Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    Report Post
    Page 3 of 30 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 587
    1. #1
      raymg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 649
      Rep Power : 480
      Likes Received
      148
      Likes Given
      15

      Default Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Sasa hivi wanafunzi kata ya ilemela mkoa wa mwanza wapo katika maandamano wakiwa na mabango tofauti yenye maandishi "tunataka haki zetu" wakielekea mahakama ya mwanzo wilaya ya ilemela kufungua kesi zidi ya waalimu kwa kukataa kuwafundisha...

      UPDATES:





      Wanafunzi wa shule za Msingi za Temeke wakiingia kwenye ofisi za Manispaa ya Temeke kufuatia mgomo wa walimu ulioanza rasmi jana na kuwasababishia kukosa masomo. Picha na Elizabeth Edward - Gazeti la Mwananchi

      - TBC1 imeripoti kuwa Ruvuma walimu wamegoma na imethibitisha vurugu kutokea mkoani Mbeya na kuwa nako walimu wamegoma.


      Wanafunzi wa shule za msingi Bwawani na Kijichi Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, wakiandamana jana Jumatatu Julai 30, 2012, kupinga haki yao ya msingi ya kupata elimu kuvurugwa kufuatia mgomo wa walimu ulioanza rasmi jana. Wanafunzi hao waliandamana umbali wa kilomite 10 hadi ofisi za Afisa elimu wa manispaa hiyo na kueleza "kesi" yao ambapo wameitaka serikali kumalizana na walimu ili wao wasome.

      Quote By ugali wa asubuhi View Post
      Rais wa chama cha walimu mkoani Mara ameonekana akitembea na silaha za jadi kama sime na mishale kwa ajiri ya kujihami akihofia kutekwa kama ilivyotokea kwa Dr Ulimboka.

      Source: Wapo Radio
      Quote By MASIKITIKO View Post
      Singida:

      Wanafunzi wamekusanyika ofisi ya mkuu wa Mkoa muda huu mkoa wa Singida.
      Quote By agapetc View Post
      Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walimu wa Halmashauri za Mji na Wilaya ya Korogwe wamegoma kwenda shule kwa kuunga mkono viongozi wao walioutangaza.

      Shule nyingi zimeonekana walimu wakuu na wakuu wa shule tu ndiyo waliohudhuria maofisini, pia imebainika kuwa walimu wa sekondari wanaongoza kwa kutoenda kazini wakati shule za msingi imebainika walimu ktk shule chache wameenda kazini.
      Quote By Leonard Robert View Post
      Huku Tanga wamefanya kweli, shule zilizonizunguka zote watoto wako wanacheza kaponda, hamna kinachoendelea, nimeongea na mwalimu mkuu mmoja hapa amesema kugoma kuko palepale na amesema leo hafungui hato ofisi..

      Kama nchi nzima ni hivi basi walimu wameamua
      Quote By Steve1 View Post
      Iringa Mjini nako kimenuka, ni walimu wakuu peke yao wapo vituo vya kazi.
      Quote By mtendaji wa kijiji View Post
      Huku Wilaya ya Same nako kimenuka.

      Nimepita shule za Njoro, Ishinde, Majevu, Kisima, Makanya na Nkwini hakuna waalimu shuleni wanafunzi wametelekezwa
      Quote By Goldman View Post
      Tunduma wanafunzi wakati wanaandamana, FFU wamewapiga bomu la machozi, sasa watu wakubwa wameingilia, gate la kwenda Zambia limefungwa kwa muda hakuna gari kuvuka!
      Quote By mpenda pombe View Post
      Nipo huku Tabora, shule nyingi za mjini zimefungwa waalimu wamegoma, isipokua shule moja tu ya Msingi Mtendeni wapo waalimu wawili tu..

