Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

    Report Post
    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast
    Results 101 to 120 of 152
    1. #1
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 2,012
      Rep Power : 905
      Likes Received
      392
      Likes Given
      171

      Default Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Gazeti la Dira la leo limewataja wabunge wanasadikiwa kulamba mlungula ambapo kwa mujibu wa gazeti hilo wamo Zitto kabwe ambaye anatajwa kuwa na ukwasi wakutisha ikiwapo nyumba kadhaa na magari ya kifahari, wengine waliotajwa ni Ole Sendeka na Mama Kilango Malecela ambao ndiyo wapiga kekele wakubwa wa ufisadi kumbe usanii mtupu.

      Kwaupande mwingine Katibu mkuu wa CDM Dr. Slaa amesema ikiwa itabainika wabunge wake walipokea rushwa hutua kali za kichama zitachukuliwa dhidi yao.

      UPDATE
      Baadaya Tindu Lisu kuongea na wanahabari jana na kutaja Wajumbe wa kamati za bunge waliohusika na kuchukuwa rushwa na kufanya biashara na Tanesco, Olesendeka amemtaka kwa kuomba muongozo kwa spika amruhusu amshitaki Lisu ali athibitishie mahakama ushiriki wakwe wa kuchukuwa shushwa,

      Hata hivyo Spika amesema jambo hilo linafanyiwa kazi na kamati ya maadili hivyo Lisu ataitwa kuleta ushahidi wake kwa wale aliyowataja.
      Last edited by Kurunzi; 31st July 2012 at 22:03.


    2. #101
      Miya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 194
      Rep Power : 455
      Likes Received
      28
      Likes Given
      11

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Quote By MchukiaUonevu View Post
      Kauli ya Zitto kasema hivi,"yeyote akionesha ushahidi, chembe tu ya ushahidi, kwamba nimekula rushwa, sitasubiri a minute, nitawajibika ".
      Sijui mwenzangu wewe hao wabunge wa Chadema waliosema Zitto kachukua rushwa wamesemea wapi hayo na lini,na wametoa evidence gani! Tujuze
      We nawe umuelewi nini mwenzio? soma hadi mwisho ndomana kuna viulizo kasema hakuna hata mchademe mmoja aliesema zitto kala rushwa hata wao wanataka ushahidi usio na shaka ili wawashughulikie wala rushwa..............waloleta tuhuma za rushwa ni muhongo

    3. #102
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,025
      Rep Power : 643
      Likes Received
      233
      Likes Given
      1273

      Default Re: Upinzani kuhusika wizi TANESCO ni doa kubwa

      Quote By MVUMBUZI View Post
      Habari kuwa kuna wabunge wa upinzani wanaohusika kuihujumu TANESCO zimepokelewa kwa masikitiko makubwa sana na imewafanya wananchi wengi kukata tamaa. Kwa ufupi wananchi tulikuwa tunawaunga mkono vyama vya upinzani tukijua wana dhamira ya kuleta mabadiliko na hatimaye kuboresha maisha ya watanzania. Kinachoonekana kutokana na taarifa za Waziri Sospether Muhongo ni kwamba hakuna tofauti kati ya CCM na vyama vya upinzani kwani lengo lao ni moja tu kutumia rasilimali za watanzania kunufaisha matumbo yao na familia zao in the expense ya maumivu na matatizo ya watanzania. Hii ni dhambi kubwa. Binafsi nimebaki njia panda kuhusu kwa nani watanzania tuweke matumaini yetu kuhusu mustakabali wa maisha bora kwa kila mtanzania. Watanzania tunasalitiwa na viongozi waroho ambao kwa wananchi wanajidai kondoo kumbe ndani ni Mbwa mwitu wabaya. Kwa viongozi wa namna hii tusitarajie tena mabadiliko hata kama CCM tutaiondoa kwani tunafanya yale yale yanayotufanye tupigane usiku na mchana kukiondoa chama dhalimu CCM madarakani. Si mambo ya kufumbia macho kwa sababu ya ushabiki wa kichama bali kutumia jicho la pili kuona upande mwingine wa shilingi na kufanya maamuzi yatakayo rudisha heshima ya vyama vinavyohusika na hatimaye kurudisha matumaini kwa waTZ. Viongozi hawa watajwe hadharani na wapewe adhabu inayostahili na wasipewe tena nafasi ya kuongoza kwani wamekosa adabu na credibility. Hii haina tofauti na kuku kula vifaranga wake.
      Mtaani kwangu watu wamebaki na maswali mengi kuliko majibu na yanatakiwa yapate majibu kutoka kwa viongozi hawa hawa kwani doa lililosababishwa na wahusika ni kubwa sana.
      Ni bora mbu alie ndani ya neti ameshiba, kuliko mbu ambae yupo nje ya Net anataka kuingia ndani akunyonye damu yako! hao ndio chadema, wanataka sana kuingia kwenye system wapate kula tu hakuna kingine, nimeshangazwa na Mbowe kutaka kununua mtambo wa kufulia umeme kule hai! loh! kumbe wana njaa sana hawa !
      "If the Virgin Mary appears wearing a Veil on all her pictures, how can you ask me to sign on a HIJAB BAN law ?" -Roberto Maroni, Italian Minister.

