchango.
      -Kumtunza bado ni shida kwani kam ni addict basi ,once occassionally atakuwa akienda onja unga kambi ya jirani.
      -CDM kumtuza kuta compromise misingi yao, kwani watakuwa na double standard na baadaye CCM wakaamua tumia kama fimbo.Kwani hata suala la posho, CCM wamejitahidi kulalama kuwa CDM wanapokea.

      -Kama ni kweli na Takukuru wakalivalia njuga, kupigana kumtoa ni kuingilia utawala wa sheria, na hata akitoka itabidi awe mjumbe wa halamshauri kwani public image itakuwa ni burdden.

      ZItto ndiye anayejua ukweli hadi sasa,kabla hizo tuhuma hazijachukua sura mpya.Anapaswa kuwa na busara ,ajitahidi kuminimize impact na ajaribu kutokihusisha chama na mapungufu yake kwa kiasi awezacho.Awe kama marion Jones,yule dada mkimbiaji aliyekuja thibitika kutumia dawa, alikubali makosa yake, akawajibika kwa kulipa fine na kurudisha medali zote, na kupata kifungo ch amiezi kadhaa.sasa anaishi kwa furaha ana amani,sasa yupo kuru kushiriki ibada, kukaa na watu kwani keshatoa hatia.

      Kama Zitto atakuwa amehusika basi atakuwa na test ingine katik nafsi yake ,kuukubali ukweli hata kama utakuwa umemaliza kabisa nguvu ya kutangaza nia.Atakuwa na test ya kulinda chama, na wengine ambao hawakuhusishwa.Atakuwa na Test ya kutoona matatizo yake yamesababishwa na wana CDM wengine.Kwani bado takukuru wanaweza anzisha upelelezi wa kuzuia suala kama sasa tunavyoambiwa kuwa suala lipo mahakamani, litakalomfanya apoteze nafasi ya CDM hata kama baadaye itagundulika otherwise.

      Pia kama hana hatia pia inabidi awe na mpangilio mathubuti wa kujitoa na kuiaminisha jamiii kuhusu hilo na kuwafanya wenzie warudi katik hali ya kawaida na upendo kama zamani wakati cdm ikiwa just another party
      jmushi1 likes this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    10. #189
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By chama View Post
      Mkuu Ritz
      Napita tu huyu jamaa si alidai yeye sio mwanachadema hebu nikumbushe unajua thread zimekuwa nyingi sana humu JF

      Chama
      Gongo la mboto DSM
      Mkuu ninazo na thread za ccm humu,fuatilia,nilishakata nao tamaa,huwezi kuwawatetea kama hunufaiki na ufisadi,very simple...
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    11. #190
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Nicholas,nashangazwa sana na Zitto.Mafanikio yake kweli mbali ya kuwa yeye ni charismatic,yametokana na chama chake.Hata hivyo kuna dalili za ubinafsi,kwasababu mafanikio yake huwa anajicredit,however anataka chama chake nacho kiwe mashakani kwaajili ya tuhuma zake za rushwa.
      Ni kwasababu tu sasa tumeshazoea,lakini nilishangazwa sana mara ile ya kwanza waliposhirikiana na JK kuunda kamati ya madini,kuanzia wakati ule,si ajabu kukuta watu tuliowaamini wakiwaback up suspicious people.Na kuwa na suspicious decisions.Its true that you can't fool everyone...Can't fool all the people all the times.
      Mkandara likes this.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    12. #191
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,254
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1272
      Likes Given
      955

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By jmushi1 View Post
      Mkuu ninazo na thread za ccm humu,fuatilia,nilishakata nao tamaa,huwezi kuwawatetea kama hunufaiki na ufisadi,very simple...
      Wewe kama umekata tamaa kivyakovyako si bado tupo tunaendelea na vita, ahahaaa mkuu sitegemei ajira ya CCM na wala sijanufaika na huo ufisadi ila nilinufaika na sera za CCM na serikali ya kielimu hata Chadema mafisadi wapo wengi tu!

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    13. #192
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By chama View Post
      Wewe kama umekata tamaa kivyakovyako si bado tupo tunaendelea na vita, ahahaaa mkuu sitegemei ajira ya CCM na wala sijanufaika na huo ufisadi ila nilinufaika na sera za CCM na serikali ya kielimu hata Chadema mafisadi wapo wengi tu!