      Nitaendelea kuwajuza..
      Quote By Micro E coli View Post
      Na huku Tegeta, Boko kimenuka. Mfano, Boko Secondary - hakuna walimu waliofika.
      Quote By Kiumbo View Post
      Kibaha Mlandizi shule karibia zote msingi na sekondari hakuna walimu kabisa. Wanafunzi wamefurahi leo utawala binafsi kutoroka wakati wenzao wanaandamana.
      Eddy Kinawiro huku Kimara wanafunzi wa Shule ya Msing Kimara B wamerudi wote kutokana na kuwa shuleni hakuna walimu
      Quote By KIFUBA KYA ITAHWA View Post
      Huku Bukoba nako kimenuka nipo Bukoba mjini hakuna walimu walioenda kazini na sekondari ndo kabisa hazina watu
      Quote By nolakinabo View Post
      Katika mkoa wa Kilimanjaro:

      Katika shule za msingi walimu wakuu wameonekana wakiwahi shuleni huku wakiwa hawaelewi mgomo upo vipi "Mi siwezi kugoma nimebakiza mwaka mmoja kustaafu" mwalimu mkuu mmoja alisema.

      Hali hii inaonekana kuwa mgomo huu hauna nguvu walimu wakuu wanawalazimisha walimu wao kufundisha..

      Nako mkoani Arusha hali ni tete, nikiwa Karatu Mjini shule nazo hazina walimu, wanafunzi; wapo walimu wakuu hasa wale wenye umri wamekuwa waoga kugoma
      Quote By MotoYaMbongo View Post
      Urambo Mkoani Tabora, wanafunzi za sekondari wamesambaa mitaani, wa shule za msingi wametawanywa na walimu wakuu wao.
      Quote By nachid View Post
      Iringa naona watoto wapo mtaani wanaserebuka
      Quote By Gwaje View Post
      Nipo Igunga hapa mjini, kuna shule inaitwa Igunga Day nimeongea na walimu wamesema hawajaenda kazini ila kwa taarifa waliyonayo mkuu pekee ndie yuko kazini Safisana
      Quote By summa View Post
      DODOMA
      walimu hawapo shuleni na baadhi ya shule wamerudi nyumbani kabisa
      Quote By Barnabas Shadrack View Post
      Huku Mwanza kuna shule nyingi walimu wamehudhuria shuleni lakini wamekaa nje tu wakiwa wanaota jua.
      Quote By Bajabiri View Post
      Rafiki yangu ni mwalimu wa Halmashauri ya CHUNYA ameni-sms kuwa WAO WAMEFUNGA SHULE
      Quote By Adolph View Post
      Huku Kibaha napo kimenuka. Wanafunzi wamerudi majumbani kwao. Hakuna kinachoendelea!
      Quote By MotoYaMbongo View Post
      Urambo Mkoani Tabora, wanafunzi za sekondari wamesambaa mitaani, wa shule za msingi wametawanywa na walimu wakuu wao.

      Mgomo umefanikiwa, walimu kaza uzi.
      Quote By nachid View Post
      Iringa naona watoto wapo mtaani wanaserebuka
      Quote By Gwaje View Post
      Nipo igunga hapa mjuni kuna shule inaitwa Igunga Day nimeongea na walimu wamesema hawajaenda kazini ila kwa taarifa waliyonayo mkuu pekee ndie yuko kazini Safisana
      Quote By summa View Post
      DODOMA
      walimu hawapo shuleni na baadhi ya shule wamerudi nyumbani kabisa
      SOLIDARITY 4 EVER
      Quote By Barnabas Shadrack View Post
      Huku Mwanza kuna shule nyingi walimu wamehudhuria shuleni lakini wamekaa nje tu wakiwa wanaota jua.
      Quote By Bajabiri View Post
      Rafiki yangu ni mwalim wa halmashaur ya CHUNYA ameni-sms kuwa WAO WAMEFUNGA SHULE
      Quote By Adolph View Post
      Huku kibaha napo kimenuka..wanafunzi wamerudi majumbani kwao..hakuna kinachoendelea!
      Quote By samilakadunda View Post
      Taarifa toka mkoa wa Morogoro:

      Wanafunzi wanarudi nyumbani, secondary kwa Misinga wanafunzi wanazagaa mjini, hadi kieleweke, nimeongea na baadhi ya wanafunzi wanasema warudi nyumbani kwa kuwa waalimu hawapo mashuleni.
      Lucas Sabuni Baadhi ya S/M Nzega mjini wanafunzi wamerudi majumbani hakuna walimu mashuleni.
      Quote By Neiwa View Post
      Upande wa Tunduma vurugu za wanafunzi zimetulia sasa (au niseme zimetulizwa); Hayo maandamano ya wanafunzi yalipelekea boarder ya upande wa Tunduma kusimamisha shuguli zake (sio kufungwa) kwa hofu ya usalama wa mali za wasafiri wanaotumia huo mpaka hasa magari ambayo huwa kwa wingi maeneo hayo.

