Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 47
    1. #1
      Avanti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2010
      Posts : 696
      Rep Power : 583
      Likes Received
      103
      Likes Given
      260

      Default Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Ikianza kuhusishwa na siasa, nimeshuhudia baadhi ya walimu akiwepo ndugu yangu wametahadharishwa kuondoka sehemu ya kazi kwani kuna wahuni ambao wamelipwa ili kwenda kufanyia fujo walimu ambao hawatagoma. Pamoja na CWT kuwalipa walimu wakati wakiweka saini zao ili wagome kuna chama cha sisa pia inasemekana kimesaidia kutafuta wahuni ili kwenda kuwafanyia fujo wale viherehere wasiotaka kugoma. Chama chenyewe inasemekana ni kile kilichokaa na kujiimarisha kifujo fujo - kwa ushahidi mzuri tembelea baadhi ya shule kuanzia Magomeni hadi Mbezi kwa wale wa Dar walw wa Arusha mitaa ya Njiro na Kijenge, Dodoma pale Kizota.

      Avanti.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Sir M.D.Andrew's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 379
      Likes Received
      28
      Likes Given
      6

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Ukitaka umjue mtu mjinga msubiri pale atakaporopoka,ni ujinga kuhusisha mgomo huu na siasa,kwani matatizo ya walimu hamuyajui?mnakuwa wajinga kuhusisha siasa na vyama mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja,kama wewe cheo chako ni uenezi na itikadi hili si swala la kukusaidia kueneza ilani ya chama chako,mwalimu hahitaji kushawishiwa na wana siasa hata kidogo,shida zao na maisha magumu ya walimu ni nani asiyeyajua?kafie mbali huko

    4. #22
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,615
      Rep Power : 714
      Likes Received
      334
      Likes Given
      0

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Bogus trick! Kila kitu cha kipumbavu kinachofanywa na serikali ya ccm mnasingizia vyama vingine vya siasa specifically CHADEMA.Hivi kama madaktari,Waalimu,wanafunzi wa vyuo vikuu na wananchi wa kawaida wote wanawasikiliza CHADEMA,hicho chama cha zamani (ZP) kinamsikiliza nani?

    5. #23
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 845
      Rep Power : 548
      Likes Received
      156
      Likes Given
      32

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Thread gan hii we mbona mnafiki hivi...kapime akili yako we sio mzima..liwalo na liwe

    6. #24
      nkisumuno's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 384
      Likes Received
      54
      Likes Given
      2

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Mm ni mwalimu hakuna kitu cha hivyo walimu tumeamua kugoma. huku mufindi maafisa wanapitapita na fomu kama majuha ili kuwatisha walimu lakini wamefika shuleni kwangu na kumkuta mwalimu mkuu peke yake sasa tahadhari kwa hao vibaraka sisi walimu tuko tayari kuwatandika viboko maana wanajifanya miungu watu kwa vile tu wapo wilayani, elimu zao zenyewe wamezidiwa na hata walimu sasa wanafikiri watatutisha kama walivyozoea Hatujazi fomu zao hizo wakafie mbali.


      Halafu kuna maafisa hapa Mufindi wanakashfa walikula pesa, baada ya kuona wantakiwa kukaguliwa wakapita kuwarubuni walimu eti wasaini fomu kwa vile kutakuwa na kikao wilayani walimu wakasaini kumbe wanenda kuonyesha kwamba walimu hawa ndiyo waliolipwa, habari hizo zimevuja. Elimu mkoa wa Iringa mmedanganywa maafisa waliwadanganya eti walilipa hela za mitihani ya mkoa kumbe waliiba. Aliyekuwa anazunguka kuomba saini za walimu tutamtaja ili kieleweke WEZI WAKUBWA. WATUACHE WALIMU WAACHE KUTUTISHIA VINGINEVYO LOOOO!

    7. #25
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,621
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      1644
      Likes Given
      1620

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Kama hii ndiyo intelijensia ya Tanzania, basi tumekula hasara.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    8. Miaka 50

    9. #26
      Wa kaa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 344
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Nahisi we hujui hata kusoma maana hujui hata usomi unafananaje maana msomi bila reseach ni sawa na pumbavu flani 2.