    4. #103
      Mpiganaji wa watu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Location : barabarani
      Posts : 32
      Rep Power : 362
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      du hapa msafi sijui atabaki kuwa nani kwa mtindo huu

    5. #104
      chitambikwa's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : KAISHO
      Posts : 3,198
      Rep Power : 1970
      Likes Received
      581
      Likes Given
      433

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      kwani Zitto ni cdm au ccm . Haeleweki msimamo wake
      IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT

    6. #105
      Miya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 194
      Rep Power : 455
      Likes Received
      28
      Likes Given
      11

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Quote By OSOKONI View Post
      unaona kasingiziwa au hawezi kula rushwa?? umemsikia wapi Zitto kwa uwazi na nguvu nyingi akishambulia mafisadi kama wanavofanya akina slaa, kiwia, msigwa, lema,n.k???
      Kwa hiyo kama ashambulii ndo anakula rushwa?????????kama chama wanajipanga kila mtu na kitengo chake cha kujidai unakumbuka zitto alimfanya nini Mkulo au umesahau?????


    7. #106
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,025
      Rep Power : 643
      Likes Received
      233
      Likes Given
      1273

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      KUmbe saga lote hili kwa kuwa zito ametaka kugombea urais! wachaga wamekuja juu ! teh teh teh , vovote itakavokuwa siwaamini hata siku moja chadema ! nawaona wote ni wanafiki tu, nilicheka siku lukuvi alipomwambia mwendesha kipindi cha tbc kuwa mbowe na wenzake wameweka kama collateral pesa yao ya posho bank kwa ajili ya mikopo yao! USO MBOWE ULIMSHUKA na akaanza kutafuna maneno na kusema posho ni kitu kidogo tuongee jinsi ya kuisaidia serikali! CHADEMA NI ZAIDI YA TUIJUAVO! jamani wananchi muwe makini na hivi vyama !
      "If the Virgin Mary appears wearing a Veil on all her pictures, how can you ask me to sign on a HIJAB BAN law ?" -Roberto Maroni, Italian Minister.

    8. #107
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 593
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Quote By platozoom View Post
      Wako sita........i have a lot of information but am waiting for wrong news first
      Mwaga unga bhana!

    9. #108
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,911
      Rep Power : 1169
      Likes Received
      1056
      Likes Given
      804

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Quote By Miya View Post
      Kwa hiyo kama ashambulii ndo anakula rushwa?????????kama chama wanajipanga kila mtu na kitengo chake cha kujidai unakumbuka zitto alimfanya nini Mkulo au umesahau?????
      wewe kumbe hukujua chanzo halisi cha ugomvi wa mkulo na zitto??yeye amejipanga kwenye kitengo cha kuendesha matamasha ya muziki na kujitangaza rais!! nilikuwa namheshimu sana huyu kijana lakini I have withdrawn the respect!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    10. #109
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,986
      Rep Power : 2362
      Likes Received
      2945
      Likes Given
      5799

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Mbona umeandika kilekile jamaa kaandika? Soma bila haraka....
      Quote By MchukiaUonevu View Post
      Kauli ya Zitto kasema hivi,"yeyote akionesha ushahidi, chembe tu ya ushahidi, kwamba nimekula rushwa, sitasubiri a minute, nitawajibika ".
      Sijui mwenzangu wewe hao wabunge wa Chadema waliosema Zitto kachukua rushwa wamesemea wapi hayo na lini,na wametoa evidence gani! Tujuze
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    11. #110
      chuwaalbert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 297
      Rep Power : 503
      Likes Received
      52
      Likes Given
      130

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Yaani mpaka hapa TAKUKURU hawajaona kitu?

    12. #111
      Ston Merchant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 254
      Rep Power : 449
      Likes Received
      41
      Likes Given
      29

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Quote By Mwanajamii View Post
      Tunasubiri, MWANAHALISI litawataja maswahiba wake CDM waliokula mlungula.
      mwanahalisi lishafungiwa mkuu......... from today ons forth
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    13. #112
      Ston Merchant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 254
      Rep Power : 449
      Likes Received
      41
      Likes Given
      29

