Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 47 of 47
    1. #1
      Avanti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2010
      Posts : 706
      Rep Power : 589
      Likes Received
      108
      Likes Given
      263

      Default Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Ikianza kuhusishwa na siasa, nimeshuhudia baadhi ya walimu akiwepo ndugu yangu wametahadharishwa kuondoka sehemu ya kazi kwani kuna wahuni ambao wamelipwa ili kwenda kufanyia fujo walimu ambao hawatagoma. Pamoja na CWT kuwalipa walimu wakati wakiweka saini zao ili wagome kuna chama cha sisa pia inasemekana kimesaidia kutafuta wahuni ili kwenda kuwafanyia fujo wale viherehere wasiotaka kugoma. Chama chenyewe inasemekana ni kile kilichokaa na kujiimarisha kifujo fujo - kwa ushahidi mzuri tembelea baadhi ya shule kuanzia Magomeni hadi Mbezi kwa wale wa Dar walw wa Arusha mitaa ya Njiro na Kijenge, Dodoma pale Kizota.

      Avanti.


    2. #41
      Temple's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 367
      Likes Received
      14
      Likes Given
      13

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Avanti
      Umewafanya watu wote wanaopitia humu hawajui propaganda za chama chenu. Mada yako ime ni bore sana. Sidhani kama nitakuja kukusoma tena. Shame on you

    3. #42
      Davie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Posts : 82
      Rep Power : 541
      Likes Received
      16
      Likes Given
      208

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Ivi nia yako ni tucomment...haya tumefanya ivo......

    4. #43
      LACHERO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th August 2011
      Posts : 17
      Rep Power : 401
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Serikali itende haki at list kuwe na equitable distribution ya income btn gvt workers!

    5. #44
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,432
      Rep Power : 1001
      Likes Received
      801
      Likes Given
      275

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Quote By Isalia View Post
      Hiyo ninaamini kuwa CDM wanahucka kwani kupitia kurasa hii hii walikuwa wakihimiza kufanyika mgomo wa walimu ili kuonekana serekali imeshindwa kuongoza zile zama za kudanganyana zimepita kila kitu sasa kiko wazi
      Unaonaje kama ungekwenda chooni ukautolea huu uharo wako huko, kuliko kuudhihirisha ujinga wako kwa kila anayesoma thread hii??
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    6. #45
      Paul Kijoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Location : KIMARA, DAR
      Posts : 1,353
      Rep Power : 709
      Likes Received
      227
      Likes Given
      180

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Huu uji wa 'magereza' na mimi huwa siunywi


    7. #46
      msweken's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Swekeni
      Posts : 96
      Rep Power : 404
      Likes Received
      14
      Likes Given
      3

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Mkuu.. walimu wamepiga kura ya kugoma au kutokugoma.. kura zinazokubali kugoma zikawa nyingi kuliko zinazopinga kugoma, kwa busara kabisa walioshindwa katika kura walipaswa waheshimu walioshinda, na kwa kukiuka utaratibu sahihi na wa wengi wanayo haki ya msingi ya kuadhibiwa, ni waasi kama walivyo waasi wowote, hatuendelei kwa sababu ya wapuuzi kama hao.. TAFADHALI MSIWAPIGE BAKORA, WAVUNJENI MIGUU KABISA ili siku nyingine wapate shida kidogo kwenda kwenye vituo vya kazi wakati wenzao wanadai haki...

    8. #47
      Q700's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 361
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Ccm mnanlo mwaka uu!

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...