      Hata hivo so far shughuli zinaendelea kama kawaida kwa sasa katika offisi hizo za Migration hapo mpakani.
      Quote By msweken View Post
      Mgomo hadi shule za vijijini kabisa, wife anafundisha mpwapwa kanambia mkuu wa shule pekee ndiye aliyeenda kituo cha kazi, walimu wengine wote hakuna aliyejitingisha, wapo makwao wanafanya mambo yao..!!
      Quote By Getsemane View Post
      Mbozi:
      Huku pia hapa Vwawa watoto wamegoma na wameandamana hadi kwenye ofisi za halmashauri(Bomani) ambapo pia ofisi za mkuu wa wilaya zipo. Mtaani pia watoto wamezagaa na wimbo wao ule ule "Tunataka haki zetu" wameongeza tena kuwa "Hatutaki kupewa rushwa"
      Quote By master gland View Post
      Hapa mkoani Mtwara na wilaya zake zote ikiwemo Newala, Masasi, Tandahimba, Nanyumbu, Mtwara mjini hali ni tete hakuna walimu zaidi ya wakuu wa shule.

      MAAFISA ELIMU WANARANDARANDA MASHULENI NA FORM ZAO NA WANAKOSA WAKUMSAHINISHA HALI NI TETE
      Quote By Echolima View Post
      Niko Kahama mjini Mgomo wa waalimu unaendelea kama kawaida
      Simon Mwangoka Mwasile Shule ya secondary Uyole na shule ya msingi Itezi zilizoko katika jiji la mbeya wamegoma 99% nimeshuhudia mwenyewe kwa kutembelea maeneo husika.
      Quote By Mikael P Aweda View Post
      Kisarawe, karibu shule zote hakuna walimu. Wanafunzi wanacheza shuleni.

      Source: Mimi mwenyewe niko huku kikazi.
      Quote By Kengedume View Post
      Nimezungu takribani shule kadhaa hapa ndani ya manispaa ya Shinyanga, mpaka dakika hii wanafunzi wametapakaa nje ya madarasa wanacheza tangu asubuhi! Shule ya msingi Ushirika, Bugoi, Chamaguha na n.k

      Kimenuka mbaya!
      Quote By Naytsory View Post
      Hanang' shule ya sekondari Mahu wanafunzi wamefunga barabara ya kwenda Singida kwa kutumia madawati, hivi sasa polisi na ofisi ya elimu wamekwenda kule kutuliza hali.
      Walimu wameitikia mgomo kwa zaidi ya 90% kwani shuleni wapo wapo wakuu wa shule na walimu wa field na wale wa kujitolea, shule za msingi wapo walimu wakuu tu.

      Hivyo ndivyo hali ilivyo kwa Hanang' leo nilipofika hapa Katesh makao makuu ya wilaya.
      Quote By ukwelikitugani View Post
      Mfa maji haachi kutapatapa,Wahenga walisema. Imekuwa kawaida kwa CCM, Bwana Kikwete na wana-Propaganda wake kutafuta mchawi wa migomo na migogoro mbalimbali badala ya kutafuta suluhisho la kudumu la ufumbuzi wake. Mtakumbuka matukio kadhaa yalitokea,mfano:

      1. Maandamano ya Wanavyuo,kudai mikopo na kuboreshwa mazingira.. Walijitokeza watetezi wengi na makada wa CCM kudai ati ni Chadema wanaohusika. (impact yake- ccm kupoteza kukubalika vyuoni).
      2. Ukaja mgomo wj madaktari na crucifiction ya bwana-Daktari Ulimboka. Hapa Kikwete, CCM yake na vibaraka wao TISS waliwatuhumu Chadema kuwa nyuma ya wadai haki zao (madaktari). (Impact yake- CCM kuonekana bulshit katika jamii ya madaktari)!
      3. Mgomo wa Walimu.. Hali inavyoelekea,si punde itatamkwa Chadema wapo nyuma ya wadai haki hawa. Natamani sana wataalam wa propaganda wa bwana JMK na chama lake wajitokeze na kuwakemea walim waache kutumiwa na CHADEMA..

      My take:- Ni uwezo mdogo wa kiuongozi na utawala alionao kikwete,kukimbilia visingizio kama chaka la kuficha udhaifu.
      :- Natoa wito kwa walim kwa kuwa wapo wengi,na wana mtandao mkubwa kila kona ya nchi, basi wawe mashuhuda wa kuwa CHADEMA ndio watetezi wa haki kwani hata CCM wanakiri hivyo,na kubwa zaidi thamani yenu mbele ya chama tawala ni ndogo mno.
      Quote By fmpiganaji View Post
      Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Mwanza, Thadaeus Ruwa'ichi ameonya kuwa taifa ambalo linachezea elimu halitathaminika popote huku akisema madai ya walimu ni ya msingi.
      ...
      Source: Mwananchi Alhamisi (Leo)
      Quote By harakat View Post
      Kitendo cha baadhi ya waalimu kwenda shule na kuweka mgomo baridi kunywa chai na kuendelea kupiga soga
      kimezungumziwa na mukoba kwamba sio kizuri wote wakae makwao waendelee na shughuli nyingine ikiwemo mikakati ya kujiajiri
      "“Mgomo huu hauna ukomo, ni Serikali tu ndiyo itakayoamua uishe au uendelee. Tukipewa nyongeza tunazotaka utaisha lakini tusipopewa utaendelea milele,” alisema Mukoba. Jana ilikuwa ni siku ya tatu tangu kuanza kwa mgomo huo.

      Alisema mgomo huo ni wa mafanikio makubwa, kwa sababu unahusisha asilimia 95 ya walimu... “Walimu wachache wanaoendelea kwenda shuleni ni waoga, wanafiki wenye kujipendekeza ili wapate vyeo na wanasaliti wenzao wanaodai haki zao,” alisema.

      hapa naendelea kuungana nae moja kwa moja "solidarity 4reva"


    2. #41
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Goldman View Post
      Tunduma wanafunzi wakati wanaandamana, ffu wamewapiga bomu la machozi,
      hawa ffu ni wapumbaf sana, wanaweza wakasababisha vifo vya wanafunzi
      Quote By Goldman View Post
      sasa watu wakubwa wameingilia, gate la kwenda zambia limefungwa kwa muda hamna gari kuvuka!
      unaona sasa! Sasa ni vita kati ya wanafunzi+wazazi dhidi ya ffu

    3. #42
      zenmoster's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : U.K
      Posts : 936
      Rep Power : 577
      Likes Received
      192
      Likes Given
      55

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      hao wanafunzi wamegoma nao kusupport walimu ama wanatumiwa na nyinyiem??

    4. #43
      kbosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,876
      Rep Power : 730
      Likes Received
      235
      Likes Given
      33

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      kwan walio goma ni wa shule za msing tu?

    5. #44
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,570
      Rep Power : 42529
      Likes Received
      5090
      Likes Given
      4370

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Maafisa elimu Manispaa ya Ilala wanahaha kuzunguka mashuleni na hali ni mbaya.

      Nimezungukia shule za Kiwalani, Kigilagila, Hekima, Buguruni A, Buguruni Kisiwani, Buguruni moto etc. Walimu wamegoma mtindo mmoja, naendelea kuzunguka

    6. #45
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      652

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Serikali Dhaifu sana. JK anaona ka move vile.