      Chama
      Gongo la mboto DSM
      hivi kama unataka kujuwa tofauti kati ya chadema na ccm,subiri ccm waondolewe madarakani ndo utajuwa nani fisadi na nani si fisadi...

      Hayo maneno unayozungumza wewe,ni ya kishabiki,watu wamefisadi nchi halafu unakuja na hoja dhaifu kiasi hiki?Niambie hao mafisadi wa chadema na ufisadi wao,halafu naomba usiniulize ufisadi wa magamba maana hapatatosha hapa.
      Nicholas and chama like this.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    14. #193
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 6,478
      Rep Power : 3917
      Likes Received
      1522
      Likes Given
      2681

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By jmushi1 View Post
      Nicholas,nashangazwa sana na Zitto.Mafanikio yake kweli mbali ya kuwa yeye ni charismatic,yametokana na chama chake.Hata hivyo kuna dalili za ubinafsi,kwasababu mafanikio yake huwa anajicredit,however anataka chama chake nacho kiwe mashakani kwaajili ya tuhuma zake za rushwa.
      Ni kwasababu tu sasa tumeshazoea,lakini nilishangazwa sana mara ile ya kwanza waliposhirikiana na JK kuunda kamati ya madini,kuanzia wakati ule,si ajabu kukuta watu tuliowaamini wakiwaback up suspicious people.Na kuwa na suspicious decisions.Its true that you can't fool everyone...Can't fool all the people all the times.
      Shida yeye mwenyewe na wafuasi wake hawajui pia kuna misuse of charisma.Hawajui hata cell za mwili huwa zikichangawa na kupata kichaa huanza kutafuna mwili hadi mtu kufa kwa kukonda.Na wengi wetu tunaopiga kelele humu ndani na kuonekana tupo kinyume ni kuwa tunapenda ana achukue positive move mapema.
      jmushi1 likes this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    15. #194
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,768
      Rep Power : 7665
      Likes Received
      4931
      Likes Given
      4509

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By jmushi1 View Post
      Nicholas,nashangazwa sana na Zitto.Mafanikio yake kweli mbali ya kuwa yeye ni charismatic,yametokana na chama chake.Hata hivyo kuna dalili za ubinafsi,kwasababu mafanikio yake huwa anajicredit,however anataka chama chake nacho kiwe mashakani kwaajili ya tuhuma zake za rushwa.
      Ni kwasababu tu sasa tumeshazoea,lakini nilishangazwa sana mara ile ya kwanza waliposhirikiana na JK kuunda kamati ya madini,kuanzia wakati ule,si ajabu kukuta watu tuliowaamini wakiwaback up suspicious people.Na kuwa na suspicious decisions.Its true that you can't fool everyone...Can't fool all the people all the times.
      Jmushi1, mkuu umebonyeza kidonda maana hapa ndipo utata ulipoanzia. JK kumweka Zitto ktk kamati ya madini alifanya makusudi kabisa lakini Zitto alifikiri kwamba anaaminika sana baada ya kufumua zengwe la Buzwagi.. Zitto angetumia akili kidogo tu angeelewa kwamba katumiwa hasa baada ya mkataba wa Buzwagi kupita akiahidiwa sheria itabadilika mwaka 2010.

      Kuna ukweli mkubwa kwamba Zitto bado immature kisiasa japokuwa mwanzo alipata ushauri mkubwa sana toka kwa Salim A. Salim na sijui kama alimjenga kisiasa au ndio alimweka sawa baada ya kuiona PUPA yake kuruka bila mabawa. Na kama sikosei ni baada ya kuchaguliwa tume ya madini na kuwasha mgogoro mkubwa ndani ya chama hasa Mnyika akimpinga wazi wazi nilianza kuziona dalili za utengano na Zitto kwa kiburi ama kuajiamini akajisogeza karibu zaidi na sera za CCM..