    10. #27
      piper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 1,597
      Rep Power : 766
      Likes Received
      244
      Likes Given
      39

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Mmeanza, na nduguyo ni msaliti, mkataa la wengi mchawi, km kawaida yenu mtasema CDM so funguka na uache kuuzunguka mbuyu

    11. #28
      piper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 1,597
      Rep Power : 766
      Likes Received
      244
      Likes Given
      39

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Quote By nkisumuno
      Mm ni mwalimu hakuna kitu cha hivyo walimu tumeamua kugoma. huku mufindi maafisa wanapitapita na fomu kama majuha ili kuwatisha walimu lakini wamefika shuleni kwangu na kumkuta mwalimu mkuu peke yake sasa tahadhari kwa hao vibaraka sisi walimu tuko tayari kuwatandika viboko maana wanajifanya miungu watu kwa vile tu wapo wilayani, elimu zao zenyewe wamezidiwa na hata walimu sasa wanafikiri watatutisha kama walivyozoea Hatujazi fomu zao hizo wakafie mbali.


      Halafu kuna maafisa hapa Mufindi wanakashfa walikula pesa, baada ya kuona wantakiwa kukaguliwa wakapita kuwarubuni walimu eti wasaini fomu kwa vile kutakuwa na kikao wilayani walimu wakasaini kumbe wanenda kuonyesha kwamba walimu hawa ndiyo waliolipwa, habari hizo zimevuja. Elimu mkoa wa Iringa mmedanganywa maafisa waliwadanganya eti walilipa hela za mitihani ya mkoa kumbe waliiba. Aliyekuwa anazunguka kuomba saini za walimu tutamtaja ili kieleweke WEZI WAKUBWA. WATUACHE WALIMU WAACHE KUTUTISHIA VINGINEVYO LOOOO!
      Big up haya ndo maneno, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

    12. #29
      Isalia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 454
      Rep Power : 471
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Hiyo ninaamini kuwa CDM wanahucka kwani kupitia kurasa hii hii walikuwa wakihimiza kufanyika mgomo wa walimu ili kuonekana serekali imeshindwa kuongoza zile zama za kudanganyana zimepita kila kitu sasa kiko wazi

    13. #30
      tonnyalmeida's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st February 2012
      Location : FIELD AGENT
      Posts : 226
      Rep Power : 414
      Likes Received
      46
      Likes Given
      60

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Quote By Avanti
      Ikianza kuhusishwa na siasa, nimeshuhudia baadhi ya walimu akiwepo ndugu yangu wametahadharishwa kuondoka sehemu ya kazi kwani kuna wahuni ambao wamelipwa ili kwenda kufanyia fujo walimu ambao hawatagoma. Pamoja na CWT kuwalipa walimu wakati wakiweka saini zao ili wagome kuna chama cha sisa pia inasemekana kimesaidia kutafuta wahuni ili kwenda kuwafanyia fujo wale viherehere wasiotaka kugoma. Chama chenyewe inasemekana ni kile kilichokaa na kujiimarisha kifujo fujo - kwa ushahidi mzuri tembelea baadhi ya shule kuanzia Magomeni hadi Mbezi kwa wale wa Dar walw wa Arusha mitaa ya Njiro na Kijenge, Dodoma pale Kizota.

      Avanti.

      Ahahahahahaaaaaa... MGOMO NI SULUHISHO KWA SERILKALI YOYOTE ISIYOTAKA KUTATUA MIGOMO KIDEMOKRASIA...


      Hivi mnadhani mtafanikiwa kwa Propaganda za KITOTO kama hizi? Mtu mwenyewe unaandika "INASEMEKANA" Manake huna hata uhakika unaleta Umbea tu hapa...Mimi ni mwalimu na nilisaini bila kulipwa na sikuona mwalimu aliyelipwa wakati wa kusaini.. HUU UMBEA UNAUTOA WAPI?

    14. #31
      mbukoi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 399
      Likes Received
      42
      Likes Given
      294

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Quote By Delko
      Hayo ni majibu rahisi kwa maswali magumu. Mnatakiwa mtatue kero ze walimu na sio kutafuta "mchawi". Mchawi wa migomo ni nyie wenyewe. Msikwepe wajibu wenu kwa kuwasingizia wasiohusika.
      hiki ndicho kinachotukera wataacha mada wataanza kuingiza siasa ila ukweli uko pale pale motive ya mgomo wa walimu ni matatizo lukuki yaliyo katika stahili za ajira.