    7. #46
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,570
      Rep Power : 42529
      Likes Received
      5090
      Likes Given
      4370

      Default

      Quote By Angel Msoffe View Post
      hawa ffu ni wapumbaf sana, wanaweza wakasababisha vifo vya wanafunzi unaona sasa! Sasa ni vita kati ya wanafunzi+wazazi dhidi ya ffu
      hapo wameingia choo sio saizi yao,ninavyoijua jamhuri ya watu wa Tunduma,! That is a different cup of tea altogether!

    8. #47
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 498
      Rep Power : 471
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Kibaha Mlandizi shule karibia zote msingi na sekondari hakuna walimu kabisa. Wanafunzi wamefurahi leo utawala binafsi kutoroka wakati wenzao wanaandamana.

    9. #48
      TEGEMEA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2011
      Posts : 353
      Rep Power : 496
      Likes Received
      30
      Likes Given
      4

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Liwe na liwalo

    10. #49
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Gilo24 View Post
      kweli ukomboz uko mlangon!
      taifa linaangamia kwa kukosa maarifa

    11. #50
      Advicer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 865
      Likes Received
      34
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By raymg View Post
      Sasa hivi wanafunzi kata ya ilemela mkoa wa mwanza wapo katika maandamano wakiwa na mabango tofauti yenye maandishi "tunataka haki zetu" wakielekea mahakama ya mwanzo wilaya ya ilemela kufungua kesi zidi ya waalimu kwa kukataa kuwafundisha...
      waLimu songea wanakatisha tamaa sana wakuu.

    12. #51
      Magesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 1,302
      Rep Power : 1034
      Likes Received
      285
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By raymg View Post
      Sasa hivi wanafunzi kata ya ilemela mkoa wa mwanza wapo katika maandamano wakiwa na mabango tofauti yenye maandishi "tunataka haki zetu" wakielekea mahakama ya mwanzo wilaya ya ilemela kufungua kesi zidi ya waalimu kwa kukataa kuwafundisha...
      Kilimanjaro hususan mjin moshi wanafunz wengi wanarudi nyumbani hali sio nzuri

    13. #52
      KATUMBACHAKO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 152
      Rep Power : 381
      Likes Received
      46
      Likes Given
      22

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Songea nako walimu wapo kwenye mgomo mzito! Ila H/master wa Nguluma SS ameisaliti CWT! kawakataza wlimu kugoma

    14. #53
      MotoYaMbongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 1,294
      Rep Power : 843
      Likes Received
      147
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Urambo Mkoani Tabora, wanafunzi za sekondari wamesambaa mitaani, wa shule za msingi wametawanywa na walimu wakuu wao.

      Mgomo umefanikiwa, walimu kaza uzi.

    15. #54
      nachid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th April 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 556
      Rep Power : 525
      Likes Received
      77
      Likes Given
      9

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Iringa naona watoto wapo mtaani wanaserebuka

    16. #55
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,258
      Rep Power : 8420
      Likes Received
      1135
      Likes Given
      390

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Hii nji bwana migomo kila kona

    17. #56
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      hivi AMIRIJESHI MKUU yuko nchini?

    18. #57
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 418
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Tunduma wanafunzi wanaandamana barabarani. Wakiimba "tunadai haki yetu ya elimu". hali ni tete kuna hatari wazazi wakaingilia kati baada ya polisi kurusha bom la machozi kuwatawanya wanafunzi!

    19. #58
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,570
      Rep Power : 42529
      Likes Received
      5090
      Likes Given
      4370

      Default

      Quote By KATUMBACHAKO View Post
      Songea nako walimu wapo kwenye mgomo mzito! Ila H/master wa Nguluma SS ameisaliti CWT! kawakataza wlimu kugoma
      anatafuta kung'olewa meno kwa praiz huyo! Serikali inapitia kipindi kigumu na haitoki kamwe. Things fall apart!

    20. #59
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 2,012
      Rep Power : 905
      Likes Received
      392
      Likes Given
      171

      Default Re: Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

      Ni upepo tu unapita.

    21. #60
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Advicer View Post
      waLimu songea wanakatisha tamaa sana wakuu.
      kwanini?

    Page 3 of 30 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...