      Muda mwingi nadhani hakuwa na imani na baadhi ya watu Chadema na hasa ilipotokea la kugombea uenyekiti ndipo alipoanza kuuona ukweli kwamba CDM haikumchukulia kama alivyotegemea. na kilicho haribu zaidi mahusiano yake na viongozi wengine ni kuondolewa kwa Kafulila, hii nadhani ilimpa shock kwake maana aliamini kabisa kijana anaweza kuvumiliwa kutokana na kwamba chama kinamhitaji kama Mtaji wa kuchukua Kigoma..Nadhani hii pia ndio ilosukuma hadi kutaka kugombea Uenyekiti tena kwa habari tulizopata hapa JF ni kwamba Zitto aliletewa form akiwa Airport na mwanachadema sijui nani?.ili kugombea wenyekiti, haikuishia pale likaja swala la Dowans nalo akatofautiana na wenzake kabla ya matokeo ya Urais mwaka 2010..Hizi ndizo sehemu kubwa ambazo Zitto anatakiwa kutazamwa kwa makini zaidi na pengine kumwonyesha njia.

      Lakini haya ya tuhuma za rushwa jamani tuyaache hayana mpango kabisa maana hakuna ukweli wowote isipokuwa nyie ndio hamjui kinachochezwa nyuma ya pazia.. Tanesco ni sehemu ya kuchuma na kuna watu wamewekeza vibaya sana..yaliyopita Tanesco hatutaweza kuyaona kamaMhando hataitwa kutoa ushahidi wa tuhuma za yeye kufukuzwa maana kuna Mhando kupinga uwekezaji wa mashirika ya umeme wa dharura na Mhando aliyempa mkewe tender..Mkataba ule ule wa Richmond na Dowans umekuwa passed to Symbion kwa mwenye kuelewa maana atajua kuna habari nzito zaidi. Richmond ilikuwa ya Marekani na Symbion ya Marekani.. who real owns Symbion ni kitendawili.

      Zitto hawezi kula rushwa isipokuwa kosa lake ni kuto share infomation alizonazo na viongozi wenzake, yeye anataka kulipua bomu jingine na kujipatia umaarufu ambao timing yake ilikuwa mbaya safari hii. Tatizo la Zitto ni ambition yake, anapenda sana kuonekana kafanya jambo kubwa kwa wananchi. Yaani yeye Zitto kawezesha kadhaa wa kadhaa ktk utawala wa JK..Well, ni lazima tukubali kwamba Zitto ana mapungufu yake na pengine kujiamini sana kupita kiasi kama asili ya Wabembe na Wazaire. Ina uzuri wake na ubaya wake hasa unapokutana na watu wa makabila mengine. Mbowe anapenda kuwa urais siku moja, lakini Zitto kaupenda zaidi...

      Zitto anautaka Urais na sii pekee Chadema, isipokuwa tofauti ni kwamba Zitto anataka kuweka nia yake wazi mapema na hivyo kujikuta anaropoka hadi bungeni mahala pasipo husika kabisa lakini anajuaa watanzania wengi wanamsikia na kumwona ktk luninga..Hakuna asiyependa sifa lakini mkuu wangu Zitto anapitiliza sana. Pengine anataka kufanya kama JK alivyofanya CCM mwaka 2003. Hii ina hatari zake kisiasa na repercussion zake ndio mzigo unaomrudisha nyuma kwa kila hatua anayo piga kwenda mbele utadhani chura aliyetumbukia shimoni..Mra zote kwa wajuzi wa siasa husema politically incorrect is a joke of immaturity!..

      Hivyo mchukulieni kama alivyo japokuwa anaweza kabisa kutuvuruga akili kama tutakuwa tunafuatilia kila hatua yake na aanafanya nini..Zitto sio mla rushwa na pengine kajiingiza ktk shimo ambalo haoni nje ni swala la sisi kumwekea ngazi atoke shimoni maana mwenzetu huyu. Dream yake aendelee kuwa nayo hakatazwi lakini akubali tu maneno yake mwenye kwamba ni wananchi wanachagua mgombea wao sio swala la Kupenda kuwa rais. Wananchi wakimpendekeza hewallah!.