      Default Re: Upinzani kuhusika wizi TANESCO ni doa kubwa

      Quote By mkomatembo View Post
      Ni bora mbu alie ndani ya neti ameshiba, kuliko mbu ambae yupo nje ya Net anataka kuingia ndani akunyonye damu yako! hao ndio chadema, wanataka sana kuingia kwenye system wapate kula tu hakuna kingine, nimeshangazwa na Mbowe kutaka kununua mtambo wa kufulia umeme kule hai! loh! kumbe wana njaa sana hawa !
      acha porojo mkomasungura............
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    14. #113
      knownless's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd December 2011
      Posts : 111
      Rep Power : 400
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      ingawa mienendo ya Zitto inatia shaka lakini tusimuhukumu bila ushahidi kuwa hadharani. Kila anaweza kutuhumiwa kwa chochote kile but kama hakuna concrete evidences zinakuwa baseless allegations za ccm kutaka kumchafua.
      Kama katibu mkuu(Slaa) alivyosema,tusubiri uchunguzi ufanyike na kama ikibainika atashughurikiwa kulingana na kanuni za chama.
      Napendekeza sisi wapenzi na wanachama wa CHADEMA tusianze kunyoosheana vidole kwa tuhuma tu kisa mbio za urais ambazo naamini chama kitamteua mgombea makini ambaye atatuletea ushindi come 2015. Malumbano ya sisi kwa sisi ni advantage kwa ccm kwani wanatumia kutuchonganisha kwa udini na ukabila. Ukichunguza kwa makini utagundua wanaccm wamelishikilia bango utafikiri kwao hakuna watuhumiwa,lengo lao ni kuona wanaichonganisha CHADEMA na ZITTO.
      Nasisitiza tuache kumuhukumu zitto mpaka hapo uchunguzi utakpo dhibitisha hivyo.
      Ame likes this.

    15. #114
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,608
      Rep Power : 2547
      Likes Received
      614
      Likes Given
      769

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Quote By Riwa View Post
      Mbona hapo 'Gender' imebalance....Zitto na Ole Sendeka vs Sara Msafiri na Anne Kilango! Hili si tatizo la jinsia fulani, waume kwa wake...waTanzania wengi wezi! We angalia mtu akichaguliwa/teuliwa kushika nafasi ya uongozi...magazeti yaandika ' Fulani Kaula'...Kaula nini rtumemkabidhi majukumu mazito? Lakini kwa sababu mentality yetu ni 'wizi mtupu' tunaona mtu sasa 'kaula' kwani kapata nafasi ya kuiba aka 'kula'!
      Mkuu tusisahau kumkumbusha na yule mama alikuwa katibu Mkuu Afya na tenda zake za Mariedo!!- ufisadi huu sio suala la jinsia ni hulka tu ya mtu
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    16. #115
      kbosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,865
      Rep Power : 728
      Likes Received
      234
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Mwanajamii View Post
      Tunasubiri, MWANAHALISI litawataja maswahiba wake CDM waliokula mlungula.
      c melfunga hadi bunge liishe

    17. #116
      Byendangwero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 605
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default Re: Upinzani kuhusika wizi TANESCO ni doa kubwa

      Makala hii ina lengo la kupotosha ukweli; kuwepo wabunge wawili watatu wa upande wa upinzani wanao tuhumiwa kupokea hongo,kujatia doa lolote kambi ya upinzani kwakuwa hakuna mtu yeyote anayeamini kwamba kambi hiyo inaundwa na malaika. Jambo la msingi ni kwa kambi hiyo kuwachukulia hatua dhabiti wale wote wakakaodhibitika kupewa hongo. Aina budi ieleweke ugomvi wa wananchi na CCM hautokani na kuwepo wanaccm wanao shiriki vitendo vya kuhujumu uchumi bali unatokana na kushindwa kwa chama hicho na serikali yake, kuwachukulia hatua sitaiki watu hao.

    18. #117
      kbosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,865
      Rep Power : 728
      Likes Received
      234
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Khakha View Post
      zito kabwe, rushwa ni moja ya sababu ya uadilifu iliyokufanya utangaze bungeni kuwa unautaka urais. hivi tu mbunge unatisha kwa rushwa je ukiwa magogoni c utakuwa mobutu seseseko kuku ngbendu wa zabanga!
      atamshukuwa na wema awa kama malkia

    19. #118
      Sema Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 310
      Rep Power : 427
      Likes Received
      21
      Likes Given
      20

      Default Re: Upinzani kuhusika wizi TANESCO ni doa kubwa

      MVUMBUZI Mimi ndio imeniumiza sana sana sijui nani atakayeturudisha katika barabara kuu kwani tunazidi kupotea tu porini jamani hii nchi yenye kila kitu cha maana.

    20. #119
      kbosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,865
      Rep Power : 728
      Likes Received
      234
      Likes Given
      33

      Default

      IGOku Mfano mzuri kamati ya Mrema imepeleka majna ya wala rushwa hadi leo wanapeta

    21. #120
      makusanya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 339
      Rep Power : 474
      Likes Received
      43
      Likes Given
      155

      Default Re: Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

      Dah!anyways ngoja tusubirie kwanza kamati ya maadili ifanye kazi ila zitto pole sana this time hii vita itakupeleka chini

    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...