Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tunduma patifuka vurugu

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 28 of 28
    1. #1
      Goldman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 552
      Rep Power : 539
      Likes Received
      54
      Likes Given
      1

      Default Tunduma patifuka vurugu

      Kufuatia mgomo wa Walimu, wanafunzi walikuwa wanaandamana, FFU wakawapiga mabomu ya machozi, na sasa watu wazima wameingilia.

      Mpaka umefungwa na kuna msururu wa matanki ya mafuta, hapakaliki muda huu
      zululima likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Mlendamboga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 410
      Likes Received
      15
      Likes Given
      2

      Default Re: Tunduma patifuka vurugu

      Yaa, nami nipo katika maeneo haya kwa ujumla uhalibifu umefanywa kwenye jengo la mamlaka ya mji mdogo wa Tunduma ambapo gari jipya Land cruser pick up double cabin limeharibiwa vibaya, compyuta za ofisini pamoja na laptop zimeibiwa, nyaraka zilizokuwa makabatini na kwenye maeneo mengine ofisini zimebebwa na wananchi na kuchomwa moto, Mabati na saruji vilivyokuwa stoo vimeibiwa na vitu vingine kuharibiwa, kamati ya ulinzi na usalama imeenda huko wakati tayari hali imekuwa shwari, naendelea kufuatilia nipo karibu nao

    4. #22
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default Re: Tunduma patifuka vurugu

      Nchi haitotawalika,hakuna kulala mpaka kileweke kama mbwai mbwai kuni jua sikutishi nchi haifai....mafisadi hawaibi laki wanaiba billioni.
      Mamndenyi likes this.

    5. #23
      Asa79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 591
      Rep Power : 463
      Likes Received
      162
      Likes Given
      10

      Default Re: Tunduma patifuka vurugu

      Nasikia chadema wameshindwa kuwalipa malimbikizo yao waalimu na kuwapa posho wanazostaili ndio maana wamegoma....chadema tafadhari acheni kuleta vurugu walipeni waalimu haki zao
      Henge and FREDOMFIGHTER like this.

    6. #24
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Tunduma patifuka vurugu

      Mmmhh acha tuuu!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    7. #25
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2450
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default Re: Breaking news Tunduma kwa waka moto

      Quote By Mwea
      Hbari za kuthibitika toka Wilayani Tunduma ni kwamba wanafunzi toka baadhi shule wameandamana kuishinikiza serikali iwasikilize walimu na kutatua madai yao, katika maandamano hayo kulitokea purukushani na polisi hali iliyosababisha vurugu kubwa na uharibifu wa mali na majengo ya Halmashauri yamechomwa moto

      source; mimi mwenyewe niko hapa Tunduma kikazi
      hizi ni baadhi ya pic
      Attached Images  
      WA-UKENYENGE and Kiganyi like this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,422
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      785
      Likes Given
      1800

      Default Re: Breaking news Tunduma kwa waka moto

      Quote By Mwea
      hizi ni baadhi ya pic
      Naona taratibu milipuko inaanza kuzoeleka!! Ipo siku watu watakuwa wanaibeba kuihamishia kwa wakuu wa wilaya na mikoa. Na kutakuwa na kugawanya chochote kile walichotuibia wenzetu ikiwa ni pamoja na uhai wao.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    10. #27
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,935
      Rep Power : 30229
      Likes Received
      4716
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Bhavick
      Siamini habari hizi!nimeongea na mke wangu,ambaye nh mwalimu hapo mwaka amekataa ki2 kama hicho!
      basi hajui mkuu! mimi ni mwl. hapa JK sec. it is really happening!

    11. #28
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      315
      Likes Given
      907

      Default Re: Tunduma patifuka vurugu

      Hivi hawa Chadema kodi zooooooote hizi wanazokusanya pamoja na kujichotea kwenye mifuko ya hifadhi za kijamii inashindwa kuwalipa haki zao walimu mpaka wanagoma?
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...