      Now, let's get a life - wazungu wanasema. Haya ni mambo ya mpito maadam rais atapendekezwa na kuchaguliwa na wananchi hofu ya nini?, hivyo Zitto sio mtoto mdogo kusoma wakati. Hana sababu ya kula rushwa kabisa ikiwa yeye mwenyewe anajiandaa kugombea Urais iwe mwaka 2015, 2020 au 2025 lakini sii kwa tiketi ya Ujana maana hata kina Nyerere, Banda, Kenyatta, Obotte, Kaunda na viongozi wengine wote walikuwa vijana na wametawala kwa miaka zaidi ya 20, lakini walishindwa kutuondoa ktk umaskini.

      Lakini nchi za wenzetu ambazo viongozi wao walikuwa mature hasa za Ulaya wameweza kuondokana na umaskini toka enzi za kutawaliwa..Na nina hakika hawa vijana wa leo wakiingia madarakani watazeekea madarakani na wagumu sana kukubali kuachia baada ya miaka 10.. Hii ni historia tosha ya nchi zetu za kiafrika ambazo tumekuwa na marais vijana na wameiingi ktk Udikteta haraka zaidi kwa sababu huwa bado hawajakomaa kisiasa na tamaa ya uongozi kuiacha ujanani ni kishawishi kikubwa cha kukataa kushindwa ikiwa hukumaliza maazimio yako..
      - Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania..
      Last edited by Mkandara; 8th August 2012 at 01:09.
      jmushi1 likes this.
      Exploration of reality

    16. #195
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,254
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1272
      Likes Given
      955

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By jmushi1 View Post
      hivi kama unataka kujuwa tofauti kati ya chadema na ccm,subiri ccm waondolewe madarakani ndo utajuwa nani fisadi na nani si fisadi...

      Hayo maneno unayozungumza wewe,ni ya kishabiki,watu wamefisadi nchi halafu unakuja na hoja dhaifu kiasi hiki?Niambie hao mafisadi wa chadema na ufisadi wao,halafu naomba usiniulize ufisadi wa magamba maana hapatatosha hapa.
      Mafisadi wa Chadema mbona wako wengi unaye Mwenyekiti Mbowe &CO, unaye Dr. Slaa wapo wengi tu tatizo lenu mna ugonjwa wa kupenda chongo mnaita kengeza

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    17. #196
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By chama View Post
      Mafisadi wa Chadema mbona wako wengi unaye Mwenyekiti Mbowe &CO, unaye Dr. Slaa wapo wengi tu tatizo lenu mna ugonjwa wa kupenda chongo mnaita kengeza

      Chama
      Gongo la mboto DSM
      Wameibia nini nchi?Ona jinsi kauli yako ilivyokuwa shallow analytically,yani unasema ama unaongea almuradi umeongea.Ulilielewa swali nililokuuliza?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    18. #197
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,254
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1272
      Likes Given
      955

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By jmushi1 View Post
      Wameibia nini nchi?Ona jinsi kauli yako ilivyokuwa shallow analytically,yani unasema ama unaongea almuradi umeongea.Ulilielewa swali nililokuuliza?
      Unajua watu kama nyie ambao mpo kwa kutafuta maslahi ya kimaisha kupitia vyama vya siasa mna matatizo sana, wewe ndioy umekuwa mfinyu waki fikra na sijui kama unaelewa nini unachokisema yapo mambo mengi machafu yanafanyika na ndiyo yanayoleta mzozo mkubwa ndani ya Chadema hivi wewe kwa akili yako Fuso iliyotumika ilinunuliwa kwa Mil. 350; mwenyeketi alijipa tenda kupitia mlango kwa kushirikiana na wapambe bila kuitangaza tenda zaidi ya mil. 300, katibu mkuu kujipangia mshahara wa mil. 7 kwa mwezi; katibu mkuu kulazimisha kujengewa nyumba katibu mkuu kumpa tenda hawara yake yapo mambo tu ni ufisadi kama ule tunaoupigiia CCM; wengi wenu mnatumika kumpiga vita Zitto sababu yote ni kuwa wapo wanachadema wakweli wanauona ufisadi huo, hata mchakato wa matumizi ya ruzuku ni siri ya watu wawili. wewe kama umeamua kuhamia Chadema eti kwa kukimbia ufisadi wa CCM naona kama unajipotezea muda ukweli hao viongozi wako tayari wameshaonesha ni mafisadi, fisadi ni fisadi tu hakuna fisadi mdogo wala fisadi mkubwa; watu kama nyie ambao ni shallow minded ndio mnarudisha nyuma harakati za kweli za ukombozi hapa unatumika au unajipendekeza kwa viongozi wa Chadema; ni hivi unapoteza muda wako kumjadili Zitto eti Chadema wamfukuze, Zitto hakuchaguliwa na wanakigoma kwa mapenzi ya Chadema; wao wamemchagua Zitto kama Zitto leo akihamia TLP hata mumsimamishe Dr. Slaa Kigoma Zitto ni kijana wao na ndio chaguo lao. Ni nyie wanachedema msiojielewa mnachokiongea si mpo mstari wa mbele kupiga kelele za Mhando wa Tanesco je alichokifanya Mhando kina tofauti na matendo ya Mbowe na Dr. Slaa Chadema?

