Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      nkisumuno's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 384
      Likes Received
      54
      Likes Given
      2

      Default Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Kuna siku Mnyika uliuliza swali kuwa serikali itoe kauli juu ya mgogoro wa serikali na walimu. Jibu lake likawa hakuna mgogoro wowote bali ni kikundi cha watu fulani wanaeneza uvumi wa kuwataka walimu wagome.

      Je kiti kinasemaje juu ya uwongo huo wa naibu waziri? Bunge limuwajibishe kwa kumtaka ajizuru kwani haiwezekani naibu waziri awe na majibu mepesi kiasi hicho?

      Vinginevyo tutakosa imani na bunge zima kama tulivyokosa imani na spika na naibu spika wa CCM

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,820
      Rep Power : 1147
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By nkisumuno
      Kuna siku Mnyika uliuliza swali kuwa serikali itoe kauli juu ya mgogoro wa serikali na walimu. Jibu lake likawa hakuna mgogoro wowote bali ni kikundi cha watu fulani wanaeneza uvumi wa kuwataka walimu wagome. Je kiti kinasemaje juu ya uwongo huo wa naibu waziri? Bunge limuwajibishe kwa kumtaka ajizuru kwani haiwezekani naibu waziri awe na majibu mepesi kiasi hicho? Vinginevyo tutakosa imani na bunge zima kama tulivyokosa imani na spika na naibu spika wa CCM
      Tumia kichwa kwa kufikiria pia sio kuotesha nywele tu. Mnyika ni mla rushwa anatakiwa atolewe bungeni.

    4. CAY
      #3
      CAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 462
      Rep Power : 514
      Likes Received
      84
      Likes Given
      26

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By Dumela Mbegu
      Tumia kichwa kwa kufikiria pia sio kuotesha nywele tu. Mnyika ni mla rushwa anatakiwa atolewe bungeni.
      Mmmm?una uhakika na hilo?

    5. #4
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,820
      Rep Power : 1147
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By CAY
      Mmmm?una uhakika na hilo?
      Wananchi wa JMT tuna uhakika more than 100%

    6. #5
      Yetuwote's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd July 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 486
      Likes Received
      41
      Likes Given
      28

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By Dumela Mbegu
      Tumia kichwa kwa kufikiria pia sio kuotesha nywele tu. Mnyika ni mla rushwa anatakiwa atolewe bungeni.
      Waweza kuwa dume la mbegu lakini ni mbegu zilizo oza.
      Ishina likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,964
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      1093
      Likes Given
      628

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By Dumela Mbegu
      Tumia kichwa kwa kufikiria pia sio kuotesha nywele tu. Mnyika ni mla rushwa anatakiwa atolewe bungeni.
      Kama huwezi kuchangia si unaka kimia tu, ama umekula daku ya nguruwe?
      gmosha48 likes this.
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    9. #7
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By Dumela Mbegu
      Tumia kichwa kwa kufikiria pia sio kuotesha nywele tu. Mnyika ni mla rushwa anatakiwa atolewe bungeni.
      Hivi ile Account yako ya FB mbona huwa huandiki utumbo kama huku?
      Mdakuzi likes this.

    10. #8
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By pompo
      kama huwezi kuchangia si unaka kimia tu, ama umekula daku ya nguruwe?
      mkuu ilitakiwa nipate bun mpaka nilipoona maoni yako ndo akili ikanijia!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    11. #9
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By ni mimi msiogope
      hivi ile account yako ya fb mbona huwa huandiki utumbo kama huku?
      mkuu hebu nipm basi account yake mtu huyu!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    12. #10
      makusanya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 334
      Rep Power : 469
      Likes Received
      42
      Likes Given
      155

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By Dumela Mbegu
      Tumia kichwa kwa kufikiria pia sio kuotesha nywele tu. Mnyika ni mla rushwa anatakiwa atolewe bungeni.

      we mbona ujatumia makalio kukalia unayatumia kufikiria

    13. #11
      Ston Merchant's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 245
      Rep Power : 444
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By Dumela Mbegu
      Wananchi wa JMT tuna uhakika more than 100%
      ....... porojo ....... infertile species...
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    14. #12
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By Dumela Mbegu
      Wananchi wa JMT tuna uhakika more than 100%
      sema magamba ndio mnakesha mkiomba iwe hivyo,usisingizie wananchi,hilo!!!!!

    15. #13
      Nsiande's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2009
      Location : dar es salaam
      Posts : 1,518
      Rep Power : 807
      Likes Received
      725
      Likes Given
      67

      Default

      Quote By Dumela Mbegu
      Wananchi wa JMT tuna uhakika more than 100%
      Tafadhali mwaga ushahidi ili tusafishe bunge tukufu wabaki wasafi

    16. #14
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,767
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      210
      Likes Given
      9

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Lisemwalo lipo kama halipo..............

    17. #15
      Mdakuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 271
      Rep Power : 413
      Likes Received
      50
      Likes Given
      11

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By Yetuwote
      Waweza kuwa dume la mbegu lakini ni mbegu zilizo oza.
      Sio kila mbegu ni bora, na katika hili tumethibitishiwa!
      Ni dume la mbegu iliyooza, naam iliyooza.


    18. #16
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,650
      Rep Power : 32147
      Likes Received
      5003
      Likes Given
      5173

      Default

      Quote By Dumela Mbegu
      Wananchi wa JMT tuna uhakika more than 100%
      Usipoweka ushahdi wako kuhusu Mnyika kula rushwa basi wewe ni Jike la mbegu.

    19. #17
      Githeri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 361
      Rep Power : 432
      Likes Received
      115
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Dumela Mbegu
      Wananchi wa JMT tuna uhakika more than 100%
      Wananchi gani? Tafadhali usi generalise na kutu include watanzania wote katika hizi propaganda zako.

    20. #18
      gmosha48's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 805
      Rep Power : 597
      Likes Received
      245
      Likes Given
      474

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By POMPO
      Kama huwezi kuchangia si unaka kimia tu, ama umekula daku ya nguruwe?

      Nimecheka mpaka boss kaja kuchungulia ofisini kwangu. Duh! Watu wengine utafikiri mnaandaa majibu wiki moja kabla!
      POMPO likes this.
      Ngo'ng'o

    21. #19
      Sajenti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Posts : 3,557
      Rep Power : 1345
      Likes Received
      303
      Likes Given
      95

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By makusanya
      we mbona ujatumia makalio kukalia unayatumia kufikiria
      Oooooopppsss..Great thinkers mh!!
      To get something you never had, you need to do something you never did

    22. #20
      MMkulima's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2012
      Location : Shambani
      Posts : 13
      Rep Power : 351
      Likes Received
      1
      Likes Given
      10

      Default Re: Mnyika omba mwongozo kuhusu Majaliwa kulidanganya bunge

      Quote By gmosha48
      Nimecheka mpaka boss kaja kuchungulia ofisini kwangu. Duh! Watu wengine utafikiri mnaandaa majibu wiki moja kabla!
      Hata mimi Mosha haya majibu yananiachaga hoi kupita kiasi. Huenda watu huja na majibu ya kesho yake hapa JF!!! But veeeeeeeeeeeere vere interesting and lively.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...