    15. Iza
      #32
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,635
      Rep Power : 855
      Likes Received
      232
      Likes Given
      368

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Quote By Dumela Mbegu
      Mie nilitaka kushangaa CDM kwenye hili kweli wasiwemo, kwani madaktari walikuwemo, vyuo vikuuu wamo, na hii sasa walimu wao. CDM mna laana gani nyie zebu waambieni watanzania ? kwani ni kama mti wa ubuyu haufai kwa mbao wala mkaa
      Kama hivi ndo unataka tuamini,basi CCM ishakosa support ya makundi mengi sana kitu amabacho sio kizuri kwa ustawi wa chama hasa ukiangalia uwezo wa CDM kushawishi kada mbalimbali katika kudai haki zao...!
      Fikiria kwa u-makini...!

    16. #33
      GWAMWAJA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 19
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      I have been teaching for 5yrs,before resigning 2yrs ago! teachers are partners of ccm.but inflation turned em enermity

    17. #34
      DR. RICHARD's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 373
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Are u normal?

    18. #35
      Young Tanzanian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 564
      Rep Power : 475
      Likes Received
      45
      Likes Given
      49

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      wananchi wakidai haki mnasingzia wahuni..mbona mnanunua malori,kujenga mahotel na masheli na kuuza madin yetu kama zawadi..kila kitu kna mwanzo na mwsho watz wa leo si wa mwaka 1940

    19. #36
      Shelisheli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th May 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 435
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Avanti
      Ikianza kuhusishwa na siasa, nimeshuhudia baadhi ya walimu akiwepo ndugu yangu wametahadharishwa kuondoka sehemu ya kazi kwani kuna wahuni ambao wamelipwa ili kwenda kufanyia fujo walimu ambao hawatagoma. Pamoja na CWT kuwalipa walimu wakati wakiweka saini zao ili wagome kuna chama cha sisa pia inasemekana kimesaidia kutafuta wahuni ili kwenda kuwafanyia fujo wale viherehere wasiotaka kugoma. Chama chenyewe inasemekana ni kile kilichokaa na kujiimarisha kifujo fujo - kwa ushahidi mzuri tembelea baadhi ya shule kuanzia Magomeni hadi Mbezi kwa wale wa Dar walw wa Arusha mitaa ya Njiro na Kijenge, Dodoma pale Kizota.

      Avanti.
      Husisha ubongo wako kuelezea mtazamo wako kwenye mgomo huu bila kuingiza udaku wako. Walimu ni wengi, CWT imekodi jeshi kubwa kiasi gani kutosha ku-terorise shule zote? POLICCM iko wapi? Watu wanadai haki zao wewe unahusisha na ushabiki wa kisiasa. Haingii akilini!

    20. #37
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Lakini kisheria majority weakiamua mgomo kila mwalimu yupo bound. Sasa hao wanaofundisha ni mataahira au ni nini?

    21. #38
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 443
      Likes Received
      123
      Likes Given
      39

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      Inabidi kuitisha 'mkutano na wazee wa Dar es Salaam' sasa.

    22. #39
      joramjason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 253
      Rep Power : 447
      Likes Received
      48
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Avanti
      Ikianza kuhusishwa na siasa, nimeshuhudia baadhi ya walimu akiwepo ndugu yangu wametahadharishwa kuondoka sehemu ya kazi kwani kuna wahuni ambao wamelipwa ili kwenda kufanyia fujo walimu ambao hawatagoma. Pamoja na CWT kuwalipa walimu wakati wakiweka saini zao ili wagome kuna chama cha sisa pia inasemekana kimesaidia kutafuta wahuni ili kwenda kuwafanyia fujo wale viherehere wasiotaka kugoma. Chama chenyewe inasemekana ni kile kilichokaa na kujiimarisha kifujo fujo - kwa ushahidi mzuri tembelea baadhi ya shule kuanzia Magomeni hadi Mbezi kwa wale wa Dar walw wa Arusha mitaa ya Njiro na Kijenge, Dodoma pale Kizota.

      Avanti.
      unahitaji kuwa na dhaifu sana kuamini post kama hii

    23. #40
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 290
      Rep Power : 437
      Likes Received
      60
      Likes Given
      125

      Default Re: Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

      tumia kichwa kufikiri siyo masaburi.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...