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    19. #198
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By chama View Post
      Unajua watu kama nyie ambao mpo kwa kutafuta maslahi ya kimaisha kupitia vyama vya siasa mna matatizo sana, wewe ndioy umekuwa mfinyu waki fikra na sijui kama unaelewa nini unachokisema yapo mambo mengi machafu yanafanyika na ndiyo yanayoleta mzozo mkubwa ndani ya Chadema hivi wewe kwa akili yako Fuso iliyotumika ilinunuliwa kwa Mil. 350; mwenyeketi alijipa tenda kupitia mlango kwa kushirikiana na wapambe bila kuitangaza tenda zaidi ya mil. 300, katibu mkuu kujipangia mshahara wa mil. 7 kwa mwezi; katibu mkuu kulazimisha kujengewa nyumba katibu mkuu kumpa tenda hawara yake yapo mambo tu ni ufisadi kama ule tunaoupigiia CCM; wengi wenu mnatumika kumpiga vita Zitto sababu yote ni kuwa wapo wanachadema wakweli wanauona ufisadi huo, hata mchakato wa matumizi ya ruzuku ni siri ya watu wawili. wewe kama umeamua kuhamia Chadema eti kwa kukimbia ufisadi wa CCM naona kama unajipotezea muda ukweli hao viongozi wako tayari wameshaonesha ni mafisadi, fisadi ni fisadi tu hakuna fisadi mdogo wala fisadi mkubwa; watu kama nyie ambao ni shallow minded ndio mnarudisha nyuma harakati za kweli za ukombozi hapa unatumika au unajipendekeza kwa viongozi wa Chadema; ni hivi unapoteza muda wako kumjadili Zitto eti Chadema wamfukuze, Zitto hakuchaguliwa na wanakigoma kwa mapenzi ya Chadema; wao wamemchagua Zitto kama Zitto leo akihamia TLP hata mumsimamishe Dr. Slaa Kigoma Zitto ni kijana wao na ndio chaguo lao. Ni nyie wanachedema msiojielewa mnachokiongea si mpo mstari wa mbele kupiga kelele za Mhando wa Tanesco je alichokifanya Mhando kina tofauti na matendo ya Mbowe na Dr. Slaa Chadema?

      Chama
      Gongo la mboto DSM
      ningetaka maslahi ya kimaisha, ningejiunga na gambaz mafisadi...tumia akili mkuu.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    20. #199
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,138
      Rep Power : 0
      Likes Received
      539
      Likes Given
      277

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By mamajack View Post
      NOT ONLY zitto,yeyeyote atakayebainika afukuzwa mara moja.
      mbona Mheshimiwa Magale shibuda aliyetangaza kugombea urais CDM kwenye mkutano wa CCM mmeshindwa kumtimua au hata kum-Wangwe?.
      hopkingsclark

    21. #200
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,254
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1272
      Likes Given
      955

      Default Re: Should CHADEMA Fire Zitto?

      Quote By jmushi1 View Post
      ningetaka maslahi ya kimaisha, ningejiunga na gambaz mafisadi...tumia akili mkuu.
      Ahaaa haaaaaaaaa acha kuzuga mkuu mpo wengi tu ndani ya JF mnafahamika!! Ufisadi upo Chadema labda ningekushauri anzisha chama chako mbona hujajibu ufisadi wa kina mh. Mbowe na Dr. Slaa? Somo limeeleweka

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    Page 10 of 33 FirstFirst ... 8910111220 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...